Monday, May 30, 2011

JE KWELI HIVI VIMBANDA HARAMA ZAKE NDIO HIZO MAMILLIONI WALIYOYATAJA AU UZUSHI TU..?

hii ni video ya vijibanda vilivyo chomwa moto zenji vya watu wa bara ambao inavyosemekana ni kuwa hawakuchomewa mpaka walipo onywa wasiuze bangi,unga(drugs)pombe na wanawake wao kujiuza kwa wazungu na bathi ya vijana kuwashikashika wasichana wakizenji matiti ktk kijiji cha pwani mchangani ila hawakusikiya na kuendeleya na mambo yao na pia inavyosemekana wanakijiji walipeleka habari hata serekalini lakini hawakuchukuliwa hatuwa yoyote ndio vijana wa kijiji wakamuwa kuowondowa uchafuu huu unaofanywa hapa kijijini.

huyu ni msichana mwenye kabila la kimasai.
hii ndio zenji sasa.
jione zenji ya leo.
hawa ni wamasai wakinyowana nywele.
zenji
darajani hapa masai mtu wazenji tukowapi..?
hili ndio ngari la ngombe mpaka leo bado yako.
haluwa na tende kama kawa ndani ya zenji.
zenji yetu kisiwa cha neema na baraka ila kinafisidiwa ona nanasi linavyo cheka
ona neema ilivyojaa
ramathani unafunguwa kwa maji ya madafu swafi kabisa.
wapi wapi kama sio zenji jamaa amkeni znz isifunjwe
ona dolphins wa zenji cheki
Forothani Gardens Zanzibar
foro zamani ukienda wazenji na kidogo wazungu sasa ni wamasai tu
zenji imevamiwa
hata watoto wetu wa kike hawana raha tena masai kila mahali ona hapa
watoto wetu wataridhi nini ..?
ona wanavyogombania honda utafikiri wanajuwa kuendesha na mzungu anawangalia tu
je hii ni zenji unayo ijuwa wewe ulipo zaliwa..?
faida ya biashara ya watali ndio hii.
hapa ni uroa znz.
hii ndio kizimkazi masai tu.
fukwe zote za bahari ya znz zimeja wala hawana kazi maalum wanazurura tu
ona utajiri wa wazenji unaofujwa na watu wasio na imani nayo.
haya ndio maisha yetu pole pole hatuna haraka ila sasa tumemezwa tunapelekwa mbio.
nymba zetu na nithamu na usafi ila sasa haya yote yanafujwa
stone town
kwa mafungu mashaa allah mungu ibariki znz.
ona neema ya zenji na baraka zake mungu ibariki znz.
wazungu wakiwaona hawa hawataki kuondoka
zenji yetu jamaa musijisahau mtu kwao.
jambiyani ndio hapa.
haw ndio wenyeji sasa.
na hawa ndio wangeni.
ione zenji ilivyo tuliya.
mzungu akinyusha miguu kwa baiskili kuelekeya kwenye beach huko mashamba.
hawa ndio wanaowafanya masai wamiminike znz kila kukicha
karibu mzungu wakakaribiya wamasai.
watu wote wanajuwa kuwa znz sisi ni masai sasa na wazungu pia wanaiga
je bado tu tutasema hatujaingiliwa..?
kila kichochoro kuna masai kila njia kuna masai
ona hapa dada zetu wanajaribu kununuwa na wao wapo tu wameka hawa kazi yoyote.
siku za mvua zenji
wazenji nchi inamalizwa.
nchi inatuaga jamaa.
tutakwenda wapi sisi wazenji..?
unaona akirudi ulaya anawambiya rafiki zake wazanzibar ni wamasai mimi nina boyfriend wangu znz ni masai.
fukwe zote zote ni wao tu hapa zenji sasa.
labda baada ya miaka 20 watachezeya timu ya malindi,km km,ksc,small simba n.k.
kipofu kaona jongoo ndio hii
shangani kwendeya posta.
mzungu akiruka ruka kwa furaha yuko zenji
anaona raha

hawa ni watali wakutoka..?
hatukatai watu kuja znz maana sisi pia tunakwenda nchi za watu na pia tunaishi na kutafuta maisha
lakini hii sasa imekuwa ndio mwisho wa matatizo maana wanalala nje hawa jamaa na sasa hivi huko
mkoa wa kaskazini A na B kumeibuka ubakaji wa hali ya juu hapa zenji abao haujapata kutokeya kabisa
si semi kama ndio wamasai wanafanya haya ila wao pia wamejaa huko kaskazini A na B na jambojengine kukosa nithamu ya uwingiaji watu ovyo ovyo hapa nchini znz ndio kulikosababisha wanawake wetu wengi sasa kubakwa na ukienda polisi wanasema tutamtafuta au hata hatujuwi tukamtafute wapi aliye kubaka na atakuwa ashakimbia huu ni kuonyesha wazi kuwa hata polisi wanaona raha wanawake wetu  na dada zetu na binti zetu na anti zetu na mama zetu wa znz kubakwa maana  baada ya kuchomwa vibanda waliweka patro ya kuwasaka moja baada ya mwengine wengine wameshikwa na wengine bado ila ubakwaji ndio tutamtafuta au hata hatujuwi tukamtafute wapi maana atakuwa ashakimbia huyu hii ni kuonyesha wazi wazi kuwa hawana uchungu sio kwa kuwa sio dada,mama,anti,bint zao waliyo bakwa na hata kama ni dada zao wao huko bara ndio kama mila ukitaka kuowa kuna makabila mengine ni mpaka ubake msichana ndio awe wako sasa ndio yanayo letwa hapa znz na serekali kimya kama hawako vili je wazenji tunaelekeya wapi...?



5 comments:

  1. kipofu kaona jongoo ndio hii
    LOOOOL...i liked it...zanzibar Diama

    ReplyDelete
  2. I like your zanzibari patriotism but i hope you stay away from racism. tomorrow if we fight for zanzibar freedom they will call us racist,extremist or islamist. And CCM in the end will win. We should use brain not heart..u love zanzibar but heart doesn't calculate. That calculates is Brain

    Uzalendo, Uhuru Uadelifu.
    Zanzibar Daima

    ReplyDelete
  3. i.al sabiriy. fast of all in znz now they is no CCM OR CUF all people r together to free zenji so if u did know u have to know that znz they is no more CCM OR CUF u want to fight for znz freedom tomorrow im talking to free znz now now not tomorrow not next years now second if u think im racist fine but what i think is truth and i know that the truth is always pain...in swahili we say ukweli unauma ndio maana watu wengi hawapendi kuambiwa ukweli.u cant used brain if u dont have heart u have to have heart than u can used brain u want to cook food without fire..? u want to write something in the paper without pan or u want to eat without using ur hand..?peace

    ReplyDelete
  4. Si wamasai tu hata wachina wameharibu biashara zetu zote. je nunauliza serekali ipo? au inajali maslahi yake tuu? na hao wakubwa wa serikali ni kweli kama wazanzibari mbona wahaiokoi nchi yao?

    ReplyDelete
  5. can you please take out the picture below this comment? hawa ndio wanaowafanya masai wamiminike znz kila kukicha
    Thank you !!

    ReplyDelete