Monday, May 23, 2011

WANANCHI TUKISUBIRI SEREKELI YETU YA ZNZ ITUKOMBOWE TUTAKUFA MASIKINI NI SISI RAI WENYEWE TUJIKOMBOWE

TUKISUBIRI BARAZA LA WAWAKILISHI KUTUKOMBOWA NAONA KAMA TUTAISHIA KUWA MKOA WA PWANI KAMA TANGA PALA UNAVYO IONA HATUTOKUWA NA NCHI                                                         YA ZANZIBAR

Muungano maana yake ni makubaliano, kama ni wa nchi 2 maana ni makubaliano ya nchi hizo yanayotokana na ridhaa za watu wa pande mbili hizo husika kukubaliana? lakini huu Muungano wa Zanzibar na Tanganyika wenye kujita Watanzania hauna mvuto tena kwa upande mmoja wa Watu wa Zanzibar.
Jee nisababu gani zilizofanya upande mmoja wa Muungano watu wake washikilie Muungano uwepo na uenziwe na upande mwengine wa Zanzibar useme unataka ufe leo kesho?
Hakuna asio juwa kuwa Muungano huu una sababu kaza wa kaza kuwa haufai tena kuwepo kutokana na kupoteza uhalali wa makubaliano mama ya Muungano upande mmoja kuyakanyaga kanyaga na kutokuyaheshimu na kujipachika usuper power zidi ya upande mwengine .
Hivi sasa Upande wa Tanganyika ijitayo Tanzania imejifanya ni mtawala zaidi ya upande mmoja wa Muungano ambayo ni Zanzibar kwa kisingizio cha kuwa na watu kidogo na ardhi ndoko na kutumia ilani za chama tawala na viongozi thaifu wasio jali uzalendo wa nchi yao na watu wao kuwatumilia kutokana na kuwahadaa kwa vyeo na kuwarubuni kimawazo na kipesa ili wawazibiti wazanzibar walio wengi.
Chakusikitisha kikubwa ni kuona kuwa Mzanzibar 1 tu anaweza kuliangamiza taifa la watu wa Zanzibar kutokana na cheo chake tu chakunyakuwa kinyemela, iko mifano mingi ya wanafiki wanayo iuza Zanzibar na watu wake kutokana na njaa zao za kimaisha ama kupewa vijivyeo Tanganyika au jijipendekeza waweze kuweko ktk madaraka wasio weza kuwatendea haki Wazanzibar .
Kumbuka Samia,Nahodha na kikubwa zaidi ni Spika wa Baraza la Uwakilishi Pandu Ameri Kificho hivi karibuni alivyo turubuni Wzanzibar kwa kuifanya Zanzibar kutiwa katika Group la mkoa.
Mfano hai kuwa wako Wzanzibar huangalia sana maisha yao kuliko uzalendo wa nchi, mfano ni Mh Jussa alipopeleka mswada wa sheria kuhusu kundwa tume yake Zanzibar yakukusanya maoni ili Zanzibar isingizwe ktk mkoa kama vile Dodoma na Dar-es-laam,.
Kilicho tokea ni Spika wa Zanzibar Pandu Ameri Kificho kuupinga binafsi mswada yeye mwenyewe na hakuupeleka hata kwenye Baraza la Uwakilishi ili wajumbe wakaujadili na kupigia kura, yeye Kificho peke yake aliweza kutumia ubavu wake mwenyewe kutupilia mbali , tusema mawazo ya mtu moja Kificho nibora kuliko wawakilishi wengi?.
Huu ni unafiki ambao wazanzibar wanafiki tunawalea wenyewe na kuwaenzi wakati ktk mapambano ya ukombozo watu hawa hukumu yao ni kuwatenga au kifo.
Hivi sasa ukweli nikuwa Zanzibar haiwezi kupiga hatua yoyote ya maendeleo au kiuchumi kama hatujauvunja Muungano huu ambao ni fake na una choyo ndani yake.
Wenzetu wa Tanganyika wanajuwa fika kuwa kutokana na watu wake kidogo Zanzibar na fursa nyingi za kupiga hautu za maendeleo Zanzibar kumeingia uchoyo wa kuibinya kila nyanja za maendeleo na kutumia Wzanzibar wenyewe kuwa ndio waibane Zanzibar kwa kuwa chukuwa Tanganyika na kuwapa vijivyo na waliopo Zanzibar kuwazibiti kwa Sera na ilani za chama  kuwa ndio mfumo wa maisha yao.
Bila ya kuvunja Muungano maendeleo nakupiga hatua za kiuchumi wzanzibar tusahau, hivi sasa kuna kila mikakati yakuimaliza Zanzibar kwa kuwazibiti Wzanzibar waloko ndani na walokuweko nje wakose haki zao.
Wtanganyika lao mmoja nikuiona Zanzibar na Wzanzibar hawafurukuti ktk ukoloni wa Muungano wa Tanganyika ijitayo Tanzania, kama kweli Wtanganyika hawana choyo basi Zanzibar ingekuwa kama Muungano wa Dubai ktk EMIRAT.
Dubai ni kijinchi kidogo na ardhi yake ni ndogo na watu wake ni kidogo,lakini kutokana na kuwa hawana uchumi mkubwa hususani mafuta,  waliamua nchi za kiarabu kuifanya Dubai iwe Bandari huru (Free-port) na kuisaidia ili ipige hatua za kimaendeleo na kiuchumi.
Lakini sisi Wenzetu wa Tanganyika walivyo wachoyo hutuhukumu kila siku kutokana na udogo wa nchi yetu na watu wake na kufika hadi kutuzarau na kutubinya kiuchumi ili Wazanzibar Wzidi kumalizika kimaicha na wapate kuhama ili wao mipango yao ya kuitawala iwe.
Nyanja zote za uchumi wa Zanzibar zina-cantroliwa na Viongozi wa Tanganyika kiuchumi na kimaendeleo,  kumbuka kuwa hata michahara ya wafanyakazi Zanzibar nimidogo ukilinganicha na Tanganyika, hali yakuwa makato ya TRA ni sawa sawa, hii niku-tu foolish Wzanzibar tuhame tuhamie Tanganyika kufuatia kipato kikubwa na wao ili waweze kuhamia Zanzibar na kulipwa michahara mikubwa kwa jina la Muungano.
Kama ni mshahara wa Muungano kutoka Bara jee Muungano Zanzibar haupo? au ndio kununuliwa tuze nchi yetu kwa Wabara, mimi nahisi hii ni choyo cha Tanganyika kuimeza Zanzibar kiimla, ilikuwa Kwa vile Zanzibar ni ndogo na watu wake nikidogo kuliko hata mkoa mmoja wa Tanganyika ? ilikuwa wachukuwe mfano kama Dubai mishahara iwe mikubwa au tulingane kwa mishahara kwa vile Tanzania ni mmoja kama wenyewe wanavyo sema.
Lakini wenzetu wanafanya kila mbinu na kila hila ili waizibiti Zanzibar kiuchumi na kimaendeleo kukuwa, hivi sasa ukipanda boat utaona watu wanao miminika Zanzibar kutoka Tanganyika hawana idadi na hii ni mipango kabambe ya Kanisa na Serekali kuwamimina na uhubiri wa kanisa ni kuwasaedia miradi midogo midogo ili wabakie wasirudi bara kwa lengo la kuongeza wingi watu wenye asili ya Tanganyika na chakutisha wengi wao ni watu wenye mazhebi ya ukristo.
Hii ni ajenda kabambe na Wzanzibar tukisema tuna subiri viongozi wetu watutatulie janga hili au atokee mtu mfazili atusaidie basi tumechelewa, nilazima sisi wenyewe wananchi tutatuwe matatizo yetu kwa kushirikiana na njia pekee na silaha yetu ambayo wenzetu hawaipendi ni Uzanzibar kwanza na hiyi tumeweza kwa kurudisha amani na udugu wetu Wzanzibar ambao uligawika kwa misingi ya kupandikizwa chuki,uhasama na utengano kwa faida ya kugaiwa ili mafisadi na wasio itakia mema Zanzibar na Wazanzibar yao yawaendee.
Wzanzibar waloko nje ya Zanzibar kuna ajenda ya kulengwa kwa kupoteza haki zao za Uzanzibar.
Hivi sasa kuna hatari ya wale Wzanzibar waloko nje ya Zanzibar na walikwisha kubadilisha uraia wao kwa njia moja au nyingine lengo la Wtanganyika ni kuwageuza Wapalestina waloko nje kukosa haki zao ktk ardhi ya Palestina,huu ni mfumo tayari wameshafundishwa Tanganyika na Mayahudi kuwapunguza Wazanzibar na kuwaingiza Watanganyika Zanzibar.
Kutokana na kupapatikia madaraka viongozi wetu wa smz hutowa vitambulicho vya ukazi na uzanzibar kwa wasio Wzanzibar ili wapate kuendelea na madaraka? lakini jee wenzetu wa Tanganyika lengo na agenda ni lipi? nikuhakikicha kuwa kutokana na population ya Zanzibar million 1.2 itafunikwa na Wtanganyika million 44 kipindi kifupi tu kwa vile milango yote iko wazi ya kuingia Zanzibar na viongozi wa smz bado sio wazalendo wako na tongo za macho kuwa Tanzania ni mmoja na mtu yoyote anaweza kuishi sehemu nyingine ya upande wa Tanzania.
Tujifunze kutoka Kwa Maboorige na Australia Wazungu kutoka Uengereza kuivamia Australia nchi ya Maboo? hii leo Maboregen wanaonekana ni watu wa misituni tu na ngoma zao za jadi na huku Wazungu wakionekana ni wenye miliki zote za Australia wakati ni wageni wakimbizi kutoka Ungereza.
Nikwanini Wazanzibar tuna imani zenye kutuzuru na kutuwekea mazara?
Katika harakati za kujikomboa hakuna imani mbele ya wanafiki kama Kificho,Samia,Nohodha wala yoyote mwenye kuleta athari ktk jamii? lakini sisi Wzanzibar bado tuko na tongo za macho na hata mtu afuje vipi bado tunamkubati na kumuenzi. Dunia imebadilika tutakuwa wamwisho kujigomboa na maendeleo ya nchi yetu na watu wake hata tukishtuka tutashindwa kumjuwa Mzanzibar halisi ni yupi na asio kuwa ni yupi.
Lengo la Road map kwa Waisrail na vikao visivyo kwisha na Wapalestina ni kuimega na kuimaliza Palestina na Road map itakamilika kwa Waisrail pale wanapo fika ulingoni kuchaimaliza Palestina hapondio watawaita Wapalestina kuja kukaa na kuzungumza Amani huku kinacho Zungumzwa hakipo tena ardhi yao washazulumiwa na palestina imemalizwa.
Kwa hio na sisi Wazanzibar kama tutajiwachia basi kuna hatari yakuwa wageni katika ardhi, viongozi wa ccm/smz niwababaishaji na kesho na kecho kutwa Zanzibar ikishatiwa kisawa sawa makuchani kwa Watanganyika na wao kukosa utapia mloo watakuja kungana na sisi na kuanza kukoboa macho.
Wazanzibar tusikubali wajukuu zetu kuja kuwaekea mazingira magumu na mazito? usiwe na chakula lakini atlist uwe na kwenu hili ndio lakujivunia na kujifaharisha, kila mzaliwa wa Tanganyika ana kabila lake na mkoa anao toka enzi na enzi na wote wana mikoa yao wala mwengine hathubutu kuwachezeya vipi leo znz iwe kaniki au tabara la kupingia deki wazanzibar amkeni amkeni mtu kwao jamaa mtu kwao jamaa
Mungu ibariki Zanzibar na wazanzibar na uwatowe tongo za macho wanafki wetu Zanzibar nchi inakwenda. smz ziwezeni njaa zenu mukinusuru kizazi Muungano ni mzigo mzito muliotutwika wananchi bila ya kujali kuwa unatumiza na imefika wakati wakuutuwa.

198 comments:

  1. Ingawa kila kitu kilichoandikwa hapa hakiwahusu wananchi wa Pemba na Unguja, ni muhimu kuelewa kwamba wanahusika kwa sababu wako katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wapende, wasipende. Serikali ya Muungano pia ni serikali ya Pemba na Unguja. Wawakilishaji wa Tanzania katika nchi za nje ni wawakilishaji wa Pemba na Unguja. Sijui kuna wangapi wanao toka Pemba na Unguja katika ofisi za ubalozi wa Tanzania nchi mbali mbali. Ukweli ni kwamba ni wachache sana kwa sababu nyingi pamoja na ufisadi. Serikali ya Tanzania imejaa mafisadi.

    Huu ni mfano mmoja tu wa ufisadi ulivyo enea nchini Tanzania. Nchi imeoza. Pia imeuzwa. Inaliwa na kutawaliwa na mafisadi na watoto wao, ndugu zao, marafiki zao, na watu kutoka nchi za nje.

    Nimepewa taarifa hii na mtu anaye jua mengi kuhusu viongozi wa Tanzania bara na uovu wao. Inasikitisha sana. Jisomee mwenyewe. Hakikisha umeitunza makala hii. Pia ni vizuri ukiwapa watu wengine ili wao pia waisome. Ina mengi ya kujadili kuhusu viongozi wa Tanzania na taifa letu. Makala hiyo ni hii ifwatayo hapa chini:

    Katika jitihada ya kulikomboa taifa letu, ni lazima tuseme ukweli bila chuki, uonevu,ubaguzi na upendeleo. Pia ni lazima tujadili mapungufu ya viongozi wote.

    Ikiwa tunaweza kujadili mapungufu ya Raisi Kikwete pamoja na mtoto wake kwa sababu yeye pia anahusika na siasa na uongozi wa taifa letu, tusizuiwe kujadili mapungufu ya viongozi wengine na familia zao ikiwa kuna watu katika familia hizo wanao husika na uongozi wa nchi yetu.

    Pia mengi yameandikwa Jamii Forums kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, mafanikio yake na mapungufu yake. Hata watoto wake wamejadiliwa. Kuna nyakati wana Jamii mbali mbali wameandika kuhusu watoto wa Mwalimu Nyerere mambo ambayo watu wengine wameyaona kama ni binafsi na hayalihusu taifa letu. Lakini kama kuna ukweli kuhusu watoto wa Mwalimu Nyerere unao lihusu taifa letu, hakuna sababu yoyote kwa nini wananchi wasiambiwe ukweli huo.

    Mengi pia yameandikwa kuhusu Dr. Slaa. Hata ndoa yake imejadiliwa Jamii Forums. Ana mapungufu yake kama binadamu wengine. Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pia alikuwa na mapungufu yake kama binadamu wengine.

    Maalim Seif Sharif Hamad pia amejadiliwa Jamii Forums na watu wanao mpenda na wale wanao sema hafai kuwa kiongozi wa Tanzania hata visiwani. Watu hao wanatoka sehemu zote za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wanatoka bara na visiwani.

    Viongozi wengi wamejadiliwa, pamoja na maovu yao, na wanaendelea kujadiliwa Jamii Forums na kwenye majukwaa mengine mtandaoni.

    ReplyDelete
  2. Kumekuwa na mada Jamii Forums kuhusu Mzee John Malecela, aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya nchi za nje, waziri mkuu, na makamu wa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambazo zimefutwa bila sababu muhimu ingawa wana Jamii wameandika ukweli, na bila matusi, kuhusu mapungufu ya kiongozi huyo pamoja na mapungufu ya wana familia wake wanao husika na uongozi wa nchi yetu. Na kuna watu ambao wamesema mijadala hiyo imeondolewa kwa sababu mtoto wake ni mmoja wa wafadhili wa Jamii Forums.

    Pia kumekuwa na mijadala, katika Jukwaa la siasa, Jamii Forums, inayohusu watu wanao dandia wake wa watu wengine bila mijadala hiyo kufutuwa au ilifutwa baada ya muda mrefu. Lakini ikiwa kuna mijadala inayohusu uovu wa familia ya Malecela, inafutwa mara moja. Haifungwi tu, ili waendelee kusoma michango ya watu mbali mbali, inaondolewa kabisa!

    Ikiwa tunaweza kujadili mapungufu ya Dr. Slaa na ndoa yake, kwa nini tusiweze kujadili Jamii Forums na mahalipengine mapungufu ya John Malecela na wale katika familia yake wanao husika na uongozi wa taifa laetu, na ambao wamepewa nafasi serikalini ambazo hawastahili kupewa?

    Ikiwa tunaweza, na tumeruhusiwa Jamii Forums, kumjadili Mwalimu Nyerere na watoto wake mpaka kuingilia mambo ya familia yake, kwa mfano kwamba kuna mtoto wake mmoja ambaye amefichwa chumbani kule Msasani kwa sababu ya matatizo fulani aliyo nayo ingawa watu wengi walisema hayo ni mambo binafsi ambayo hayatusu watu wa nje, kwa nini tusiweze kujadili upendeleo wa kazi serikalini unao husu watoto wa John Malecela na wakwe zake? Pia kwa nini tusijadili ufisadi wake?

    ReplyDelete
  3. Kwa nini mijadala ya aina hiyo inayo mhusu John Malecela na famila yake inafutwa mara moja wakati mijidala inayo wahusu viongozi wengine na familia zao haifutwi?

    Inadhihirisha wazi kwamba mada hizo zinazomhusu John Malecela zinafutwa kwa sababu kuna mkono wa familia ya Malecela katika utimijazi wa lengo hilo la kuiondoa mijdala hiyo kutoka Jamii Forums.

    Kuna mjadala uliomhusu mkwe wake, Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) ambaye ni mke wa William Malecela, mtoto wa Mzee john Malecela, uliofutwa mara moja ingawa yote yaliyo andikwa na watu mbali mbali yalihusu taifa letu. Yalihusu upendeleo ambao mmoja wa wale walionufaika katika familia ya Malecela ni huyo Neema Ngwilulupi Malecela.

    Mbona mijadala inayomhusu Kikwete na upendeleo wake haifutwi?

    Kwa nini wananchi wasiambiwe ukweli kwamba mkwe wa Mzee John Malecela, Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es), alipendelewa kupewa kazi katika ubalozi wetu ingawa hakustahili kupewa kazi hiyo?

    Kwa nini tunazungumzia ufisadi wa viongozi wengine, na upendeleo wao kuwasaidia ndugu zao, bila mijadala hiyo kufutwa Jamii Forums, lakini tukimzungumzia John Malecela na watoto wake na wakwe zake wanaopendelewa kupata kazi, mijadala hiyo inafutwa mara moja?

    Hata watu ambao hawakuamini wana anza kuamini kwamba ni kweli mtoto wa Malecela, au watoto wa Malecela na ndugu zake wengine, wana nguvu inayo wawezesha kufanya uamuzi nini kichapishwe na nini kisichapishwe Jamii Forums kuhusu John Malecela na familia yake. Na ndiyo maana ukweli ulio andikwa jamii Forums kuhusu Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) uliondolewa mara moja ili wananchi wasijue ukweli huo.

    Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) ana uelewo mdogo sana. Mara nyingi, anashindwa kujibu maswali hata ambayo ni rahisi sana. Au anajibu vingine kabisa na kuandika majibu ambayo hayana uhusiano kabisa na maswali aliyo ulizwa. Akishindwa kujibu maswali, anaanza kuwatukana walio muuliza maswali na ambao wemembana kwa kutumia logic. Kuna hata wana Jamii ambao wameuliza: "Ana akili gani huyu Field Marshall Es"? Yaani Neema Ngwilulupi Malecela. Wengine wameuliza: "Ana elimu gani huyu?"

    Ni jambo la kusikitisha.

    Jambo lingine la kusikitisha ni kwamba ingawa Field Marshall Es ana tabia ya kuwatukana watu Jamii Forums, hajawahi kuchukuliwa hatua, na matusi yake hayafutwi labda kwa sababu, kama watu wengine walivyosema, kuna mkono wa Malecela katika Jamii Forums unao endesha mijadala, na unao futa mijadala kuhusu familia ya Malecela wanayotaka ifutwe ikiwa yaliyo andikwa kuhusu familia yao hawayapendi ingawa ni ukweli.

    ReplyDelete
  4. Nguvu ya ukoo huo katika Jamii Forums imeonyeshwa pia na William Malecela, mtoto wa Mzee John Malecela ambaye ni mume wa Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es), alipoharibu mjadala kuhusu Dr. Slaa mpaka mjadala huo muhimu ukafungwa.

    Huo ubabe wa kuingilia mijadala na kuichafua, na kuwalinda watu ambao wako katika familia ya Malecela ingawa wana tabia ya kuwatukana watu wanao changia Jamii Forums, unaonyesha nguvu ya mafisadi na familia zao na wanavyo wanyanyasa wananchi wa kawaida, na wanavyo fanya kila kitu kuzuia ukweli kuhusu maovu yanayo tendeka na ukoo wa Malecela na viongozi wengine wabaya usijulikane kwa wananchi.

    Lakini ukweli haubadiliki, na hautabadilika.

    Ukweli ni kwamba Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) alipewa kazi katika ubalozi wa Tanzania, Belgium, na baadaye katika ubalozi wetu Umoja wa Mataifa (UN, New York), kwa sababu ya upendeleo ingawa hakuwa na elimu ambayo ingemuwezesha kupata kazi hiyo ikiwa utaratibu wa kuajiri wafanyakazi katika ofisi zetu za ubalizi ungefuatwa. Huyu ni mtu aliye feli hata mitihani yake ye secondary school alipokuwa mwanafunzi Loleza Secondary School. Pia ni mtu ambaye hana hata uwezo wa kujifunza lugha ya Kiingereza ingawa ameishi Merikani karibu ya miaka ishirini.

    Maswali ambayo sisi wananchi wa kawaida ambao pia ni watoto wa wakulima na wa wafanyakazi masikini ni lazima tujiulize ni haya:

    Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) angekuwa mtu wa kawaida, angeweza kupata kazi hiyo katika ubalozi wetu wa Tanzania kule Belgium na Umoja wa Mataifa, New York?

    Ana sifa (credentials) gani ambazo ni za kweli na ambazo zingemuwezesha kupata kazi hiyo angekuwa mtoto wa wananchi wa kawaida, kwa mfano mtoto wa wakulima kule vijijini au mtoto wa wazazi masikini au wazazi wengine ambao hawana madaraka nchini au ambao hawana connections na viongozi serikalini?

    Tunawezaje kupambana na maovu ya aina hiyo, upendelelo na ufisadi katika taifa letu, ikiwa tunaficha ukweli na ikiwa tunajadili maovu ya viongizi fulani na familia zao lakini hatufanyi hivyo kuhusu viongizi wengine?

    ReplyDelete
  5. Hili si jambo la binafsi. Halimhusu Neema Ngwilulupi tu. Na halihusu familia ya Malecela tu. Linahusu taifa letu kwa sababu Neema Ngwilulupi Malecela ni mmoja wa wawakilishaji wetu Umoja wa Mataifa (UN), na kabla ya hapo alikuwa ni mmoja wa wawakilishaji wetu katika ubalozi wa Tanzania nchini Belgium.

    Amethibitisha pia katika michangio yake Jamii Forums kwamba aliwahi kuishi na kufanya kazi, Brussels, Belgium, alipo andika, "nina zungumza Kibeligiji," ingawa hakusema ukweli wote kwamba alikuwa secretary katika ubalozi wetu katika nchi hiyo.

    Lakini inasikitisha kwamba hajui hata kueleza vizuri kuhusu lugha za nchi hiyo anaposema "nazungumza Kibeligiji," na kwamba "najua Kibeligiji."

    Hakuna lugha inyoitwa Kibeligiji. Ni sawa na kusema "nazungumza Ki-Zambia," "najua Ki-Angola," "nazungumza Ki-Liberia," au "nazungumza Ki-Canada." Hakuna lugha kama hizo.

    That is ignorance.

    Kuna lugha tatu Belgium: Kidachi (Dutch), Kifaransa (French), na Kijerumani (German).

    Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) hajui hata lugha moja kati ya lugha hizo. Najua ukweli kwa sababu mimi ni ndugu yake wa damu, na wa karibu sana, na tumejuana tangu utotoni.

    Tuache kupendeleana, na tuache kulindana, eti kwa sababu ni ndugu ingawa tunajua ukweli utakao saidia kulikomboa taifa letu. Tumeumia vya kutosha kama taifa chini ya uongozi mbovu. Ndiyo maana imenibidi niseme ukweli bila kuficha chochote. Na siko peke yangu. Kuna ndugu wengi ambao wanataka wananchi wajue ukweli huo.

    ReplyDelete
  6. Ni muhimu kumjadali Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) kwa sababu kazi yake inahusu taifa letu. Siyo kazi yake binafsi. Kwahiyo elimu yake ndogo, na uelewo wake mdogo, hayo yote yanahusu maslahi ya taifa letu la Tanzania. Huu siyo mjadala wa maisha yake binafsi ambayo hayahusu taifa letu. Kazi yake katika ubalozi wetu ni kazi ya Watanzania.

    Ingawa kufuatana na vigezo na utaratibu wa serikali ya Tanzania Neema Ngwilulupi Malecela siyo diplomat, mara nyingi anawakilisha taifa letu kama ma-diplomat wetu kwa sababu anakutana na anazungumza na viongozi wa nchi mbali mbali anapokutana nao kwenye mikutano inayohudhuriwa na ma-diplomat wetu. Pia kuna viongozi wengine wa mataifa mbali mbali ambao anakutana nao katika ofisi ya ubalozi wetu UN. Na kuna nyakati anasafiri na ma-diplomat wetu.

    Tatizo ni kwamba anapokutana na kuzungumza na viongozi hao kutoka nchi mbali mbali, anatuaibisha sana. Ana aibisha taifa letu. Viongozi hao, na watu wengine, wanatucheka. Nyakati zingine wanatikisa vichwa tu, na kujiuliza, "Is this the best Tanzanians can do?" Kuwapeleka nchi za nje wawakilishaji kama hao ambao ni watupu? Karibu baada ya miaka hamsini ya uhuru, Tanzania haina watu wenye elimu ya juu na ujuzi wanao weza kuiwakilisha nchi yao kwa heshima badala ya kuwapeleka nje watu kama hao ambao ni watupu kichwani na hawajui hata Kiingereza?

    Ushahidi upo Jamii Forums. Ukisoma michangio ya Field Marshall Es (Neema Ngwilulupi Malecela), utaona mifano mingi sana ya Kiingereza chake kibovu. Kinanuka! Hasa kutoka kwa mtu ambaye ameishi Merikani karibu miaka ishirini akiwa mmoja wa wawakilishaji wetu Umoja wa Mataifa ingawa, officially, yeye ni secretary, na siyo diplomat. Lakini ana play role ya diplomat kila siku katika kazi yake.

    Hii ni mifano michache tu ya Kiingereza chake kibovu alicho andika Jamii Forums: Badala ya kuandika "southerners," ameandika "southians," neno ambalo haliko hata katika lugha ya Kiingereza. Na badala ya kuandika "northerners," ameandika, "northians," neno ambalo pia siyo la Kiingereza.

    Na si hayo tu. Mengine ni haya: Ameandika Jamii Forums - "cry wooolf (with three o's) badala ya kuandika, "cry wolf." "It is none sense," badala ya kuandika "nonsense." Kuna nyakati zingine ameandika, "it is no sense," akimaanisha "nonsense."

    Hajui hata ku spell "nonsense" baada ya kuishi USA for almost 20 years! Katika nchi ambayo English is the primary language.

    Tatizo ni kwamba, na elimu yake ndogo, anajaribu sana kujionyesha kwamba anajua Kiingereza, pamoja na Americanisms (American expressions na kadhalika) kwa sababu ameishi Merikani karibu ya miaka ishirini. But she only ends up exposing her ignorance badala ya kuandika katika Kiswahili tu, lugha yetu ambayo Watanzania wengi wanao jua Kiingereza kuliko yeye wanaweza kumsaidia kutafsiri ikiwa anataka michangio yake Jamii Forums na mahali peingine iwe katika Kiingereza.

    Mfano mwingine: Ameandika Jamii Forums, "I could care less," badala ya kuandika "I couldn't care less." Neno sahihi katika sentensi hiyo ni COULDN'T.

    Unapo andika "I could care less," swali unalo ulizwa ni: how much less?

    That's nonsense.

    Ameandika mahali pengine "disscus," badala ya kuandika "discuss."

    Makosa hayo yote ni baada ya kuishi Merikani karibu ya miaka 20!

    Hajui hata ku spell maneno madogo na rahisi kama hayo pamoja na mengi mengine. Hata mtoto anaye anza kujifunza Kiingereza anajua lugha hiyo kuliko dada huyu, Neema Ngwilulupi Malecela, anaye jiita Field Marshall Es pale Jamii Forums, na ambaye ameongopa na kusema ana degrees kutoka vyuo mbali mbali pamoja na degree katika international politics!

    ReplyDelete
  7. Nani anaweza kuamini dada huyo Field Marshall Es (Neema Ngwilulupi Malecela), na Kiingereza chake kibovu, angeweza kuelewa vitabu vya international politics na masomo mengine ya juu, vitabu ambavyo vimeandikwa katika Kiingereza cha kiwango cha juu ambacho hakieleweki na watu wa kawaida hata wale ambao Kiingereza ni lugha yao?

    Ikiwa ameshindwa kujifunza Kiingereza miaka yote hiyo, karibu ya miaka ishirini baada ya kuishi Merikani muda wote huo, hawezi kujifunza lugha hiyo hata akiendelea kuishi USA miaka hamsini ijayo.

    Kuna watu kama hao. Si yeye tu. Kwahiyo suala la lugha na kushindwa kwake kujifunza Kiingereza si tatizo lake tu.

    Tatizo ni kwamba Neema Ngwilulupi Malecela anafanya kazi katika ubalozi wetu Umoja wa Mataifa (Tanzania Mission to the UN). Ni aibu kwa taifa letu kuwa na mtu kama huyo katika ubalozi wetu ambaye hana elimu na ambaye hajui hata Kiingereza, lugha wanayo tumia Umoja wa Mataifa kuliko lugha zingine.

    Hakuna Watanzania wenye elimu kuliko yeye wanao weza kufanya kazi hiyo? Tunao wengi sana. Lakini hawawezi kupata kazi kama hiyo kwa sababu hawana connections na siyo watoto wa viongozi na mafisadi.

    Ni jambo la kusikitisha sana kwamba kuna dada zetu ambao wana bachelor's na master's degrees ambao wangefurahi kupata kazi hata kama secretaries - Tanzania Mission to the UN au mahali pengine - lakini hawawezi kwa sababu hawa connections serikalini kama Neema Ngwilulupi Malecela na wengine ambao wako katika familia za viongozi na mafisadi na wanapewa kazi hizo ingawa ni watupu kichwani.

    Familia ya Malecela na wakwe zao na wapambe wao wamehakikisha kwamba mtoto wao Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) ameshikilia kazi hiyo katika ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa (UN), New York, miaka yote iliyopita, karibu ya miaka ishirini sasa, ingawa hana elimu ya kutosha, hajui hata Kiingereza vizuri, na hastahili kuwa na kazi hiyo kwa sababu hana qualifications za kutosha kustahili kazi hiyo. Na wamehakikisha atabaki hapo mpaka watakapo amua kumpeleka mahali pengine kuendelea kuishi maisha matamu na kula vinono kwa gharama ya taifa letu.

    Je, hii kweli ni coincidence? Au wanaona ni urithi wao, na kwa sababu wanaweza kutimiza malengo yao ya kupendeleana?

    ReplyDelete
  8. Mzee John Malecela mwenyewe aliwahi kuwa balozi wa Tanzania, UN, miaka ya mwisho, ya sitini, na mwanzoni mwa miaka ya sabini. Halafu, baba mdogo wa Neema Ngwilulupi, Weidi Ephraim Ngwilulupi (W.E.N) Mwasakafyuka, alikuwa diplomat katika ubalozi wetu UN wakati Malecela ni balozi wetu UN miaka ile na baada ya Malecela kuondoka. Weidi Mwasakfyuka ni mdogo wa Brown Ngwilulupi ambaye ni baba ya Neema Ngwilulupi.

    Halafu William Malecela, mtoto wa John Malecela ambaye ni mume wa Neema Ngwilulupi, alikuwa tayari anaishi New York kabla ya kufunga ndoa na Neema na kabla ya Neema kuhamia New York. Ukoo wa Malecela umehakikisha kwamba mkwe wao Neema Ngwilulupi anashikilia kazi hiyo ya u-secretary katika ubalozi wa Tanzania, UN, pia kwa sababu mtoto wao William Malecela anaishi huko na amejijenga huko. Kazi katika ubalozi wetu Umoja wa Mataifa ni kama imekuwa kazi ya urithi katika ukoo huo na wakwe zao. Yote hayo ni coincidence?

    Pia watoto wa Mzee John Malecela ni Wagogo na Wanyakyusa. Mke wake wa kwanza aliye zaa watoto hao alikuwa ni Mnyakyusa. Kwahiyo wakwe zake ni Wanyakyusa. Halafu ana wakwe wengine ambao pia ni Wanyakyusa kwa sababu mtoto wake, William Malecela, ambaye pia ni nusu Mnyakyusa, ameoa Mnyakyusa, Neema Ngwilulupi.

    Uchu wa madaraka umewafanya akina Malecela hata kuwadharau watu wengine, na kuwatukana watu mbali mbali pamoja na Baba wa Taifa kama vile Neema Ngwilulupi Malecela anavyo mtukana Mwalimu Nyerere. Kuna hata mwana Jamii mmoja aliye uliza kwenye Jukwaa la Siasa Jamii Forums: "Kuna wakati Field Marshall Es hamtukani Baba wa Taifa?"

    Pia ni uchu huo wa madaraka uliomfanya Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) kuandika na kuongopa Jamii Forums kwamba alilelewa Ikulu. Aliandika: "Nililelewa Ikulu."

    Uongo mtupu!

    Neema Ngwilulupi hakulelewa Ikulu, na hajawahi kuishi Ikulu.

    Wazazi wake, baba yake Brown Ngwilulupi na mama yake Lugano Mwankemwa, waliishi Ikulu? Au walikuwa Oysterbay hata kabla ya Neema kuzaliwa?

    Walikuwa Oysterbay, na siyo Ikulu.

    Lakini kwa sababu ya uchu wa madaraka, na imani yake kwamba ukoo wa Malecela una haki kuingia Ikulu na kututawala na kutuibia, bado anaota ndoto za kuishi Ikulu.

    Sasa niambie ikiwa hayo yote niliyo yazungumzia hapa, upendeleo na ufisadi, pamoja na kushusha standards (employment qualifications) na kuongopa kuhusu qualifications zako kwa kusema unazo wakati huna qualifications hizo, niambie ikiwa hayo yote hayuhusu maslahi ya taifa, eti kwa sababu yanahusu familia ya Malecela, kwahiyo hatuwezi kuyajadili Jamii Forums.

    Pia niambie kwa nini mjadala wa aina hii kuhusu familia ya Malecela na upendeleo na ufisadi ambao umewanufaisha, niambie kwa nini usiendelee na kwa nini ufutuwe au ufungwe.

    Pia waambie wananchi kwa nini uongo uvumiliwe ikiwa tunataka kujua ukweli ili tuweze kutatua matatizo yanayo likabili taifa letu.

    Nikiongopa kuhusu elimu yangu na kusema nimesoma vyuo mbali mbali na nina shahada za aina hii na ile kutoka vyuo hivyo, kama vile Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) alivyo ongopa ingawa alifeli hata mitihani yake alipokuwa Loleza Secondary School; nikiongopa kiasi hicho, nini kitanizuia kuongopa zaidi? Naweza kuaminika kazini? Naweza kuaminika mahali popote?

    Kwa nini kupinga uongo wa watu kama hao hauhusiki na maslahi ya taifa? Na ikiwa kupinga uongo ni kwa manufaaa ya taifa, kwa nini mjadala unao onyesha uongo wa aina hiyo usiendelee?

    ReplyDelete
  9. Nchi yetu inamalizwa na mafisadi. Taifa letu linadidimia kwa sababu mbali mbali pamoja na kuvumilia au kupuuza uongo wa viongozi wetu na familia zao. Hata watoto wao wana ongopa ili waendelee kupendelewa na kupendeleana na ili waendelee kutunyonya na kutuibia. Ni lazima tuseme ukweli, na ni lazima wananchi wajue ukweli kuhusu mafisadi hao na watoto wao.

    Familia ya Malecela hawaja jaribu hata kuficha ukweli kuhusu uhusiano wao na Chama Cha Mafisadi. Kwa mfano Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) amesema CCM ni "chama changu," na ni "chama chetu," katika mada hii, "Wana CCM 50 Watimkia CUF akiwamo mwasisi wa TANU," ukurasa wa pili, 25 February 2007.

    Mara nyingi she has pretended to be in the opposition camp na kuwa mpinzani wa CCM. Ni uongo mtupu. Ni mwana CCM halisi kwa sababu anajua chama hicho kinawanufaisha, familia ya Malecela, na ndiyo maana alimpigia sana debe Mzee Malecela alipokuwa anagombea tena ubunge kupitia chama hicho.

    Maslahi ya taifa ni kitu cha mwisho mawazoni mwake na wengine katika familia ya Malecela. Ndiyo maana Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, alihakikisha kwamba John Malecela hateuliwi kuwa mgombea wa uraisi kutoka chama hicho, CCM, na pia ndiyo maana alihakikisha kwamba Malecela haingii Ikulu kututawala kwa manufaa yake binafsi na kwa manufaa ya familia yake.

    Neema Ngwilulupi (Field Marshall Es) alikasirishwa sana na kitendo hicho cha Mwalimu kumzuia John Malecela kuingia Ikulu kiasi cha kwamba aliandika Jamii Forums kwenye mjadala kuhusu Oscar Kambona kwamba ni vizuri Kambona alitaka kumpindua Nyerere na ingekuwa vizuri angefanikiwa, ingawa Neema Ngwilulupi (Field Marshall Es) alijua wazi kwamba licha ya kupindua serikali, Kambona pia alikuwa na mpango wa kumuua Nyerere katika mapinduzi hayo angefanikiwa kupindua serikali.

    Pia cha kushangaza katika mada niliyo itaja hapo juu, "Wana CCM 50 Watimkia CUF akiwamo mwasisi wa TANU," ni kwamba Field Marshall Es (Neema Ngwilulupi Malecela) amemkejeli Augustine Mrema na kuandika, "the man was just another waste politician with very little education."

    Hicho ni kichekesho cha kuvunja mbavu. Yeye mwenyewe, huyo Field Marshall Es (Neema Ngwilulupi Malecela), ana elimu gani?

    Hakufaulu hata mitihani alipokuwa Loleza Secondary School. Halafu soma Kiingereza chake kibovu kuhusu Mrema: "waste politician." Maana yake nini - "waste politician"?

    Hicho ndiyo Kiingereza chake, Neema Ngwilulupi Malecela, baada ya kuishi Merikani karibu ya miaka 20.

    ReplyDelete
  10. Halafu kuna mengi ambayo Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) ameandika Jamii Forums ambayo ni uongo, kutaka kujionyesha anajua mambo ambayo hayajui. Kwa mfano, kwenye mjadala wa "Vongozi Wetu wa Taifa Zamani: Ni Nani na Walifanya nini?," ameongopa na kusema kwamba anakumbuka sana alipokwenda mara nyingi na mama yake (Lugano Mwankemwa, mke wa Brown Ngwilulupi) kumtembelea Eli Anangisye alipo wekwa kizuizini.

    Huo ni uongo mtupu!

    Eli Anangisye aliwekwa kizuizini 1967 kabla ya Neema Ngwilulupi kuzaliwa. Neema Ngwilulupi alizaliwa 11 Novemba 1968.

    Hata Eli Anangisye alipo toka kizuizini, Neema alikuwa bado ni mtoto mdogo tu mwenye umri wa miaka miwili na mieze kadhaa. Halafu anatuambia anakumbuka sana alikuwa anakwenda na mama yake kumtembelea Eli Anangisye kizuizini!

    Mtoto wa miaka miwili anakumbuka nini?

    Na ni nani ambaye angewaruhusu kwenda kumwona Anangisye kizuizini?

    Ni uongo mtupu.

    Hata mengine mengi ambayo amendika katika michangio yake Jamii Forums hayatoki kwake. Anapewa details hizo na familia ya Malecela na watu wengine. Hajui chochote cha manufaa na kinacho hitaji elimu.

    Pia hajasoma vitabu ambavyo amesema amesoma, na hajasoma academic journals ambazo ame quote na kubandika excerpts kutoka kwenye journals hizo.

    Hata angejaribu kusoma vitabu hivyo, na journals hizo, asingeweza kuelewa chochote. Hajui hata Kiingereza vizuri. Hasomi hata magazeti ya kawaida. Kwahiyo anawezaje kusoma vitabu hivyo, na academic journals hizo, na kuelewa anasoma nini? Hajui hata maana ya neno "academic."

    Mnao mfahamu, mnaweza kumtegea mtego kwa kumuuliza maswali machache tu kuhusu vitabu ambavyo amesema amevisoma na mtajua mara moja kwamba ni mtupu.

    Huyo ndiyo mmoja wa wawakilishaji wetu UN, ingawa ni secretary. Lakni ni secretary ambaye anakutana na viongozi kutoka nchi mbali mbali dunia nzima, wakati ana liaibisha taifa letu anapo zungumza nao kwa sababu ni mtupu kichwani na hajui vizuri lugha ya Kiingereza.

    Lakini yuko kimbele kubandika maandishi kutoka academic journals na kutaja vitabu ambavyo hajawahi hata kuviona wala kuvisoma kwa sababu anapewa details hizo na watu wengine na pia kwa sababu anajaribu kuficha upungufu wake wa elimu na akili.

    ReplyDelete
  11. Pia kwa sababu yuko katika familia ya Malecela na kwahiyo anajiona ni mtu mkubwa ambaye ana kinga na hakuna yeyote atakaye weza kumgusa, amejaribu hata kuvunja ndoa za watu kwa makusudi. Kwa mfano, aliwahi kuandika kwenye blogu ya Mjengwa na kumwambia Ulli Mwambulukutu: "Najua wewe ni Ully Mwambulukutu. Nitamwambia mke wako kuhusu mwanamke yule wa Kinyakyusa anaye fanya kazi ubalozi wa Botswana (Dar) unaye tembea naye."

    Ndoa za watu wengine zinamhusu vipi? Ni kutaka kujionyesha tu kwamba yeye ni nani, ni mtu kutoka kwenye familia kubwa na ya mafisadi, na huwezi kufanya chochote hata akikuharibia maisha kwa makusudi.

    Ni unyanyasaji huo kutoka familia za mafisadi, ni uonevu huo kutokana na kupendeleana miongoni mwa mafisadi na watoto wao wakati wananchi wengine wanao stahili kupewa kazi lakini hawapewi kazi hizo kwa sababu ni watoto wa watu masikini ambao hawana conncetions na viongozi wa nchi yetu na wakubwa wengine serikalini, ni maovu kama hayo ambayo ni lazima yajadiliwe na yawekwe hadharani ili wananchi wajaribu kukomesha upuuzi huo ambao umesababisha taifa letu kudidimia na kufikia mahali lilipo sasa.

    Na tutaendelea kuonewa, kunyonywa, na kunyanyaswa na viongozi wetu ambao ni mafisadi pamoja na watoto wao mpaka tutakapo likomboa taifa letu.

    Watoto wa mafisadi hata Jamii Forums na mahali pengine wasiruhusiwe kutunyamazisha na kufuta mijadala inayo husu ufisadi wa familia zao na uonevu wao wanapotaka tunyamaze bila kusema ukweli kwa sababu ukweli huo unahusu familia zao na pia wao wenyewe. Taifa letu haliwezi kukombolewa bila kujua ukweli. Tupo hapa kusema ukweli, siyo kunyamazishwa na mafisadi na watoto wao.

    Pia, kama katika makala hii, mara nyingi ni muhimu ukweli utoke kwa watu walio karibu na watu kama hao ikiwa ukweli huo unahusu maslahi ya taifa na maisha ya mamilioni ya Watanzania.

    Tukiendelea kupuuza ukweli au kuzika vichwa vyetu katika mchanga kama mbuni badala ya kuwa macho ili tujue nini kinatokea katika taifa letu kwa sababu ya familia fulani zinazotumia nafasi zao kujinufaisha zenyewe bila kujali maisha ya Watanzania wengine, tusahau kabisa kulikomboa taifa letu kutoka kwa mafisadi na viongozi wengine ambao hawana uchungu wa nchi yetu.

    Mungu ibariki Tanzania.

    ReplyDelete
  12. Shukrani. Tumeambiwa ukweli hapo juu kuhusu John Malecela. Ningependa kuongeza haya:

    John William Malecela alianza kufanya kazi Ubalozi wa Tanganyika, Umoja wa Mataifa, New York, muda mfupi baada ya Tanganyika kupata uhuru. Mke wake wa kwanza alikuwa ni Ezerina Mwaipopo ambaye John Malecela alikutana naye Tukuyu Malecela alipokuwa Distric Commissioner (D.C.) wilaya ya Rungwe. Walifunga ndoa katika kanisa, Adolphus Gustavus Church, New York, ambako Malecela alikuwa ni Third Secretary katika Ubalozi wa Tanganyika, UN. Best man wa Malecela kwenye harusi hiyo alikuwa ni Dr. Wilbert Chagula. Wakati ule, balozi wa Tanganyika, UN, alikuwa ni Nsilo Swai.

    Jina lingine la la kati la Mzee John Malecela ni Samuel.

    Mtoto wa John Malecela na Ezerina Malecela (Ezerina Mwaipopo), ambaye jina lake ni William Malecela, aliyepewa jina la baba yake, ndiyo huyo ambaye ni mume wa Neema Ngwilulupi anayejiita Field Marshall Es pale Jamii Forums. Kabla ya hapo, Neema Ngwilulupi Malecela alikuwa anajiita Mzee Es alipokuwa Jambo Forums kabla ya Jambo Forums kubadili jina na kuitwa Jamii Forums.

    ReplyDelete
  13. Anonymous,

    Unasema "Tumeambiwa ukweli hapo juu kuhusu John Malecela."

    Unamaanisha ukweli kuhusu Mzee John Malecela tu? Au unamaanisha ukweli kuhusu upendeleo na ufisadi katika familia ya John Malecela pamoja na wakwe zake?

    Ninavyo elewa baada ya kusoma yote hapo juu tangu mwanzoni wa comments hizi, unazungumzia suala la upendeleo na ufisadi unaohusu familia ya Mzee Malecela pamoja na familia za vigogo na mafisadi wengine nchini Tanzania. Siyo Malecela tu.

    Lakini hata hivyo, inanibidi nikupe asante kwa kutupatia historia fupi ya Mzee Malecela tangu mwanzoni wa uhuru wa Tanganyika.

    ReplyDelete
  14. Hayo ni matatizo ya Wadanganyika (Watanganyika). Hayatuhusu Wazanzibari. Hatuutaki Muungano.

    Tungekuwa huru, taifa letu la Zanzibar lisingekuwa na wafanyakazi wajinga na wapumbavu kama huyo secretary katika ofisi ya ubalozi wa Tanzania, Umoja wa Mataifa, New York.

    ReplyDelete
  15. Watanganyika kweli wana elimu? Dada huyo ni mfano mzuri wa elimu yao. Angekuwa ni Mzanzibari, wasingethubutu kumpa kazi hiyo.

    Watanganyika ni wakoloni weusi wanao tukandamiza Wazanzibari. Hayo ndiyo matunda ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Serikali yetu ya ZNZ haitatukomboa. Inabidi tujikomboe wenyewe.

    ReplyDelete
  16. Unao waita Wadanganyika, yaani Watanzania bara, wanawawakilisha Wazanzibari katika Umoja wa Mataifa na sehemu zingine duniani. Pemba na Unguja ni kama mkoa mmoja tu wa Tanzania.

    Unapenda kuwakilishwa na ubalozi ambao una wafanyakazi kama huyo Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) ambaye yuko Tanzania Mission to the UN na ambaye ni mtupu kichwani kiasi cha kwamba ameshindwa hata kujifunza Kiingereza baada ya kuishi USA miaka ishirini? Ikiwa hupendi, utakerwa na ujinga wake hata kama wewe ni Mzanzibari.

    Hana hata elimu ambayo amesema anayo. Hana shahada yoyote kutoka chuoni. Ni aibu kwa Wazanzibari pia, si kwa Watanganyika tu, kuwa na wafanyakazi kama hao katika ofisi zozote za Tanzania katika nchi za nje. She is functionally illiterate.

    ReplyDelete
  17. It is shocking and disgusting that there are such ignorant people serving in Tanzania's diplomatic missions. That is because of favouritism and corruption that is so rampant in Tanzania.

    ReplyDelete
  18. Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) hawawezi kutukomboa kwa sababu hawataki kuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Hawataki Muungano uvunjike kwa sababu wananufaika kutokana na Muungano huo. Pia ni waoga. Hawataki kusema ukweli kwamba Wazanzibari hawautaki Muungano.

    Zanzibar ilivamiwa na kutekwa na Tanganyika wakati wa Mapinduzi. Iliunganishwa na Tanganyika bila Wazanzibari kuulizwa ikiwa tunautaka Muungano.

    Kuna Watanganyika wengi sana ambao pia hawautaki Muungano. Ni muhimu Wazanzibari kushirikiana na Watanganyika hao ili katiba ya Muungano ibadilike kuruhusu Zanzibar au Tanganyika kujitenga kwa amani, bila kumwaga damu, ikiwa wananchi wanataka kufanya hivyo kutokana na matokeo ya kura za maoni.

    Wazanzibari tunadhulumiwa na Watanganyika kwa sababu serikali ya Muungano iko mikononi mwao. Dhuluma hiyo ni pamoja na kuwanyima Wazanzibari kazi wanazo stahili na kuwapa Watanganyika kama huyo Neema Ngwilulupi Malecela - Field Marshall Es - wasio na elimu wala uwezo wa kufanya vizuri kazi walizopewa. Siamini kuna Wazanzibari ambao hawana elimu kama Neema Ngwilulupi Malecela waliopewa kazi za juu kama mama huyo. Lakini Watanganyika wengi wasio na elimu ya kutosha wamepewa kazi hizo kwa sababu ya upendeleo na kwa sababu Wazanzibari wanabaguliwa sana na serikali ya Muungano ambayo inaongozwa na wananchi wa Tanzania bara.

    Kuna siku Wazanzibari tutajikomboa wenyewe kama wananchi wa Eritrea walivyo jikomboa kutoka Ethiopia ingawa ukombozi wetu si lazima uwe wa kumwaga damu.

    ReplyDelete
  19. Mjadala huu hapa chini ulijadiliwa na watu wengi kwenye jukwaa lingine. Lakini ulio ondolewa kwa sababu uliongelea ufisadi wa familia za vigogo na watu wengine wakubwa nchini Tanzania. Ni mmoja wa mijadala mingine iliyofutwa kwenye jukwaa hilo kuficha ukweli kuhusu ufisadi Tanzania bara. Ni tumaini langu na la wananchi wengine kwamba hautafutwa hapa na Wazanzibari kama ulivyofutwa na watu fulani kwenye jukwaa linalo endeshwa na Watanzania bara.

    Badala ya kuufuta au watu wengine hasa mafisadi na ndugu zao kutaka uondolewe, wale ambao hawakubaliani na yaliyoandikwa hapa wajibu hoja. Huo ndiyo uungwana. Huo ndiyo ustaarabu. Pia ndivyo tunavyojifunza. Na ndivyo tutakavyo weza kupambana na mafisadi na wengine wanao tukandamiza sehemu zote mbili za muungano, bara na visiwani.

    Ukweli unauma. Lakini tusiufiche. Inatubidi tuseme ukweli. Inatubidi tuwaambie ukweli vingozi wetu na ndugu zao, pamoja na marafiki zao, wanaotudhulumu ili tuweze kujikomboa kutokana na dhuluma hiyo.

    Kuna watu waliolalamika baada ya mjadala huo kufutwa kwenye jukwaa ambako ulianzishwa. Mmoja wao aliandika, 21 March 2011, kwenye jukwaa hilo, na kuuliza:

    "Wakuu hapa kuna thread tamu sana inayokwenda kwa heading hiyo hapo juu - 'Privileges za Familia ya Malecela, Mods acheni hujuma!' na 'Privileges za Familia ya Malecela. Who's Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshal Es).'

    Sasa kwa sababu zao binafsi Mods wameamuwa kuiondowa wakati haina tusi hata moja. Sasa najiuliza kwenye jukwaa hili wakuchambuliwa ni Dr Slaa tu? Au kwa sababu William Malecela ni shareholder wa JF basi ndio hajadiliwi? Iko wapi ile kauli mbiu ya 'We dare to talk openly'? Naomba wale waliowahi kuisave waibandike tena hapa ili na mimi niisave, na mkiibania hii, naihamishia kwenye gazeti la Mwanahalisi. Hakuna mambo ya kuzibanazibana midomo hapa. .... (jina limehifadhiwa) najua uliwahi kusave lile bandiko. Hebu naomba upaste hapa ili tuendelee na mjadala."

    ReplyDelete
  20. Mmoja wa wanajamii alijibu na kuandika haya, pamoja na kubandika tena mjadala huo:

    "Let me share Inform za Familia Hii ya Malecela. Ni vizuri Watanzania humu JF waelewe Utamaduni na Desturi za Ufisadi na Jinsi Gani Corruption is killing Tanzanians. Tumeona jinsi gani familia ya Malecela na wapambe wao wakiandika fake stories na kutaka kujenga jina bovu la Malecela humu JF. Uchafu wa Corruption na Networks za ccm ndio huu (mjadala uliofutwa):

    ReplyDelete
  21. "Let me share Inform za Familia Hii ya Malecela. Ni vizuri Watanzania humu JF waelewe Utamaduni na Desturi za Ufisadi na Jinsi Gani Corruption is killing Tanzanians. Tumeona jinsi gani familia ya Malecela na wapambe wao wakiandika fake stories na kutaka kujenga jina bovu la Malecela humu JF. Uchafu wa Corruption na Networks za ccm ndio huu (mjadala uliofutwa):

    'Field Marshall Es ni mke wa William Malecela. Jina lake ni Neema Ngwilulupi Malecela, mzaliwa wa mwisho wa Brown Ngwilulupi. Ni secretary, Tanzania Mission to the UN.

    Alipata kazi hiyo kuanzia ubalozi wetu kule Belgium kwa sababu ya upendeleo. Baba yake mdogo, Weidi Mwasakafyuka, alikuwa ni mtu mkubwa katika wizara ya mambo ya nchi za nje, balozi wa Tanzania Ufaransa, na baadaye Nigeria. Unajua kuhusu baba yake Brown Nngwilulupi kuwa kiongozi pia nchini Tanzania. Halafu kuna ndugu mwingine, Balozi Francis Malambugi aliyeteuliwa, July 2010, na Raisi Kikwete kuwa balozi wa Tanzania kule Brazil baada ya kufanya kazi katika ubalozi wetu nchi mbali mbali pamoja na Belgium, ambako Neema alipata kazi, Ethiopia, Angola, Germany, na kuwa mkuu wa Idara inayo husu nchi za Kiafrika katika wizara ya mambo ya nchi za nje. Ni connections hizo zilizomsaidia Neema Ngwilulupi kupata kazi katika ubalozi wa Tanzania, Belgium, na baadaye kupelekwa kuwa secretary katika ubalozi wa Tanzania, Umoja wa Mataifa, ambako pia baba yake mdogo Weidi Mwasakafyuka aliwahi kufanya kazi kwa muda mrefu miaka ya nyuma.

    Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshal Es) hastahili kazi aliyonayo. Kuna Watanzania wenye elimu na uwezo kuliko yeye ambao wanastahili kupewa kazi hiyo. Isingekuwa upendeleo na kusaidiwa na baba yake mdogo, Balozi Weidi Mwasakafyuka, pamoja na baba yake mzazi Brown Ngwilulupi, na ndugu mwingine Francis Malambugi, asingeweza kupewa kazi ya u-secretary katika ubalozi wa Tanzania nchini Belgium na ubalozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, New York.'

    ReplyDelete
  22. Credentials za Neema Ngwilulupi:

    'Pia hana elimu ambayo anasema anayo. Alifeli hata mitihani yake alipokuwa Loleza Secondary School. Ameongopa mtandaoni, pamoja na Jambo Forums na Jamii Forums, kwamba alisoma vyuo mbali mbali na kwamba ana degrees hizi na zile. Hana degree hata moja. Ameshindwa hata kujifunza Kiingereza vizuri ingawa ameishi Merikani karibu ya miaka ishirini sasa tangu 1994 katika nchi ambayo lugha yake ni Kiingereza, lugha wanayozungumza kila siku kule Merikani. Soma maandishi yake, Field Marshall Es, hapa Jamii Forums na mahali pengine mtandaoni na utaona anavyoshindwa kutumia vizuri katika sentensi hata maneno ya Kiingereza ambayo ni rahisi sana. Sahau kabisa grammar yake ya Kiingereza.

    Amebebwa kama yai tangu utotoni. Na ni taifa letu linaloumizwa na upendeleo wa aina hiyo, kuwapa kazi watu ambao wanapewa nafasi hizo kwa sababu ni watoto au ni ndugu wa watu wenye madaraka na mafisadi wakubwa nchi Tanzania na huko nje wanako tuwakilisha ingawa kuna wananchi wenye uwezo na elimu zaidi wanao stahili kupewa kazi hizo lakini hawapewi kwa sababu hawana ndugu zao wenye madaraka ya juu serikalini.

    Anamtetea sana mzee Malecela kwa sababu ni mkwe wake. Pia anamchukia na anamtukana sana Mwalimu Nyerere, kwa sababu mkwe wake John Malecela alizuiwa na Mwalimu kuingia Ikulu kwa sababu ya uchu wake kuwa raisi ili atimize malengo yake ya ubinafsi badala ya kuweka mbele maslahi ya taifa letu.

    Kuna matusi Neema Ngwilulupi Malecela anayomrushia Mwalimu Nyerere ambayo hata watu ambao hawakubaliani na Nyerere watasema dada huyu amevuka mpaka. Ni machafu sana. Na ni kwa sababu hizi: Mwalimu Nyerere alisema ukweli kuhusu John Malecela; pia kwa sababu Mwalimu alimzuia John Malecela, mkwe wa Neema Ngwilulupi Malecela, kuingia Ikulu.

    Neema Ngwilulupi alizaliwa siku ya Jumatatu, 11 November 1968, na alikuwa ni mtoto mdogo tu kwa miaka mingi Mwalimu Nyerere alipokuwa madarakani. Kwahiyo anavyodai kwamba anajua maisha yalivyokuwa chini ya uongozi wa Nyerere tangu miaka ya sitini na sabini, kama alivyo andika mtandaoni, kwa sababu yeye pia alikuwepo miaka ile, ni uongo mtupu. Hata miaka ya sabini alikuwa mtoto mdogo tu ukiangalia alizaliwa lini.'

    ReplyDelete
  23. Another Angle:

    Je hii Familia ya Malecela tunayosikia kila leo kwamba Baba yao si Fisadi yanatoka wapi?

    Kikwete na ccm bado tunategemea Tanzania itabadilika kutoka na Utamaduni na Desturi za rushwa na ufisadi?

    William na Familia yao ya Malecela Utawaona hapa wakijibu na Maneno ya dharau na kejeli wakati wakijua wazi Baba yao na ccm yao ni wafisadi hivyo; wazi siku zote tunajua ukweli ni kwamba Malecela hana tofauti na Rostam wala Kikwete.

    Watanzania tuendelee kuelimisha wenzetu juu ya kubadilisha hii serikali ya kitumwa na ubaguzi na tuna uhakika Kikwete na ccm hawafiki 2015.

    To be continued.... (familia za mafisadi serikali ya Tanzania).

    One more thing:

    Kumbe hata government officials wa Tanzania wanahimizwa kusoma JF kama part of their training. This is really good news for us (Tanzanians). Kweli tunabadilisha Taifa. Hata mkijibadilisha kama kinyonga, nyoka ni nyoka na sumu yake ileile."

    Huo ndiyo mjadala uliofutwa. Unaishia kwenye quotation marks hapo juu. Lakini mawazo ya wananchi hayakufutwa, hayatafutwa, na hayatasahauliwa.

    ReplyDelete
  24. Pamoja na ufisadi wao, wana dharau sana. Watoto wao pia wana tabia ya kuwatukana wananchi wa kawaida. Malalamiko hapo juu jinsi watoto wa familia ya Malecela wanavyo wakejeli wananchi wenzao ni mfano mmoja tu.

    Sijawahi kusikia au kusoma mahali popote kuhusu watoto wa Mwalimu Nyerere kwamba wanawatukana watu wengine. Badala yake, nimesoma mtandaoni jinsi wananchi wachache wanavyowasema vibaya kwa sababu wanamchukia baba yao, na wanavyojadili mambo binafsi kuhusu watoto wa Nyerere ambayo hayana uhusiano wowote na matatizo na maslahi ya Tanzania. Lakini watoto wa Mwalimu wamekaa kimya tu. Si kama watoto wa mafisadi wanaowakejekeli na kuwatukana wananchi wenzao bila sababu bali kuonyesha tu kwamba wana mamlaka na uwezo wa kufanya chochote kuwanyanyasa wananchi wenzao.

    ReplyDelete
  25. Mwanajamii mwingine alimwambia Field Marshall Es: "Mzee Es na wewe umefilisika kimawazo."

    Field Marshall Es (Neema Ngwilulupi-Malecela) akamjibu: "Maneno yako ninayaita NONESENSE."

    With her broken English. She can't even spell simple words. Tangu lini "nonesense" likawa neno la Kiingereza?

    Akarudia tena wakati mwingine kwenye mjadala huo na kuandika: "The rest kwangu ni NONESENSE!"

    Hata baada ya kuishi USA miaka mingi sana. She still can't spell correctly such a simple word.

    Google maneno yote hayo hapo juu katika quotation marks kuyaona na kuthibitisha yaliandikwa wapi, na yaliandikwa na nani. It's direct quotation.

    Pia ukijaribu kutafuta neno "nonesense" katika online dictionary ya Kiingereza, moja ya majibu unayoyapata ni: "The word you've entered isn't in the dictionary."

    Except in her dictionary! Neema Ngwilulupi's or Neema Malecela's.

    Unfathomable ignorance.

    ReplyDelete
  26. Kwenye mjadala, "Kwa nini Malecela alijulikana ghafla kama Jumanne?," JamiiForums, ambamo Field Marshall Es (Neema Ngwilulupi Malecela) alimtukana Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, mwanajamii mmoja, Hussein Abdallah, alimjibu hivi:

    "Wengi wana heshima kwa Baba wa Taifa na wachache hawana na labda wanalinda maslahi ya watu wao. Lakini swali moja ni kwamba baada ya hadith za mtaani dhidi ya Mwalimu, Mzee Es (Field Marshall Es Neema Ngwilulupi-Malecela) unategemea kuvuna nini ?Unadhani mzee Malecela anaweza kumfikia Mwalimu Nyerere hata robo ? Hivi ndiyo unazidi mumharibia maana kwanza kwa maoni sijaona kama ni sahihi kumlinganisha Mwalimu na Mzee Malecela . Mwalimu hata sisi Waislam na watu wa nje wachilia mbali Watanzania tuna mtambua sana pamoja na kejeli na dhihaka zako na kikundi chako. Mwalimu alikuwa mtu wa pekee .Lakini pia naona unaongelea maneno ambayo wewe uliyasapotu huko nyuma.....Huwezi kamwe kusema Malecela anafaa lolote mbele za Mwalimu hata ukija na hadithi utanakuwa unaji dhalilisha zaidi. Maoni yangu nimesema baada ya kutumia siku kusoma majibizano yenu nimegundua Es (Field Marshall Es) anajibu kwa jaba kulisha hadhi ya shemeji yake (mkwe wake) Malecela."

    ReplyDelete
  27. Kwenye mjadala huo huo, Hussein Abdallah aliwajibu wengine na kusema: "Muislam na Uislam hauwezi kukosa shukrani kwa kiongozi aliye chaguliwa na wengi .Watu wote walio mtukana Baba wa Taifa hawafanyi kwa faida ya Waislam na Uislam. Sisi Waislam tunasema jina letu linatumika kwa maslahi ya binafsi na Kurani Tukufu haiwezi kamwe kukubali kashfa dhidi ya kiongozi aliye chaguliwa na watu . Uislam ni amani na upendo leo ndugu zanguni akina Mswahili hata majina mnaficha kumshambulia marehemu Nyerere na kuacha kupambana na udhalimu unao fanywa na Waislam wenzetu ni makosa .

    Leo hii Muislam mwenzetu Rais Kikwete anampa mwanaye ukurugenzi mbele ya macho yeti Waislam tunakaa kimya ni haramu kubwa. Mimi si msemaji humu nimekuja baada ya kuona ndugu yetu Mukandara kajaribu kuwapa Elimu dunia lakini bado mnaendelea mbegu ya ubaya na ubaguzi. Haya ni mambo ya Waarabu ambao pamoja sisi ni Waislam kama wao lakini hawatukubali kamwe kuchangamana leo tunabadilikla tunaanza kumtafuta Mwalimu? Tuache swala hili walisema Wakristo lakini sisi Waislam tuangalie ambayo yanafanywa na Waislam wenzetu ambayo hayampendezi Mola wetu na yanayo enda kinyume na Kurani Tukufu."

    Kuna mwanajamii mwingine aliyemjibu Field Marshall Es (Neema Ngwululupi Malecela) ifwatavyo: "Field Marshall Es yuko tayari hata kukutukana ili akuzibe ukweli usisemwe."

    Hatuwezi kutatua matatizo ya Tanzania, pamoja na matatizo ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ambao haupendwi na watu wengi Tanzania bara na visiwani, kwa kutumia lugha ambayo siyo ya ustaarabu. Lakini ni lazima tuseme ukweli hata kama kwa wale wanaohusika, ukweli huo unauma.

    ReplyDelete
  28. John Malecela angefanikiwa kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ungekuwa ndiyo mwanzo wa mwisho wa muungano huo.

    Alitaka Tanzania iwe na serikali tatu: serikali ya Muungano, serikali ya Zanzibar, na serikali ya Tanzania bara, yaani serikali ya Tanganyika. Nchi ya Tanganyika ingefufuliwa na kuwa taifa tena. Zanzibar pia ingeanza kudai uhuru wake na hatimaye ingefanikiwa kujitenga tungeendelea kuwa na serikali tatu.

    Mwalimu Nyerere hakutaka tuwe na serikali tatu kwa sababu aliamini kwamba tukiwa na serikali tatu, Muungano utavunjika.

    Kwahiyo Wazanzibari na Watanganyika ambao hawautaki muungano wafanye kila jitihada kuwachagua viongozi wanaotaka serikali tatu.

    Tatizo la John Malecela, na kwa nini alishindwa kuupata uraisi, ni kwamba alikuwa na uchu sana wa madaraka. Alitaka kuwa raisi ili awe mtawala mkubwa sana. Pia alitaka kuwa raisi ili familia yake iwe kama "royal family," ya kifalme. Kwa sababu ya upendeleo wake, kuna uwezekano mkubwa sana kwamba hata mkwe wake Neema Ngwilulupi, mke wa mtoto wake William, angepewa ubalozi au hata uwaziri ingawa ni mtupu kichwani na hana elimu ya kutosha. Wengine pia katika familia yake pamoja na wakwe zake wangekuwa wanatutawala na kutunyanyasa.

    Ni janga lililomfanya Mwalimu Nyerere amzuie Malecela kuwa raisi wa Tanzania.

    ReplyDelete
  29. Lakini kuna funzo kubwa kutokana na kujua kwamba Malecela, kama Aboud Jumbe, alitaka tuwe na serikali tatu. Funzo hilo ni kwamba wananchi wengi sasa wanajua kwamba kuna viongozi sehemu zote mbili za Muungano wanaotaka tuwe na serikali tatu. Kwa mfano, miaka ya tisini, kulikuwa na wabunge hamsini na tano wa Tanzania bara waliotaka tuwe na serikali tatu. Na kuna wengine ambao wangewaunga mkono katika jitihada hiyo.

    Miongoni mwa viongozi kama hao ni wale wanaotaka pia kuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kama Watanzania wengi, bara na visiwani, wanavyotaka pia kuuvunja muungano huo.

    Kwahiyo, tukitaka kuanza kuvunja muungano, pole pople, na kwa amani, ni lazima tuwe na serikali tatu.

    Lakini hata tukipata viongozi kama hao, wanaotaka tuwe na serikali tatu, hatuwezi kutimiza kwa umakini lengo letu la kuanza kuvunja muungano ikiwa viongozi hao wanawapendelea ndugu zao na kuwapa kazi serikalini na sehemu zingine za juu kama ilivyojadiliwa hapa. Serikali hizo tatu zitakuwa ni serikali za vichwa vitupu na watu wengi wasio na uwezo wa kufanya kazi kama wanavyotegemewa kwa sababu ya upendeleo.

    Watanganyika na Wazanzibari wanaotaka kuvunja muungano inawabidi waungane na waanze kuwashawishi wananchi wengine kuchagua viongozi wanaotaka tuwe na serikali tatu. Lakini ni lazima wawe ni viongozi ambao pia watakula kiapo kwamba hawatawapendelea ndugu zao na marafiki zao watakapokuwa madarakani.

    Ikiwa tunataka kuwa na muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar au na nchi jirani pia, muungano huo uwe ni confederation au loose federation ambao utaruhusu wananchi kuuvunja wakitaka kufanya hivyo. Uwe ni muungano ambao unaweza kuvunjwa kisheria (legally) na kikatiba (constitutionally) bila watu wanaotaka kuuvunja kushitakiwa kuwa ni wavunja sheria na ni wahaini ambao ni lazima wafikishwe mahakamani ili waadhibiwe kwa kufungwa miaka mingi au kwa kunyongwa.

    Pia uwe ni muungano ambao umejadiliwa na kukubaliwa na wananchi, sio kama huu tulio nao sasa. Wananchi waulizwe ikiwa wanataka muungano, na ikiwa wanataka muungano, waulizwe wanataka muungano wa aina gani. Pia hata wakuu wa mikoa na wilaya wapigiwe kura badala ya kuteuliwa na raisi.

    Bila hivyo, sahau muungano.

    ReplyDelete
  30. Zanzibar is not well-represented in the diplomatic service of the United Republic of Tanzania. The diplomatic service is dominated by Tanzania mainland whose leaders don't even hesistate to give such jobs even to some people who are virtually illiterate, best exemplified by the secretary to the Tanzania Mission to the UN, Neema Ngwilulupi Malecela, the self-styled Field Marshall Es, identified above.

    What can be done to stop that? It is abuse of power. It is also blatant discrimination against highly qualified Zanzibaris and even against highly qualified Tanzania mainlanders who can't get the jobs they deserve simply because they don't have the right connections and sometimes even the right complexion to help them forge ahead.

    Are these the kind of leaders we want? Is this the kind of union we want? Wouldn't Zanzibar be better off without the union?

    ReplyDelete
  31. Our leaders are insensitive to the plight of the poor and the powerless. They also don't care about our nation's wellbeing. They are in office to enrich themselves and to favour their family members. Therefore it is not surprising when they give well-paying and high-profile jobs to their relatives who are ignorant, functionally illiterate and plain stupid as the secretary at the Tanzania Mission to the United Nations, Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es at Jamii Forums and elsewhere), clearly is.

    But to be fair, it must also be clearly stated that Neema Ngwilulupi Malecela is not the only one. There are many other uneducated mental weaklings and people of extremely low mental calibre who have been given responsible and high-paying jobs simply because they are well-connected to powerful people in Tanzania.

    It is also this kind of insensitivity by our leaders that is also partly responsible for the problems the Union of Tanganyika and Zanzibar is facing. They don't want to listen to the grievances of Zanzibaris just as they don't want to listen to the grievances of the poor and the powerless. They don't want to ask Zanzibaris why many of them, if not the majority, are opposed to the union; or why they are not satisfied with the union or with the way the union is currently structured.

    Our leaders also don't want to listen to Tanzanians on the mainland who raise serious questions about the legitimacy and viability of the union under the current constitution, questions which have equally been raised by many Zanzibaris.

    Muungano mbovu. Upendeleo kazini. Ukabila. Udini. Ubaguzi wa rangi ambao, kwa mfano, ulimzuia Dr. Salim Ahmed Salim kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa sababu ni Mwarabu. Ubaguzi pia katika serikali ya Raisi Jakaya Kikwete ambayo haina Watanzania wengi wenye asili ya Kiarabu na ya Kihindi. Hayo yote ni matatizo yanayo hatarisha umoja wetu na Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar.

    ReplyDelete
  32. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa na mapungufu yake. Alifanya makosa mengi pamoja na kuziunganisha nchi zetu, Tanganyika na Zanzibar, bila kusema kwanza ni lazima wananchi waulizwe na wajadili suala hilo la muungano ili tujue ukweli kama wanataka nchi zetu ziungane, ingawa hata hivyo alikuwa na nia nzuri. Umoja ni nguvu. Utengano ni udhaifu.

    Lakini hakuwa mbaguzi. Ni Nyerere aliyesema Salim Ahmed Salim anastahili kuwa raisi wa Tanzania baada ya yeye kuondoka madarakani. Ni Nyerere aliyepinga ubaguzi wa kila aina. Na ni serikali ya Nyerere, kuliko serikali zote za Tanzania, ambayo ilkuwa na viongozi wa kila aina: Wafrika weusi, Warabu, Wazungu, Wahindi, na kadhalika. Hakumbagua mtu yeyote. Ndiyo maana alitaka Dr. Salim, ingawa in Mwarabu, awe raisi wa Tanzania. Lakini alipingwa vikali sana na Watanzania weusi kutoka Zanzibar pamoja na wengine kutoka Tanzania bara. Walisema Dr. Salim hafai kuwa raisi kwa sababu ni Mwarabu. Ni ubaguzi ambao bado tunao nchini Tanzania.

    Nchi hii si ya Watanzania weusi tu. Ni ya Watanzania wote. Ni lazima tupinge sana ubaguzi huo na ubaguzi wa aina yoyote, hasa sisi Watanzania weusi ambao tumedhulumiwa kwa muda mrefu sana. Hatuwezi kujenga nchi yenye umoja na amani, na yenye haki kwa wananchi wote, kwa kuwabagua Watanzania ambao siyo weusi na kwa kulipiza kisasi.

    Hakuna Warabu, Wahindi, na Wazungu ambao ni Watanzania wanao stahili kuwa mawaziri? Mbona wote hao walikuwepo katika serikali ya Nyerere? Hata jirani zetu, Zambia, wana makamu wa raisi, Dr. Guy Scott, ambaye ni mzungu.

    ReplyDelete
  33. Pia Zanzibar bado haiwakilishwi vya kutosha katika ofisi za mabalozi wa Tanzania. Kuna mabalozi watatu tu, kutoka Zanzibar, wanao iwakilisha nchi ya Tanzania. Na hao ni mabalozi wa Tanzania nchini Egypt, China, na Sweden. Hawatoshi. Tanzania ina mabalozi thelathini na mbili. Zanzibar inastahili kuwa na mabalozi kumi au zaidi, miongoni mwa mabalozi hao, kwa sababu bado ni nchi katika muungano wa Tanganyika na Zanzibar ingawa ni nchi ndogo. Lakini haimanishi, kwa sababu ni nchi ndogo, isiwakilishwe kama nchi katika serikali ya muungano.

    Zanzibar ni nchi ambayo bado ipo kama nchi katika Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Ni nchi ya Tanganyika ambayo haipo katika muungano huo. Ndiyo maana hakuna serikali ya Tanganyika lakini kuna serikali ya Zanzibar. Pia ndiyo maana hakuna raisi wa Tanganyika lakini kuna raisi wa Zanzibar. Zanzibar isingekuwa nchi, isingekuwa na raisi. Zanzibar siyo mkoa wa Tanzania. Kuna mkoa gani ambao una raisi? Zanzibar ni nchi. Kwahiyo inastahili kuwakilishwa kama nchi katika ofisi za mabalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ndiyo maana inastahili kuwa na mabalozi zaidi ya watatu wanao iwakilisha Tanzania katika nchi za nje.

    Pia Watanzania wanaopewa kazi katika ofisi za ubalozi ni lazima wawe ni watu wanao stahili kupewa kazi hizo. Ni lazima wawe na elimu ya kutosha na uwezo wa kufanya kazi hizo. Wanawakilisha taifa letu la Tanzania. Hawajiwakilishi wenyewe au ndugu zao. Pia miongoni mwao ni lazima tuwe na Watanzania ambao ni Warabu, Wahindi, pamoja na Wazungu na wengine, na si Watanzania weusi tu.

    Labada tutaona mabadiliko hayo Chadema ikishinda uchaguzi mkuu ujao. CCM chini ya uongozi wa maraisi Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete ni chama ambacho kimeshindwa kutimiza wajibu wake.

    Tanzania ni nchi ya Watanzania wote bila kujali rangi, dini, kabila, au asili ya wananchi wake.

    Pia mijadala kama hii isifutwe. Wasiokubaliana na mambo yanayojadiliwa, na yanavyojadiliwa, wajibu hoja badala ya kusema hoja kama hizi zifutwe au ziondolewe kutoka kwenye majukwaa ya mijadala mbalimbali. Kwa nini wanaogopa kujibu hoja? Wanaficha nini? Ukweli unauma.

    ReplyDelete
  34. Nimepitia habari kuhusu huyu dada neema ngwilulupi aliyepewa nafasi nzito kama hiyo bila kuwa na uwezo. Nina habari za ukweli 100% kwamba huyu dada neema amemkimbia mumuwe william. Na amekuwa akitaka kuvunja ndoa ya watu. Akiwa ndani ya ndoa yake ilibainika alikuwa ana mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu hapa tanzania. Na amejitahidi juu chini ili avunje ndoa hiyo na aolewe yeye. Kwa hiyo Neema Ngwilulupi ana sifa nyingi zisizo nzuri ikiwemo hii. wana habari mkitaka kujua mengi kuhusu suala hili karibu kila mtu huko New York anafahamu hili. Kwa maana hiyo baada ya harakati za baba mkwe wake kwenda ikulu kushindikana sasa ameamua kudandia waume za watu.

    ReplyDelete
  35. Sijui nchi yetu inaelekea wapi watu wanapopewa kazi ambazo hawastahili lakini wanapata nafasi hizo kwa sababu ni watoto wa watu fulani. Huyu Neema Ngwilulupi, ambaye amejaribu kuvunja ndoa za watu wengine baada ya kuvunja ndoa yake kule New York, alipewa kazi ambayo hastahili hata kidogo katika Ubalozi wa Tanzania, Umoja wa Mataifa.

    Alisoma primary school na ndugu yangu hapa Dar. Pia nawafahamu walimu wake. Nina hakika kabisa kwamba alifeli mitihani yote alipokuwa primary school na hakustahili kwenda secondary school. Lakini alipata nafasi secondary school kwa sababu alisaidiwa na baba yake. Tatizo ni kwamba hakuwa na uwezo kusoma secondary school. Baada ya kufeli primary school, alifeli pia secondary school. Alifeli mitihani yote. Pia alifeli alipokuwa Korogwe Teachers' College. Alifeli katika shule zote. Lakini hata hivyo kaishia wapi? Umoja wa Mataifa! Akapewa kazi ya u-secretary katika ubalozi wa Tanzania, UN, wakati kuna Watanzania wengi wenye uwezo na elimu ya kutosha wanaostahili kazi hiyo.

    Halafu baada ya mkwe wake John Malecela kunyimwa uraisi, akaanza kumchukia Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliyemzuia Malecela kuingia Ikulu. Hataki hata kusikia watu wanapojaribu kumsifu Nyerere ingawa wanasema pia Mwalimu alikuwa na mapungufu yake na alifanya makosa kama binadamu wengine. Anaposikia sifa hizo, anawajibu kwa hasira wanaomsifu Nyerere na kusema: "Mungu wenu huyo!"

    Ameandika hayo mtandaoni. Pia, kwa sababu anamchukia sana Nyerere, ameandika na kusema kwamba historia ya Tanzania ni lazima iandikwe upya kwa sababu Nyerere hastahili sifa anazopewa, kwa mfano kuwa kiongozi mkuu wa Tanganyika wakati nchi yetu ilipokuwa inagombea uhuru. Pia amesema Nyerere hastahili kupewa sifa anazopewa kama kiongozi wa Tanzania. Nani alikuwa kiongozi wakati ule, kama si Nyerere, Tanganyika ilipokuwa inagombea uhuru? Nani alikuwa kiongozi wa Tanzania kumzidi Nyerere? Amejaa chuki.

    Pia licha ya kujaribu kuvunja ndoa za watu wengine, na kuwa na kazi ambayo hastahili Umoja wa Mataifa na jinsi anavyomchukia Mwalimu Nyerere, anajulikana kuwa ni ndumilakuwili na mtu mwenye wivu sana.

    ReplyDelete
  36. Nilikuwa na Neema Ngwilulupi Loleza Girls' Secondary School. Tulimaliza pamoja 1986. Nakumbuka hakuwa na uwezo darasani ingawa alikuwa anajitahidi kidogo katika somo la Kiswahili. Niliporudi kutoka masomoni Uingereza, nikasikia classmates wetu na watu wengine wakisema Neema amewaambia anasomea degree Columbia University, New York. Baadaye wakasema amewaambia amemaliza masomo ya degree ya political science au international relations ili imsaidie katika kazi yake Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa. Nilishangaa sana niliposikia hivyo kwa sababu nakumbuka sana hakufaulu mitihani tulipokuwa pamoja Loleza. Alipataje degree hiyo kutoka chuo hicho, Columbia University, kinachoheshimika sana dunia nzima?

    ReplyDelete
  37. Mbona Neema Ngwilulupi aliandika Jamiifrums kwamba alisoma Kilombero Secondary School? Labda alikuwa anajaribu kujificha ili watu wasijue ukweli kwamba alifeli mitihani Loleza ingawa alipewa kazi Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa hata baada ya matokeo kama hayo ya mitihani yake. Ni kweli inatubidi tuheshimu ofisi zote za mabalozi wetu. Lakini mtu kama huyo kupewa kazi ubalozi wetu Umoja wa Mataifa? Ingekuwa afadhali angepewa kazi ubalozi wa Tanzania nchini Burundi. Angeweza kujificha kidogo huko na kimombo chake kibovu na uwezo wake wa kutatanisha. Lakini kupewa kazi Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa, na elimu kama hiyo, ambako viongozi wa dunia nzima wanakutana?

    ReplyDelete
  38. Wazanzibari tunapewa kazi hivyo kama Neema Ngwilupi? Au ni lazima tuwe na uwezo na elimu?

    ReplyDelete
  39. Sishangii kwa huyu neema..inawezekana hata hiyo kazi aliipata kwa kuvua chupi... Kama ameweza kumkimbia mumewe kwa ajili ya kutaka kuiba mume wa watu...ni msichana mwenye tamaa ambaye mimi namwita mchoyo na mwenye wivu na majungu...ni msichana kama ilivyo akili yake yenye uelewa hafifu anayependwa aabudiwe na watu wanaomzunguka. Habari kwa walio karibu yake ni msichana mchafu kuanzia nyumbani kwake anayependa kujionyesha kuwa anajua kuvaa. Mimi sioni ajabu kwa criteria zote alizonazo zinazoongozwa na wivu kufanya kazi aliyonayo.

    ReplyDelete
  40. Ni kweli kabisa kama ulivyosema huyu Neema Ngwilulupi ni mwanamke mchafu sana tangu nyumbani kwake. Kuna ushahidi wa kila aina hapa Tanzania na kule New York anakofanya kazi, Tanzania Mission to the UN, kuthibitisha ukweli huo. Pia licha ya kuwa na wivu sana, anapenda sana kusengenya watu pamoja na rafiki zake na ndugu zake. Haaminiki hata kidogo.

    Wengi tunaomfahamu huku Tanzania, na wengine kule New York, sote tunajua ukweli kwamba anapenda sana kujionyesha kuwa anajua kuvaa, anajiona ni bora kuliko watu wengine, na anapenda sana watu wamuabudu ingawa ana uelewa mdogo sana na na elimu ya chini, sifa ambazo hazitoshi hata kidogo kupewa kazi katika Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa.

    Ni kweli yuko tayari kuvua chupi wakati wowote, uwezo ambao inawezekana ulimsaidia kupata kazi upesi katika Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na kupelekwa kufanya kazi katika ofisi za ubalozi Ulaya na Umoja wa Mataifa. Kuna watu wengine hapa Tanzania ambao ameingilia ndoa zao, si ndoa ya mmoja tu ambaye amejaribu kuvunja ndoa yake ili aolewe na mwanaume huyo. Kuna ushahidi huo ambao watu wengi hapa Tanzania wanaujua.

    Aibu ni kwa taifa letu kuwa na mfanyakazi kama huyo Ubalozi wa Tanzania, UN, ambaye ni mtupu lakini ambaye anataka kujionyesha hata mbele ya watu kutoka nchi mbalimbali kule New York na anaposafiri na mabalozi wetu kuwa anajua mambo mengi ya kimataifa ingawa hana cha kusema na hajui hata Kiingereza vizuri.

    Hizo kweli ndiyo qualifications ambazo viongozi wetu wanatumia kuwapa kazi watu katika ofisi za ubalozi kuiwakilisha nchi yetu na hata katika ofisi mbalimbali hapa nyumbani Tanzania?

    Huyu Neema ni mfano mmoja tu. Ni onyo kwa taifa letu. Tukitaka kusonga mbele, inatubidi tuwe makini katika kila kitu pamoja na kufuata utaratibu wa kuajiri watu wanaostahili kazi wanazopewa.

    ReplyDelete
  41. nakumbuka neema ngwilulupi malecela alipokuwa anachangia sana karibu kila siku jambo forums, akitumia jina la mzee es, na baadaye jamii forums akijiita field marshall es. nawafahamu vigogo waliokuwa wanampa aliyokuwa anaandika kwa madhumuni ya vigogo hao kujijenga kisiasa na kuwachafua viongozi wengine pamoja na kuandika mengi kuhusu ndoa zao na mambo mengine yao binafsi. kuna watu waliuliza hapa dar anapata wapi hayo yote anayoandika kwa undani, pamoja na siri za ndoa za vigogo fulani huku tanzania, wakati anaishi na kufanya kazi new york katika ubalozi wa tanzania umoja wa mataifa? licha ya mwenyewe kupenda sana kuingilia maisha ya watu wengine, na kujaribu kuwachafua, alikuwa anapewa siri nyingi sana na wanasiasa fulani ninaowafahamu huku tanzania. nia ilikuwa kuwachafua na kuwabomoa kisiasa viongozi hao. ametumiwa na anapenda kutumiwa sana kuchochea mambo na kuongeza chuki kati ya viongozi hao na wengine.

    ReplyDelete
  42. Huyu dada Neema Ngwilulupi ana akili hafifu sana, ni mwongo kupindukia, na ni mchafu sana. Anapenda sana kuwaharibia watu maisha yao. Namfahamu kwa sababu alikuwa ni rafiki ya shemeji yangu lakini walikosana kwa sababu ya undumilakuwili wake. Shemeji yangu hajamsamehe hadi leo. Walikutana walipokuwa pamoja Korogowe Teachers' College ambako Neema alifeli mitihani yake. Pia mjomba wangu aliwahi kufanya kazi pamoja na baba mdogo wa Neema, Wedi Ngwilulupi Mwasakafyuka, ubalozi wa Tanzania, Addis Ababa, Ethiopia, na alimfahamu sana baba mzazi wa Neema, Brown Ngwilulupi Mwasakafyuka ambaye alifupisha jina lake na kujiita tu Brown Ngwillulupi, na ambaye ni kaka ya Wedi.

    Pia watu wasichanganye majina ya mtandaoni. Kuna wakati mwanajamii mmoja pale JamiiForums aliandika na kusema "Field Marshall" siyo Neema Ngwilulupi Malecela. Alisema nendeni kwenye club ya Simba ambako mtamkuta huyo "Field Marshall" na mtajua siyo Neema. Sijui alikuwa anajaribu kumtetea Neema Ngwilulupi (Field Marshall Es) au vipi.

    Ni kweli kuna mwanajamii anayetumia jina bandia, "Field Marshall," pale JamiiForums. Lakini huyo ni mtu tofauti. Kuna mwingine ambaye anatumia jina bandia, "Field Marshall Es". Hayo ni majina tofauti. Kuna tofauti kati ya "Field Marshall" na "Field Marshall Es." Tofauti kati ya majina hayo ni "Es". Hao ni watu wawili tofauti. Pia soma posts zao kuona tofauti kati yao. "Field Marshall Es" ni Neema Ngwilulupi na wala si mume wake aliyemkimbia, William, kama watu wengine wanavyodhani na walivyoandika pale JamiiForums.

    ReplyDelete
  43. Nimewahi kuongea na Neema Ngwilulupi mara nyingi na nimegundua hajui mambo mengi ambayo ni ya kawaida tu pamoja yanayohusu kazi yake. Si ukosefu wa elimu tu bali ni kutokana na kutokuwa na hamu ya kujifunza mwenyewe na pia kwa sababu ya uelewa wake mdogo sana. Kuna Wakenya kule New York waliokuwa wanamcheka baada ya kuongea naye na kujua alikuwa anafanya kazi ubalozi wa Tanzania, Umoja wa Mataifa. Hawakuamini ana kazi kama hiyo kwa sababu ya elimu yake ndogo na upungufu wake wa akili.Hata katika ubalozi wetu huko New York, nimesikia kumekuwa na malalamiko chini chini tangu miaka mingi iliyopita kuhusu kazi yake na uwezo wake. Nadhani ana uwezo wa kuwa secretary wa kawaida tu, kwa mfano kupokea simu na kadhalika, ingawa kimombo chake ni kama cha wakimbizi wasio na elimu huko Merikani. Moja ya majukumu yake ni kuwauliza maswali na kuwapa visa watalii na watu wengine wanaotaka kuja Tanzania, jukumu ambalo kwa kawaida ni la Third Secretary, ambaye ana rank ya diplomat katika ubalozi. Najua ukweli huo kwa sababu nimewahi kufanya kazi ubalozini ingawa siyo New York. Kwahiyo huyu dada Neema Ngwilulupi pia ni mwana dilplomasia wetu!

    ReplyDelete
  44. Jamani, najua mnasema huyu dada Neema alipendelewa. Lakini ni nani hasa pale wizara ya mambo ya nchi za nje aliyempa kazi hiyo? Tuanzie hapo, si kuhusu yeye tu bali wengine pia.

    ReplyDelete
  45. Anon,

    Umeuliza hapo juu nani alimpa kazi Neema Ngwilulupi wizara ya mambo ya nchi za nje? Suala hili lilijadiliwa sana katika mjadala huu, "Kuna harufu ya kujuana kwenye balozi zetu," Jamii Forums mwaka uliopita, December 2011, kuhusu dada huyu na wengine waliopendelewa na kupewa kazi ambazo hawastahili. Labda lifwatalo hapa chini ni jibu la swali lako kutoka kwa mwanajamii mmoja, kalokolaVIII, pale Jamii Forums, 2 December 2011, alipomjibu William. J. Malecela, mume wa Neema Ngwilulupi, baada ya William kuandika haya:

    "By W. J. Malecela:

    Hakuna mtoto wa Mkapa Ubalozi wetu wowote Duniani Mkapa ana watoto Wawili Steve na Nico wapo Bongo, na hawapo Ubalozi wowote hapo Bongo Umekurupuka, nenda Bungeni uone Viongozi wa Chadema na ndugu zao wote ni Wabunge, Halafu uje utueleze hivi Chadema ilibidi Mwenyekiti lazima awe Mkwe wa Mtei tu? Hakukuwa na wengine? Wacheni kuchafua Majina ya watu. - William."

    KalokolaVIII alimjibu hivi:

    "walatini walikuwa na msemo " excusatio non petita,accusatio manifesta!" Malecela,nakuachia ukatafitue maana yake!!! Alichoandika Mpayukaji kina ukweli 150% personally I have been living in the western countries in the past 20yrs na nimewafahamu watanzania wengi wenye uhusiano wa karibu na vigogo wa CCM na serikali zilizopita na iliyoko madarakani hivi sasa ambao wanafanya kazi ktk balozi zetu nje hata bila ya kuwa na sifa, by the way do you know somebody NEEMA NGWILULUPI,born on Monday 11th of November of 1968??? Does the name tell you anything??? Nitaendelea kukurahisishia maana uwezo wako wakufikiri ni mdogo kiasi ambacho ambao hawakufahamu hawawezi kutegemea...Unamfahamu Weidi Mwasakafyuka ambaye alishakuwa balozi wetu France and then Nigeria?? Unamfahamu Mr. Brown Ngwilulupi??? na Balozi Francis Malambugi??? Waeleze wana JF hao watu ni akina nanani na Neema Ngwilulupi ni nani???

    Neema Ngwilulupi alipata the so called DIV 5 (alipata Z-E-R-O) alipokuwa Loleza Sec. School - hana elimu yoyote na hana hata degree kama anavyowadanganya watu mitaani in short hana elimu yoyote!!! Mnafahamu huyo Neema ni nani na anafanya kazi gani??? NI SECRETARY WA TANZANIA MISSION TO THE UN na ndiye MKE WA W.J.MALECELA

    My take!!
    Ungekuwa na AKILI japo za kuendea chooni,topics kama hizi ungekuwa hauchangii hata kidogo - lakini Mungu amekunyima hizo akili si makosa yako!!!"

    Lakini tatizo hilo liko sehemu zote kama mwanajamii mwingine, JF-BANI, alivyoandika haya kwenye mjadala huo:

    "Tatizo la undugunization halipo sehemu fulani tu Tanzania, ni tatizo sugu limeanza zamani, ukienda kwenye Wizara, Idara, Taasisi, Shirika hata NGO ambayo wakubwa ni wakabila fulani basi utafikiri kuwa Tanzania hakuna makabila mengine.

    Hili ni tatizo sugu na lipo na siku hizi kuna trend mpya imeanza, toka yameanza haya makanisa ya kiajabu ajabu ya fungu la kumi, tunaona kuwa ukabila unachanganyika na kanisa lipi unasali ndio wanakuwa wengi, hii hususan kwenye mashirika na ma NGO ya nje. Yamelengwa kwa kuwa ndiyo yanayolipa zaidi na fungu la kumi linakuwa la uhakika. Hii haina utata."

    Huo ndiyo ukweli mtupu. Kwahiyo siyo Neema Ngwilulupi peke yake aliyependelewa na kupewa kazi bila kuwa na uwezo na sifa za kufanya kazi aliyopewa. Lakini dada huyu ni mfano mzuri sana kwa sababu alipewa kazi katika ubalozi wa Tanzania, Umoja wa Mataifa, kazi ambayo ni ya juu sana kwani ndiyo huko, Umoja wa Mataifa, ambako viongozi wa dunia nzima wanakutana. Siyo jambo la busara kuwa na wafanyakazi ambao hawana sifa na uwezo mahali kama huko. Ni aibu kwa taifa letu. Ni kama hatuna watu wenye elimu. Ni sababu moja kwa nini Wakenya wanatucheka sana na kusema hatuna elimu na hatujui hata Kiingereza, lugha ambayo ni muhimu sana katika kazi nyingi sana pamoja na Umoja wa Mataifa.

    ReplyDelete
  46. Hata Wamalawi wanatucheka sana. Wanasema hatujui Kiingereza. Hatuna elimu. Mgogoro wa Ziwa Nyasa umewasaidia sana kujitokeza na kuanza kutucheka. Nimewahi kuishi Malawi. Wanatuita Swahilis.

    Mmalawi mmoja aliandika katika gazeti lao "Nyasa Times," 24 August 2012: "Tanzania is full of stupid swahili speaking people."

    Mwingine aliandika na kusema Watanzania tunaandika "broken English" kwenye blogs zetu na pia katika magazeti.

    Hatukuwa hivyo miaka ya sitini na hata mwanzoni mwa miaka ya sabini. Watanzania waliomaliza secondary school miaka ile na kabla ya hapo, in the 1940s and 1950s, walijua sana Kiingereza hata kuliko university graduates wengi wa miaka hii. Pia walikuwa na elimu makini katika masomo yote kulingana na level yao ya secondary school education. Miaka hii, Watanzania wengi waliomaliza secondary school ni kama watoto wenye elimu ya primary school miaka ya hamsini na sitini (1950s and 1960s).

    Halafu tanashangaa na tunakasirika Wakenya na Wamalawi, hata Waganda, Wanyarwanda na Wazambia, wanapotucheka na kusema hatuna elimu na hatujui Kiingereza? Au wanaposema elimu yetu ni ya kubabaisha tu?

    ReplyDelete
  47. Pia soma Kiingereza kibovu Watanzania wengi wanachoandika Jamii Forums na mahali pengine. Miongoni mwao ni "wasomi" wetu wanaosema ni university graduates! Kuna wajamii ambao wameuliza: "Jamani, nani ametukataza kutumia Kiswahili?"

    Kuna hata maprofesa wetu ambao Kimombo chao ni cha kutatanisha. Hata Watanzania wengi walioishi Uingereza na Merikani miaka mingi wanashindwa kuzungumza Kiingereza vizuri.

    Tatizo lilianza nyumbani katika shule zetu ambako hawakujifunza vizuri na hawakujengewa msingi mzuri wa elimu kwa ujumla katika masomo yote na siyo Kiingereza tu.

    Ni jambo la kusikitisha sana.

    ReplyDelete
  48. Ni kweli, kama JF-BANI alivyosema hapo juu, kupeana kazi kwa upendeleo bila kuwa na sifa na uwezo "ni tatizo sugu limeanza zamani."

    Kuna thread nyingine Jamii Forums, "Why Dr. Migiro lost her UN job," ambamo wachangiaji wameandika kuhusu tatizo hilo. Inasemekana alifukuzwa kwa sababu hakuwa na uwezo wa kufanya kazi aliyopewa:

    "Barely a week after the immediate former Deputy Secretary-General, Dr. Asha Rose Migiro returned to Tanzania after serving a five-year term at the helm of the world body, sources within the UN have hinted that poor performance and failure to fit “in the diverse and complicated body” were some of the reasons she was refused a contract renewal. 'The position of the Deputy Secretary-General is complicated and demanding; it requires somebody who is experienced to efficiently run the Secretariat. Her biggest challenge was not understanding the politics at the world body and creating alliances,' the source told Vox Media in a telephone conversation.

    Dr. Migiro is understood to have approached the African Group, the largest regional group comprising of 28 percent of all UN members, to ask for help in lobbying for her re-appointment, but her quest was rejected. 'She wasn’t popular amongst diplomats; so nobody listened to her. You should also recall that her appointment was widely criticized.'

    In Dar es Salaam, a former senior ruling party secretariat member who worked closely with her in the same team before she assumed the UN post said her appointment was influenced by her personal relationship with President Jakaya Kikwete. It is understood that President Kikwete and UN Secretary-General Ban Ki-moon cultivated a close relationship when serving as foreign ministers for their respective governments.

    When it came for Ban Ki-moon to canvass for votes toward his UN bid, Tanzania’s vote was predominant; Dr. Migiro was apparently battered with Kikwete’s vote. But when Ban Ki-Moon recently decided to review his entire team in a bid to control growing criticism of his team, Dr. Migiro had to go for “poor performance and lack of experience required of staff with the top UN mandate.”

    Watu wengi sana waliochangia kwenye mada hiyo, karibu wote, walisema ni kweli Dr. Migiro aliondolewa kwa sababu hakuwa na sifa na uwezo kuwa deputy secretary-general of the United Nations. Iza, JF senior expert member, alisema:

    "That's reality we find hard to admit, tatizo nikwamba ule utamaduni wa eti umeteuliwa ni wakati wa kula kuku wenzetu hawana na muda wa kupoteza eti kipindi cha kwanza alikuwa anajifunza sasa tumpe tena ili achape kazi. Tufike sehemu tukubali kwamba kwa mfumo wetu wa kuteuana kwa kuwa tu huyu ni 'mwenzetu' na sio uwezo uachwe,miaka zaidi ya 30 iliyopita Mtanzania akiongea watu wanasikiliza tulifanyaje? na leo tunashindwa nini?

    Tukiendelea na so called 'wivu wa kike' kwa mtu anayewakilisha interest za Taifa tutaishia kupata aibu kama nchi na heshima kushuka kila uchao...!"

    Taifa letu linaangamizwa na culture of mediocrity. Ni utamaduni gani huo katika ujenzi wa taifa na maendeleo ya nchi? Tuanze kusisitiza merit.

    ReplyDelete
  49. Hiyo ni sababu moja tu kwanini Wazanzibari hatutaki muungano.Tuna sababu nyingi kwanini tunataka kujikomboa kutoka kwa Watanganyika. Lakini ukweli pia ni kwamba kabla ya muungano, tuliwazidi elimu.

    ReplyDelete
  50. mnamlinganisha dr. asha-rose migiro na neema ngwilulupi kwamba uwezo wao na kimombo chao ni sawa? mnatania, eh? neema hana elimu yoyote kama kalokolaVIII na wengine walivyosema hapo juu na jamii forums. kitu kinachowaweka pamoja ni kufanya kazi umoja wa mataifa. dr. migiro amerudi nyumbani na tunaye hapa dar, neema bado anaendelea kufanya kazi katika ubalozi wa tanzania united nations ingawa ni mtupu. hana uwezo. hana sifa zozote bali za kufeli mithani yote tangu primary school. mkitaka ushahidi, nitawawekea hapa matokeo ya mitihani yake alivyofeli primary school hapa dar, loleza secondary school, na korogwe teachers college. dr. migiro hakufeli mitihani yake. najua alivyofaulu sana mitihani yake ya sheria pale mlimani chuo kikuu dar es salaam kuliko wanafunzi wote aliokuwa nao darasani. mpaka sasa sina hakika alishindwa kufanya kazi yake umoja wa mataifa.

    ReplyDelete
  51. Sasa naelewa kwanini Neema Ngwilulupi Malechela (Field Marshall Es) alikuwa anachangia sana kila siku Jamiiforums na kabla ya hapo kwanini alikuwa anachangia sana Jamboforums. Jina lake Jamboforums lilikuwa ni Mzee Es. Kumbe ilikuwa ni kuwachafua wanasiasa fulani ambao ni maadui wa waliomtuma kuwachafua viongozi hao. Mbinu na siasa kama hizo zinabomoa badala ya kusaidia kujenga taifa letu. Pia ni uchafu kupindukia kuingilia maisha binafsi na ndoa za watu, kama Neema Ngwilulupi Malechela alivyofanya, ili kuwaangusha kisiasa na kuwaharibia maisha viongozi hao na watu wengine. Sikuwahi kumsikia dada huyu mpaka nilipoipata blogu hii kwa bahati na kusoma yote yaliyoandikwa hapa. Baada ya kusoma yaliyoandikiwa katika blogu hii kuhusu Neema Ngwilulupi, nilikwenda Jamiiforums kumtafuta na kusoma posts zake, huyu dada Field Marshall Es. Sikuweza kuzisoma zote kwani ni zaidi ya posts elfu kumi na tatu alizochangia. Nilichogundua katika posts zake ni kile kitu anachokiita "dataz", "dataz" hizo zilivyo za undani sana kuhusu mambo mengi ya viongozi mbalimbali, maisha yao, siri zao, ndoa zao, na kadhalika. Pia kuna uongo mwingi sana katika posts zake. Halafu nikagundua yote aliyoandika Jamiiforums na Jamboforums yalitoka kwa viongozi fulani wa chama tawala na vigogo wengine kwa makusudi ya kuwachafua na kuwamaliza wanasiasa wengine na kumchafua Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ambaye viongozi wengi sana wa CCM ambao ni mafisadi wanataka asahauliwe au aandikwe vibaya katika historia ya nchi yetu na ya bara lote la Afrika. Kitu kingine ni kwamba licha ya ushahidi unaoonyesha alipewa kazi ambayo hastahili hata kidogo katika ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa, serikali yetu haijachukua hatua yoyote kurekebisha jambo hilo kama vile haijachukua hatua yoyote kuhusu wafanyakazi wengine ambao pia wamepewa kazi ambazo hawastahili nchini na nje ya nchi yetu. Katiba mpya itasaidia kuzuia uovu wa aina hiyo na kutatua matatizo kama hayo baada ya uchaguzi wa 2015? Au tutabaki tulivyo sasa na watu kama hao wataachwa kuendelea kuwa na kazi ambazo hawastahili?

    ReplyDelete
  52. hizo ni ndoto tu ----hakutakuwa na mabadiliko yoyote ccm ikibaki madarakani hata tukiwa na katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu 2015; labda kuna tumaini chadema wakishinda bila kura kuchakachuliwa. hata ccm wakishindwa, hawatakubali kuondoka na kuwaachia chadema madaraka ya kuongoza nchi. kumbuka watu kama neema ngwilupi-malecela waliopendelewa kupewa kazi wanalindwa na vigogo wa ccm katika kazi hizo. wako katika balozi zetu, wako bot, wako tra, wamejaa serikalini. wengi wao hawana uwezo wala sifa zozote za kupewa kazi hizo ingawa miongoni mwao kuna ambao wana elimu ya juu. lakini wengi wao walipata divison iv baada ya kumaliza secondary school. wengine walifeli kabisa kama neema ngwilupi. mabadiliko yatakuja nchini tanzania kutoka kwa wananchi wenyewe watakapo kataa kabisa kuendelea kutawaliwa na mafisadi wa ccm. mie si chadema. chadema wana udhaifu wao kama vyama vingine lakini ni bora kuliko ccm. pia sisi wabara tuwaache wazanzibari wajitawale wenyewe. hawautaki muungano. wabara wengi sana nao hawautaki muungano. tupige kura ili tutengane bila kumwaga damu.

    ReplyDelete
  53. CUF ni chama ambacho kimeshinda kila uchaguzi Zanzibar tangu chama hicho kilipoanzishwa. Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakijawahi kushinda uchaguzi wowote Zanzibar. CCM ni chama kinachoiba kura. Hata Tanzania bara, CCM wanaiba kura. Pia ni serikali ya CCM iliyouwa watu Zanzibar katika uchaguzi wa 2000 ambao CUF walishinda. CUF wangeruhusiwa kuchukua madaraka baada ya kushinda uchaguzi ule, na bila kuzuiwa na CCM, kusingekuwa na machafuko na mauaji hayo Zanzibar mwaka 2000. Pia kungekuwa na uhusiano mzuri kati ya Zanzibar na Tanganyika.

    Katika uchaguzi mkuu uliopita, mwaka 2010, CCM waliiba tena kura na kumzuia Dr. Slaa wa Chadema kuwa raisi wa Tanzania. Wakiiba tena kura katika uchaguzi ujao mwaka 2015, kutakuwa na vurugu na machafuko nchini. Inawezekana kabisa kutakuwa na vita. CCM hawatabaki madarakani. Kwahiyo kuna tumaini tutakuwa na mabadiliko nchini baada ya uchaguzi wa 2015.

    CCM wanaweza kushinda uchaguzi mkuu wa 2015 ikiwa Dr. Salim Ahmed Salim atakuwa mgombea wao wa uraisi. Anapendwa na anaheshimiwa sana na wananchi wengi sana Tanzania bara. Habaguliwi na wananchi wa kawaida Tanzania bara ambao ndiyo wapiga kura kwa wingi.

    Tatizo ni Zanzibar ambako hawampendi na wanambagua kwa sababu ni Mwarabu. Baraza la Mapinduzi Zanzibar likimpinga tena, hawezi kuchaguliwa kuwa mgombea wa uraisi kutoka CCM. Pia wanamtandao Tanzania bara waliomchafua sana katika uchaguzi wa 2010 wakimpinga tena, hawezi kuchaguliwa kuwa mgombea wa uraisi kutoka CCM mwaka 2015.

    Kuna tetesi Tanzania bara kwamba wanamtandao hao, ambao ndiyo waliomuingiza Jakaya Mrisho Kikwete madarakani kuwa raisi wa Tanzania baada ya kumuongopea Dr. Salim na kusema ni mbaguzi kwa sababu ni Mwarabu na kwamba alihusika na mauaji ya Karume, wanataka kujisafisha na kumchagua Dr. Salim awe mgombea wa uraisi kutoka CCM. Wanaona ni njia moja ya kumwomba msamaha baada ya kumchafua vibaya sana alipogombea uraisi 2010.

    Ukweli ni kwamba ni Dr. Salim tu anayeweza kumshinda Dr. Wilbrod Slaa wa Chadema katika uchaguzi wa raisi 2015. Lakini kuna swali hili: Anaweza kukisafisha chame chake, CCM, ambacho ni chama kibovu na cha mafisadi? Pia ni chama cha ubaguzi. Kilimbagua Dr. Salim alipogombea uraisi kwa sababu ni Mwarabu. Angepewa nafasi ya kuwa mgombea wa uraisi kutoka CCM, angekuwa raisi wa Tanzania leo. Asingeweza kushindwa kwa sababu watu wengi sana Tanzania bara wanampenda sana.

    Pia ni CCM ambao wamechochea udini nchini Tanzania. Wanasema CUF ni chama cha Waislamu ingawa kina wanachama wengi na viongozi ambao ni Wakristo. Wanasema Chadema ni chama cha Wakristo ingawa kina wachama wengi sana ambao ni Waislamu. Pia walioanzisha chama hicho, na hata viongozi wake leo, ni Wakristo na Waislam. CCM pia wanasema Chadema ni chama cha Wachaga ingawa kina wanachama kutoka makabila yote, mikoa yote, na viongozi kutoka sehemu zote za Tanzania pamoja na Zanzibar na siyo kutoka mkoa wa Kilimanjaro tu ambao una Wachaga wengi kuliko mikoa mingine nchini.

    CCM wakibaki madarakani baada ya uchaguzi wa 2015, wataendelea na ubaguzi wao. Wataendelea kuigawa nchi kwa kuchochea udini na ukabila. Wataendelea kuwapa kazi watoto wa vigogo ambao hawana elimu, uwezo au sifa zozote kuwawezesha kustahili kazi wanazopewa. Hata Dr. Salim akiwasaidia CCM kushinda uchaguzi wa raisi, na akichaguliwa kuwa raisi wa Tanzania, CCM kitabaki kuwa chama ambacho kimeoza. Ingekuwa vizuri Dr. Salim angejiunga na Chadema an angegombea uraisi kutoka chama kingine badala ya kubaki CCM. Lakini hawezi kuondoka CCM kwa sababu ni chama kilichomlea na kumfikisha alipofika maishani. Pia atakuwa hatarini akiondoka CCM kwa sababu watamwona kama ni msaliti.

    Licha ya Dr. Slaa, kiongozi mwingine wa Chadema anayeweza kushinda uchaguzi wa raisi mwaka 2015 ni Professor Abdallah Safari aliyewahi kuwa mwanachama wa CUF na ambaye alihamia Chadema. Anapendwa na anaheshimiwa sana. Zitto Kabwe anaweza kushinda pia, lakini umri wake hautamruhusu kugombea uraisi 2015 ikiwa katiba haitabadilishwa kuwaruhusu wananchi ambao hawajafikia umri wa miaka 40 kugombea uraisi.

    ReplyDelete
  54. Kutoka JamiiForums,9th October 2012:

    Mwanajamii,"promi demana", aliandika haya:

    "Habari wakuu!

    Katika tafakuri zangu nimeona ni vyema Prof. Abdallah Safari agombee kiti cha uenyekiti CHADEMA ktk kuelekea 2015, kupitia fursa hii itawezesha chama ku-overcome propaganda chafu za udini ambazo zimekuwa zikienezwa na mpinzani wa CHADEMA (CCM), kwani hoja nyingi za CCM kuhusu udini zimekuwa ziki-base ktk kunyoshea kidole structure ya uongozi wa juu wa chama kwamba upo kiparokia zaidi.

    Pia tukubali tukatae ni kwamba CCM bado inanufaika sana na hii cheap propaganda ya udini na kama CHADEMA haitokubali kuneutralize structure ya uongozi CDM basi tujue kuwa out appearance ni 1 ya fact muhimu sana ktk siasa za nchi yetu.

    Kwa CHADEMA: Tusibakie tu na utetezi wa kila siku bali tunatakiwa pia tusiwe conservative kama CUF bali tuendane na hali halisi ya siasa za Tz japokuwa somehow itatucost but ni vyema kwa mustakabali wa chama na ukombozi wa taifa letu.

    CHADEMA NI CHAMA CHA KITAIFA

    Peoples power!"

    ReplyDelete
  55. CCM wanamuogopa Slaa; kuna ushahidi kutoka ndani ya chama hicho kama Lu-ma-ga alivyosema kwenye jukwaa la siasa jamii forums 11th October 2012:

    "Kumbe hata viongozi wa juu wa ccm wanajua kuwa kushika dola 2015 ni ndoto -

    Jana nilikutana na kada wa ccm kutoka kanda ya ziwa ni rafiki yangu sana, ni mmoja kati ya wanamtandao wa 2005 waliomuweka JK magogoni. Ni mtulivu anajua siasa za kati ni non biased figure, baada ya kuongea naye muda mrefu sana hiyo jana summary yake ya mazungumzo ilikuwa as follows;

    - Wanaamini kuwa hakuna mgombea wa ccm anayeweza kuchuana na CDM whether slaa, Mbowe au Zitto atakayegombea, wanaamini kwa sasa cdm iko mioyoni mwa wananchi hasa baada ya tafiti zao kutoa majibu hayo.

    - Lowasa anaonekana hajajisafisha nje ya ccm japo ndani ya ccm anaonekana msafi hataweza ku-compete na any candidate wa cdm among the big three guns.

    - Wanaamini kuwa kambi ya JK and BMW haitaweza kumvusha Membe kwani nepotism imekitia doa chama hasa kujaza watoto wao.

    - Kambi zote za ccm baada ya mchujo zitaibuka na uadui mkubwa na hivyo kuwa radhi kumaliza kwa WOTE TUKOSE na hivyo CDM watavuka by any candidate among the three.

    - Kumbe CCM wanamuogopa sana Dr.slaa, kwa misimamo yake ya kusimamia rasilimali na wao ccm wanaamini akiingia madarakani huenda wengi wakafirisiwa kutokana na ufisadi waliofanya. Kwa hiyo wanachokifanya ni kuhakikisha mgombea urais kutoka CDM anakuwa Mbowe au Zitto.Hili wanalisimamia kwa udi na uvumba kuhakikisha hao wawili wanatiwa hamasa ili wachuane na dr.slaa kura za maoni.Ndiyo maana zitto amelewa ahadi hii kwa kujua atamwangusha tu mbowe.Huku DR.SLAA akishughulikiwa na dola la ccm

    - Wanataka kuhakikisha mbowe na zitto hawapakwi matope na ccm ili waendelee kuwa wasafi wasio na siasa chafu za vurugu kama za dr.slaa kulingana na madai yao.

    - Wamejipanga kuhakikisha Dr.slaa anapakwa matope ya kuwa mpenda vurugu kwa kuwa tayari watanzania walishaaminishwa kuwa vyama vya upinzani ni vya vurugu.

    - Wako tayari kutoa reconciliation kati ya mbowe na zitto ili kambi zao zije ziungane na kuhakikisha mmoja anakuwa rais na mwingine PM kwa masharti ya ku-protect interest za mafisadi.

    - Mwisho amesema Dr.slaa ndiyo pekee anayeweza kuifikisha Tanzania CANAAN nchi ya maziwa na asali ila hofu yao pesa zao za ufisadi itakuwaje??? ndiyo maana wasema NO for Dr.slaa and YES for Mbowe and Zitto kabwe."

    ReplyDelete
  56. Nilikuwa kwenye kongomano la Mwalimu Nyerere, chuo kikuu, UDSM, na niliguswa sana na aliyosema Ester Wasira. Alizungumzia mambo mengi lakini moja wapo ni suala lililojadiliwa na wachangiaji wengi hapa kuhusu watoto wa vigogo wanaopewa kazi kwa upendeleo na ambazo hawastahili.

    Kumbukeni, siyo Neema Ngwilulupa tu, anayefanya kazi ubalozi wa Tanzania umoja wa mataifa bila kuwa na elimu na uwezo, ambaye ni mfano mzuri wa watu kama hao. Kuna wengi sana kama yeye ingawa Neema peke yake amejadiliwa hapa na watu wengi, kitu ambacho mimi naona si sahihi. Simaanishi kwamba tusimjadili Neema. Tuendelee kumjadili kwa sababu ni mfano mzuri sana wa watu wanaopewa kazi ambazo hawastahili na kwa kupendelewa. Ninachosema ni kwamba tuwataje wengine pia, majina yao, na kazi walizopewa ili tuongeze mifano mingine badala ya kutumia mfano mmoja tu wa huyu dada Neema Ngwilupa katika ubalozi wetu umoja wa mataifa. Pia tuendelee kuwajadili wote kwa ujumla kama Ester Wasira aliyosema kwenye kongomano la Mwalimu Nyerere, Nkrumah Hall, chuo kikuu, jana. Alisema:

    "Kuajiriwa:

    Kimsingi, ingawa hata sekta binafsi pia inaajiri sana leo, lakini bado serikali ndio mwajiri mkuu. Swali la vijana ni je, ajira zinatolewa kwa wanaostahili au zinatolewa kwa watoto wanaotoka familia fulani? Ni ukweli kwamba katika Tanzania ya leo ajira muhimu zinatolewa si kwa watu wenye uwezo bali kwa wale waliotoka familia fulani. Ushahidi upo wazi na Watanzania wanajua hilo.

    Hakuna uwazi kwenye ajira, na pasipokuwa na uwazi hapana haki itakayotendeka. Kwamfano nilisoma magazeti ya tarehe 12/10/2012, kama Nipashe na Mtanzania, Mheshimiwa Magufuli amelalamikia kitengo cha Mizani kujaza watoto wa vigogo na hivyo kuzuia uwajibishwaji; tena nafasi hizo zilikuwa hazitangazwi, lakini amesema kuanzia sasa zitaanza kutangazwa. Lakini kila mtu ana haki ya kikatiba ya kufanya kazi kwa usawa (Ibara 22(1)(2)). Ni wakati sasa vijana tudai uwazi katika ajira.

    Kama hakuna uwazi na haki katika ajira za sekta ya umma, itawavunja nguvu vijana, itaondoa morali ya vijana, na kuwafanya wasione thamani ya elimu waliyoipata tena katika mazingira magumu. Vijana wengi wamejaa mitaani na cha kusikitisha zaidi hata wale wa vyuo vikuu wamekosa ajira kabisa. Upendeleo na ubaguzi ndio unaleta vita na wala si upinzani kama ambavyo imekuwa inahubiriwa na baadhi ya watu."

    Ni kijana kama huyu Ester Wasira ambaye taifa letu linahitaji kupigania haki za Watanzania wote. Ni vijana kama hao watakaosaidia nchi yetu kuendelea, kuwa nchi ya haki na usawa kwa wote, na kuwa nchi ya amani na umoja.

    Anaweza hata kuwa raisi wa kwanza wa kike miaka ijayo akitaka kugombea nafasi hiyo. Kuna tumaini ikiwa nchi yetu ina watu wengi kama Ester Wasira.

    Msikilizeni. Soma au sikiliza hotuba yake kwenye kongomano la Mwalimu Nyerere. Aliwagusa watu wengi sana. Muangalieni kijana huyo.

    Mungu ibariki Tanzania.

    ReplyDelete
  57. kijana huyo esther wassira ni kichwa kweli. naamini atakuwa mmoja wa viongozi wa taifa letu miaka ijayo.

    kuhusu watu wanaopendelewa na kupewa kazi ambazo hawastahili, wengi wao wanaamini kabisa wana haki ya kuwa viongozi kama wazazi wao kwa sababu hiyo tu, wazazi wao ni viongozi au walikuwa viongozi. wanaona ni kama urithi wao. ni kama haki yao. ni kama wamezaliwa na haki ya kutuongoza.

    wana haki ya kuwa na tamaa maishani pamoja na tamaa ya kuwa viongozi. wana haki ya kugombea nafasi yoyote wanayotaka kugombea kama watanzania wengine, lakini sio kwa sababu wanajiona wana haki ya kurithi madaraka kutoka kwa wazazi wao. william malecela, aliyewahi kuwa mume wa neema ngwilulupi, ni mmoja wao. aligombea nafasi nyingi kuwa kiongozi wetu, pamoja na ubunge katika bunge la afrika mashariki, tangu aliporudi tanzania kutoka merikani. alishindwa vibaya sana. alibwagwa. aliaibishwa. hivi karibuni alijaribu tena na kugombea nafasi nec bila mafanikio. sijui kama ndio mwisho wake wa kujaribu kuwa kiongozi nchini tanzania au vipi. watu wengi wamemwambia aachane na siasa. hana uwezo wa kuwa kiongozi.

    nilimuunga mkono tangu mwanzoni kwamba ana haki ya kugombea nafasi hizo kama watanzania wengine. lakini nilimpinga pia kwa sababu niliona, kama watu wengi pia walivyoona, kwamba hana uwezo wa kuwa kiongozi hata wa nyumba kumi. kitu kingine kilichowaudhi watu wengi ni kwamba anapenda sana kujisifu na kusifiwa kama alivyofanya jamiiforums na sehemu zingine mtandaoni pamoja na facebook. niliwahi hata kumsikia alipohojiwa na itv na kusema moja ya sifa zake ni kwamba aliishi amerika miaka mingi. hiyo kweli ni sifa ya uongozi? ni sifa ya kuwa kiongozi? ni sifa inayoweza kuwavutia watu wamchague kuwa kiongozi wao, eti kwa sababu aliishi merikani miaka mingi?

    pia aliambiwa na wachangiaji wengi jamiiforums kwamba hata kiingereza chake ni kama cha mtu ambaye hana elimu. wengi wao walitumia lugha kali sana kumshambulia ingawa sikukubaliana na wale waliokuwa wanamtukana. matusi sio suluhisho la matatizo yetu ingawa kuna nyakati yeye pia alitumia matusi. lakini ukweli ni kwamba hajui kiingereza vizuri hata baada ya kuishi new york miaka ishirini na tatu nadhani kama mwenyewe alivyothibitisha kwamba aliishi huko miaka hiyo, na wengine pia walivyothibitisha. halafu alijidhalilisha alipokuwa anacheka cheka sana - ha! ha! ha! ha! ha! ha! - badala ya kujibu hoja karibu kila alipokuwa anachangia kwenye mada mbalambali. pia sijui kwanini aliendelea kujiita kijana ingawa umri wake ni zaidi ya miaka hamsini. huo ni umri wa babu lakini bado alijiona ni kijana tu.


    ReplyDelete
  58. ex wake pia, neema ngwilulupi, pamoja na elimu yake pungufu, ana tatizo sana na lugha ya kiingereza. ushahidi upo jamiiforums. soma aliyoandika field marshall es ambaye ndio huyo neema ngwilulupi. soma aliyoandika kwa kiingereza. naye pia anapenda sana kucheka cheka - bwa ha! ha! ha! bwa ha! ha! ha!- katika mijadala mingi hasa anaposhindwa kujibu hoja.

    pamoja walikuwa wanachangia sana jamiiforums ambako makosa yao ya kiingereza yamejaa. lakini kuna wanajamii wengine ambao pia lugha yao ni mbovu. hawajui kiingereza. ni wanajamii wachache sana wanaojua lugha hiyo pale jamiiforums.

    lakini si tatizo la lugha tu. kitu kingine ni kwamba watoto wa vigogo, karibu wote, wanajiona wana haki ya kuwa viongozi, kwa sababu ni watoto wa vigogo, na pia wanaamini kuwa wana haki ya kupewa kazi yoyote, ingawa hawana uwezo, elimu au sifa zozote za kupewa kazi hizo, kwa sababu wanatoka familia hizo kama esther wassira alivyosema katika hotuba yake chuo kikuu, dar es slaam, kwenye kumbukumbu ya baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere.

    halafu wanataka kujionyesha hata wanapochangia kwenye mijadala mbalimbali mtandaoni kuwa wanajua haya na yale ingawa hawajui mambo hayo hata kidogo. pia wanataka kujionyesha kuwa ni wa kwanza kusema au kuyatangaza mambo hayo mtandaoni, ambayo ni tabia ya neema ngwilulupi (field marshall es) pale jamiiforums, na pia kwenye blogu ya michuzi na mahali pengine mtandaoni ambako ameandika mengi. hiyo sio busara. ni uelewa finyu wa maisha yalivyo duniani. ngojea watu wakuweke mbele. ngojea watu wakupe sifa unazostahili, ikiwa una sifa hizo au sifa zozote, badala ya kujisifu wewe mwenyewe. ngojea watu waseme una akili badala ya kujisifu mwenyewe na kusema una akili. mtu mwenye akili hajisifu. ngojea waamue wenyewe kama wanataka kukuheshimu badala ya kudai heshima na kusema unastahili heshima. jaribu kujiona wewe ni sawa na wananchi wengine, kujiona ni raia wa kawaida, na sio kujiona uko juu yao. huo ndio uungwana, ndio utu, ndio ustaarabu.

    kuhusu tatizo la wazanzibari wanaposema wanataka kujikomboa kutoka kwa watanganyika, nao wanastahili haki zao kama nasi wabara tunavyostahili haki zetu. ikiwa ni kweli wazanzibari hawautaki muungano, waache kabisa, pamoja na viongozi wao, kushirikiana na sisi watanganyika. nani anawalazimisha kufanya hivyo? pia waondoke tanganyika. warudi zanzibar. kuna zaidi ya wazanzibari 350,000 wanaoishi tanzania bara. wanataka nini ikiwa hawautaki muungano? wanataka nini tanzania bara ikiwa uchumi wao visiwani ni bora kuliko uchumi wetu huku tanganyika? nani aliwalazimisha kuhamia tanzania bara? nani anawalazimisha kuishi huku nyumbani kwetu tanganyika?

    ReplyDelete
  59. hata aliyewahi kuwa raisi wa zanzibar na kuwa makamu wa raisi wa muungano, mzee aboud jumbe, alihamia tanganyika bara. kwanini hakubaki nyumbani kwake zanzibar?

    pia wazanzibari wengi, si wapemba tu bali wa unguja pia, wana tabia ya kututukana na kutudharau sana watanganyika wakati wanaishi katika nchi yetu ya tanganyika. ondokeni, rudi pemba. rudi zanzibar. rudi nyumbani kwenu. mnataka nini nchini kwetu ikiwa hamuutaki muugano? rudi kwenu. halafu jitangazieni uhuru mnaosema tuliwanyang'anya na ambao mnasema tunaendelea kuwanyima.

    muungano hauna faida yoyote kwa watanganyika. kiuchumi, wazanzibari hawana chochote. ni mzigo kwetu. ndiyo maana wengi wao wamehamia tanganyika, tanzania bara. rudi nyumbani kwenu visiwani. utakuwa ndio mwisho wa muungano. hatuutaki pia. ni gharama kubwa sana kwetu. hatupati chochote kutoka zanzibar. wazanzibari hawana chochote. nchi yetu ya tanganyika ina raslimali za kila aina. ukilinganisha na nchi yetu ya tanganyika, zanzibar hawana chochote. vunja muungano leo. mnangojea nini?

    mna nini visiwani? kwa mawazo yenu, mnaona utengano sio udhaifu. mnaona utengano ni mandeleo. sawa! watanganyika hatuna tatizo na wazo hilo. pia tunajua hamtutaki visiwani. hakuna tatizo. hatuwataki pia tanganyika. ondokeni. rudi nyumbani kwenu visiwani. tutawasaidia kufunga mizigo. utakuwa ndio mwisho wa muungano. mking'ang'ania kubaki tanganyika, tutawafukuza. rudi nyumbani kwenu. tanganyika sio nchi yenu. ni nchi yetu sisi watanganyika. zanzibar ni yenu, tanganyika ni yetu. kwaheri muungano.

    ReplyDelete
  60. Written by Stonetown (Kiongozi) // 23/10/2012 // Makala/Tahariri // 3 Comments:

    Siku chache zilizopita, Naibu Waziri wa Elimu Tanzania (sio Tanganyika), Bwana Phillipo Mulugo alivunja mwiko wa ule usemi wa Kiswahili usemao ‘Funika kombe mwanaharamu apite’! Mficha aibu huaibika zaidi, na mdanganya kiaga hudanganya utupu wake. Huu ndio ukweli uliopelekea Waziri wetu huyu kulifunuwa kombe mbele ya mwanaharamu licha ya juhudi kubwa ya kujificha asifanye hivyo. Aibu iliibuka tu.
    Sina haja kurudia sana alichokifanya Waziri Mulugo, lakini kwa kukumbushia tu ni kwamba mheshimiwa Waziri alifanya manyanga ya kupigiwa mfano katika historia ya nchi hii mbele ya umati na mitandao ya kimataifa. Kizungu kibovu kabisa, hoja za jongoo bumbwi zisizo macho, papasio wala ndewe za masikio katika mawasilisho yake, sambamba na kufanya makosa makubwa ikiwemo lile baya zaidi la kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni Muungano wa nchi mbili yaani Zimbabwe na Pemba. Hon Philipo Augustino Mulugo, Dep Min of Education & Voc Training, Tanzania, Innovation Africa 2012 - YouTube
    Mdolongo huu wa Pumba hakuna alietegemea kuusikia kinywani mwa hata mwendawazimu muokota makopo aliezaliwa nchi hii miaka 48 iliyopita, sembuse Waziri mwenye dhamana nzito ya Elimu nchini. Mimi kama mwandishi hapa mzalendoni sitaki nimhukumu Waziri Mulugo nitaitwa CUF au Uamsho, lakini kama kuna mtu aliwahi kuona katika Blogu kama vile michuzi, ataona jinsi gani watu wa huko kwao Bara walikvyokerwa na hutuba na upeo mdogo alionao Waziri Mulugo. Kule Youtube ndio kabisa, na laity ingekuwa Video ile ingemhusu kiongozi au mtu maarufu wa huko majuu basi ingekuwa balaa. Lakini hata hivyo yaloyotokea na ujumbe utakuwa umemfika Rais na Waziri wetu wa Elimu Bwana Mulugo.
    Binafsi sishangai kwa watendaji wetu wakuu kuwa Wabovu si kwa kuongea kimombo tu, bali hata ule uwezo wa kujenga na kuwasilisha hoja hawana. Viongoiz kadhaa wa huko bara yamewakuta haya wakiwa ughaibuni lakini ndio kombe hufunikwa mwanahizaya akapita. Hapa Zanzibar tuliona enzi za Sheikh Karume(Amani) pale Naibu Waziri wa Afya alipoakikataa mialiko mingi ya nje na ikawa anamuchiwa Bi. Asha Abdalla Juma (Tom Boy) aende mikutano hiyo ya kimataifa. Kisa? Bibie alikuwa hajui jambo ni ‘pyoro’ wa ukweli.
    Serikali zetu zote mbili hapa Tanzania hazitafuti watu kwa mujibu wa uwezo wao. Bali hutafuta watu ili nao waje wajipatie rizki zao ili wasikose kijipande kidogo cha historia cha kusema ‘Kaka alipokuwa Rais, nilikuwa Waziri bwana’. Haya ndio maneno yanayotafutwa. Serikali zimekuwa za kijomba jomba mno na za kisiasa zaidi kiasi ambacho hata huko nje tunachekwa na kusimangwa bila kujijuwa.

    ReplyDelete
  61. Written by Stonetown (Kiongozi) // 23/10/2012 // Makala/Tahariri // 3 Comments:

    Suali la aibu alilofanya Mulugo limetutia doa na kutuvua nguo kusema kweli mbele ya medani za kimataifa na hasa ndugu zetu wa Kenya, ambao kimsingi hutuona matobwe sana katika kuendesha nchi. Tabia hii inaiondolea heshima Serikali kwani huonekana ni kichaka kidugu cha wahuni badala ya watu wenye upeo mkubwa wa kuendesha nchi na kuleta maendeleo.
    Lakini yote haya ni matunda ya Muungano na uvyama kuwekwa mbele zaidi kuliko maslahi ya taifa. Tanzania hii ina watu wenye uwezo sana kiuongozi wa nafasi aliyonayo kama huyo Mulugo au aliekuwa naibu waziri wetu wa Afya 2000-2005 ambae jina lake ni la tunda liitwalo Embe huku Unguja. Nakumbuka Rais Kikwete ameshabadilisha baraza mara kadhaa, lakini kila uchao ndio hivyo hivyo. Akiacha kuchaguwa bovu, huchaguwa bokerewa. Na hii ni kwa sababu hana hao wa kuwachaguwa kwa vigenzo walivyoweka wao. Maana kuna lazima atoke chamani tena awe ‘hewalla Bwana’ sasa alie msomi wa kweli hayo hayakubali.
    Upigwavyo ndivyo uchezwavyo. Na sisi hatuna budi tuucheze hivi hivi wanavyoupiga, siku ikipasuka kila mtu atatafuta njia yke aende lakini suali linabakia kuwa Mustakabli wa Taifa hili hautaimarika wala kuboreka iwapo tutaendelea kuchaguwana kwa misingi ya undugu, kisiasa, na kiuvyama. Tutabakia kuwa vizuu na misukule ya kuuwana wenyewe huku wajanja wakihujumu uchumi wan chi yetu tunaowaachia kwa hiari zetu. Na kwa mtindo huu hatufiki popote! Hongera Waziri MULUGO! Huna lawama, na atakaekulaumu mnyooshe kidole bosi wako aliekuteuwa akiamini kuwa lawama zote za uteuzi wake ni zake yeye mwenyewe.

    ReplyDelete
  62. Soma hapa zaidi kuhusu waziri huyo wa elimu, Philipo Mulugo:

    http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/342287-waziri-mulugo-tanzania-ilitokana-na-muungano-wa-visiwa-vya-pemba-na-zimbabwe.html

    Hajui hata Kiingereza. kwa mfano, katika hotuba hiyo mbele ya watu wengi kutoka nchi mbalimbali, kwenye mkutano wa kimataifa Afrika Kusini, alisema "one 1964"! Kimombo gani hicho? Ni mwaka gani huo? One nineteen sixty four! Mwaka wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar!

    Hajui hata kusoma vizuri. Huyo ndiyo waziri wa elimu! Ameliaibisha taifa. Vipi aliyemteua?

    Waachie wanaojua Kiingereza kutuwakilisha au zungumzeni Kiswahili mnapoiwakilisha nchi yetu katika mikutano ya kimataifa kama vile Wajapani, Wachina na wengi wengine wanavyozungumza lugha zao.

    Ona jirani zetu na wengine wanavyotucheka. Mtasemaje Wakenya au Waganda wakiwauliza kuhusu waziri wetu huyo wa elimu?

    ReplyDelete
  63. Kwenye mjadala huu, "Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe", Jamii Forums, 23rd October 2012, EMT alisema:

    "Kama tunawakilishwa na mawaziri nervous at the international arena, then hawatufai.

    Tunataka mawaziri ambao ni confident to address an audience at the international level.

    Hata kama slide show imeandikwa "Pemba na Zanzibar", bado kuna makosa.

    Tanzania haikutokana na muungano wa Zanzibar, Pemba na Tanganyika, bali Zanzibar na Tanganyika.

    Ukisema Zanzibar, Pemba na Tanganyika, unamaanisha muungano wa nchi tatu.

    Yes, it could have happened to anyone with little experience talking in front of a large audience.

    Lakini inapokuwa ni waziri mzima, tena anayewakilisha nchi, then tunahitaji mtu ambaye ni confident.

    Achilia mbali confidence, ni sawa waziri anaposema NACTE inatoa master and Ph.D?

    Waziri mzima wa elimu anakosa confidence ya hata kutofautisha kati ya NACTE, TCU na vyuo vikuu?

    Hebu tuache kutetea ujinga."

    ReplyDelete
  64. Waziri Mulugo: "Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe":

    Changanya, member wa jamiiforums, 23 October 2012:

    Itabidi NECTA wabadili kabisa mfumo wao wa kutunga mitihani na wazingatie ufahamu wa lugha wakati wa usahihishaji kwani haipandi akilini kabisa kwa Kiingereza hicho jamaa alipataje vyeti vya NECTA tena mpaka A level??? Na huko Open University aliposomea digrii yake walikuwa wanatumia lugha gani???? Mmmh napata maswali mengi, kweli ipo miujiza mingi nchi hii.

    comson, jamiiforums, 24 October 2012, kuhusu naibu waziri wa elimu Philipo Mulugo na hotuba yake, South Africa, allivyoliabisha taifa letu na hotuba hiyo:

    kaka umesahau ile aliyosema "....... we manufacture the lot of teachers in Tz...."

    StayReal, jamiiforums, 24 October, 2012:

    Hawa ndio mawaziri wa JK.

    ReplyDelete
  65. Waziri Aiaibisha Serikali :Asema Tanzania ni Muungano wa Zimbabwe, Pemba na Tanganyika

    Imeandikwa na George Maziku|Tanzania Daima

    NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo, amemwaibisha Rais Jakaya Kikwete na taifa kwa ujumla mbele ya jamii ya kimataifa, baada ya kuitangazia dunia kuwa Tanzania imetokana na muungano wa visiwa vya Zimbabwe na Pemba vilivyoungana na Tanganyika.

    Mbali na hilo, aliwaambia mamia ya wajumbe kutoka mataifa mbalimbali katika Bara la Afrika kuwa, Tanzania ilizaliwa mwaka 11964.

    “Wasilisho langu litakuwa na sehemu saba…Utangulizi, Tanzania iliundwa mwaka 11964 kwakuunganisha visiwa vya Bahari ya Hindi vya Zimbabwe na Pemba vilivyoungana na nchi ya Bara iliyokuwa ikiitwa Tanganyika…,” alisema Naibu Waziri Mulugo kwa kujiamini na bila kuonyesha dalili yoyote kuwa alikuwa amekosea.

    Naibu waziri huyo alikuwa akiwasilisha mada katika mkutano wa viongozi na wataalamu wa elimu katika Bara la Afrika, ambao ulifanyika Afrika Kusini kuanzia Oktoba 5-7, mwaka huu.

    Kuboronga huko kwa naibu waziri huyo kumeibua mjadala mkubwa na mzito miongoni mwa Watanzania wa kada na rika mbalimbali, huku wengi wakianza kupata wasiwasi juu ya uwezo wa watu wanaoteuliwa na Rais Kikwete kushika nyadhifa mbalimbali serikalini.

    Watu wengi waliotoa maoni yao juu ya suala hili kupitia mitandao ya kijamii ya Jamii Forum, Wanabidii, Facebook na Twiter wameonyesha wasiwasi mkubwa na kiwango cha elimu na weledi wa Mulugo na kuuliza swali; “elimu ya waziri huyu inatosheleza kumudu majukumu yake ya Naibu Waziri wa Elimu?”

    Wasifu wa Naibu Waziri Mulugo uliopatikana kupitia mtandao wa Google, unaonyesha kuwa ana elimu ya shahada ya kwanza aliyoipata kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, kati ya mwaka 2002 na 2008.

    Anadai katika wasifu huo kuwa kabla ya kuingia chuo kikuu, amesoma katika shule za sekondari za Songea Boys High School kwa masomo ya kidato cha tano na sita kuanzia mwaka 1994 mpaka 1996, na Sekondari ya Mbeya kwa masomo ya kidato cha kwanza mpaka cha nne kuanzia mwaka 1990 mpaka 1993.

    Mulugo amejieleza kuwa kati ya mwaka 2000 na 2004 alifanya kazi ya ualimu katika Shule ya Sekondari Southern Highland, huku akiwa hajapata mafunzo yoyote ya taaluma ya ualimu.

    Alipotafutwa kwa njia ya simu kufafanua alivyojieleza, Waziri Mulugo alisema alikuwa mjini Dodoma kuhudhuria kikao cha Baraza la Mawaziri, hivyo hakuwa na muda wa kuzungumza na gazeti hili.

    ReplyDelete
  66. jamani watu wanatucheka dunia nzima. huyu waziri philipo mulugo ameliaibisha taifa letu la tanzania. sijui alipewa uwaziri na raisi jakaya kikwete kwa sababu ni marafiki au vipi lakini hayo ni matokeo ya kupeana kazi kutokana na upendeleo wa kila aina pamoja na undugu na urafiki au kama malipo kutokana na msaada fulani. hata youtube wamezuia comments kuhusu hotuba na video ya waziri huyo ambayo maelfu ya watu dunia nzima wameiona na kumsikiliza pamoja na makosa yake na kiingereza chake kibovu. bila shaka youtube wamezuia comments baada ya kuombwa na serikali ya kikwete kufanya hivyo. lakini kama waswahili tusemavyo, maji yakimwagika hayazoleki tena.

    ReplyDelete
  67. Hiyo ndiyo Tanzania yetu. Wakenya na wengine wana haki kutucheka.

    Asante sana Philipo Mulugo kwa kuutangazia ulimwengu kwamba wewe ni naibu waziri wa elimu nchini Tanzania na kuonyesha elimu yetu ilivyo. Pia hongera kwa kuteuliwa kuwa naibu waziri. Endelea kuiwakilisha na kuiaibisha nchi yetu. Kwanini ulaumiwe? Uliteuliwa na raisi kuwa naibu waziri.

    ReplyDelete
  68. msingemfachua dr. salim ahmed salim na kumuongopea katika uchaguzi uliopita, angekuwa raisi wa tanzania leo na kusingekuwa na upuuzi kama huu: kuwapa uwaziri watu kama huyo philipo mugulo ambaye hajui hata kusoma kama mtoto katika darasa la kwanza. tungekuwa na serikali ya kuwajibika, chini ya uongozi wa raisi dr. salim ahmed salim, sio kama hii tuliyonayo sasa. tuliwaonya, acheni kumbagua na kumchafua dr. salim, hamkutusikiliza. matunda yake ndiyo hayo. hatuna serikali au viongozi wanaojali nchi yetu inakwenda wapi.

    ReplyDelete
  69. Kumbuka aliyosema Esther Wasira kwenye kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, chuo kikuu, UDSM, 14 October 2012, katika hotuba iliyowagusa watu wengi sana, miongoni mwao wakiwa wale walio mwona dada huyo kuwa raisi mtarajiwa miaka ijayo:


    "Ajira zinatolewa kwa wanaostahili?....Ni ukweli kwamba katika Tanzania ya leo ajira muhimu zinatolewa si kwa watu wenye uwezo bali kwa wale....Ushahidi upo wazi na Watanzania wanajua hilo."

    Watu hao ni kama huyo naibu waziri wa elimu Philipo Mulugo. Wamejaa serikalini. Wamejaa katika idara na wizara zote, katika mashirika, katika ofisi za ubalozi, katika benki, katika usalama wa taifa, na kadhalika. Hawana uwezo. Hawana elimu. Hawana hata hamu ya kujifunza au kujiendeleza wenyewe. Hawana hata aibu wanapozungumza upuuzi kwa sababu ya kutokuwa na elimu ya kutosha. Hawana uchungu na nchi yetu. Wanaendelea kuliaibisha taifa letu. Nchi yetu ni kama mali yao binafsi. Wana vyeti feki kutoka vyuoni. Wengine hawana chochote bali majina tu, kwa sababu wanatoka familia fulani, au wana uhusiano na urafiki na vigogo serikalini wanaowapa kazi. Philipo Mulugo ni mmoja wao. Alipewa uwaziri kama shukrani. Chunguza zaidi alifanya nini kupewa shukrani au zawadi hiyo ya kuwa naibu waziri.

    ReplyDelete
  70. Dark City, aliandika Jamii Forums, 25 October 2012:

    "Mulugo ni kiongozi wa juu wa wizara nyeti inayoshughulika na elimu ya watoto wetu na wajukuu zetu. Kama uwezo wake kielimu unatia shaka, basi hataona shida kuvumilia wanafunzi wababaishaji na kutujazia makanjanja mitaani.

    Tabia ya kuvumilia mizaha mizaha kama hii kwenye mambo ya msingi katika hili taifa ndiyo inayotuwahisha kwenye kifo..!

    Watu kama hawa, hatutakiwi kuwavumilia ukizingatia kuwa wanajaza nafasi za watu makini wenye uwezo wao ambao wanabaguliwa kwa sababu za kipuuzi kabisa (ukabila, ukanda, ufisadi, ukada n.k)!!"

    Source: http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/344182-ya-mulugo-was-only-a-slip-of-tongue-alitelaza-tuu-ulimi-2.html.

    ReplyDelete
  71. Safari_ni_Safari, jamiiforums, 25 October 2012:

    "Na vipi aliposema 'REDIES AND JONTROMEN' huo ulimi ulikuwa na grisi mpaka ateleze mara zote hizo?"

    Edson, jamiiforums, 25 October 2012:

    "halafu mara nyingi penye 'of' alikuwa anaweka 'for'.....bado ni kuteleza tu?!!"

    Dr. Richard, jamiiforums, 25 October 2012:

    "lazima tukubali viongozi wetu wengine uwezo wao ni mdogo, kama tatizo ni lugha za kigeni watumie kiswahili na kuwepo na mkalimani".

    AshaDii, jamiiforums 25 October 2012:

    "Mulugo...kachemka na ilitakiwa awe wazi kusema haelewi lugha...hayo ni matunda ya utendaji mbovu wa serkali kwa kuchagua kwa vigezo vya undugu na connections."

    don-oba, jamiiforums, 25 Ooctober 2012:

    "Sisi wanafunzi wake tunamfahamu sana Mulugo alipokuwa mwalimu wetu, tulikuwa tukiigiza broken zake darasani na hata pronuncition yake huwa ni mgogoro".

    Chanzo:

    http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/344182-ya-mulugo-was-only-a-slip-of-tongue-alitelaza-tuu-ulimi-3.html.

    ReplyDelete
  72. Wanitakiani, jamiiforums, 25 October 2012:

    Uwezo wake ni mdogo mno jamani! elimu yake pia ni ya mashaka achilia mbali maswali yanayoweza kuulizwa hivi aliteuliwaje kuongoza wizara kitivo cha maarifa - Elimu???

    Baba Mkwe, jamiiforums, 25 October 2012:

    Kusema Tanzania "was formed in ONE NINETEEN SIXTY FOUR" yaani 11964!!! (huyo ndiye waziri ambaye pia alikuwa mwalimu!!). Kusema Tanzania was formed...by UNIFYING islands of ZIMBABWE and PEMBA!!! ( yaani visiwa vya Zimbabwe na Pemba. Eti "unifying"!!! hiki ndio nini??

    mwangalizi, jamiiforums, 25 October 2012:

    One nineteen sixty four!!!??? Na Indian Ocean ni nchi pia?
    Tunategemea nini hapa kwa elimu ya watoto wetu?

    Wanitakiani, jamiiforums, 25 October 2012:

    Hivi huyu Mulugo si ndio huyu alifundisha Southern Highland school (Mbeya), ambapo kuna siku wakaguzi wa elimu walipita na kummtolea nje kuwa hana sifa wala vigezo vya kuwa mwalimu? ndipo akaenda kujiunga Open University kwa degree. Tena yalikuwa makosa makubwa kufundisha bila kupita chuo chochote cha elimu. Leo hii yeye ana ubavu wa kuwazukia wenzie na kuwafukuza eti hawana sifa....loh!

    Taarifa zake pale wizarani, mara nyingi kama ana ugeni wa nje ya Tz hufanya juu chini kukutana nao peke yake, hataki maafisa kuwepo kwa kutojiamini kwake na lugha. Mulugo kachemka - full stop!

    lebabu11, jamiiforums, 25 October 2012:

    Haya ni matokeo ya kukiuka kanuni ya msingi ya kuchagua au kuteua viongozi na badala yake undugu, kujuana, urafiki, fadhila, rushwa n.k vikachukua nafasi.

    Chanzo:

    http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/344182-ya-mulugo-was-only-a-slip-of-tongue-alitelaza-tuu-ulimi-6.html

    ReplyDelete
  73. AshaDii, jamiiforums, 25 October 2012:

    Upande wa Critics ndio hilo ambalo limenifanya niliongelee.... Observe Tausi, majority ni criticism dhidi ya lugha. Ni wachache ambao wanaongelea namna ilivyo wazi kuwa inaonesha hayupo qualified kwa hio nafasi aliyopo na namna ambavyo ni mfano wa mawaziri ambao kazi yao ni walakini sana kama anawajibika. Kwa mtazamo wangu ile hotuba yake yoote inatowa picha ya nidhamu yake katika kazi (hayupo makini); Yupo chini ya nafasi aliyopo (kama naibu waziri wa Elimu, its un-excusable kutojuwa kiingereza); hana ufikiri, busara wala washauri (maana anazidi kuchemka anavyozidi kuli justfy); hivo at the end of the day tupo pamoja katika hoja yako kuhusiana naye.

    Mwita Manyara, jamiiforums, 25 October 2012:

    AD (AshaDii) kama utakumbuka vizuri Mulugo alishajadiliwa hapa JF tangu mwaka 2011 mara tu baada ya uteuzi wake wa kuwa naibu waziri wa elimu. Hiyo thread bado ipo na hata hiyo video ilipoletwa hapa JF kwa mara ya kwanza ilitupwa kwenye uzi huo huo kabla ya kuanza kushambuliwa kwa style tofauti tofauti. Tangu wakati huo watu tulisema waziwazi kwamba Mulugo haqualify kuwa naibu waziri wa elimu kwakuwa elimu yake mwenyewe ilikuwa ya mashaka mashaka, na wengine wakaenda mbali zaidi wakasema hata cheti anachotumia si chake kwakuwa alichemka mtihani wa form six.

    Nachotaka kukukumbusha ni kwamba critics wanaoonyesha kwamba Mulugo hana sifa za kuwa naibu waziri ni wengi sana na hii ya lugha ni kitu kimekuja tu "ku spark" moto ambao ulikuwa umeanza kufifia. Nadhani ukisoma kwa makini comments za watu wengi hapa wana relate udhaifu huu wa lugha moja kwa moja na uwezo wake mdogo kielimu.

    Chanzo:

    http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/344182-ya-mulugo-was-only-a-slip-of-tongue-alitelaza-tuu-ulimi-6.html

    ReplyDelete
  74. Janjaweed, jamiiforums, 25 October 2012:

    Ulimi wake una utelezi sana aisee. Hadi leo kasema tena Pemba, Zanzibar na Tanzania bara.

    Wowowo, jamiiforums, 25 October 2012:

    Halafu badala ya kusema ilikuwa ERROR kasema ilikuwa HERROR. Hata kama ni kuteleza ulimi kwa suala sensitive kama hilo linalohusu taifa angeshtuka na kurekebisha lakini wapi. Ni aibu kubwa sana kwa taifa, yaani Mulugo katoa reflection ya hali halisi ya viongozi wetu.

    AshaDii, jamiiforums, 25 October 2012:

    Huyo elimu ni lazima ni ya wasi wasi, hata kama lugha inasumbua huweze soma 1964 namna alivyosoma yeye... Ni ngumu sana.

    Dark City, jamiiforums, 25 October 2012:

    AshaDii,

    Kwa watu wanaofuatilia mambo ya elimu, wanajua kuwa hali yetu kama nchi ni mbaya sana......

    Juzi juzi nilikuwa naangalia kipindi cha Masoud Kipanya wakati anasaili vijana, nilibaki najishangaa....Kuna kijana kamaliza form 4 (may be kama Mulugo), anasema kuwa binadamu ana maini mawili, figo mbili na firigisi mbili!!

    Kuna dada mwingine (ex form 4) huyo alishindwa kueleza maana ya biology......

    Tatizo letu ni kubwa sana na ndiyo maana wengine tungependelea kuwa tufike mahali tuwe na zero tolerance kwenye mambo ya taaluma. Kiongozi ambaye uwezo wake uko chini ya viwango apigwe chini akatafute kazi nyingine.. Na hapa tusisitize kuwa wanaotafuta umilionea kwenye uongozi wamekosea njia....uongozi unatoka ndani kabisa ya mtu na siyo nafasa ya kujijaza mafedha!!

    http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/344182-ya-mulugo-was-only-a-slip-of-tongue-alitelaza-tuu-ulimi-6.html


    ReplyDelete
  75. Edson, jamiiforums, 25 October 2012:

    1. Bernard Membe (Minister for Foreign Affairs and International Co-operation) aliwahi kuchemka sana kule Arusha kwenye kikao cha Sullivan mwaka 2008 ilikuwa balaa....

    2. Hawa Ghasia nae one day pale Mnazi Mmoja aliwahi kuchemka sana

    3.Mkuu wa nchi (Raisi Jakaya Kikwete) kule Davos na wakati anahojiwa na kituo cha MSNBC alichemka sana...Pale Davos ile ''manufacturing of teachers'' ilitamkwa na mkuu..akimaanisha tuzalishe walimu wa kutosha.

    4. Siku ya mazishi ya Prof Saitoti pale Nairobi waziri (Emmanuel) Nchimbi nae alichemka sana wakati anasoma salamu toka kwa rais.

    5. Mulugo nae kachemka vilivyo.

    6. Juzi tu wizara imeandika barua kwa papa Benedicti XVI wakimshukuru ...barua hiyo imo humu JF imejaa makosa ya kufa mtu na aliyeandika hajui kaandika nini...

    7..Ni Membe nae si amesaini mkataba bila kusoma majuzi kati hapa!!!....

    Ni shida tupu hawa viongozi......Mulugo asijitete kuwa aliteleza kwa kifupi hajui kusoma vizuri kwa lugha hii ya Malkia....

    baba juniho, jamiiforums, 25 October 2012:

    Kwakweli ndo maana tunasema mtoto anamaliza darasa la saba hajui kusoma wala kuandika kumbe sababu walimu wao ni kama huyu ex-teacher ambaye ss ni waziri.

    FJM, jamiiforums, 25 October 2012:

    Kwa mtanzania yoyote (let alone Waziri - wa elimu), huhitaji 'notes' kukumbuka Tanganyika haijawahi kuungana na Zimbabwe! Na Waziri alipogundua kufanya hilo kosa alirekebisha? What exactly did he do? Sit down and pretend no one heard anything?

    Azipa, jamiiforums, 25 October 2012:

    Kumbe huyo naibu waziri kilaza kabisa. Sijawahi sikia mwaka ukitajwa one-nine-six-four.

    rodrick alexander, jamiiforums, 25 October 2012:

    Jaribu kumfatilia huyu naibu waziri wa elimu. Kwanza anatumia jina ambalo sio lake na nimejua hiyo issue kabla haijaripotiwa kwani mmoja wa ndugu zake ni rafiki yangu wa karibu. Pili amefoji vyeti lakini kama angefika hapo alipo bila kutumia magumashi nafikiri hakuna mtu ambaye angehoji cv yake kwa namna tunavyojadili kwa sasa.

    Source:
    http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/344182-ya-mulugo-was-only-a-slip-of-tongue-alitelaza-tuu-ulimi-8.html

    ReplyDelete
  76. Ngoni, jamiiforums, 25 October 2012:

    Kuna ukweli mmoja unaoudhi kutokana na tukio hili la waziri. Wazungu wale waliokuwa wanamsikiliza (na baadhi ya waafrika) huchukulia kuwa waziri kwa kuwa ni kiongozi basi yeye ni miongoni mwa watu bora kuliko wale ambao hawajapewa wadhifa huo. Na kimsingi anapaswa awe hivyo. Sasa wakiona kiongozi kama huyo anasoma 'paper' kama kasuku (bila kuunganisha maandishi na ubongo) basi wanachukulia kuwa huyo ndio ametoka miongoni mwa kada bora kabisa Tanzania. Sisi huku tuliobaki (tuliyemtuma) huyu bwana tunaonekana majuha kabisa (waziri ana nafuu kidogo kwetu).

    Lokissa, jamiiforums, 25 October 2012:

    Ingekuwa nchi za wenzetu angefukuzwa kazi akiwa hata hajarudi nyumbani.

    http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/344182-ya-mulugo-was-only-a-slip-of-tongue-alitelaza-tuu-ulimi-9.html.

    ReplyDelete
  77. Merciless, Jamii Forums, Jukwaa la Siasa, 25th October 2012:

    Mkome kubebwa bebwa na kupewa madaraka eti tu kwa kuwa mna unasaba na viongozi wa chama.

    http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/344182-ya-mulugo-was-only-a-slip-of-tongue-aliteleza-tuu-ulimi-16.html.

    Walusanga Ndaki, 25 October 2012:

    Tukio hilo la Mulugo linachochea madai lukuki kwamba uongozi wa nchi hii ni jambo la “kupeana” kirafiki na si lenye kutokana na utaalam au utendaji bora! Kwa Mulugo, njia ya kujitoa katika aibu hii na kupunguza hasira za Watanzania ni KUACHIA NGAZI MARA MOJA!
    -http://www.globalpublishers.info/

    Short URL: ‘Makosa’ Mengine ya Hotuba ya Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo | Blogs Tanzania | News | Michuzi ya Habari leo.

    ReplyDelete
  78. Kutoka issamichuzi.blogspot.com:

    Anonymous Anasema:

    Mon Oct 22, 10:10:00 AM 2012

    muungano wa tanzania ni wa zimbabwe na tanganyika. teh teh halafu huyu ndiye waziri mwenye dhamana ya elimu. kazi kweli kweli.

    Anonymous Anasema:

    Mon Oct 22, 10:22:00 AM 2012

    Heeee, Tanzania was formed in one nineteen sixty four (11964)? A union of the islands of "Zimbabwe and Pemba" and mainland Tanganyika? Hon Minister, please get your facts right....Our current border dispute with Malawi is more than enough. Don't bring in Zimbabwe....

    Anonymous Anasema:

    Mon Oct 22, 10:32:00 AM 2012

    Michuzi mambo ya aibu kama hili usiweke kwenye blog. Ametuaibisha sana Watanzania.

    Anonymous Anasema:

    Mon Oct 22, 01:35:00 PM 2012

    I like his English. It's unique, even the delegates are surprised. God bless Tanzania, God bless Africa.

    Anonymous Anasema:

    Mon Oct 22, 01:48:00 PM 2012

    I really like his English and the facts he gives. It is unique that those Muzungus sitting around are surprised! Thumbs up Minister Mulugo!

    Source:
    http://free-zanzibar.blogspot.com/2011/05/wananchi-tukisubiri-serekeli-yetu-ya.html












    http://issamichuzi.blogspot.com/2012/10/hon-philipo-augustino-mulugo-dep-min-of.html

    ReplyDelete
  79. From issamichuzi.blogspot.com:

    Anonymous, Mon Oct 22, 05:09:00 PM 2012:

    This is a shame....Shame on you minister...What is this crap! Have we reached here? Yes English is not our language..but you can't even read what is aleady written for you. What if it was a Q&A session? Please don't your ever use English again as you represent our beloved country. Na nyie wizara ya elimu siku nyingine ni bora akaongea Kiswahili tu halafu watu wakatafsiri. Makosa ni mengi mno hata YA matamshi. Mimi najua wizarani kuna wataalamu wa hii lugha kibao kwa nini mmoja asisome kwa niaba yake. Mimi natoka Mbeya, anakotoka huyu Mheshimiwa...ametutia aibu.

    Anonymous, Mon Oct 22, 05:16:00 PM 2012:

    Surely, this is JOKE. Nashangaa hawa watu wanapataje hizi nafasi???

    Anonymous, Mon Oct 22, 06:13:00 PM 2012:

    The meeting is entitled 'African Brains' and you are showing no brains at all, you shouldn't represent us ever again! Plus you should resign as you have demonstrated a very high level of ignorance and lack of attention. What you have done speaks of the government and Tanzanians at large, but that should never have come out of a man of your status!

    Anonymous, Mon Oct 24, 02:50:00 PM 2012:

    Kwa asiye mfahamu vizuri Mulungu (Mulugo) aende Mbeya akapate habari zake vizuri kwenye ile shule aliyokuwa anafundisha (Southern Highland), wanaomfahamu vizuri hawajastua sana....

    Source:
    http://issamichuzi.blogspot.com/2012/10/hon-philipo-augustino-mulugo-dep-min-of.html













    ReplyDelete
  80. From issamichuzi.blogspot.com:

    Anonymous, Sat Oct 27, 03:25:00 AM 2012:

    Ni kweli Philipo Mulugo ametuaibisha sana. Sijui Wakenya wanasemaje baada ya kumsikia. Labda wanasema ndiyo kawaida yetu. Lakini si jirani zetu tu wanaotucheka. Huo ulikuwa ni mkutano wa kimataifa kule Afrika Kusini ambako Mulugo alituwakilisha. Wanatucheka dunia nzima. Kosa lake siyo la lugha tu. Ni kweli hajui Kiingereza. Lakini pia ni ukweli kwamba hana elimu yoyote ingawa anajiita "mwalimu" na anasema ana shahada kutoka chuoni. Hafai hata kufundisha darasa la kwanza.

    He is a disgrace not only to Tanzania but to black Africa as a whole because he has reinforced notions and stereotypes among many whites and other non-blacks - yes, including our fellow countrymen of Arab, Asian and European origin right here in Tanzania - who contend and even believe that we are mentally deficient and genetically inferior to them because of our position in the racial hierarchy being on the lowest rung of the evolutionary ladder, despite evidence to the contrary. But that is the perception and perception is reality.

    Mulugo's pathetic performance is also a reflection on President Jakaya Mrisho Kikwete whose calibre as a leader is questioned by many people including those in his own party, CCM. He is the one who appointed Philipo Mulugo deputy minister of education and vocational training. He should have known that Mulugo was functionally illiterate. Even Youtube has blocked comments on the video obviously at the request of the Tanzanian government because of Mulugo's deplorable performance at the conference in South Africa.

    That is the price we have to pay as a nation for compromising standards of excellence across the spectrum. People are given jobs they don't deserve. Students perform poorly all the way to the university level because schools don't enforce rigorous intellectual discipline. Those who teach them are not even qualified to be teachers or professors. What do you expect? Academic excellence?

    I come from the old school. I remember how our teachers in middle school used to punish us for making grammatical mistakes in English. They forced us to write the same sentence, the correct version, numerous times so that we don't make the same or any other mistake again. There were other forms of punishment meted out to us to achieve the same objective. That was in the sixties before and after independence. Even in the seventies, we had excellent schools and teachers here in Tanzania.

    So what happened? Everything has gone downhill since then. I weep for my country.

    Source:
    http://free-zanzibar.blogspot.com/2011/05/wananchi-tukisubiri-serekeli-yetu-ya.html

    ReplyDelete
  81. wakristo mnasema mmeelimika zaidi kuliko waislamu. huyo ni mkristo mwenzenu. mnasemaje sasa? mnasema raisi kikwete, kwa sababu ni mwislamu, alimteua philipo mulugo kuwa naibu waziri wa elimu kuwaaibisha wakristo? au mnasema amejiaibisha mwenyewe na taifa kwa kumteua mtu ambaye hana uwezo wala sifa kuwa naibu waziri wa elimu?

    watanganyika, yaani wadanganyika, mnasema mmeelimika zaidi kuliko wazanzibari. huyo philipo mulugo ni mtanganyika mwenzenu. kuna wengi kama yeye. mnasemaje sasa wadanganyika? mnasema raisi kikwete, ambaye ni mtanganyika mwenzenu, alimteua mulugo kuwa waziri kujiaibisha mwenyewe na kuwaaibisha watanganyika wenzake? au elimu ndivyo ilivyo huko tanganyika? au danganyika?

    ReplyDelete
  82. Ni vizuri huu mjadala ulioanza kumzungumzia mtu mmoja ambaye hana sifa wala uwezo wa kazi yake, Neema Ngwilupa, Tanzania Mission UN, umeongelea pia watu wengine kwa sababu msingi wa hoja hii ni watu kupewa kazi ambazo hawastahili kwa sababu wamependelewa au kwa sababu wameongopa kwa kusema wana sifa ambazo hawana, kwa mfano kwa kudai wana uzoefu ambao hawana au kwa kudai wana shahada kutoka vyuo vikuu ingawa hawana shahada hizo. Ila bado nina maswali haya. Ni kweli huyu dada Neema Ngwilupa ingawa anafanya kazi ubalozi wa Tanzania New York hajui Kiingereza vizuri ingawa ameishi USA miaka mingi sana, nadhani mmesema karibu ya miaka ishirini? Ni kweli alifeli mitihani Loleza Secondary School? Na ni kweli hana hata kashahada kadogo, ka-degree kutoka community college ambako nimeambiwa kanachukua muda wa miaka miwili tu kukapata huko Merikani na bila kuwa mwanafunzi mwenye akili sana darasani? Nimesoma kuna wengine katika balozi zetu, sio Neema Ngwilupa tu, waliopendelewa kupewa kazi hizo. Walijadiliwa sana jamiiforums. Nao pia hawana uwezo, sifa, na elimu kama huyu dada Neema? Ikiwa wana elimu ya kutosha na uwezo wa kufanya kazi, wasilaumiwe kwani nao wana haki ya kufanya kazi wanazotaka kufanya ingawa ni kweli wasipendelewe. Kazi ni lazima zitangazwe kwa Watanzania wote ambao wana sifa na uwezo wa kufanya kazi hizo. Lakini wanaowachagua na kuwapa kazi hizo wasiwe ni ndugu zao au marafiki wao au marafiki wa wazazi wao, wajomba wao au shangazi wao. Hilo ndio kosa lakini sio kupewa kazi hata kama ni watoto wa vigogo.

    ReplyDelete
  83. mwambie neema aje kukanusha hapa na kusema hakufeli mitihani yake. ushahidi zaidi unangojea kuwekwa hapa kuanzia primary school mpaka loleza na korogwe. wengi tumesoma yaliyoandikwa hapa na tunajua ni ukweli mtupu. tunajua kila kitu kuhusu matokeo ya mitihani yake na maisha yake pamoja na ndoa yake ilivyovunjika. umekuja hapa kumtetea unapouliza ni kweli alifeli mitihani yake? usichokoze nyuki.

    ReplyDelete
  84. kuna ushahidi gani ---- kuonyesha neema ngwilupi, field marshall es, amewachafua makusudi viongozi wa chadema na wa vyama vingine vya upinzani jamiiforums na mahali pengine mtandaoni?

    ReplyDelete
  85. Nani kasema Field Marshall Es (Neema Ngwilulupi Malecela) amewachafua viongozi wa Chadema?

    Mimi ni mwana CCM halisi. Ameongopa kwa muda mrefu kuhusu viongozi mbalimbali wa CCM pale JamiiForums pamoja na viongozi ninaowafahamu sana na ambao nimefanya kazi nao mikoani pamoja na Dodoma na Dar. Kuna viongozi fulani wa CCM ambao wamemtumia sana Field Marshall Es kuandika uongo na kuwachafua viongozi wenzao wa CCM kwa sababu zao binafsi, kwa sababu wanashindana, wana-compete, na kwa sababu wanaoneana wivu. Hata yeye Field Marshall Es anajua huo ndio ukweli.

    Lakini amejaribu kuukwepa ukweli huo kwa kusema analaumiwa kwa kuwachafua viongozi wa Chadema badala ya kusema ukweli kwamba analaumiwa kwa kuwangopea na kuwachafua viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anasema hivyo, anakwepa ukweli huo, kwa sababu anajaribu kila kitu kujipendekeza kwa viongozi wa CCM baada ya kuwachafua na kuwaongopea kwa muda mrefu. Ndio maana sasa anamwita Raisi Kikwete "bast president," halafu "best ever president."

    Pia watu mbalimbali wanashangaa kwanini anaendelea kung'ang'ania lugha ambayo haijui vizuri. Kila anapotumia lugha hiyo, anakosea. Lakini hilo ni suala lingine ambalo wengine wamemkumbusha Field Marshall Es, pamoja na ex- wake William, pale JamiiForums mara nyingi. Achana na kimombo. Tumia Kiswahili tu.

    Nataka kusisitiza pia kwamba Field Marshall Es ni opportunist. Hana msimamo. Ni "bendera hufuata upepo." Na anajua ameandika uongo kuhusu viongozi wengi wa CCM na watu wengine Jamii Forums. Ndio maana amefuta michangio yake mingi JamiiForums. Ameziondoa na amefuta posts nyingi sana baada ya kufichuliwa. Amefanya hivyo mwaka huu. Alifanya hivyo mwaka uliopita na kabla ya hapo. Amefuta posts zake nyingi baada ya kuona watu wemegundua ameongopa katika michangio hiyo.

    Ana haki ya kuchangia kama watu wengine. Tatizo ni wakati anapo ongopa, anapoandika kwa chuki, na anapo anza kujikomba kwa viongozi wa CCM baada ya kuwachafua wengi wao vibaya sana kwa muda mrefu. Hatutaki watu kama hao katika chama chetu tawala. Wakiwa wengi, watasaidia kukiangusha chama chetu katika uchaguzi ujao mwaka 2015. Tunataka tushinde. Au tujiandae Chadema kushinda mwaka huo, kitu ambacho kitatuumiza sasa sisi wana-CCM ambao tumesaidia sana kukijenga chama chetu cha wakulima na wafanyakazi kwa miaka mingi sana ingawa kwa sasa kimepoteza lengo lake.

    ReplyDelete
  86. nenda jamiijorums jukwaa la siasa. mtafute field marshall es. soma michangio yake ya karibuni. wachangiaji mbalimbali wamezitafuta threads zake za zamani alizoanzisha na ambamo alikuwa akimshambulia sana raisi kikwete na ccm kwa ujumla na kuwatukana viongozi wengi wa ccm. baada ya kufichuliwa na kujulikana huyo field marshall es ni nani, ni neema ngwilulupi aliyewahi kuwa mke wa william malecela, mtoto wa mzee john malecela, ameanza kumsifu kikwete na ccm kwa sababu ni mnafiki na anataka kujipendekeza baada ya kuwatukana viongozi wa ccm na kuandika mambo yao mengi pamoja na ambayo ni binafsi, kwa mfano wanawake wanaotembea nao. ameongopa na kusema siyo yeye aliyeandika hayo zamani pale jamiiforums na jamboforums. ni mwongo. kila mada aliyoanzisha ina jina lake la bandia, field marshall es, kila mahali alipochangia kuna jina lake, field marshall es, na kabla ya hapo kule jambo forums, jina alilokuwa anatumia, mzee es. mods wa jamiiforums wanajua ukweli huo na wasingeruhusu jambo hilo kutokea na kuendelea kama siyo yeye mwenyewe ambaye alikuwa anatumia jina lake la field marahsll es. amebanwa. pia bado anaongopa na kusema hakuwahi kuolewa na william malecela ingawa hata yeye mwenyewe alisema ni kweli alikuwa ni mke wake. aliandika hata katika blogu ya michuzi kuhusu jambo hilo. soma hapa: michuzi -http://issamichuzi.blogspot.com/2010/04/loleza.html.: "sunday april 18, 12:52:00 pm 2010: neema ngwilulupi malecela - mke wa william malecela - mkazi wa new york kasoma hapo (loleza)." kwenye blogu hiyo ya michuzi, ulikuwa ni mjadala kuhusu watu waliosoma loleza. halafu baada ya kufichuliwa kwamba ingawa neema ngwilulupi alifeli mitihani yote loleza secondary school, na alipewa kazi ubalozi wa tanzania umoja wa mataifa new york kwa sababu ya upendeleo, akaongopa jamiiforums na kusema alisoma kilombero secondary school kujaribu kujificha ili watu wasijue ukweli kwamba alifeli alipokuwa lozela na alipewa kazi ambayo hastahili ubalozi wa tanzania united nations new york. bado yuko huko, tanzania mission to the un, kwa sababu kuna vigogo wa ccm wanaomlinda ingawa kuna ambao hawampendi kwa sababu amewatukana sana na amewaongopea sana jamiiforums na mahali pengine.

    ReplyDelete
  87. Ona Field Marshall Es (Neema Ngwilulupi) anavyoongopa na alivyo mnafiki. Hii ni mifano michache tu. Kwenye thread yake "Has Kikwete lost his 'legitimacy' to lead?" aliyoanzisha 10 December 2009, Field Marshall Es aliandika haya: "Toka ashike madaraka hakuna hata moja zuri (Raisi Kikwete) alilolifanya....Tunaweza kupunguza some nonsense kwenye majibu yake." Halafu 4 December 2012, alianzisha mada hii: "Dr. Jakaya M. Kikwete ni the best ever president!" Karibu wachangiaji wote walimshambulia sana na kuchambua unafiki wake kiasi cha kwamba akawaomba moderators kufung mjadala huo.

    Licha ya kuwa uongo, ni wendawazimu pia. Amemsifu sana Kikwete siku chache zilizopita na kusema hakuna kiongozi mzuri katika historia ya nchi hii kuliko Kikwete tangu tupate uhuru. Lakini kabla ya hapo, aliandika na kusema Kikwete "aachie ngazi" kwa sababu hajafanya lolote la maana na sio kiongozi mwenye uwezo wa kuongoza nchi.

    Kwenye thread yake nyingine, ambayo Field Marshall Es alianzisha 6 December 2012, "CCM WAKE UP! We are At War! So All Weapons Are Fair Game!," mchangiaji mmoja, nivea, alimuuliza Field Marshall Es, " je unakumbuka matusi haya uliyomtukana kikwete?" Halafu akamnukuu Field Marhall Es aliyoandika kumtukana Raisi Kikwete.

    Sasa anamsifu. Hicho ni kichaa. Ni akili za mwendawazimu.

    Halafu kumbukeni wachangiaji mbalimbali mnaendelea kukosea na kusema Field Marshall Es ni ex-husband wake, William Malecela. Field marshall Es sio William. Field Marshall Es ni Neema Ngwilulupi, mke wake mpaka 2009 walipoachana, na bado ni secretary Tanzania Mission, Umoja wa Mataifa, New York.

    ReplyDelete
  88. Linganisha anayoandika sasa, huyu Field Marshall Es (Neema Ngwilulupi) pale JamiiForums, na aliyoandika nyakati zilizopita. Ona anavyo ongopa, anavyo jikanyaga, anavyo ji-contradict, na alivyo mnafiki.

    Aliandika hayo kwenye threads zake nyingi sana alizoanzisha na ambazo zilizorodheshwa na waliomjibu kwenye mjadala wa "Has Kikwete lost his 'legitimacy' to lead?" Threads hizo zinapatikana JamiiForums kabla hajazifuta kama kawaida yake anaponaswa. Threads mbalimbali zilitajwa na kuonyeshwa na wachangiaji wengi. Halafu kuna zingine ziilizowekwa na mwanajamii mmoja, umslpogaaz, 6 December 2012. Hizo ni miongoni mwa zingine nyingi kama umslpogaaz alivyoeleza alipozibandika JamiiForums siku hiyo 6 December 2012. umslpogaaz aliandika hivi:

    "Baadhi ya posts zake (Field marshall Es - Neema Ngwilulupi) zingine hizi hapa:

    Has Kikwete lost his "Legitimacy" to Lead?

    Nini iwe hatma ya Wapiganaji walio CCM, Warudishe kadi au?

    Tukumbuke Zamani: Historia Ya Taifa Letu Katika Picha

    Mungu Lihurumie Taifa hili na Wananchi Wako!

    http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/26924-ccm-kamati-kuu-kukaa-chini-dar.html

    http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/24557-naibu-katibu-mkuu-wa-uv-ccm-asimamishwa.html

    Subash Patel: Press Conference!

    Ma-DC Wanawake: Hebu Tuwekane Sawa Sasa!

    Mramba: Another Challenge!

    Maghembe Azua Kizaa zaaa!

    Jimbo la Segerea: Nini CCM's Plan B?

    KIBANDA: My Respect And SALUTE!

    Wapinzani bungeni 2010: Kazi ya kwanza!

    Je, CCM Itatawala Milele Au?

    Vipi mgombea Lwakatare na Bukoba?

    Nini Hatma ya Upinzani Tanzania?

    Breaking News! Mabalozi Wapya!

    Spika Amsamehe Zitto Kabwe: Bravo Zitto!

    Barua ya wazi kwa Rais: Jamii inakufa Bila Political Activists & Critics!

    Viongozi Wetu Wa Taifa Zamani: Ni Nani Na Walifanya Nini

    Es! WAKATI WA KUSONGA MBELE!

    Ni kweli viongozi wetu wengi ni wagonjwa?

    LONDON: Kibelloh & Disturbing News!

    Zitto & Dr. Slaa:- Ombi Kwa Wanaforum Wote

    Wanafunzi: Tangazo Maalum

    Kutoka Dodoma!

    Tangazo Dharura: Per-diem Court Interpreter Job Opportunities‏

    UVCCM yapata uongozi mpya!

    Ninahitaji Msaada Wakuu: JF

    Ngombale Mwiru: Kulikoni Mzee Kujaribu Kumpotosha Rais?

    Mama Mongella - Aghushi na Kutafuna Mamillioni Ya Pesa!

    ETI NI KWELI RAIS WETU AMESAFIRI NA WATU 50 & FREEMAN?

    ReplyDelete
  89. nimesikia kuna vigogo na watu wengine wakubwa serikalini wanaotaka neema ngwilulupi (field marshall es) afukuzwe kazi kutoka ubalozi wa tanzania, united nations, na inawezekana kabisa ndio maana anajipendekeza sana na ameanza kumsifu raisi kikwete. na elimu yake ya kubabaisha, itakuwa vigumu sana kupata kazi nyingine au kazi nzuri kama hiyo mahali pengine. nani atamuajiri kuwa secretary au kumpa kazi nyingine ofisini wakati hajui hata kiingereza? ameishi new york, usa, karibu miaka ishirini sasa tangu 1994 katika nchi ambayo lugha wanayotumia kila siku, kila dakika, ni kiingereza. lakini hata hivyo, ameshindwa kujifunza vizuri lugha hiyo. kwa mfano, hakuna post yake hata moja jamiiforums ambamo ametumia kiingereza hapa na pale, kwa kuchanganya na kiswahili, ambayo haina makosa ya lugha hiyo. jambo la kusikitisha ni kwamba makosa hayo ni rahisi sana kuyaona na kuyasahihisha hata kama unajua kiingereza kidogo tu. lakini kwa sababu ya akili yake finyu na kutokuwa na elimu ya kutosha, neema ngwilulupi ameshindwa kuyaona makosa hayo kwenye posts zake na anaendelea kuandika kimombo kibovu. ni vigumu kuamini ana kazi ubalozi wa tanzania umoja wa mataifa - of all places!

    ReplyDelete
  90. Hata mimi sikuamini Neema Ngwilulupi anafanya kazi Tanzania Mission to the UN bila kuwa na sifa, uwezo wala elimu. CCM wanajaribu kujivua magamba na mtu kama huyo ambaye yuko kimbele sana pale Jamiiforums amewafanya viongozi kadhaa wafikirie jambo hilo la kumuondoa kwa sababu watu wengi wanaendelea kusema alipewa kazi ambayo hastahili na ambayo ni high-profile kwa sababu ni kazi ya umoja wa mataifa. Halafu michangio yake Jamiiforums haiwasaidii CCM hata kidogo bali kusaidia kukivuruga na kukisambaratisha chama tawala.

    ReplyDelete
  91. WARNING!

    It is a shame that one of our "diplomats" at the Tanzania Mission to the UN, Neema Ngwilulupi who uses the name Field Marshall Es on JamiiForums (JF) and elsewhere on the Internet, has been involved in a scam similar to the 419 Nigerian scams to try to cheat people out of their money. One Jamiiforum member, who uses the name Yo Yo, reminded the people of this "diplomat"-scammer by digging up the original post by Field Marshall ES and then posting it again on JamiiForums (JF) on 7th December 2012 as a reminder and as a warning to people that this scammer is still active. This is what Yo Yo wrote on JamiiForums (JF) on 7th December 2012:

    "Huyu mtu (Field Marshall Es - Neema Ngwilulupi) ni hatari sana. Mwaka 2009 alikuja na thread yake ya kitapeli eti atawatafutia watu kazi majuu na watume kiasi fulani cha fedha kwanza (300 American dollars).....Huu ni utapeli tumezoea kuuona kwenye mitandao wakiufanya ndugu zetu wa Nigeria....Thread ya kitapeli ni hii "Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!" Someni scammer huyu alivyo.....Yeye aliitaa mradi."

    Posted below is the original post that was posted by Field Marshall Es (Neema Ngwilulupi) on JamiiForums in 2009:

    "Field Marshall Es, 6th August 2009, Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu!

    - Wakuu wote JF, bila kumbagua yoyote nina rafiki wa kike wa kizungu anayefanya kazi kwenye mradi mmoja ambao ukitimiza masharti yake ambayo sio magumu sana, basi wanakupatia viza ya miaka mitano kwenda nchi moja majuu kufanya kazi, ni kwa professional mbali mbali na hata kwa wasio na professional wanakubalika.

    - Ameniambia the goal ni matajiri flani hivi wa kizungu wanajaribu kuwasaidia watu kutoka nchi masikini, sasa naomba kusema hivi hapa JF wanaingia hata mabalozi mengi ya majuu bongo kila siku, kwa hiyo siwezi kuweka yote hapa wazi, lakini sina tatizo kumsaidia yoyote yule mwenye kuhitaji huu msaaada mradi tu msaidiwa awe bongo, na kuna fee ya dola mia tatu, mimi sifanyi lolote zaidi tu ya kuhakikisha kwamba una pass na unataka msaada, ninaku-connect una-deal nao mwenyewe, lakini ni lazima unifahamishe ili nimfahamishe huyu dada, aifuatilie fomu yako.

    Tuwasiliane kwenye PM, au mtuwameli@yahoo.com. Mods na Utawala naomba muipe nafasi kidogo hapa ingawa sio pake, ili iwafikie ndugu zangu walalahoi, unajua sisi mabaharia huwa ni watu wa kusaidiana sana kwa sababu tusingefikia hapa tulipo bila kusaidiwa na wengine, na huwa hatusahau tulikotoka au kusahau wengine wenye shida.

    Ahsanteni Wakuu.

    Field Marshall Es, wazee wa sauti ya umeme!"

    Big scammer! Still active!

    Source:
    http://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/364747-watanzania-msikubali-tapeli-wa-mtandaoni-awe-kiongozi-wenu.html

    ReplyDelete
  92. nimesoma jamii forums field marshall es, ambaye ni neema ngwilulupi, akimkejeli freeman mbowe, mwenyekiti wa chadema, kwa kusema hata baada ya miaka 30, mbowe ameshindwa kupata degree yake ya kwanza.

    hana hata aibu kuandika upuuzi huo. nina matokeo ya mitihani yake yote tangu primary school ninayoweza kuyaweka hapa. kuna wengine pia ambao wana matokeo hayo ambayo wako tayari kuyabandika hapa. neema ngwilulupi, field marshall es, alifeli mitihani yote tangu primary school. hakupata chochote loleza secondary school - alikuwa ni total failure! alifeli pia teachers' college korogowe. ni mtupu. uelewa mdogo. akili finyu. halafu anamzungumzia mbowe kwamba ni failure licha ya mbowe kuwa na mafanikio maishani pamoja na shuleni?

    neema ngwilulupi asingekuwa na vigogo wa kumsaidia, asingeweza kupewa kazi ubalozi wa Tanzania, belgium, na baadaye katika ubalozi wa tanzania, united nations, ambako bado yuko hadi leo tangu 1994 ingawa hana sifa wala uwezo wa kufanya kazi aliyopewa ambayo ni kazi ya msaidizi wa balozi! hajui hata kiingereza. hakuna tofauti na ex- wake, william. ni mapacha kichwani. soma michangio yao jamii forums na kimombo chao cha kubabaisha. utadhani hawajawahi kuingia darasani hata siku moja maisha yao yote. licha ya connections zote walizonazo, wameshindwa kupata elimu nzuri kwa sababu hawana uwezo wa kujifunza na kuelewa chochote darasani. namfahamu william. kaka yangu alisoma naye kwiro secondary school. william alipata division 4! lakini ni division anayojisifia sana! future wife wake, neema ngwilulupi, alipata sifuri, zero, loleza secondary school! alifeli hata kiswahili!

    baada ya william kula ban pale jamii forums, kinachoshangaza zaidi ni kwamba neema ngwilulupi, field marshall es, anaendelea kuandika upuuzi pale pale jamii forums na kusema hata esther wasira arudi shuleni kujifunza. katika mada hii, "esther wasira: waliofilisi mashirika ya umma na kujiuzia nyumba za umma kukiona 2015: angalia ch 10," jamii forums, december 11, 2012, field marshall es, yaani neema ngwilulupi, aliandika: "huyu mtoto (esther wasira)...aende shuleni."

    unamwambia esther wasira aende shuleni? maneno hayo kutoka kwako uliyefeli mitihani yote tangu primary school?

    esther wasira alipata division one, secondary school, pia division one, high school, halafu upper second division katika masomo ya sheria, chuo kikuu, university of dar es Salaam (udsm).

    neema ngwilulupi, unayejiita field marshall es pale Jamiiforums, ulipata division gani? division 5! ulifeli kabisa loleza secondary school. halafu unathubutu kumwambia esther wasira arudi shuleni?

    ndio uwezo huo mdogo wa kufikiri na kuelewa, ndio akili hizo pungufu zinazo muwezesha neema ngwilulupi, field marshall es, kufanya kazi ubalozi wa tanzania umoja wa mataifa!



    ReplyDelete
  93. Ndoa ya William Malecela na Neema Ngwilulupi ilikwisha 2009. Lakini wameendelea kushirikiana Jamii Forums kuandika upupu kushambulia Chadema. Baada ya William, Le Mutuz, kuwa banned Jamii Forums, ex-wife wake (Field Marshall Es) ameendeleza campaign yao chafu against Chadema. They were once a couple, legally married. Na bado wanashirikiana katika mambo mbalimbali. They also think alike. Kwahiyo ni kweli ni mapacha mentally.

    ReplyDelete
  94. Jamani...labda CCM wakishindwa uchaguzi mkuu 2015 ndio Field Marshall Es Neema Ngwilulupi atapoteza kazi yake UN. Nilichosikia kutoka kwa vigogo fulani ninaofahamiana nao kwa muda mrefu ni kwamba kuna mpango wa kum-promote Neema Ngwilulupi kuwa balozi wa Tanzania UN baada ya uchaguzi 2015 kwa sababu amefanya kazi kwa miaka mingi sana kuliko wafanyakazi wote, Tanzania Mission to the UN, CCM wakishinda uchaguzi wa raisi mwaka huo. Amefanya kazi ubalozi wetu UN tangu 1994. Hawajali hana elimu wala sifa kustahili kazi hiyo. Wanasema kutakuwa na watu watakao kuwa wanamwandikia hotuba na pia kumpa majibu katika mahojiano mbalimbali. Kwahiyo mnaotaka afukuzwe kazi...sahau kabisa CCM wakishinda 2015. Chadema wakishinda, ni jambo lingine. Wafanyakazi katika balozi zetu zote walioteuliwa na serikali ya CCM wataondolewa. Lakini pia kuna uwezekano hata Chadema watampa Neema kazi hiyo ya kuwa balozi wa Tanzania UN au watampandisha cheo na kumpa kazi nyingine katika ubalozi wetu Umoja wa Mataifa kama shukrani kwa baba yake, Brown Ngwilulupi, kwa vile alikuwa ni mmoja wa viongozi walionzisha Chadema pamoja na Edwin Mtei, Bob Makani, na wengineo. Pia si kosa kumuacha Neema aendelee kufanya kazi pale Tanzania Mission to the UN ikiwa atakuwa amejifunza kufanya kazi ya ubalozi baada ya miaka mingi sana. Hata punda ana uwezo wa kujifunza baada ya muda mrefu sana ingawa si punda wote wana uwezo huo.

    ReplyDelete
  95. neema ngwilulupi who calls herself fieldmarshall es at jamiiforums is not even qualified to be a secretary let alone to be tanzania's ambassador to the un. i was shocked when i heard that kwamba kuna uwezekano atapewa kazi hiyo kuwa balozi wetu. kuna rafiki yangu aliyeniambia nije hapa nisome hayo.

    sijui ni vigogo gani wa ccm wanaozungumzia upuuzi huo, pamoja na aliyeandika upupu hapo juu, kwamba watamteua neema ngwilulupi kuwa balozi wetu united nations ccm wakishinda uchaguzi wa raisi 2015. labda anatania tu. and i hope so.

    sidhani hata mkwe wake mzee john malecela ana mawazo hayo. he's too intelligent for that.

    mbona hawajampandisha cheo miaka yote iliyopita hata baada ya kuwa secretary, tanzania mission to the un, karibu ya miaka ishirini sasa? amebaki kuwa secretary tu ingawa amepewa mamlaka ya kuwapa visa watu wanaotaka kuja tanzania.

    nina swali: hivi ndio maana field marshall es siku hizi ameanza kutetea sana ccm pale jamiiforums na kushambulia chadema kila siku kwa sababu ana ndoto ya kuwa balozi wetu umoja wa mataifa ccm wakishinda uchaguzi mkuu 2015? aendelee kuota ndoto.

    lakini, ukiangalia upande mwingine, tusishangae akiteuliwa kuwa balozi wetu umoja wa mataifa ccm wakishinda 2015! tuna philip mulugo, another illiterate, ambaye ni naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi - of all ministries! mfano mwingine: tuliokuwa kwenye ule mkutano arusha, sullivan summit, tunakumbuka waziri wetu wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa, bernard membe, alivyotuaibisha na kiingereza chake kibovu mbele ya umati wa kimataifa ingawa ana master's degree ya international relations kutoka johns hopkins university na pia ni raisi mtarajiwa 2015 kutoka ccm! kwahiyo anything is possible under ccm katika nchi yetu. ukiwa ni fisadi, mtoto wa mafisadi, na una connections na mafisadi, unaweza kupata kazi yoyote unayoitaka au cheo chochote unachokitaka.

    tangu mwalimu atuondoke, nchi yetu imedidimia kiasi cha kwamba tumefikia mahali ambapo anything is possible under our rotten leadership. nchi yetu inaliwa na mafisadi and watu kutoka nchi za nje. imeuzwa. viongozi wetu wanauza hata twiga na wanyama wengine. wameuza mbuga. wameuza migodi. wameuza mashamba. wanawang'oa na kuwafukuza wananchi kutoka sehemu ambazo wameishi kwa karne ili wajinufaishe na ili wawanufaishe watu kutoka nchi za nje, wawekezaji ambao hawajali hata kidogo maisha yetu. wanataka kuuza kila kitu. tumeshindwa kuwandoa kutoka madarakani. labda nchi zetu za afrika mashariki ziungane ili sisi watanzania tuongozwe na wengine, hasa wakenya na wanyarwanda, kwa sababu "wametuzidi akili". naililia nchi yangu!

    ReplyDelete
  96. Hakuna tofauti kati ya Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) na mume wake William Malecela (Le Mutuz, Baharia). Ni miongoni mwa watu wachache ambao wamejaribu sana kuipotosha na kuichafua Jamiiforums kwa kuwashambulia viongozi wa Chadema pamoja na chama hicho kwa sababu wanawachukia na wanakichukia chama hicho. Wanajamii wengi wamewaambia wajadili hoja. Hawataki kufanya hivyo. Badala yake, wanawashambulia viongozi wa Chadema, hasa Dr. Wilbrod Slaa. Kama blueray, Mwanajamii, alivyoandika Jamiiforums 12th December 2012 kumjibu Field Marshall Es kwenye mada hii, "So kumbe sio kweli kuhusu Mwalimu Nyerere na CCM!," ambayo Field Marshall Es mwenyewe alianzisha 11th December 2012 kuandika uongo mtupu kuhusu Mwalimu Nyerere:

    "Kumbe Na wewe una ugonjwa wa Chademaphobia umeshakuingia kichwani Na kukusababishia Slaaphobia!"

    Like her husband William Malecela, Neema Ngwilulupi (Field Marshall Es) has been banned from Jamiiforums. Good riddance!

    ReplyDelete
  97. nakumbuka tangu tulipoanzisha jamiiforums 2006, tulitaka kujadili mambo muhimu ya taifa letu pamoja na mambo mengine muhimu. wengi wetu tumejifunza mambo mengi sana kutoka kwa wachangiaji mbalimbali. mpaka sasa jamiiforums inaheshimiwa sana kama kisima cha elimu. lakini kuna watu wachache ambao wamejaribu kukichafua kisima hicho. wasiruhusiwe kufanya hivyo. wanajamii ni watu wa imani mbalimbali kisiasa. pia ni watu wa dini mbalimbali. ni muhimu tuheshimiane. pia ni muhimu mods wa jamiiforums kutimiza wajibu wao kuwandoa bila kuchelewa wachangiaji ambao wamevunja sheria za jukwaa hilo ili liendelee kutimiza lengo lake la kujaribu kulisaidia taifa letu kwa kuelimishana na kujadili mambo muhimu yanayohusu maslahi ya nchi yetu bila kuwaruhusu watu wachache kuleta vurugu. kwa sababu ya vurugu hizo, kuna wachangiaji mbalimbali ambao wamekata tamaa kuchangia kwa sababu wanaona mambo muhimu hayajadiliwi tena. badala yake, wengi wanalalamika na wanaanza kuwajadili wanaochafua hali ya hewa na kujaribu kupotosha lengo la jamiiforums. turudi mwanzoni na tujiulize: kwa nini tulianzisha (jambo) jamiiforums? tumefika wapi na tunaelekea wapi katika ukombozi na ujenzi wa taifa letu? pamoja na hayo yote ni suala la muungano wa tanganyika na zanzibar. ikiwa wazanzibari hawautaki muungano, lisiwe tatizo. vunja muungano. muungano wa kulazimishwa siyo muungano wa kudumu.

    ReplyDelete
  98. "Vunja muungano. Muungano wa kulazimishwa siyo muungano wa kudumu."

    Huo ni ukweli mtupu. Lakini kuna ukweli mwingine.

    Ukweli mwingine ni huu: Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hairuhusu kujitenga au muungano kuvunjwa. Huwezi hata kuanza kujaribu kuvunja muungano bila kuvunja sheria.

    Ukweli mwingine zaidi ni huu: Hakuna viongozi wa Jamhuri ya Muungano, pamoja na wale wanaotoka Unguja na Pemba, ambao wako tayari kuvunja muungano. Muungano unawanufaisha viongozi kutoka Zanzibar. Pia Wazanzibari wengi sana, 500,000, wamehamia Tanzania bara. Hawa pia hawataki muungano uvunjwe kwa sababu ukivunjwa, watalazimishwa kurudi Zanzibar. Umewasaidia sana kiuchumi. Wengi wao wametajirika kutokana na muungano. Wangebaki Zanzibar, wasingekuwa na chochote. Maisha yao bora na utajiri wote walionao umetokana na muungano na wao kuhamia Tanzania bara. Hata makamu wa raisi wa Muungano, Mzee Aboud Jumbe, ambaye hakuutaka muungano aliendelea kuishi Tanzania bara hata baada ya kuondolewa madarakani badala ya kurudi nyumbani kwake Zanzibar.

    Kwahiyo hata kama kuna viongozi kutoka Zanzibar katika serikali ya muungano na pia wananchi wa kawaida kutoka visiwani ambao hawautaki muungano, hawapendi muungano uvunjwe kwa sababu hizo. Wamefaidika sana kutokana na muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Hawakulazimishwa kuhamia Tanzania bara.

    Pia chama chochote kitakacho shinda uchaguzi wa raisi 2015 hakitaleta mabadiliko yoyote katika muungano huu. Utaendelea kudumu.

    Lakini kuna matumaini kidogo ya mabadiliko katika muungano ikiwa tutampata raisi mwenye busara na uwezo kuwa kiongozi wa Jamhuri ya Muungano na ambaye atawasikiliza wananchi wanataka kufanya nini na muungano huu.

    Bila shaka CCM watashinda uchaguzi mkuu 2015 ikiwa Salim Ahmed Salim atakuwa ni mgombea wa uraisi kutoka chama hicho. Nimetembelea mikoa yote Tanzania bara na hakuna kiongozi yoyote kutoka CCM anayeheshimiwa na anayependwa sana na wananchi kama Dr. Salim. Hata vijijini watu wengi sana wamewahi kumsikia Dr. Salim na sifa zake na uwezo wake kuwa kiongozi wa taifa. Lakini hawajui chochote kuhusu Dr. Wilbrod Slaa wa Chadema.

    Hata mimi, ingawa siyo CCM, nitampigia kura Dr. Salim na nitajaribu kuwashawishi watu wengine wampigie kura pia. Ni yeye tu katika Chama Cha Mapinduzi ambaye ana sifa, uwezo na busara kuwa raisi wa Tanzania. Pia busara zake zitasaidia kuleta suluhisho la suala hili la muungano ambao Wazanzibari wengi sana, na pia ambao Watanganyika wengi sana, hawautaki.

    Kiongozi mwingine anayeweza kusaidia kutatua tatizo hilo ni Wilbrod Slaa wa Chadema ikiwa chama chao kitashinda uchaguzi mkuu 2015 na yeye akiwa raisi. Sababu ni kwamba Chadema wana msimamo wa kutaka tuwe na serikali tatu na kuwapa Wazanzibari uhuru zaidi kuliko walionao sasa. Baada ya Chadema kuwa madarakani miaka kumi, wakishinda uchaguzi wa raisi 2015 na 2020, kuna tumaini kubwa sana watabadili katiba na kuwaruhusu Wazanzibari kujitenga.

    Lakini waombe Dr. Salim asichaguliwe kuwa mgombea wa uraisi kutoka CCM. Akichaguliwa, Chadema wasahau kabisa kushinda uchaguzi mkuu 2015.

    ReplyDelete
  99. nakubaliana na mengi yaliyoandkiwa hapo juu kuhusu dr. salim lakini sikubaliani na kila kitu. ingawa dr. salim ni mzanzibari, hawezi kuwaridhisha wazanzibari wenzake wanaotaka kujitenga na kuvunja muungano kwa sababu hataki hiyo iwe ndio legacy yake kwamba alisaidia kuvunja au kudhoofisha muungano wa tanganyika na zanzibar hata kama moyoni mwake naye hautaki muungano. pia hawezi kumpinga mwalimu nyerere ambaye alitaka muungano udumu. na nina amini kwamba hata yeye hataki muungano uvunjwe.

    ni dr. wilbrod slaa tu wa chadema anayeweza kuwasaidia wazanzibari akichaguliwa kuwa raisi wa tanzania. chadema wanataka kuigawa tanzania katika majimbo machache, labda sita upande wa bara, na kila jimbo litakuwa na serikali yake wakishinda uchaguzi. inamaanisha wananchi watakuwa na uhuru wa kuamua jinsi ya kutumia raslimali zao katika majimbo yao na kuwa na sera tofauti badala ya kungojea uamuzi kutoka serikali ya muungano. pia serikali za majimbo zitakuwa na uhuru wa kutokubaliana na serikali ya muungano katika uamuzi wa mambo mbalimbali. utakuwa ni muungano wa majimbo au wa "vinchi vidogo" vya majimbo. kwahiyo wazanzibari watakuwa na uhuru wa kujiamulia mambo mengi labda pamoja na kuanza kujitenga pole pole.

    lakini nina mashaka sana na matokeo ya uchaguzi ujao. ccm wamezoea kuchakachua kura. watafanya kila jitihada kumzuia dr. slaa asiwe raisi wa tanzania hata akishinda uchaguzi. katika uchaguzi uliopita, mhariri wa gazeti la serikali daily news alisema dr. slaa hataruhusiwa kuwa raisi wa tanzania hata akishinda uchaguzi. viongozi wengine, katika jeshi la ulinzi pamoja na usalama wa taifa, walisema hivyo. kwahiyo itawabidi chadema wawe macho sana katika uchaguzi ujao ili wasiibiwe kura tena kama ilivyotokea katika uchaguzi uliopita. ni sawa na uchaguzi zanzibar. uchaguzi ungekuwa huru miaka yote iliyopita, Civic United Front wangeshinda kila uchaguzi. amani karume asingekuwa raisi wa zanzibar. raisi wa zanzibar angekuwa ni maalim seif sharif hamadi. lakini ccm hawakumruhusu kwa sababu waliiba kura.

    ReplyDelete
  100. Kuna vyama viwili tu katika bara lote ambavyo haviwezi kushindwa uchaguzi wa bunge na uchaguzi wa raisi: African National Congress (ANC), Africa Kusini, na Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania.

    Katika uchaguzi ujao, labda CCM watakuwa na wabunge wachache kidogo kuliko walio nao sasa lakini vyama vya upinzani havitaweza hata kidogo kuwa na wabunge zaidi kuliko CCM. Pia Chadema hawawezi kushinda uchaguzi wa raisi hata kama mgombea wa uraisi kutoka CCM hajui chochote kuhusu siasa. Ni chama kinachoshinda uchaguzi, siyo mtu binafsi. CCM ni chama ambacho kina watu wengi sana Tanzania bara kuliko vyama vya upinzani.

    Kuhusu muungano, ni uamuzi wa Wazanzibari. Ikiwa hawautaki muungano, waache kabisa kushirikiana na Tanzania bara. Viongozi wao wajiondoe kutoka serikali ya muungano, warudi Zanzibar. Tutatengana kwa njia hiyo bila vita au ugomvi wowote.

    ReplyDelete
  101. Chadema sahau ushindi 2015 ikiwa hamtarekebisha mapungufu yenu bila kuchelewa. Mimi sio CCM. Sitaki CCM washinde. Lakini mmetukatisha tamaa wananchi wengi kwa sababu ya ugomvi ndani ya chama chenu badala ya kusahau tofauti mlizonazo ili mshrikiane kukijenga chama vijijini. Bado hamjafanya bidii ya kutosha kwenda vijijini, kila kijiji, kuwaelimisha wananchi ni nini lengo lenu. Muhimu sio kusisitiza tofauti kati yenu na CCM. Kitu muhimu ambacho wananchi wanataka kujua ni nini mtakachofanya kuwasaidia kutatua matatizo yao ambacho CCM hawajafanya miaka yote waliyokuwa serikalini. Mtafanya nini kupambana na ufisadi. Mtafanya nini kulinda raslimali zetu na kuhakikisha tunalipwa tunachostahili kulipwa kutokana na madini yetu. Mtafanya nini kuhakikisha wawekezaji kutoka nchi za nje, na nchini, hawaendelei kunufaika kwa kuwaibia, kuwanyanyasa na kuwanyonya wananchi. Bado hamjaingia vijijini vya kutosha. Mikutano yenu mijini haitawasaidia kushinda uchaguzi wa raisi hata mkishinda kwa kura nyingi sana, hata 100%, katika miji yote Tanzania bara. Kura hizo hazitoshi kuwawezesha kushinda uchaguzi 2015. Hata mkiacha kabisa ku campaign mijini, hamtakosea. Nenda vijijini, kila kijiji, kila siku, mpaka siku ya uchaguzi ikiwa mnategemea kushinda uchaguzi wa raisi 2015. Bunge litabaki CCM. Lakini bunge sio serikali. Nchi haiongozwi na bunge. Inaongozwa, kila siku, na serikali. Serikali hiyo inaweza kuwa ya Chadema wakati bunge linabaki mikononi mwa CCM.

    ReplyDelete
  102. Tuangalie upande mwingine katika uchambuzi huu wa siasa za Tanzania na uchaguzi mkuu ujao. Inawezekana kutakuwa na tofauti ya kura chache tu kati ya CCM na Chadema katika uchaguzi wa raisi 2015. Kura chache hizo zitawasaidia CCM kushinda kwa sababu ni kura zitakazochukuliwa na vyama vingine vya upinzani. Vingemuunga mkono mgombea kutoka Chadema, Chadema wangeshinda. Kwahiyo kushindwa kwa Chadema kwa kura chache itakuwa ni kwa sababu kura hizo zilikwenda kwa vyama vidogo vya upinzani ambavyo havina mvuto mkubwa kama Chadema.

    Kuishinda CCM, vyama vya upinzani ni lazima viungane kumpigia kura mgombea mmoja kutoka upande huo badala ya kuwa na wagombea wengi wa raisi wakati wanajua wazi kabisa hawawezi kushinda uchaguzi na badala yake watakuwa wanawasaidia CCM kushinda uchaguzi.

    ReplyDelete
  103. chadema watashindwa uchaguzi wa raisi 2015?....walishinda hata uchaguzi uliopita!

    inasemekana usalama wa taifa (uwt) na wengine walihusika katika kuchakachua kura 2010 ili kuwasaidia ccm kushinda kwa wizi!!!

    katika uchaguzi wa raisi uliopita, dr. wilbrod slaa wa chadema alipata 47%, labda hata zaidi ya 50%. hiyo ni taarifa kutoka ndani, miongoni mwao wakiwa wana-usalama wa taifa wanaojua nini kilitokea kwa sababu walihusika katika kuchakachua kura katika uchaguzi mkuu wa 2010.

    kura zilizozobaki, 53% (baada ya chadema kupata 47%), hazikuenda zote kwa ccm!! vyama vidogo vya upinzani vilipata kiasi fulani cha kura hizo, labda 15% kwa ujumla. ikiwa vyama hivyo vilipata 15% ya kura zilizobaki, kutokana na 53%, inamaanisha mgombea wa uraisi kutoka ccm, jakaya mrisho kikwete, alipata 38% tu.

    kwahiyo dr. slaa alishinda uchaguzi wa raisi kwa kupata 47% au zaidi. raisi kikwete alipata 38% au kidogo kuliko 38%. vyama vidogo vya upinzani vilipata 15% ...na bila shaka zaidi ya hizo, labda 20%, tukikumbuka tabia ya ccm kuiba kura.

    matokeo zanzibar yalikuwa hivyo pia. cuf walishinda uchaguzi kwa kura nyingi sana. lakini kama kawaida yao, ccm walichakachua kura.

    kwahiyo usiseme chadema hawawezi kushinda uchaguzi mkuu ujao.

    pia uchaguzi ukiwa huru, cuf watashinda zanzibar. acheni kuwazuia cuf kushinda uchaguzi mkitaka amani nchini. pia cuf wana haki kudai muungano uvunjwe. nani kasema nchi hii ni ya ccm tu? ccm hawana haki hata kidogo kuwalazimisha wazanzibari - au watanganyika - kubaki katika muungano.

    ReplyDelete
  104. Huu ndiyo mwanzo wa Zanzibar kujitenga? Sera za Chadema zitawasaidia Wazanzibari kutimiza lengo lao kwa kuanza kudai uhuru wao chama hicho kikishinda uchaguzi wa raisi 2015?

    Soma yaliyoandikwa na mwanajamii thatha wa Jamiiforums, aliyeanzisha mjadala huu, "Sumu ya sera ya majimbo ya Dr. Slaa na Mbowe kuwaua wabunge wa CHADEMA":

    "Wadau, hivi karibuni, viongozi wa CHADEMA chini ya Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr. Wilbroad Slaa walitangaza mpango wa Tanzania kuongozwa katika Mfumo wa Majimbo. Katika nadharia yao hiyo, ni kwamba nchi ya Tanzania itagawanywa katika Majimbo ili kuharakisha shughuli za maendeleo.

    Wametolea mfano kuwa mataifa mengi ikiwa ni pamoja na Marekani yameendelea kwa vile kuna majimbo ambayo yana mamlaka ya kupanga na kutekeleza mipango ya maendeleo katika majimbo yao. Kwa mujibu wa nadharia yao hiyo ni kuwa Tanzania itakuwa na mamlaka mbili za kiutawala.

    Kutakuwa na serikali kuu ambayo itakuwa na wajibu wa kushughulikia masuala ya kitaifa ikiwa ni pamoja na ulinzi na usalama sambamba na ushirikiano wa kimataifa. Aidha, kutakuwa na serikali za majimbo ambazo zitakuwa na jukumu la kupanga na kutekeleza mipango ya maendeleo katika maeneo yao.

    Katika kutekeleza hilo, CHADEMA wameanzisha kampeni za kueneza hoja yao hiyo kwa wananchi huku ikiwashawishi wakatae raslimali zao kutumika kwa manufaa ya Taifa. Mathalan, baada ya OPERESHENI OKOA KUSINI kutokuwa na mafanikio, viongozi wa CHADEMA waliwashawishi viongozi wa vyama vingine vya upinzani katika mikoa ya Lindi na Mtwara ili waanzishe kampeni ya kupinga mradi wa Taifa wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam chini ya kauli mbiu GESI KWANZA, VYAMA BAADAYE, HAPA HAKITOKI KITU."

    Wazanzibari wengi wanakubaliana na sera hizo za Chadema. Mafuta yatakayopatikana Zanzibar ni ya Wazanzibari. Wazanzibari wawe na serikali yao ambayo haiko chini ya serikali ya muungano kama serikali za majimbo zitakavyokuwa Chadema wakishinda uchaguzi mkuu ujao 2015.

    Wazanzibari mkitaka uhuru wenu, waunge mkono Chadema.

    ReplyDelete
  105. Kwenye mjadala huo, thatha ameandika pia yafwatayo, ingawa lengo lake ni kupinga sera hizo za Chadema:

    "Sera ya Majimbo imeanzishwa kama sehemu ya kuingilia tu mwelekeo halisi ni kuigawa nchi kimkoa. Katika maandalizi ya hilo, CHADEMA wameanzisha Tovuti za kimkoa kama vile Mbeya Yetu, Katavi Yetu, Iringa Yetu, Lindi Yetu, Mtwara Yetu, Dar es Salaam Yetu, Arusha Yetu na Zanzibar Yetu."

    Kuna kosa gani na sera hizo za Chadema? Ni ukweli mtupu. Zanzibar siyo ya Wazanzibari? Wazanzibari wana haki kusema: "Zanzibar yetu."

    Watanganyika pia wana haki kusema: "Tanganyika yetu."

    ReplyDelete
  106. Kuna thread iliyoanzishwa, Jukwaa la Siasa, JamiiForums, kuhusu Dr. Salim Ahmed Salim inayosema hafai kuwa raisi wa Tanzania 2015. Labda imeanzishwa kupima upepo. Lakini nadhani, au niseme bila shaka, imeanzishwa na wapinzani wake wa CCM, Tanzania bara au Zanzibar, kumchafua tena kama walivyomchafua katika uchaguzi wa raisi 2005. Alichafuliwa siyo kwa sababu ya dini yake. Alichafuliwa kwa sababu ni Mwarabu. Aliyemchafua ni Mwislamu mwenzake, Jakaya Kikwete, aliyechaguliwa kuwa raisi 2005, na ambaye alishirikiana na Watanzania wenzake weusi, Waislamu na Wakristo, kumzuia Mwarabu, Dr. Salim, kuwa raisi wa Tanzania.

    Lakini kuna ambao bado wanamuunga mkono Dr. Salim kuwa raisi 2015. Wengi wao ni Watanzania bara, Waislamu na Wakristo. Lakini hata viongozi wa CCM Tanzania bara wakimchaugua Salim kuwa mgombea wa uraisi 2015, hawezi kuchaguliwa kwa sababu viongozi wa CCM Zanzibar hawamtaki. Kwahiyo hawezi kuchaguliwa kuwa mgombea wa uraisi kutoka CCM ingawa labda ni yeye tu ambaye anaweza kumshinda Dr. Wilbrod Slaa katika uchaguzi mkuu 2015.

    Kuna wengine wanaotajwa bara kuwa wanafaa kugombea uraisi: Waziri Mkuu wa zamani Cleopa Msuya ingawa tayari umri wake ni zaidi ya miaka themanini; John Magufuli anayesifiwa sana kuwa ni mchapa kazi; Edward Lowassa, aliyemsaidia rafiki yake Jakaya Kikwete kumpinga na kumchafua sana Dr. Salim Ahmed Salim kwa sababu ni Mwarabu; Bernard Membe, ambaye pia ni rafiki wa Kikwete; Dr. Harrison Mwakyembe anayesifiwa sana kwa ukali wake na kwa kuwafukuza kazi viongozi mbalimbali katika mashirika na katika wizara yake wanaosemekana ni mafisadi ingawa labda anafanya hivyo kutaka sifa tu; halafu wanawake wawili, Dr. Asha-Rose Migiro na Dr. Anna Tibaijuka.

    Kuna ambao wanasema tumchague mwanamke kuwa raisi. Kati ya hao wawili, Asha-Rose Migiro na Anna Tibaijuka, Anna Tibaijuka anafaa zaidi. Ameonyesha ujasiri sana katika maamuzi yake hata alipokuwa UN-Habitat na pia tangu awe waziri bila kujali anakosana na viongozi wengine.

    Miongoni mwa wanaume, bado ni Dr. Salim tu anayefaa na atakayeweza kumshnda Wilbrod Slaa wa Chadema katika uchaguzi wa raisi 2015. Lakini baada ya kuchafuliwa sana katika uchaguzi wa raisi 2005, itakuwa vigumu sana kukubali kugombea uraisi tena. Pia umri wake ni tatizo. Atakuwa na umri wa miaka 73 wakati wa uchaguzi wa raisi 2015.

    Anna Tibaijuka pia anaweza kumshinda Dr. Slaa kwa sababu atapata kura nyingi sana za wanawake ambao kwa ujumla ni wengi kuliko wanaume. Labda ni yeye tu, Anna Tibaijuka, atakayewasaidia CCM kushinda uchaguzi wa raisi 2015 akichaguliwa kuwa mgombea wa raisi kutoka chama hicho Dr. Salim akikataa kugombea tena.

    ReplyDelete
  107. kwa nini mnasema salim ahmed salim hafai kuwa raisi wa tanzania kwa sababu amezeeka? abdoulaye wade alipigiwa kura na kuchaguliwa kuwa raisi wa senegal alipokuwa na umri zaidi ya miaka themanini (ingawa amedanganya na kusema umri wake ni mdogo kuliko ambao watu wanaomfahamu wanasema ni umri wake sahihi). halafu akachaguliwa tena kuwa raisi wa senegal. alikuwa raisi zaidi ya miaka kumi. nelson mandela alichaguliwa kuwa raisi wa afrika kusini alipokuwa na umri karibu ya miaka themanini. mugabe ana umri karibu ya miaka tisini na bado anagombea uraisi. wote hao wamemzidi umri salim ahmed salim atakaye kuwa na umri wa miaka sabini na tatu tu mwaka 2015 ccm wakimchagua kugombea uraisi mwaka huo. ana uwezo, na akili, kuwa raisi wa tanzania.

    ReplyDelete
  108. Tatizo la Dr. Salim Ahmed Salim ni Wazanzibari wenzake. Hawamtaki. Nyerere alipoondoka madarakani 1985, alitaka Dr. Salim awe raisi. Wazanzibari walikataa. Hata baada ya miaka kumi, 1995, Nyerere alijaribu tena na alitaka Salim awe mgombea wa uraisi kutoka CCM.

    Kuna viongozi Zanzibar ambao wamesema hawataruhusu kamwe Mwarabu kuwa raisi wa Tanzania. Wana uwezo wa kumzuia mtu yoyote kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wana uwezo huo kwa sababu kufwatana na utaratibu wa chama tawala, CCM, ni lazima viongozi wa chama hicho kutoka pande zote mbili, Zanzibar na Tanganyika au Tanzania bara, wakubaliane nani agombee uraisi kutoka chama chao. Upande mmoja ukikataa, mtu huyo hawezi kukubaliwa na CCM kuwa mgombea wa uraisi kutoka chama hicho. Katika uchaguzi wa raisi 2005, karibu viongozi wote wa CCM kutoka Tanzania bara, Wakristo na Waislamu, walimpigia kura Dr. Salim ili agombee uraisi. Viongozi wa CCM kutoka Zanzibar walimpinga. Wangekubali, Dr. Salim angeshinda uchaguzi na angekuwa raisi wa Tanzania 2005 - 2015. Anapendwa zaidi Tanzania bara kuliko nyumbani kwake visiwani.

    ReplyDelete
  109. walipoanza kugombea uraisi, ni kweli salim ahmed salim alikuwa na viongozi wengi wa ccm waliotaka awe raisi kuliko jakaya kikwete. tatizo lilianza kikwete na kundi lake walipoanza kumchafua na kumuongopea kwamba ni mbaguzi, alihusika na mauaji ya karume, siyo raia wa tanzania bali raia wa oman, na kadhalika. ukawa ndio mwisho wake kisiasa. nasema mwisho wake kisiasa kwa sababu alichafuliwa vibaya sana kiasi cha kwamba sidhani atathubutu tena kugombea uraisi.

    pia ni kweli wazanzibari wa ccm, ambao ni viongozi, wanaweza kumzuia mtu yoyote kugombea uraisi wa tanzania kupitia chama hicho. kwahiyo wana nguvu sana nchini tanzania kuliko watu wengi wanavyodhani. ukiangalia vizuri, utaona ni viongozi hao wa ccm kutoka zanzibar wanaotuchagulia raisi wa jamhuri ya muungano. ni hao waliokataa kumpigia kura salim ahmed salim. hata baada ya kuchafuliwa na kikwete, salim angeweza kushinda ikiwa wazanzibari wenzake wangeamua kumpigia kura kwa sababu tayari viongozi wa ccm tanzania bara walikuwa upande wake na walitaka awe raisi wa tanzania.

    pia nimesema wazanzibari wana nguvu sana kutuchagulia raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania kwa sababu zanzibar ni sehemu ndogo sana ya jamhuri ya muungano. tungekuwa na demokrasia halisi, tanzania bara ingekuwa na wajumbe wengi kuliko zanzibar kwenye mkutano mkuu wa ccm ambako anachaguliwa mgombea wa uraisi kutoka chama hicho badala ya kuwa na wajumbe, kwa mfano, mia tano kutoka bara na mia tano kutoka visiwani. viongozi na wajumbe wa ccm kutoka zanzibar wakisema john magufuli au asha-rose migiro kutoka tanzania bara hafai kuwa mgombea wa uraisi kupitia ccm, magufuli au migiro hawezi kuchaguliwa na ccm kugombea uraisi kutoka chama hicho. hata kama kuna mzanzibari mmoja tu katika ccm visiwani ambaye ana ushawishi mkubwa sana na ambaye anaweza kuwashawishi wazanzibari wenzake ambao ni viongozi wa ccm wasimpigie kura mtu fulani, kwa mfano salim ahmed salim kutoka visiwani, au bernard membe kutoka tanzania bara, kuwa mgombea wa uraisi kupitia ccm, atakuwa ndio huyo, mtu mmoja tu, anayetuchagulia raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania. mtu anayechaguliwa na ccm kuwa mgombea wa uraisi tayari ni raisi wa tanzania kwa sababu hakuna chama chochote kinachoweza kuishinda ccm katika uchaguzi mkuu.

    wazanzibari wana nguvu kiasi hicho katika chama tawala, ccm, na pia katika serikali ya muungano kwa sababu zanzibar ilikuwa ni nchi huru ilipoungana na tanganyika kuunda nchi moja ya tanzania. kwahiyo wako sawa na watanzania bara katika muungano.

    ukweli mwingine ni kwamba ccm ni chama kitakachoendelea kutawala kwa miaka mingi sana, si kwa sababu ni chama kinachotetea wanyonge na ambacho kinaheshimu haki za watanzania wote kama mwanajamii mmoja, mtu wa pwani, ambaye ni mzanzibari, alivyoandika hivi karibuni katika jukwaa la siasa jamii forums; kitaendelea kutawala kwa miaka mingi kwa sababu vyama vya upinzani havijaungana kumuunga mkono mtu mmoja kugombea uraisi kutoka upande huo wa upinzani.

    binafsi, naona ni ibrahim lipumba tu anayefaa na ambaye ana uwezo, elimu na uzoefu kuwa raisi wa jamhuri ya muungano kutoka upande wa vyama vya upinzani, na si wilbrod slaa. hakuna udini hapa. mimi ni mkristo kutoka bara lakini namuunga mkono lipumba kuwa raisi wa tanzania.

    pia ni uongo mtupu kusema cuf ni chama cha udini cha waislamu au kusema chadema ni chama cha udini cha wakristo. ni uongo wa ccm kuvichafua vyama hivyo na kuvigawa vyama vya upinzani kwa ujumla ili visishirikiane kuiondoa ccm kutoka madarakani.

    ReplyDelete
  110. CCM wanamwandaa Dr. Salim kuwa raisi wa Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia 2015, badala ya miaka kumi mpaka 2020, kwa sababu ya umri wake. Ona anavyojadiliwa siku hizi sehemu mbalimbali nchini pamoja na JamiiForums. Soma uzi huu, "Nakala ya Gazeti la Mwananchi 2005: Dr. Salim alimuua Mzee Karume 1972," Jukwaa la Siasa, JamiiFroums, ambamo anajadiliwa na kwa nini CCM watamchagua kuwa mgombea wao wa uraisi 2015.

    ReplyDelete
  111. atakubali?

    ccm ni chama ambacho kimeoza lakini wanataka kutumia ujanja kubaki madarakani kwa kumtumia mtu maarufu, dr. salim, ambaye pia ni mtu msafi na anayependwa sana na wananchi wengi tanzania bara. hata mwalimu nyerere alimpenda sana dr. salim kwa sababu hiyo na pia kwa sababu ni mchapa kazi, mwaminifu na mzalendo. viongozi wa ccm, pamoja na raisi kikwete mwenyewe, waliomchafua sana salim ndio hao hao ambao wamemwingiza kwenye kamati kuu, central committee, ya chama chao kutaka kumtumia tu. wanajua ccm hawawezi kushinda uchaguzi wa raisi na mgombea mwingine bali salim tu. pia ni njia ya kujisafisha wenyewe na kumwomba radhi baada ya kumwongopea katika uchaguzi mkuu 2005 kwamba ni hizba, sio mwananchi, na kwamba alimuua mzee abeid karume.

    ReplyDelete
  112. WAZANZIBARI wakitaka raisi wa muungano atoke Zanzibar, wakati wao ni huu. Wamuunge mkono Salim Ahmed Salim ili awe mgombea wa uraisi uchaguzi mkuu ujao. Uamuzi uko mikononi mwa viongozi wa CCM kutoka Zanzibar. Wakimpinga tena katika uchaguzi ujao 2015, Wanzanzibari wasahau kulipa taifa raisi. Itakuwa baada ya muda mrefu sana, zaidi ya miaka 20 au 30, kabla kiongozi mwingine kutoka Zanzibar atakubaliwa kuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.

    Chadema wasahau kushinda uchaguzi ujao ikiwa Salim atakuwa mgombea wa uraisi kutoka CCM.

    ReplyDelete
  113. chadema wanaweza kushinda uchaguzi lakini hawawezi kushinda bila kura za civic united front (cuf) tanzania bara. cuf zanzibar ni ccm-b, sahau kura hizo, pia ni chache ukilinganisha na kura za watanzania bara watakaowapigia kura chadema. wanachohitaji chadema ni kumshawishi professor ibrahim lipumba na wafuasi wake wa cuf tanzania bara ashirikiane nao badala ya yeye kugombea uraisi tena...wamwahidi atakuwa waziri mkuu chadema wakishinda. makamu wa raisi atakuwa mzanzibari. professor abdallah safari atakuwa makamu wa waziri mkuu, zitto kabwe waziri wa madini. hii siyo karata ya udini inayochezwa na ccm, ni kuwaunganisha wananchi, wakristo na waislamu, na kuwahakikishia waislamu chadema siyo chama cha wakristo. vyama vingine vya upinzani ni vidogo sana ingawa kura zao chache zinaweza pia kuwasaidia chadema kushinda lakini siyo kama za cuf bara ambazo ni nyingi zaidi. cha msingi ni vyama vya upinzani kushirikiana kuweza kuwashinda ccm.

    ReplyDelete
  114. Bernard Membe anatajwa sana kuwa ni mmoja wa viongozi watakaogombea uraisi kutoka CCM. Akiwa ndio mgombea wa CCM, CHADEMA wafurahi. Watashinda kwa kishindo. Watakaompa tabu Wilbrod Slaa ni Salim A. Salim na Anna Tibaijuka, labda pia Harrison Mwakyembe na Samuel Sitta. Edward Lowassa amejichafua sana kuweza kupewa nafasi hiyo ya kugombea uraisi kutoka CCM. Hakuna tofauti kati yake na Rostam Aziz.

    Kuhusu muungano, Wazanzibari waruhusiwe kuwa na nchi yao huru. Wakitaka muungano wa mkataba, waambiwe wana haki kuwa na muungano wa aina hiyo. Wakisema wanataka kujitenga, waambiwe "Jitenge." Katiba mpya iwaruhusu kufanya hivyo badala ya kuendelea kuwa na mgogoro huu ambao baadaye unaweza kutuletea vita. Hakuna suluhisho bila Wazanzibari kukubali. Hata katika muungano, Wazanzibari watabaki Wazanzibari. Hawatakubali kamwe kuuacha Uzanzibari wao na kujiita Watanzania tu. Wengi wao wanasema sio Watanzania, ni Wazanzibari. Ndio maana hata baada ya karibu miaka hamsini ya muungano, bado wanasema "Zanzibar ni nchi." Kama sio nchi, ni nini? Zanzibar ni mkoa wa Tanzania?

    ReplyDelete
  115. VYAMA VYA UPINZANI WATAJIFUNZA LINI??? Lipumba anajua hawezi kushinda. Viongozi wengine wanajua hawawezi kushinda. Ni Wilbrod Slaa tu ambaye labda anaweza kushinda ikiwa wapinzani wa CCM watashirikiana. HAWAJAJIFUNZA CHOCHOTE kutoka jirani zetu Kenya ambako vyama vya upinzani viliungana kuishinda KANU? Hapa Tanzania, wameshindwa hata kujua maana ya usemi wetu: "Umoja ni nguvu. Utengano ni udhaifu." Endeleeni hivyo ili CCM watawale miaka 50 au hata miaka 100 ijayo.

    ReplyDelete
  116. ccm hawatakuwa madarakani zanzibar baada ya uchaguzi ujao 2015----cuf watashinda uchaguzi ukiwa huru---ccm wanaweza kutawala tanganyika miaka yote hiyo, hamsini au hata mia moja, lakini sio zanzibar.

    ReplyDelete
  117. Kutoka gazeti la Raia Mwema:

    DALILI YA MVUA NI MWAWINGU.

    Twaha Amir Chambika, Fri, 2013-03-15 16:08.

    Kwa kweli mimi binafsi nilikuwa nawapa nafasi kubwa sana wanasiasa kadhaa ambao walikuwa wakitajwa tajwa au wakihusishwa kuwania kiti cha urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
    Miongoni mwa wanasiasa hao kutoka CCM ni Waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa, Waziri  wa mambo ya nje Benard Membe, Waziri wa Af. Mashariki Samuel Sitta bila kumsahau Mheshmiwa John Pombe Magufuli.


    Kwa upande wa vyama vya upinzani nimeona kuna majina maatatu makubwa yanayoweza kitikisa katika harakati za kuwania kuingia ikulu mnamo mwaka 2015. Watu hao ni Dr. Slaa, Profesa Lipumba na Zitto Kabwe.

    Lakini siyo siri mtazamo wangu ulikuja kupungua nguvu ghafla baada ya kutokea vitu viwili.
    Kwanza, huyu Waziri mkuu wa zamani na aliyekuwa katibu wa Umoja wa nchi za kiafrica alipoteuliwa kuingia katika kamati ya kukusanya maoni ya katiba mpya. Haikuishia hapo,
    Pili, akateuliwa kuwa mjumbe wa kamati kuu ya CCM- NEC. Kwa kweli hapo nikaanza kufanya calculations zangu upya na kugundua kitu fulani.

    Nakumbuka miaka ya nyuma niliwahi kufanya mchanganuo wa mtu atakayeshika madaraka ya urais huko visiwani Z'bar, baada ya Dr. Idris Abdulwakil. Nadhani ilikuwa mwaka 1991, nikaawambia wenzagu kwamba kimchanganuo kwa wanasiasa wa Zanzibar, nikimlinganisha na wanasiasa wengine, naona  Dr. Salmin Amour atachukua urais wa Zanzibar. Hiyo ilikuja kutokea, hata wenzangu walinishangaa sana. Wakasema ninafaa kuwa mchambuzi wa mambo ya kisiasa.

    Sasa turudi kwenye mada. Kifupi nisingelipenda kusema mengi, lakini kuna kila dalili kwamba Dr. Salim Ahmed Salim anaandaliwa kumrithi Jakaya Kikwete. Huyu mheshimiwa binafsi sipendi kusema anafaa au hafai, lakini ukweli wenyewe ndio huo. Huyo ndiye Rais wetu mnamo mwaka 2015. Tatizo ninaloliona kwa huyu mheshimiwa ni suala la umri. Kwa kweli umri umekwenda kiasi fulani.  Lakini nakumbuka waziri mkuu mstaafu John Malecela aliwahi kusema urais siyo kubeba zegeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Tamati

    ReplyDelete
  118. Rais Aboud Jumbe: Ilikuwaje Chama Kikampindua?

    Joseph Mihangwa, Raia Mwema, Toleo la 227

    22 Feb 2012

    KATIKA sehemu ya kwanza ya makala haya, tuliona namna Chama cha Mapinduzi (CCM) kilichoshika hatamu zote za uongozi wa nchi wakati huo, kilivyoweza kumpindua Rais wa Serikali ya Awamu ya Pili Zanzibar, Alhaj Aboud Jumbe Mwinyi, Januari 1984; na jinsi hatua hiyo ilivyozua makundi mawili yenye uhasama visiwani.

    Makundi hayo yalikuwa ni kundi la “Wanamstari wa mbele” (Frontliners), lililofurahishwa na mapinduzi hayo na lililotaka kuona Zanzibar mpya. Kundi la pili, lililoitwa “Wakombozi” (Liberators), lilichukizwa na mapinduzi hayo na kujenga chuki na uhasama mkubwa dhidi ya Mwenyekiti wa CCM, Mwalimu Julius Nyerere, aliyesimamia na kufanikisha mapinduzi hayo; na likaapa kumpa ‘kibano’ na kumdhalilisha nafasi ikitokea. Je, nafasi hiyo ilitokea? Endelea na sehemu hii ya pili na ya mwisho kupata jibu.

    Wakati akijiandaa kung’atuka urais, Mwalimu Nyerere aliwauma sikio marafiki na wasiri wake wa karibu kwamba, safari hii (mwaka 1985) angependelea Rais wa Muungano atoke visiwani. Hata hivyo, chini ya Mkataba wa Muungano (Articles of Union), Sheria ya Muungano ya 1964 na Katiba ya Muungano, utaratibu huo haukuwepo wala kutambulika. Kwa hiyo, hayo yalikuwa mawazo ya Mwalimu Nyerere pekee na kutumia ushawishi ili wengine nao wakubaliane naye.

    Ilivyotokea ni kwamba, CCM kilipeleka Kamati Kuu, majina matatu tu ya wagombea. Hao walikuwa ni Rais wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti CCM taifa wa wakati huo, Ali Hassan Mwinyi, Rashid Mfaume Kawawa, na aliyekuwa Waziri Mkuu, Dk. Salim Ahmed Salim. Kati ya hao watatu, ni Rashid Kawawa pekee ambaye hakuwa Mzanzibari.

    Mwinyi, licha ya kuzaliwa Kisarawe, mkoani Pwani -Tanzania Bara na kukulia Zanzibar alikuwa Mzanzibari kwa sababu kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar, Mzanzibari ni Mtanzania yeyote aliyeishi kwa miaka sita mfululizo visiwani. Lakini si Mzanzibari aliyeishi Tanzania Bara kwa kipindi hicho kuweza kuitwa Mtanzania Bara; yeye huyo, anabakia “Mzanzibari” tu.

    Ili kumpata mrithi wake kati ya hao watatu, Mwalimu Nyerere alianzisha mchezo wa karata za kisiasa kwa “kuwashika” wajumbe wa Kamati Kuu (CC) na Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM. Kwa bahati mbaya sana, vyombo  hivi - CC na NEC, vilisheheni makundi yenye uhasama, yaani kundi la “Wanamstari wa mbele” na kundi la “Wakombozi”; kila kundi likiwania kumwangamiza mwenzake. Miongoni mwa kundi la “Wanamstari wa mbele” walikuwemo ni Dk. Salim Ahmed Salim, Seif Sharif Hamad (Katibu Mkuu wa CUF sasa), Hamad Rashid Mohamed (Mbunge wa Wawi-CUF) na Khatib Hassan.

    Wengine walikuwa ni Kanali Adam Mwakanyuki, Isaac Sepetu, Shabaani Mloo, Ali Salim na Ali Haji Pandu.

    (Endelea hapa chini)....

    ReplyDelete
  119. Kundi la wakombozi, ambalo lilijiona kama warithi halali wa sera za Karume na ASP, lilikuwa na Brigedia Abdullah Said Natepe (kiongozi wao), Ali Mzee, Hassan Nassoro Moyo, Muhamed Seif Khatib na Salmin Amour.

    Walikuwamo pia maofisa wastaafu wa jeshi  na wa Idara ya Usalama wa Taifa kama Brigedia Ramadhan Haji ambaye pia alikuwa Waziri Kiongozi wakati wa Jumbe; Mkuu wa Jeshi la Zanzibar mstaafu, Brigedia Jenerali Khamis Hemed na wengineo.

    Tangu mwanzo, “Wakombozi” hawakumtaka Dk. Salim. Itakumbukwa, kwa mfano, mwaka 1982, pale Dk. Salim alipoteuliwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Muungano, Natepe (wakati huo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais wa Muungano, mwenye dhamana ya Usalama wa Taifa) na Ali Mzee (aliyekuwa na wadhifa kama huo kwa Serikali ya Zanzibar), walikwenda kwa Waziri Mkuu, Edward Moringe Sokoine, kumwambia kwamba, walikuwa na mamlaka kutoka kwa Rais Jumbe na Seif Bakari, kuwataka Sokoine na Mwalimu, wafute uteuzi wa Salim.

    Walitoa sababu kuu mbili:  moja ni kwamba, kulikuwa na makubaliano ya siri ya kudumu tangu utawala wa Karume, kwamba wanachama wote wa vyama vya siasa vya zamani mbali na ASP, wasishike nyadhifa zozote za uongozi wa kichama na kiserikali visiwani na kwenye Muungano, bali watumike kwa kazi za kitaaluma tu. Salim alikuwa mmoja wa viongozi wa Chama cha Kikomunisti cha “Umma Party”, kilichosimamia kishujaa Mapinduzi ya Januari 12, 1964, kwa kushirikiana na vijana wenye siasa za mrengo wa Kikomunisti ndani ya ASP, akiwamo Kassim Hanga na wengine.

    Kwa mantiki hiyo, walengwa wa makubaliano hayo ya siri walikuwa Wazanzibari wote, ndugu na koo zao, waliowahi kuwa wanachama wa vyama vya Zanzibar Nationalist Party (ZNP), Zanzibar and Pemba People’s Party (ZPPP) na Chama cha Umma Party (UP) cha Abdulrahman Babu.

    Uhasama huu wa kihistoria umedumu kwa zaidi ya nusu karne mpaka hivi karibuni, ilipoundwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa visiwani. Baadaye katika uhasama huo, nafasi ya ASP ilichukuliwa na CCM Zanzibar; na ile ya ZNP/ZPPP/UP ilichukuliwa na CUF Zanzibar. Ni kwa sababu hii, kulikuwa na msuguano mkali wa CCM na CUF Zanzibar, na si hivyo kwa vyama hivyo Tanzania Bara.

    Pili, walidai kuwa, Wazanzibari wanapoona mtu suriama wa Kiarabu na Kiafrika kama Salim akishika nafasi za madaraka, inawakumbusha chuki kubwa ya utawala wa Sultani aliyepinduliwa.

    Lakini pamoja na uongo huo wa kizandiki, “Wakombozi” hao walisahau kwamba, kufuatia Mapinduzi ya Januari 12, 1964, Karume alimteua Salim Ahmed Salim, Balozi wa Zanzibar nchini Misri.

    Sokoine, Waziri Mkuu ambaye hakuvumilia mizaha, majungu na uzandiki, aliwafukuzia mbali wazushi hao, na nyota ya Salim ikazidi kung’ara kiasi kwamba, Sokoine alipofariki Salim alirithi nafasi yake.

    Wakombozi hawakukubali kushindwa; walibadili staili kwa kuanzisha kampeni Tanzania Bara dhidi ya Salim, safari hii kwa kudai kwamba alikuwa hakubaliki visiwani, na pia kwamba kama angepewa madaraka, angeshirikiana na nchi za Kiarabu kurejesha ubepari nchini.

    Hapo tena, hawakujua kuwa nchi yetu ilikuwa mbioni kupata Ubalozi wa Saudi Arabia nchini, na pia ilitarajia kufungua Ofisi za Ubalozi kwenye nchi nyingi za Kiarabu.

    Kisha wakaja na tuhuma nzito zaidi, kwamba Salim alihusika na kifo cha Karume mwaka 1972, wakati huo akiwa Balozi nchi za nje. Karume aliuawa kwa kupigwa risasi, Aprili 7, 1972 na mwanajeshi, Luteni Hamud, kulipa kisasi kwa uhasama wa kisiasa.

    (Endelea kusoma hapa chini)....

    ReplyDelete
  120. Nassoro Hassan Moyo, ndiye alikuwa kiunganishi kikubwa kwa kundi la visiwani na kundi la Tanzania bara katika kuhakikisha kwamba jina la Salim halipiti; akisaidiana na Ramadhan Haji, Ali Mzee na Aboud Talib, wote wa Visiwani.

    Kiunganishi mkubwa kwa Bara kwenye CC na NEC katika kampeni hizo, alikuwa Waziri wa Mali asili na Utalii, Paul Bomani. 

    Ali Hassan Mwinyi alionwa na “Wanamstari wa mbele” siku ya uteuzi, wakiamini kwamba walikuwa wamemshawishi kikamilifu na vya kutosha kuweza kukubali kutogombea. Hata hivyo, mambo hayakuwa hivyo Agosti 12, 1985, pale CC ilipoketi kupendekeza jina la mgombea, wakati ahadi ya Mwinyi ya kujitoa ilipoota mbawa.

    Mwalimu Nyerere alielewa fika jinsi mchezo huo mchafu wa kupakana matope na kubomoana, ulivyokuwa ukichezwa. Licha ya kumpendelea Salim, lakini hakutaka kuonyesha, wala kuegemea upande wowote.

    Rashid Kawawa, kama ilivyotarajiwa, alijiengua; wakabakia Mwinyi na Salim, kisha wakaombwa watoke nje ya chumba, ili wajadiliwe.

    Kilichotawala mjadala pekee ni sifa za Mwinyi, kiasi kwamba Salim hakujadiliwa. Wakombozi walitumia vyema muda huu, huku Moyo na Natepe wakitawala mazungumzo.

    Mjumbe mwingine wa CC wa Kambi ya Bomani aliyezungumza kwa kirefu, alikuwa Mama Getrude Mongela. Hoja yao ilikuwa kwamba, kumruka Mwinyi ambaye alikuwa Makamu wa Rais na Makamu wa chama tawala na kumteua Salim, kungetafsiriwa vibaya ndani na nje ya nchi, ikiwa ni pamoja na kwamba, Watanzania hawakuwa na mipango thabiti ya kuandaa watawala na kurithishana madaraka. Isitoshe, Mwinyi angejiona vibaya kwa kurukwa. Kwa njia hii, Mwinyi akaibuka mshindi kama pendekezo la CC kwenda NEC kwa uteuzi wa mwisho.

    Mwinyi angeweza kujitoa kutekeleza ahadi yake kwa Nyerere na kwa kambi ya Wanamstari wa mbele, lakini hakufanya hivyo, badala yake alisema:  “Kama haya (uteuzi) ni mapenzi ya wananchi, nakubali”.  Mwalimu Nyerere, aliyekuwa Mwenyekiti wa kikao, hakupinga, pengine kwa kutarajia kwamba NEC ingemwinua Salim.

    Kambi ya Wakombozi ilitamba kwa kulamba dume kwa mara nyingine kwenye kikao hicho, ilipofika uteuzi wa mgombea kiti cha Rais wa Zanzibar, baada ya kupendekeza kwa sauti moja, jina la Idrisa Abdul Wakil, ambapo Wanamstari wa mbele walimpendekeza Seif Sharrif Hamad.

    Mapendekezo ya CC yaliwasilishwa NEC Agosti 15, 1985 kwa uteuzi wa mwisho.  Kwenye kikao hicho, kambi ya “Wanamstari wa mbele” ilipata mtetezi kwa jina la Mzee Thabit Kombo, swahiba mkubwa wa Nyerere; aliyewasilisha hoja kwamba, kumtoa Mwinyi Zanzibar ili awe Rais wa Muungano, kungevuruga hali ya amani na utulivu aliyosaidia kujenga na kusimika katika uongozi wake wa miezi 18 tu Visiwani.

    (Endelea kusoma)....

    ReplyDelete
  121. Kauli ya Kombo ilimezwa kwa sauti za kupinga za wajumbe wa NEC kutoka Bara, kuonyesha kwamba Bomani na Mongela walikuwa wamefanya kampeni yao vyema. Nyerere akaahirisha kikao kwa muda, akawaita pembeni wasiri wake wachache, wakiwamo Mwinyi, Kawawa na Kombo; wote hao, wakateta jambo.

    Kikao kiliporejea, Kombo alikuwa amegeuka, alimuunga mkono Mwinyi; na kwa mara ya kwanza alimuunga mkono Wakil, kwa nafasi ya Rais wa Zanzibar. Kura zilipopigwa, ni kura 14 tu kati ya 1,746 zilizomkataa Mwinyi.

    Kwa upande wa Zanzibar, ambapo ni wale wajumbe 163 tu wa NEC kutoka Zanzibar waliokuwa na haki ya kupiga kura kwa uteuzi wa Rais wa Zanzibar, Wakil alipata ushindi mdogo wa kura 85 dhidi ya 75 za Seif Sharrif Hamad.

    Ushindi huo kwa nafasi zote mbili uliwapagawisha kambi ya wakombozi, wakaonekana kuchezesha maungo yao dhahiri hadharani, huku Getrude Mongela akipiga mbiu kwamba ni wao, waliopendekeza jina la Mwinyi na la Wakil, kwenye CC; na kupigana kufa na kupona kwenye NEC kuokoa jahazi.

    Kwa kambi ya “Wakombozi” kutoka Bara, ushindi wa Mwinyi uliwafanya wapumue kwa matarajio, kwamba angalau sasa nchi ingetawaliwa  na mtu (Mwinyi) asiye na makuu, asiye na msimamo, msikivu lakini rahisi kuyumbishwa; kuliko kama angetawala Salim, kiongozi mwenye kujiamini, mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri na kujenga hoja, mchangamfu lakini mwenye tahadhari daima.

    Shamra shamra za “ushindi” wa “Wakombozi” zilivyozidi kuwa adha kubwa hata wakati wa Kampeni za Urais Zanzibar, ilibidi Nyerere, Mwinyi na Kawawa wavae njuga kuzikabili, ili kufuta dhana kwamba “Wakil amepona kutoswa” kwa nguvu na Wakombozi na kuanza kuwasafisha Wanamstari wa mbele ili wasidhalilishwe bila sababu za msingi.  Mwalimu, huku akimlenga Natepe na kundi lake alisema:

    “Nataka mjue kwamba, nawaelewa vyema vijana (Wanamstari wa mbele) hawa. Ni vijana wakweli makini na si wasaliti.  Sitavumilia kuona wakichukuliwa kuwa maadui (wa Zanzibar na Wazanzibari). Na hilo ndilo agizo langu”.

    Katika uchaguzi wa Rais wa Zanzibar mwaka 1985, mgombea pekee, Abdul Wakil Nombe, alipata ushindi duni wa asilimia 58.6 tu, ambapo kwa Pemba pekee, alipata chini ya asilimia 25.

    Pamoja na kinyang’anyiro cha madaraka miongoni mwa Wana-CCM Zanzibar kufikia kikomo, bado mpasuko kwa njia ya vikundi hivyo vyenye uhasama uliendelea chini kwa chini. Na kwa sababu CCM kilikuwa Chama cha kitaifa, migongano yote ya Zanzibar ililetwa kwenye NEC Tanzania Bara (Dodoma) kwa usuluhishi na uamuzi.

    Hata hivyo, hali ilipoendelea hivyo, miaka miwili baadaye, yaliandaliwa mashitaka toka CCM Zanzibar, dhidi ya “Wanamstari wa mbele” saba, maarufu kama “the magnificent seven”, kisha NEC ikakaa Kizota, Dodoma na kuwafukuza uanachama Seif Sharrif Hamad, Shabaan Mloo, Ali Haji Pandu, Khatib Hassan, Soud Yusuf Mgeni, Hamad Rashid na Ali Salim.

    Kundi hili la waliofukuzwa, lilijikusanya na kuanzisha Chama cha upinzani kwa siri, kwa jina la “Kamati ya Mwelekeo wa Vyama Huru” (KAMAHURU) ambacho, miaka minne baadaye juu yake, pamoja na vyama vingine, palimea na kukua Chama cha Wananchi – CUF, chenye nguvu kubwa karibu sawa na CCM Visiwani.

    Leo, CUF Zanzibar na CCM Zanzibar vimefunga ndoa kuwa mwili mmoja chini ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Je, ndoa hiyo itaweza kuondoa au kufuta kabisa minyukano ya chini kwa chini miongoni mwa “Wakombozi” na “Wanamstari wa mbele” ndani ya Serikali hiyo?.  Muda, kama ilivyo ada, ni shahidi wetu mzuri.

    (Mwisho).

    ReplyDelete
  122. Mnaolilia Urais Nyamazeni, Mpesheni Dk Salim Ahmed Salim Aingie

    Joseph Mihangwa, Raia Mwema, Toleo la 285

    13 Mar 2013

    PATASHIKA nguo chanika inaendelea kichini chini kwa vingunge wa vyama vya siasa kuendesha kampeni za urais kwa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka 2015. Majina kadhaa yanatajwa na wao kutokanusha, na wapambe wao kuzizima.

    Kwa upande wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanatajwa Waziri Mkuu Mstaafu (kwa kashfa), Edward Lowassa, Waziri wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, Waziri Mkuu wa sasa, Mizengo Pinda na wengineo wachache.

    Kwa vyama vya upinzani, anatajwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Willibrod Slaa, Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho na mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, wakati kwa upande wa Chama cha Wananchi (CUF), anatajwa Mwenyekiti wake, Profesa Ibrahim Lipumba. Wote wanaojinasibu na kinyang’anyiro hicho, wanatoka Bara. Wazanzibari hawatajwi, kana kwamba Zanzibar si sehemu ya Tanzania.

    Kwa CCM, ni utamaduni uliozoeleka kwa mgombea kutokana na Kamati Kuu ya Chama hicho, lakini kinyume na matarajio, hao wanaotajwa kuukamia urais wamefyekwa katika Kamati hiyo kwa sababu zisizofahamika.

    Kuteuliwa kwenye Kamati Kuu ya CCM kwa mwanasiasa mkongwe na mwanadiplomasia wa kimataifa, Dk Salim Ahmed Salim bila matarajio ya makada wengi wa chama hicho, kumezua minong’ono, kiwewe na taharuki kwa wanyemeleaji wa nafasi hiyo kwamba huenda Dk Salim anaandaliwa kwa mambo makubwa zaidi.  Hata hivyo, wanajiliwaza kwamba kwa umri wake wa miaka 73, Dk Salim hizi si zama zake za kuongoza nchi!

    Lakini pamoja na hayo, wanafahamu kwamba katika hali ya sasa ya taifa kupoteza dira na mwelekeo, panahitaji Rais makini kutawala awamu moja tu ili kuweka mambo sawa, bila kujali umri wala itikadi ya chama chake, mradi tu awe mzalendo na mkombozi wa wanyonge.

    Lakini Mungu si Athumani; lolote laweza kutokea kwa mazingira ya sasa ya kuchafuka kwa bahari ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, hivyo kuhitaji nahodha mkongwe kuinusuru meli kwenye tufani. Tayari CCM imeweka wazi kuwa kinakusudia kurejea kwenye misingi ya uadilifu wa enzi za TANU na ASP ili kurejesha heshima ya taifa hili.

    Ni nani awezaye kufufua misingi hiyo kwa uhakika na umakini mkubwa mbali na wa zama za Dk Salim Ahmed Salim? Jukumu hilo muhimu, kama tunavyoshuhudia, haliwezi kutekelezwa na wanasiasa wa zama za ‘Bongo fleva,’ au wale wanaotamba kwa ufisadi wao nchini. Taifa linayumba kwa kukosa viongozi wenye busara na hekima.

    (Endelea kusoma hapa chini)....

    ReplyDelete
  123. Taifa liko njia panda likiweweseka kwa dhambi kuu nne za maangamizi. Mosi; ni nchi kukosa itikadi na dira ya maendeleo. Tunaimbishwa Ujamaa huku tukichezeshwa ngoma ya Ubepari, ya kila mtu kuishi kwa ukali wa meno yake. Pili; ni kutoweka kwa maadili na utamaduni wa taifa hili kwamba nchi inabugia sumu, makapi ya kila aina kwa maangamizi yake. Nchi inapokosa utamaduni wake, ni sawa na mti usio na mizizi, kuweza kuangushwa na upepo duni tu.

    Tatu; ni kutoweka kwa heshima ya Mtanzania katika duru za kimataifa, tofauti na enzi za Serikali ya awamu ya kwanza ambapo alisifika kama mpigania haki, usawa wa kijamii, amani na utulivu. Nne; ni kuibuka kwa udini unaotishia kuipasua nchi vipande vipande, na pengine kuitupa kwenye janga la umwagaji damu.

    Tano; ni kero za Muungano ambapo Zanzibar sasa inataka itambuliwe kama nchi. Tayari Wazanzibari wamezika tofauti na uhasama wao wa siku nyingi na kufanikiwa kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa; uhasama uliowagawa na kuwadhoofisha kisiasa na kijamii kuweza kufinyangwa finyangwa ndani ya mfumo tata wa Muungano. 

    Leo wanaweza kuzungumza kwa herufi kubwa ndani na nje ya Muungano; na tayari wamesema sasa ni zamu yao kutoa Rais wa Muungano. Je; Wabara ambao ndio walio wengi, watakubali hilo, katikati ya mikanganyiko ya kisiasa na kidini inayolikumba Taifa letu hili?

    Misingi ya TANU na ASP ndiyo iliyozaa kile tunachojivunia sasa kama ‘hali ya amani na utulivu’ ambavyo vinatoweka haraka kutokana na uongozi wa nchi kuwa mikononi mwa nyang’au walafi na ubinafsi. Misingi hiyo ilikuwa ni usawa wa binadamu, vita dhidi ya rushwa, unyonyaji, uonevu na maisha bora kwa wote.

    Chama Tawala kama CCM, hakiwezi kusalimika kama Chama iwapo wanachama wake, hasa viongozi, watautazama utendaji wake (Dk Salim) kwa maslahi yao binafsi badala ya maslahi ya umma. Uanachama na uongozi wa aina hiyo, ni ugonjwa (ukoma) ndani ya Chama.

    (Endelea kusoma)....

    ReplyDelete
  124. Kinachopotea haraka hivi sasa, kwanza; ni uhuru wa kitaifa, kwa maana ya uwezo wa wananchi kuamua juu ya hatima yao ya kujitawala bila kuingiliwa na watu wasio wazalendo. Pili; ni kupotea kwa uhuru dhidi ya njaa, magonjwa na umasikini kwa kuwa tu siasa, uchumi wa nchi na rasilimali za Taifa zimehodhiwa na kikundi kidogo cha wahujumu uchumi na mafisadi na Serikali ikasalimu amri kwa wadhalimu hao.

    Tatu; ni kutoweka kwa uhuru binafsi, haki ya kuishi maisha ya heshima na usawa kwa wote, uhuru wa mawazo na wa kushiriki katika maamuzi yanayogusa maisha ya watu. Hivi leo,  mambo hayo ni kwa kudra ya Mungu, kwa kuwa kundi la walionacho halimjui mdunda kazi mwenye njaa. Na ingawa kuna Bunge linalopashwa kumsemea, limetekwa na ufisadi na kujipambanua kama taasisi ya ulaji na ya kuzika demokrasia.

    Kurejea kwa wakongwe wenye kumbukumbu sahihi ya mambo haya kwenye ulingo wa CCM, kama vile Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, Mohamed Seif Khatib na wengineo, ambao hapo nyuma walipigwa buti kuachia nafasi vijana (ma-bongo fleva), ni ishara ya kutambua usemi kwamba ‘lazima utazame nyuma ili uweze kwenda mbele,’ na ni dalili pia ya kushindwa kwa kizazi kipya kuongoza nchi kwa mafanikio bila kuingiza busara na hekima ya wakongwe. 

    Ilivyo sasa, CCM imegeuka kokoro lenye kuzoa kila uchafu na kutishia amani na usalama wa taifa kutokana na ukweli kwamba Chama lege lege huzaa Serikali legelege!

    Kwanini tusiwe na kina Salim Ahmed Salim na kina Philip Mangula, Mohamed Seif Khatibu na wengineo wachache, kurejesha heshima ya Taifa hili baada ya kizazi cha ‘Bongo fleva’ kuonyesha wazi kushindwa kuhimili changamoto za utawala wa nchi?

    Kuongoza nchi bila itikadi wala maadili ya taifa, ni sawa na nahodha asiyejua bandari aendayo. Kwa nahodha kama huyo, hakuna upepo ulio mwafaka kwake. Na ndimo tulimo hivi sasa, kwa nchi yetu kugeuzwa shamba la bibi pasipo mtu wa kukemea; uzalendo unayoyoma haraka kwamba tusishangae kuona siku moja Bunge likiongozwa na Spika Mjapani, au nchi kuwa na Waziri Mkuu Mmalaysia, kadri tunavyozidi kuruhusu nguvu ya fedha kuchukua nafasi ya uzalendo, kwani tayari wahaini hawa wanazungumzia uraia popo wa nchi mbili!

    Nchi inakabiliwa na janga hatari jipya la mgawanyiko kwa misingi ya udini na uhasama unaokithiri, kati ya Wakristo na Waislamna kutishia amani. Haya yote ni ishara ya kudhoofika kwa uzalendo, umoja wa kitaifa na kiitikadi. 

    Kama hali hii itaachwa kuendelea, uchaguzi mkuu ujao utakuwa mgumu kwa sababu kila kundi litataka achaguliwe Rais wa dini yake kwa gharama ya utaifa. Kwa hali ilivyo, hakuna mgombea mwingine anayeweza kuleta suluhu ya makundi haya mawili zaidi ya Dk Salim Ahmed Salim ambaye anakubalika kwa Wakristo na kwa Waislamu; tangu kale, juzi, jana hadi leo.

    Dk Salim si mdini, si mhafidhina wa kisiasa, ni mwanademokrasia jamii. Kikundi cha Wazanzibari, kilichojiita ‘Liberators’ (Wakombozi) na kuzoea kumhujumu ili kulinda ‘ukale’ kinajua hilo na hakimuwezi tena.

    Na kwa kuwa Wazanzibari sasa wamezika tofauti zao za kiitikadi za miongo mingi na kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa, sasa ni dhahiri zile hujuma walizokuwa wakimfanyia Dk Salim, kwamba yeye ni mwanachama wa zamani wa Zanzibar Nationalist Party (ZNP) hazina mshiko tena. 

    Kwa sababu hiyo, anaweza kuwa mgombea pekee wa urais, akipenda, anayekubalika vizuri na pande zote za Muungano pamoja na makundi ya kidini yanayoibuka kuliko mwanasiasa mwingine yeyote yule, Bara na Visiwani, licha ya umri wake mkubwa.

    (Endelea kusoma hapa chini)....

    ReplyDelete
  125. Heshima ya Mtanzania imeporomoka mara dufu kimataifa tangu enzi za awamu ya pili. Kiongozi wa Kitanzania wa sasa si yule wa enzi za awamu ya kwanza, aliyechukia udhalimu, uonevu, unyanyasaji na ukoloni wa kimataifa, bali viongozi wa sasa ni mazuzu tegemezi, wasaliti na wakumbatia rushwa, ufisadi na mamluki wanaonunulika kirahisi kwa maangamizi ya nchi na wananchi.

    Kuna mantiki gani kupinga maoni yaliyotolewa na Mwingereza, Bi Sarah Hermitage hivi karibuni kuhusu ufisadi, dhuluma na rushwa serikalini? Kuna mantiki gani kwa mafisadi wa nchi hii kuchochea vijana waandamane dhidi yake kwa madai ya kutudhalilisha badala ya kumsapoti?

    Watuambie, iko wapi chenji ya vijisenti vya rada tuliyoambiwa vitalipwa? Kwa nini tunaficha nyuso juu ya ufisadi mkubwa wa Meremeta, Richmond/Dowans, Deep Green na mwingine wa aina hiyo? Wanafiki wapevu hawa! Wahaini, wasaliti wa taifa!

    Tumejenga utamaduni tata wa kupata marais kutokana na mawaziri wa Mambo ya Nchi za Nje, kuanzia na Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, Rais wa sasa Jakaya Kikwete; na leo Waziri wa sasa wa wizara hiyo, Bernard Membe anapiga jaramba kufuata nyayo. 

    Yote haya eti ni kwa lengo la kutia ubani uvundo wa nchi katika medani za kimataifa! Kama kweli hiyo sasa ndiyo tiketi ya urais, basi hakuna Mtanzania aliye hai wa kuweza kumfikia Mwanadiplomasia Dk Salim Ahmed Salim!

    Dk Salim Ahmed Salim, kama alivyokuwa Mwalimu Julius Nyerere, ni mwanasiasa, mwanadiplomasia wa kimataifa na msomi mwenye historia ndefu ya harakati za mapambano dhidi ya uonevu; mwenye kiu ya haki na usawa kwa wote. Wengi tunamkumbuka miaka ya karibuni kama Balozi, Waziri Mkuu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (sasa Umoja wa Afrika) na msuluhishi wa migogoro kimataifa.

    Mwamko wake wa kisiasa unaanzia miaka ya 1950 huko Zanzibar enzi za mapambano ya kudai uhuru wa visiwa hivyo, kama Katibu Mwenezi wa Umoja wa Vijana uliojulikana kama Youths Own Union (YOU), uliounga mkono harakati za chama cha mrengo wa kushoto cha Zanzibar Nationalist Party (ZNP).

    Wakati huo, vijana wa Kizanzibari walijipambanua na harakati za kupinga ukoloni kitaifa na kimataifa, kuanzia harakati nchini Algeria dhidi ya ukoloni wa Kifaransa, na Ghana dhidi ya Waingereza, Mau Mau (Kenya) na Afrika kusini dhidi ya tawala za kibaguzi za Wazungu, na kutoka harakati za ukombozi wa Wapalestina hadi vita ya Vietnam, kwanza dhidi ya Wafaransa na baadaye Marekani.

    (Endelea)....

    ReplyDelete
  126. Dk Salim, kama msemaji wa YOU, alikuwa mtu wa kwanza Afrika Mashariki kutahadharisha juu ya uwezekano wa Waziri Mkuu wa Kwanza wa Congo, Patrice Emery Lumumba, kuuawa na mabeberu, ilipotangazwa kwamba amepotea. Alishambulia (Dk Salim) vikali Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) kwa hujuma hiyo; na leo historia imethibitisha kuwa alikuwa sahihi.

    Ni Dk Salim aliyewaongoza vijana wa Kizanzibari kupinga hatua ya Marekani kujenga Kituo cha Kijasusi (tracking station) Zanzibar sehemu ya Tunguu, hadi kikaondolewa. Ni katika harakati hizi dhidi ya ukoloni na ubeberu, alikutana na mwandani wake, Mama Amne Ali Rifai wakaoana.

    Ni kutokana na kuundwa kwa chama cha harakati za ukombozi cha Umma Party visiwani Zanzibar, kwa vijana wanaharakati kujiengua kutoka ZNP, wakiongozwa na Abdulrahman Babu mwaka 1963, kwamba Dk Salim alianza mikiki mikiki ya kibalozi, kwanza nchini Cuba na baadaye Misri. 

    Alikuwa Cuba wakati Rais wa nchi hiyo, Fidel Castro alipotangaza azimio lake mashuhuri la Havana (the Havana Declaration), na Dk Salim akalikariri sehemu zake muhimu kwa lugha ya Kihispaniola. Baada ya Mapinduzi ya Zanzibar ya Januari 12, 1964, Serikali mpya ya Mapinduzi ilimteua kuwa Balozi nchini Misri akiwa na umri wa miaka 22 tu. Na Muungano waTanganyika na Zanzibar ulipozaliwa, Aprili 1964 alibakia Misri kama Balozi wa Tanzania.

    Alitumika kama Balozi kwa mara ya mwisho nchini China ambako alikuwa rafiki kipenzi cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Chou-en-Lai, kabla ya kuteuliwa Balozi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa (UN), alikotumikia kwa miaka kumi. 

    Akiwa huko, alitoa mchango mkubwa na kuiletea heshima kubwa nchi yetu, kwanza kwa kuchaguliwa Mwenyekiti wa Kamati Maalum ya UN ya Ukombozi dhidi ya Ukoloni, kisha Rais wa Baraza la Usalama la UN na Rais pia wa Baraza Kuu la Umoja huo. 

    Aliwania nafasi ya Katibu Mkuu waUN na kuungwa mkono na mataifa yote wanachama, lakini alishindwa kwa kura turufu (Veto) ya Marekani kwa sababu tu alijipambanua na siasa za mrengo wa Kisoshalisti. Ndiyo kusema kwamba mchango wa Dk Salim kwa ukombozi wa Bara la Afrika na dunia kwa ujumla, hauwezi kupuuzwa wala kusahaulika.

    Kama Watanzania wanatafuta Rais wa kurejesha amani na utulivu, mshikamano wa kitaifa, usawa na demokrasia ya kweli nchini na heshima inayopotea, ni nani zaidi ya Mtanzania huyu asiyejua lugha ya ulafi, ufisadi, udini wala kulipiza kisasi, Dk Salim Ahmed Salim? Tunahitaji mtu wa aina yake kwa kipindi kimoja tu cha uongozi kunusuru nchi yetu!

    (Mwisho).

    ReplyDelete
  127. CHADEMA mna kazi! Baada ya kusoma hapo juu, naona Salim Ahmed Salim tayari ni raisi wa Tanzania kuanzia 2015. Labda mnaweza kushinda. Lakini sijui mtashindaje uchaguzi bila kushirikiana na CUF Tanzania bara CUF wakikubali kumpigia kura mgombea wa uraisi kutoka CHADEMA. Msali sana ili Salim asichaguliwe na CCM kuwa mgombea wao wa uraisi katika uchaguzi mkuu ujao.

    ReplyDelete
  128. salim akichaguliwa na ccm kugombea uraisi ---  wapiga kura wa cuf watampigia kura mwislamu mwenzao salim na sio mkristo slaa wa chadema .... huo ndo udini unaolichafua na kuligawanya taifa letu ---- washukuru ccm kwa kuchochea udini, pia kwa kuchochea ukabila. kumbuka ni hao hao ccm waliomchafua salim, halafu sasa wanataka awaokoe. asikubali kugombea uraisi. pia wakati wake umepita.

    ReplyDelete
  129. Itakuwa vigumu sana Dr. Wilbrod Slaa wa Chadema kumshinda Dr. Salim Ahmed Salim. Lakini anaweza kushinda ikiwa mgombea mwenzake atakuwa Professor Abdallah Safari ili Safari awe makamu wa raisi Chadema wakishinda.

    Pia Abdallah Safari ni Mzanzibari. Kwahiyo tiketi ya Chadema itakuwa na wagombea kutoka sehemu zote za muungano, Tanzania bara anakotoka Wilbrod Slaa, na Zanzibar anakotoka Abdallah Safari.

    Chadema pia watangaze mapema wazi kabisa kabla ya uchaguzi 2015 na wakati wa kampeni kwamba Zitto Kabwe atakuwa waziri mkuu Chadema wakishinda.

    Kwa sababu Abdallah Safari na Zitto Kabwe ni Waislamu, kuna tumaini kubwa kwamba Waislamu wengi watawaunga mkono Chadema, si kwa sababu watapenda kumpigia kura Dr. Wilbrod Slaa ambaye ni Mkristo ili awe raisi wa Tanzania - watawaunga mkono Chadema kwa sababu watakuwa wanawapigia kura Waislamu wenzao, Abdallah Safari na Zitto Kabwe, ili wawe viongozi wa taifa pamoja na Slaa hata kama wengi wao hawampendi Slaa kwa sababu za udini.

    Udini umeingia Tanzania, tupende tusipende. Chadema wawe tayari kucheza karata hiyo, kama CCM, lakini siyo kuigawanya nchi kati ya Wakristo na Waislamu kama CCM walivyofanya bali kuwaunganisha Wakristo na Waislamu kwa kuwachagua viongozi kutoka makundi hayo kuwa viongozi wa taifa: Raisi, Wilbrod Slaa, Mkristo. Makamu wa raisi, Abdallah Safari, Mwislamu. Waziri mkuu, Zitto Kabwe, Mwislamu.

    Halafu baada ya Slaa kumaliza kipindi chake kuwa raisi, Zitto Kabwe apewe nafasi kugombea uraisi kutoka Chadema. Mgombea mwenzake, atakayekuwa makamu wa raisi Chadema wakishinda tena, awe Mwislamu kutoka Zanzibar. Waziri mkuu awe Mkristo kutoka bara. "Udini" wa aina hiyo utalisadia taifa kwa sababu sio kama udini wa CCM ambao viongozi wake wameutumia kuligawanya taifa kwa manufaa yao binafsi.

    ReplyDelete
  130. Kuishinda CCM wagombea wawe hawa:

    Slaa - raisi

    Lipumba - makamu wa raisi

    Safari - waziri mkuu

    ReplyDelete
    Replies
    1. KATIBA HAIRUHUSU vyama vya upinzani nchini Tanzania kuungana kama ilivyo Kenya. Ibrahim Lipumba sio CHADEMA kama Wilbrod Slaa na Abdallah Safari. Lipumba akihamia CHADEMA, nadhani CHADEMA watashinda kama ulivyosema hapo juu - Raisi Slaa, Makamu wa Raisi Lipumba, Waziri Mkuu Safari. Siamini Lipumba atahamia CHADEMA. Peke yao, hata mimi siamini hata kidogo CHADEMA watashinda uchaguzi wa raisi 2015. Labda wana siri ambayo inawafanya waamini watashinda. Sijui wana mpango gani utakao wawezesha kushinda. Ni siri yao watakavyopata kura nyingi kuliko CCM kuwawezesha kushinda uchaguzi mkuu ujao.

      Delete
  131. chadema hawasemi hadharani lakini wanamwogopa salim salim akiwa mgombea wa uraisi kutoka ccm kwani ni yeye tu wanajua anaweza kumshinda wilbrod slaa --- ccm si wapumbavu watahakikisha wanamchagua atakayeshinda, ambaye ni salim, sio lowassa, membe au wengine, ni salim tu atakayekisaidia chama tawala. labda mgombea wa uraisi kutoka chadema akiwa mwanamke wanaweza kushinda kwa sababu ya kura za wanawake --- ni wengi kuliko wanaume.

    ReplyDelete
  132. vyama vingi vinadhoofisha democracy kitu ambacho watanzania tumeshindwa kujifunza. ndo maana chama kimoja, ccm, kitaendelea kutawala. ukiangalia nchi zote ambazo zina democracy, utaona kila moja ya nchi hizo ina vyama viwili tu, vikubwa, vinavyoshindana katika uchaguzi: uk viwili, usa viwili, hata katika nchi za kiafrika, zambia viwili, ghana viwili, kenya viwili, ivory coast viwili, sierra leone viwili, hata nigeria na matatizo yake yote ina vyama vikubwa viwili. watanzania tutajifunza lini? vyama vya upinzani nchini tanzania viunde chama kimoja tu cha upinzani au wapinzani wa vyama vidogo wajiunge na chadema. bila hivyo, sahau kabisa kuishinda ccm hata miaka mia tano ijayo. wengi wetu hatutegemei vyama vya upinzani vitaunda chama kimoja kikubwa cha upinzani. kwahiyo ni dhahiri, wazi kabisa, ccm watashinda kwa kishindo uchaguzi mkuu ujao 2015 hata kama mgombea wao wa uraisi atakuwa anna kilango ambaye ni mwanasiasa dhaifu sana, au rostam aziz!

    ReplyDelete
  133. hapo juu sikumaanisha kusema anne kilango, nilimaanisha anne makinde ambaye ni kiongozi dhaifu sana. anne kilango anaweza kuongoza nchi hii, hata mimi nitampigia kura kuwa raisi. shy-rose bhanji pia anaweza kuwa raisi makini sana.

    ReplyDelete
  134. CHADEMA HAWANA mwanamke anayeweza kuwa raisi. Labda wamwombe Asha-Rose Migiro kujiunga nao ili agombee uraisi. Slaa hawezi kushinda bila mgombea wake ambaye ni mwanamke anayejulikana na ambaye ni Mwislamu. Abdallah Safari ana uwezo sana na anaweza kuongoza nchi akichaguliwa makamu wa raisi kutoka Chadema lakini watu wengi nchini bado hawamfahamu. Mgombea wa Chadema, makamu wa raisi, atapata kura nyingi sana za wanawake akiwa mwanamke, pia atapata kura nyingi sana za Waislamu akiwa Mwislamu. Kwahiyo ni Asha-Rose Migiro tu anayeweza kuwaletea Chadema ushindi akigombea kuwa makamu wa raisi. Chadema watafute njia ya kumshawishi ajiunge nao. Wamwambie CCM hawatampa nafasi kuwa mgombea wa uraisi kutoka chama hicho lakini ana nafasi Chadema kuuwa makamu wa raisi. Atakubali? Inawezekana. Muda wa kuwapuuza wanawake kuwa viongozi wetu umepita. Mwingine ni Balozi Mwanaidi Sinare Maajar, Mwislamu, ambaye ni miongoni mwa wananchi walioanzisha Chadema. Ana uwezo mkubwa sana kuwa makamu wa raisi na kuwa raisi kama Asha-Rose Migiro.

    ReplyDelete
  135. Sina shaka hata kidogo CCM watashinda uchaguzi wa raisi 2015. Lakini watashinda kwa kura chache sana. Chadema watapata kura nyingi sana lakini siyo kuwawezesha kushinda.

    Pia sina shaka hata kidogo Chadema wangeshinda uchaguzi huo ikiwa vyama vingine vya upinzani visingekuwepo. Kura za vyama hivyo zingekuwa ni za Chadema.

    Chadema wanaweza kushinda wakiwaahidi mapema viongozi wa vyama vya upinzani kwamba wakiwaunga mkono Chadema, Chadema wataunda serikali ya umoja wa vyama vyote vya upinzani wakishinda uchaguzi, na kwamba waziri mkuu na makamu wake watatoka kwenye vyama hivyo vingine vya upinzani. Raisi na makamu wa raisi watatoka Chadema.

    Kuhusu bunge, bado litakuwa na wabunge wengi sana wa CCM kuliko vyama vyote vya upinzani kama ilivyo sasa mpaka nchi yetu itakapokuwa na chama kimoja kikubwa cha upinzani chenye nguvu na uwezo wa kupambana na CCM. Labda itakuwa hivyo baada ya miaka ishirini.

    Kama Chadema hawana ushawishi mkubwa vijijini bali mijini tu, CCM wana haki kushinda uchaguzi mkuu ujao, kwa sababu wamejijenga sana vijijini pia kwa miaka mingi sana, ingawa sitaki washinde.

    ReplyDelete
  136. nimesikia juzi kwamba watu wengi wanasoma yaliyoandikwa hapa kuhusu maovu ya serikali ya ccm na uchaguzi wa raisi 2015. nataka kuchangia kidogo tu. wazo langu linahusu chadema na jinsi watakavyoweza kushinda uchaguzi 2015. wasiangalie wingi wa kura tu bila kujali zitatoka wapi. muhimu, hata kabla ya kura, ni strategy watakayotumia kupata kura nyingi sana kuwawezesha kushinda. wa-concetrate kwenye mikoa ambako kuna upinzani mkubwa na ambako watu wengi hawajaridhika na uongozi wa ccm.

    mikoa ya pwani ni ngome ya cuf, pia ya ccm kwa sababu ya waislamu wengi sana wanaomuunga mkono raisi kikwete na kumtetea hata anapofanya makosa ingawa kuna ambao wanampinga na hawajali ni mwislamu mwenzao. lakini waislamu wengi sana watamuunga mkono mgombea wa uraisi kutoka ccm hata kama ni mkristo kwa sababu atakuwa amechaguliwa kugombea uraisi kutokana na msaada wa kikwete. atakuwa "amebarikiwa" na kikwete kuwa mrithi wake.

    kuna waislamu wengi pwani na sehemu nyingi bara ambao wanataka chadema washinde. wengi wao ni wanachama wa chadema. wako hata zanzibar. hakuna chama kinachoweza kushinda uchaguzi bila kura za wakristo na waislamu pamoja. lakini kwa sababu waislamu katika mikoa ya pwani ni wengi kuliko wakristo na wengi wao watampigia kura ibrahim lipumba au kiongozi mwigine wa cuf atakayegombea uraisi, pamoja na mgombea wa uraisi kutoka ccm, chadema wasitegemee kushinda katika mikoa ya pwani.

    ushindi wa chadema utatokana na kura za kanda ya ziwa, ya kaskazini, nyanda za juu kusini, na mikoa ya magharibi ambako zitto kabwe atakisaidia sana chama hicho kupata kura nyingi. ni sehemu hizo ambako chadema ni lazima wawe na watu wengi ambao ni committed kusaidia kuwapata wapiga kura wengi sana watakao mpigia kura slaa kuwa raisi wa tanzania.

    salim ahmed salim hawezi kumshinda slaa kwa sababu watu wamechoka na uongozi mbovu wa ccm ingawa ni kweli salim ana uwezo mkubwa sana kuongoza nchi yetu. wagombea wengine kutoka ccm, hao akina membe na wengine, sio tatizo hata kidogo wakijaribu kupambana na slaa. ni watupu. huwezi kuwalinganisha nao na salim ambaye na uwezo wake wote, na uzalendo wake wote kama wa nyerere, hata yeye hawezi kumshinda slaa katika uchaguzi wa raisi 2015 kwa sababu atakuwa ni mgombea wa chama ambacho ni mzoga. bila hivyo, angeweza kumshinda slaa.

    uchaguzi ujao ndiyo mwisho wa utawala wa ccm. sikubaliani na ambao wanasema ccm watashinda. ccm wanaweza kushinda kwa njia moja tu ----wakifanikiwa kuiba kura tena kama walivyofanya katika uchaguzi uliopita 2010. lakini wakichakachua tena, 2015, wategemee machafuko na umwagaji wa damu nchini ingawa labda hayatakuwa kama ya rwanda. lakini kutakuwa na machafuko. damu itakuwa mikononi mwao, ccm, milele. ccm wameisha mwaga damu, bara na visiwani, tangu 2000 walipowanyima cuf ushindi zanzibar kwa kuiba kura. tegemea kumwagika damu tena 2015 ccm watakapojaribu kung'ang'ania utawala wa nchi ili watawale nchi yetu mpaka mwisho wa dunia.

    ReplyDelete
  137. Chadema hawawezi kushinda uchaguzi wa raisi bila kura za wapinzani wengine wa CCM. Ni vizuri wakishindwa ili kushindwa kwao liwe fundisho kwa wapinzani wengine wa CCM ambao ni wanachama wa vyama vidogo vya upinzani. Baada ya Chadema kushindwa katika uchaguzi mkuu ujao, labda ndio Watanzania wataamka na kuunda chama kimoja kikubwa cha upinzani. Nategemea chama hicho, Chadema au kingine chenye jina tofauti baada ya vyama vyote vya upinzani kuungana, kushinda uchaguzi wa raisi 2020 au 2025. Kabla ya hapo, sahau. Ni CCM tena 2015 --- na ninawapa CCM hongera mapema. Wanastahili kushinda. Kwa nini wasistahili ushindi na kwa nini wasipewe hongera wakati hakuna upinzani wa kutosha kuweza kuwazuia kushinda? Utakuwa ni wivu tu! Jitayarisheni kuongozwa tena na CCM baada ya uchaguzi mkuu 2015, mpende msipende! Acheni kuwaonea wivu CCM. Unda chama kimoja chenye nguvu kama au kuliko CCM. Mkifanya hivyo mtastahili kuongoza nchi. Bila hivyo, itakuwa ni ndoto tu kwamba wapinzani wa CCM watashinda uchaguzi wa raisi wowote hata miaka hamsini ijayo.

    ReplyDelete
  138. chadema walishinda uchaguzi wa raisi 2010 lakini ccm waliiba kura ----wilbrod slaa angekuwa raisi wa tanzania leo. chadema watashinda 2015--ushindi wa chadema utakuwa pia ni ushindi wa cuf zanzibar kwa sababu chadema watawaacha wazanzibari kujitawala wenyewe----ccm kamwe hawatafanya hivyo------waachie wazanzibari nchi yao hata kama kuna ambao wanaoutaka muungano ili waishi tanzania bara kuchuma fedha!!!!

    ReplyDelete
  139. Chadema watashinda wakifanikiwa kupata njia ya kumshinda Dr. Salim Ahmed Salim akiwa ni mgombea wa uraisi kutoka CCM. Akiwa ni mgombea mwingine kutoka CCM, Chadema watashinda uchaguzi wa raisi 2015 kwa kishindo. Chadema wakishinda, raisi atakuwa Dr. Wilbrod Slaa. Makamu wa raisi labda atakuwa Professor Abdallah Safari.

    ReplyDelete
  140. chadema msiwa-underestimate ccm hata kidogo ---- ingieni katika kampeni na uchaguzi ujao kama underdog, siyo as equals - litakuwa ni kosa kubwa sana kama mnajiona ni sawa na ccm kisiasa.

    ccm ni wakongwe wa siasa na njama, intrigues, za kila aina ---- msipokuwa macho, mtaibiwa kura tena. lakini sidhani kama hilo litakuwa ni tatizo kubwa 2015 kwa sababu mtakuwa macho ili msidanganywe tena na ccm.

    tatizo lenu ni kupata kura nyingi vijijini!!!

    ikiwa bado hamjajijenga vijijini, ikiwa wapiga kura vijijini hawajui sera zenu na kwa nini mnataka kuigawa nchi na sera zenu za ukanda na majimbo, ikiwa wapiga kura vijijini bado wanakiamini chama cha mapinduzi kama chama cha wananchi na kinacholinda amani na umoja wa taifa bila kuligawanya katika kanda za makundi ya makabila, sahau kabisa!!! hamuwezi kushinda uchaguzi wa raisi 2015.

    nionavyo, nadhani ccm watashinda tena uchaguzi wa raisi katika uchaguzi mkuu ujao. chadema mtapata kura nyingi sana katika uchaguzi huo, labda milioni nne au milioni tano. lakini sidhani kama zitatosha kuwaletea ushindi. labda mtazitumia kura zenu nyingi hizo kuwashawishi ccm ili mshirikiane nao kuunda coalition government kama civic united front na chama cha mapinduzi walivyofanya zanzibar ---- mkikataa kuunda serikali ya aina hiyo, sidhani mtapata nafasi ya kuongoza nchi.

    labda mnaweza kushinda uchaguzi wa raisi 2025. labda!!!

    tatizo lenu liko vijijini ---- hamjapenyeza vya kutosha kupata wafuasi wengi kuwawezesha kuishinda ccm!!!

    ni tofauti kabisa na visiwani. cuf wameshinda kila uchaguzi zanzibar. watashinda tenza 2015 ---- ccm waachie cuf madaraka ili waongoze zanzibar bila kutuletea tena machafuko visiwani.

    ReplyDelete
  141. Wewe hapo juu sidhani unajua nchi inaelekea wapi chini ya uongozi wa CCM. CCM walishinda uchaguzi uliopita kuwa kuiba kura. Hawawezi kufanya hivyo tena katika uchaguzi mkuu 2015. Chadema watashinda. Dr. Slaa atakuwa raisi wa Tanzania. Makamu wa raisi atatoka Zanzibar lakini sina hakika atakuwa ni Professor Abdallah Safari. Prof. Safari labda atakuwa waziri mkuu au waziri wa katiba na sheria katika serikali ya muungano. Lakini nakubaliana nawe kuhusu Zanzibar. CUF watashinda tena. Chadema wakishinda uchaguzi mkuu ujao, CCM hatakuwa na nguvu yoyote Zanzibar. CUF wataunda serikali peke yao Zanzibar.

    ReplyDelete
  142. Ni kweli ukombozi wa Zanzibar utatokana na ushindi wa Chadema. Soma taarifa hii, "Sera za mungano za chama cha Chadema hizi hapa," mzalendo.net, 08/01/2013:

    "Chadema jana kiliwasilisha mapendekezo kadhaa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba; mojawapo kikitaka kuwapo kwa mfumo wa shirikisho wa serikali tatu kwenye Katiba Mpya. Katika mfumo huo, Chadema kinataka kuwapo kwa Serikali ya Tanganyika na Zanzibar, ambazo kila moja itakuwa na mamlaka kamili ya Rais, Bunge na Mahakama, na kuwapo pia kwa Serikali Ndogo ya Muungano....

    Wajumbe (wa Chadema waliokutana na tume ya katiba walikuwa) ni Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai; Zitto Kabwe, Naibu Katibu Mkuu Chadema Tanzania Bara na Mbunge wa Kigoma Kaskazini; na John Mnyika, Mkurugenzi wa Habari na Uenezi Chadema na Mbunge wa Ubungo.

    Wengine ni Said Issa Mohammed, Makamu Mwenyekiti Chadema Zanzibar; Hamad Mussa Yussuf, Naibu Katibu Mkuu Chadema Zanzibar; John Mrema, Mkurugenzi wa Halmashauri na Masuala ya Bunge Chadema, na Profesa Kulikoyela Kahigi, Mbunge wa Bukombe....

    Lissu, ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mashariki na Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, alisema katika mapendekezo yao, wanataka kuwapo kwa pande mbili za Muungano haki ya kujitoa kwenye Muungano kwa sharti kwamba, wanaotaka hivyo, wapige kura ya maoni."

    Wazanzibari watakuwa na haki ya kujitoa kwenye muungano mapendekezo ya Chadema yakikubaliwa. Kuna tumaini kubwa sana yatakubaliwa.

    ReplyDelete
  143. kuna watu, hasa wana-ccm, wanaosema chadema wanataka kuvunja muungano. wanachosahau au ambacho hawataki kusikia ni kwamba muungano halisi sio muungano wa serikali bali wa wananchi. ikiwa wananchi hawautaki muungano, wananchi wana haki kuukata. ndo maana chadema wanasema wananchi waruhusiwe kupiga kura ya maoni ili ukweli ujulikane ikiwa wanautaka muungano au kama hawautaki. kuna ubaya gani kuwauliza na kuwasikiliza wananchi? ni viongozi wa ccm ambao hawataki kuwasikiliza wananchi. sio kama viongozi wa chadema. ushindi wa chadema utakuwa ni ushindi wa wananchi. pia utakuwa ni ushindi wa wazanzibari ambao hawautaki muungano. ikiwa ni wengi kuliko wale wanaoutaka muungano, utakuwa ndo mwisho wa muungano! zanzibar itakuwa nchi huru na serikali yake, na raisi wake, na bendera yake, na jeshi lake, sarafu yake yenye mashada ya karafuu, na kadhalika, kwa sababu ya sera za chadema.

    ReplyDelete
  144. Blogu hii ya ndugu yetu Mzanzibari labda itawasaidia wasomaji wengi visiwani kujiunga na chadema ili chama hicho kikishinda uchaguzi mkuu ujao kiwasaidie kutimiza lengo lao la kujikomboa kutoka kwa Watanganyika.

    ReplyDelete
  145. ulisoma aliyoandika ahmed rajab, mzanzibari .... kuhusu uchaguzi wa 2015? aliandika katika gazeti la raia mwema - toleo la 295, 22 may 2013, "CCM itapokwenda kapa katika uchaguzi wa 2015":

    "SIDHANI kama kuna atayeshangaa akikiona Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaangushwa katika uchaguzi ujao wa 2015. Uwezekano wa CCM kwenda kapa 2015 ni mkubwa".

    ccm wakishindwa, nani atashinda? chadema!!!

    ahmed rajab ni mchambuzi maarufu sana katika bara la afrika na uingereza .... mara nyingi sana uchambuzi wake ni sahihi. mtamkumbuka 2015.

    ReplyDelete
  146. Mna hakika kuna uwezo wa kuwazuia CCM kuiba kura katika uchaguzi wa 2015 na kuwanyima Chadema na CUF ushindi?

    Ni kweli CCM wako desperate lakini naona watacheza karata yao ya mwisho ambayo ni kumtumia Dr. Salim Ahmed Salim kuwapatia ushindi kwa kumchagua kuwa mgombea wao wa uraisi 2015. Atakuwa na umri wa miaka 75 wakati wa uchaguzi mkuu ujao. Kwahiyo hatakuwa mzee sana.

    Chadema watamshindaje Salim katika uchaguzi wa raisi 2015?

    Mchambuzi mmoja maarufu, Professor Azaveli Lwaitama wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, amesema CCM wakimchagua Dr. Salim kuwa mgombea wao wa uraisi, watashinda uchaguzi mkuu ujao. Ni jambo la kutisha sana kwa sababu sikumbuki Lwaitama amewahi kukosea katika uchambuzi wake wa mambo muhimu ya taifa. Kama yuko sahihi katika uchambuzi wake huo, CCM wakishinda tena uchaguzi wa raisi, ushindi wao utakuwa ni balaa kwa taifa letu.

    Ombeni Dr. Salim asikubali kuwa mgombea wa raisi kutoka CCM. Awakumbushe CCM jinsi maadui wake katika chama hicho, pamoja na Jakaya Kikwete, walivyomchafua katika uchaguzi uliopita kwa kusema hafai kuwa raisi kwa sababu alihusika na mauaji ya Abeid Karume na pia kwa sababu ni Mwarabu, ni mbaguzi wa rangi, na si mwananchi wa Tanzania bali mwananchi wa Oman.

    ReplyDelete
  147. ChaDeMa watamshindaje Dr. Salim akiwa mgombea wa uraisi kutoka CCM?

    Kwanza, hakuna ushahidi wala dalili yoyote kwamba atachaguliwa na CCM au kwamba hata akiombwa atakubali kuwa mgombea wao wa uraisi. Inawezekana mgombea wao atakuwa Dr. Asha-Rose Migiro au Dr. Anna Tibaijuka. Ni zamu ya wanawake kuongoza nchi. Pia wapiga kura ambao ni wanawake ni wengi kuliko wapiga kura ambao ni wanaume. Mwanamke akichaguliwa na CCM au ChaDeMa kuwa mgombea wa uraisi, inawezekana atashinda kwa sababu ya kura hizo za wanawake ingawa wanaume wengi sana bado hawataki kuongozwa na mwanamke.

    Lakini CCM wakimchagua Salim kuwa mgombea wao wa uraisi, ChaDeMa WATAMSHINDA kwa kusema ukweli kwamba ni msafi lakini yuko katika chama kibovu, chama ambacho ni mzoga, ambacho kimeuza nchi, ambacho hakiwasikilizi wananchi, na ambacho hakitaki kutatua mgogoro kati ya Tanganyika na Zanzibar kwa sababu kinawang'ang'ania Wazanzibari ingawa hawataki kubaki katika muungano.

    ChaDeMa pia WATAMSHINDA Dr. Salim Ahmed Salim kwa kuhakikisha kwamba wawakilishi wa ChaDeMa na wa vyama vingine vya upinzani watakuwa katika KILA KITUO cha wapiga kura kuhakikisha kwamba CCM hawaibi kura tena na pia kwa KUSISITIZA kwamba mara tu baada ya kura kuhesabiwa, matokeo ni lazima yatangazwe MARA MOJA KUTOKA KILA BILA KUNGOJEA kura zote kuhesabiwa pamoja ili zichakachuliwe na CCM kama ilivyotokea katika uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2010.

    ReplyDelete
  148. Sahihisho hapo juu:

    Matokeo (ya chaguzi) ni lazima yatangazwe mara moja kutoka KILA KITUO....

    ReplyDelete
  149. kwa bahati mbaya, wazanzibari siyo wengi katika muungano, hawana kura za kutosha kuweza ku influence uchaguzi wa raisi, ndo sababu moja kwanini wana haki kujitenga au kudai tuwe na muungano wa mkataba utakao kuwa muungano wa nchi mbili zilizo huru, kila nchi na serikali yake bila kuwa na serikali moja ya muungano. chadema na cuf ni vyama hivyo tu vinavyoweza kutufikisha huko. kwahiyo ni muhimu wazanzibari kuwaondoa ccm kutoka madarakani visiwani. hawana nguvu kufanya hivyo tanganyika. ni watanganyika tu ambao wana uwezo wa kuwandoa ccm tanzania bara. baada ya ccm kuondolewa, kuna tumaini kubwa sana zanzibar itakuwa huru tena kutokana na ushindi wa chadema tanganyika na ushindi wa na cuf zanzibar.

    ReplyDelete
  150. Chadema watashinda uchaguzi wa raisi ikiwa vyama vingine vya upinzani vitamuunga mkono Wilbrod Slaa. CCM wana siri zao kujaribu kumnyima ushindi. Zanzibar hakuna tatizo. CUF watashinda. Raisi wa Zanzibar 2015 atakuwa Maalim Seif Sharif Hamad. Raisi wa muungano labda Slaa.

    ReplyDelete
  151. Ng'wamapalala, ameweka taarifa hii JamiiForums, 29 Mei 2013, kutoka gazeti la Mwananchi:

    Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema amewataka wakazi wa Arusha, kujiandaa kwa maandamano hadi bungeni Dodoma, kupinga kuwasilishwa muswada wa mabadiliko ya kufanyika Uchaguzi Mkuu, badala ya 2015 ufanyike 2017.

    Akizungumza katika mkutano wa kampeni jana katika Kata ya Kaloleni, Lema alisema kuna taarifa kuwa kuna mpango wa kupelekwa bungeni muswada wa mabadiliko ya uchaguzi ujao, jambo ambalo linapaswa kupingwa kwa nguvu zote.

    “Tunajua wabunge wa CCM wataukubali muswada kwani wanajua ukifanyika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 wengi hawatashinda, lakini wajue nguvu ya umma itashinda,” alisema Lema....

    Alisema kuna hoja kuwa Uchaguzi Mkuu lazima ufanyike baada ya kukamilika kwa mchakato wa Katiba Mpya au kuwapo na fedha za kutosha jambo ambalo Chadema hawatalikubali.

    “Tunajua mwaka 2015 Chadema tunachukua nchi hivyo, hatutaki kuwaongezea muda CCM na tukichukua nchi tu kama nikichaguliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani katika kipindi cha miezi sita kitaeleweka,” alisema Lema.

    Alisema ndani ya miezi sita Serikali ya Chadema, itahakikisha fedha zote zilizofichwa Uswisi na nchi nyingine zinarudi na watuhumiwa kufikishwa mahakamani.

    ReplyDelete
  152. MsemajiUkweli, "Zitto: Kikwete ni Rais wa ajabu", JAMII FORUMS, 4 Juni 2013:

    MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), amesema Rais Jakaya Kikwete ni mtu wa ajabu na kueleza kuwa kama si uvumilivu wake nchi ingekuwa katika machafuko makubwa.

    Zitto ametoa kauli hiyo juzi, wakati akizungumza katika Kipindi cha Makutano kinachorushwa na Redio Magic FM ya jijini, Dar es Salaam ambapo alitakiwa kuelezea kipindi cha uongozi wa rais huyo ambaye amebakiza miaka miwili madarakani.

    Akijibu swali hilo, Zitto alisema kiongozi huyo wa nchi anapaswa kuheshimiwa kutokana na uamuzi wake wa kuruhusu uhuru wa maoni tofauti na ilivyo kwa viongozi wengi duniani.

    Mbunge huyo alisema, huchukia watu wanaposema, Rais Kikwete ni dhaifu na kuwataka kutotumia vibaya uhuru wa kutoa maoni.

    “Naomba nisieleweke vibaya, lakini ukweli ni kwamba, Rais Kikwete ameacha kiasi kikubwa uhuru wa watu kutoa maoni. Sasa rais anaweza kutukanwa lakini yeye hachukii. Ni vema wananchi wakaacha kutumia vibaya uhuru huo.

    “Kikwete ni mkuu wa nchi aliyejaribu kwa kiasi kikubwa kuwafanya watu kuwa huru. Kama rais angekuwa ni mtu mwenye hasira, ni wazi kwamba nchi ingekuwa katika machafuko makubwa,” alibainisha Zitto.

    Habari: Jambo Leo

    ReplyDelete
  153. katika mapendekezo ya katiba mpya, hakuna ambayo yametoka kwa wazanzibari ---- hatuutaki muungano, hatutaki serikali tatu, hata watanganyika hawautaki muungano, hawataki serikali tatu.

    ReplyDelete
  154. Zanzibar itakuwa huru katika muungano wa serikali tatu kwa sababu Tanganyika pia itakuwa na serikali yake. Serikali ya muungano haitakuwa na nguvu na mamlaka kama serikali tuliyonayo sasa. Ikiwa kuna mafuta Zanzibar, mafuta hayo yatakuwa ni ya Wazanzibari tu. Ikiwa mafuta yatapatikana Tanganyika, mafuta hayo yatakuwa ni ya Watanganyika tu. Pia madini yote Tanganyika yatakuwa ni ya Watanganyika tu baada ya katiba mpya kupitishwa. Kila nchi ijitegemee. Wazanzibari waanze kurudi Zanzibar badala ya kuendelea kuishi Tanganyika. Pia Watanganyika wanaoishi Zanzibar warudi Tanganyika. Ndiyo maana ya uhuru na kujitegemea.

    ReplyDelete
  155. mauaji jana, 15 juni 2013, kwenye mkutano wa hadhara wa chadema kule arusha, na mauji mengine yaliyotokea tanzania bara na visiwani kwa sababu za kisiasa na udini, yanaonyesha tuna viongozi wa aina gani nchini tanzania. katika nchi zingine za kiafrika, kuna viongozi ambao wametumia machafuko kama hayo kujiongezea madaraka kuwa madikiteta na kufuta vyama vya upinzani ambavyo wanavilaumu kuanzisha machafuko ingawa mara nyingi ni serikali zenyewe ambazo zinaanzisha machafuko hayo. pia askari wa majeshi katika nchi mbalimbali za kiafrika wametumia machafuko kama hayo kupindua serikali. machafuko hayo yakiendelea nchini tanzania, na ikiwa serikali haitalinda amani, tutakuwa na vita nchini, hasa tanzania bara, na hakuna sababu yoyote kwa nini wazanzibari wasiwe na haki ya kujitenga kwa sababu ni serikali ya muungano inayolaumiwa kutokuwa na uwezo wa kuongoza nchi na pia kwa sababu inawakandamiza wazanzibari. ikiwa imeshindwa kulinda amani nchini, hasa tanzania bara, na ikiwa inaendelea kuwakandamiza wazanzibari na kukataa kuwasikiliza hata wanapokuwa na maoni tofauti kuhusu muungano na pia kuhusu katiba mpya, kwa nini waendelee kubaki katika muungano?

    wazanzibari wamekuwa watulivu na wavumilivu karibu miaka hamsini tangu nchi zetu zilipoungana ingawa hawautaki muungano huo. wataendelea kuwa watulivu na wavumilivu mpaka lini? hata watanganyika hawautaki muungano, lakini hakuna wananchi, bara au visiwani, ambao wameulizwa ikiwa wanautaka muungano. ndo maana mark bomani, aliyewahi kuwa attorney-general wa tanzania, amesema siku chache zilizopita alipohojiwa na waandishi wa habari dar es salaam kwamba wananchi waulizwe ikiwa wanautaka muungano au ikiwa hawautaki. amesema katiba mpya haitawatendea haki wananchi ikiwa hatutakuwa na kura ya maoni kuwauliza wazanzibari na watanganyika kuhusu muungano: tuendelee kuwa na muungano au tuuvunje muungano? tuwe na muungano wa aina gani? au tuuvunje kabisa?

    tuuvunje. watanganyika na wazanzibari ambao hawautaki muungano ni wengi kuliko ambao wanaotaka tuendelee kuwa na muungano huu.

    ReplyDelete
  156. kuna viongozi wa ccm zanzibar wanaosema tukiwa na serikali tatu katika muungano, utakuwa ndo mwisho wa muungano. wanasema pia utakuwa ndo mwisho wa zanzibar. wanasema pemba itajitenga. kuna ubaya gani pemba ikijitenga? kuna kosa gani ikitaka kuwa nchi huru? pemba iwe nchi huru, unguja iwe nchi huru, tanganiyka iwe nchi huru. waulize wananchi, pemba, unguja na tanganyika wanataka nini.

    ReplyDelete
  157. Kuwauliza wananchi ikiwa wanautaka muungano? SERIKALI YA CCM KAMWE haitaruhusu jambo hilo. Ni Chadema tu ambao wameahidi kufanya hivyo wakishinda uchaguzi mkuu ujao 2015.

    Maandamano kama ya Misri yakifanyika Unguja na Pemba, labda yanaweza kusaidia kuilazimisha serikali kuwasikiliza Wazanzibari kuhusu muungano. Lakini watu wengi watauawa na serikali ya CCM. Serikali ya CCM haijali kuua wananchi. Wananchi wengi wameuawa Zanzibar, wameuawa pia Tanganyika na askari chini ya uongozi wa CCM. Ikiwa wananchi wengi visiwani wako tayari kuuawa na serikali ya CCM, waanze kuandamana kama wanavyoandamana Misri. Wakiendelea kuandamana kila siku kwa mwaka mmoja, au hata kwa miaka miwili, na kuuawa kila siku, kuna uwezekano watasikilizwa, na kuna uwezekano muungano utavunjika. Muungano utavunjwa na Wazanzibari wakiwa tayari kupoteza maisha yao watakapokuwa wanapigwa risasi na askari wa serikali ya CCM kila siku wakati wa maandamano, pia wakikataa kabisa kushiriki katika shughuli zote za muungano. Wakifanya hivyo, serikali haitakuwa na uwezo wa kuwalazimisha kubaki katika muungano.

    ReplyDelete
  158. Hakuna siri. Ushindi wa Chadema utatokana na kura za vijana. Taifa letu ni taifa la vijana. Vijana wote watakaopiga kura katika uchaguzi mkuu ujao hawajui mafanikio ya CCM miaka mingi iliyopita. Walizaliwa miaka ambayo Chama Cha Mapinduzi tayari kilikuwa ni mzoga. CCM bado ni mzoga. Raisi wa Tanzania baada ya uchaguzi 2015 atakuwa ni Wilbrod Slaa. Makamu wa raisi Abdallah Safari. Waziri mkuu Zitto Kabwe. Waziri wa elimu Halima Mdee - tunahitaji waziri wa elimu ambaye ni kijana.

    ReplyDelete
  159. umeona matokeo ya uchaguzi zimbabwe - zanu/pf wamechakachua kura tena. kawaida yao. tegemea ccm kufanya hivyo 2015. vyama vikongwe hivyo. havitaki kuondoka madarakani. pia kuna salim ahmed salim. akiwa mgombea wa ccm -- chadema mna kazi. halafu kuna asha rose migiro au anna tibaijuka. mmoja wao akiwa mgombea pamoja na salim (salim rais, asha au anna makamu wake), ushindi ni wa ccm.

    ReplyDelete
  160. Zaidi ya 80% ya wapiga kura nchini Tanzania wako vijijini (rural areas) kama Zimbabwe na nchi zingine za Kiafrika. Ushindi wa Chadema, au ushindi wa CCM, utatokana na wapiga kura hao ambao wako vijijini. Mfano ni Zimbabwe: Hata kama ZANU/PF wasingechakachua kura katika uchaguzi uliopita mwaka huu, 2013, wangeshinda uchaguzi, ingawa kwa kura ambazo siyo nyingi sana kama walizopata katika uchaguzi huo. Sababu ni kwamba chama cha upinzani, MDC, hakina wanachama au wafuasi wengi vijijini Zimbabwe. Ni sawa na Chadema nchini Tanzania. Hata kama CCM hawataiba kura katika uchaguzi mkuu ujao 2015, wanaweza kushinda uchaguzi kwa sababu ya kura kutoka vijijini ambako Chadema bado hawana wanachama wengi kama CCM.

    Kwahiyo ushindi wa Chadema 2015 hautatokana na kura za vijana tu bali kura za wananchi vijijini katika kila mkoa wa Tanzania. Hapo ndiyo wanaChadema wana kazi: kukishinda Chama Cha Mapinduzi vijijini ambako chama hicho bado kina wafuasi wengi sana ingawa ni kweli kuna ambao wamekata tamaa na uongozi wa CCM. Lakini ukweli haubadiliki: Chadema, Tanzania, ni kama MDC, Zimbabwe: Hawana wanachama wengi vijijini ambako ushindi utatoka 2015.

    ReplyDelete
  161. nakumbuka kuna wakati ahmed rajab aliwahi kuandika na kueleza kwa nini watu wasishangae hata kidogo ccm wakishindwa katika uchaguzi mkuu ujao. ccm wanajua ukweli huo lakini hawako tayari kuondoka madarakani - wanaweza kucheza karata hii - kumchagua dr. asha rose migiro kuwa mgombea wao wa uraisi ili wapate kura nyingi za wanawake, ambao ni wengi kuliko wapiga kura wanaume. pia asha atapata karibu kura zote za waislamu na nyingi za wakristo pamoja na ambao ni wanaume, wakristo na waislamu, wanaotaka mwanamke kuwa raisi. chadema pia wanaweza kutumia ujanja huo lakini mwanasiasa wao ambaye ni mwanamke anayejulikana sana, halima mdee, bado ni kijana - hajafikia umri wa kugombea uraisi. mwingine ni esther wasira. naye bado ni kijana. kwahiyo chadema wamebakiwa na dr. wilbrod slaa kugombea uraisi, na prof. abdallah safari kuwa makamu wa raisi. zitto kabwe angefaa sana kugombea uraisi kutoka chadema lakini katiba haimruhusu kwa sababu ya umri wake. hajafikia miaka arobaini.

    ReplyDelete
  162. Chadema wakishinda 2015, Said Amour Arfi anastahili kuwa waziri mkuu. Zitto Kabwe naibu waziri mkuu. Halima Mdee au Esther Wasira, waziri wa elimu. Raisi: Abdallah Safari au Wilbrod Slaa - nadhani Safari, Slaa makamu wake.

    ReplyDelete
  163. WAZANZIBARI mnaotaka kuvunja muungano jitayarisheni kurudi kwenu Unguja na Pemba kama Wanyarwanda wanaofukuzwa kutoka Tanganyika na kulazimishwa kurudi Rwanda. Wengi wao wameishi Tanzania bara zaidi ya miaka hamsini, hasa katika mkoa wa Kagera, na mingine ya magharibi. Kuna wengine ambao wameishi Tanganyika zaidi ya miaka sitini. Wengi wao pia wameoa Watanganyika. Hakuna tofauti. Wote ambao ni wahamiaji haramu wamelazimishwa kurudi Rwanda. Itakuwa hivyo kwa Wazanzibari wanaoishi Tanzania bara baada ya muungano kuvunjika. Wote watalazimishwa kurudi visiwani hata kama wameishi Tanganyika tangu 1964, mwaka wa muungano, wameoa Watanganyika, na hata kama walizaliwa Tanganyika. Pia warudishe bara Wazanzibara. Zanzibar ni ya Wazanzibari, Tanganyika ni ya Watanganyika.

    ReplyDelete
  164. muungano utadumu lakini sio kama ulivyo sasa. utadumu wazanzibari wakipewa madaraka zaidi.

    ReplyDelete
  165. Mzee Hassan Moyo katika mahojiano na gazeti la East African, 31 August 2013, amesema Zanzibar iwe huru. Ni mwenyekiti wa Kamati ya Moyo (The Moyo Committee) inayodai haki za Wazanzibari kama nchi.

    Miongoni mwa waliounda kamati hiyo ni Amani Karume na Seif Shariff Hamad.

    Karibu kila kitu ambacho wanataka kiwe chini ya serikali ya Zanzibar ni kitu ambacho kimeziunganisha nchi zetu. Kwa mfano, wanataka Zanzibar iwe na wizara yake ya mambo ya nchi za nje na kiti chake Umoja wa Mataifa. Wanataka Zanzibar iwe na mamlaka kuhusu uhamiaji: nani awe mwananchi wa Zanzibar, nani asiwe mwananchi wa Zanzibar, nani aruhusiwe kuingia au kuihsi zanzibar na nani asiruhusiwe.

    Pia Hassan Moyo amepinga uamuzi wa CCM kumvua uanachama Mansour Yussuf Himid kwa sababu anataka tuwe na serikali tatu. Moyo anasema Himid ana haki kutoa maoni yake kwamba muungano uwe na serikali tatu. Ni kweli ana haki hiyo. Pia ni kweli kama Hassan Moyo na wengine wanavyosema: Zanzibar ina haki kuwa nchi ambayo ni huru.

    Swali ni kwa CCM: Mnawasikiliza Wazanzibari? Kwa nini mnaendelea kuwalazimisha kubaki katika muungano ambao hawautaki?

    Fuatilia mjadala huo Jamiiforums:

    Zanzibat to escalate push for autonomy:
    http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/515184-zanzibar-to-escalate-push-for-full-autonomy.html

    ReplyDelete
  166. Ukweli kuhusu Ubaguzi na Unyanyasaji kwa watokea Tanganyika hapa Zanzibar

    Kyenju, Jamiiforums, Today:

    Mkuu mimi kama Mtanganyika, nikiwa Nairobi najiona niko salama kuliko nikiwa Zanzibar, eneo ambalo limeshambuliwa na kirusi sugu cha ubaguzi dhidi ya Watanganyika. Kuna jamaa yangu pamoja na kuishi Zanzibar zaidi ya miaka 9 ameamua kurudi Tanganyika, kisa, kunyanyapaliwa kusiko koma. Nashauri Serikali iwape Watanganyika wapige kura ya maoni waone kama Muungano utaendelea kuwepo.

    Angel Nylon, Today:

    Mi nataka uliza, ikiwa znz wanawanyanyasa watanganyika sasa mwaja kufanya nini huku? Sisi hatujasoma, mwatwambia masikini twashindia mlo mmoja tu kwa siku. Hatuna rasilimali yoyote, nyie ndo wenye kila utajiri. Wasomi wakubwa ni nyie, sasa mwalalamika nini? Na huku mpo mmejazana tele? Mwafanya nini hasa? Enhe?

    ReplyDelete
    Replies
    1. umewabana watanganyika - hawana jibu!!!

      Delete
  167. asante sana kwa blogu hii, imetuelimisha wengi mambo mengi kuhusu muungano na kwa nini wazanzibari na watangayika wengi hawautaki, pia mengi kuhusu tanzania, tanganyika, zanzibar, ccm, cuf, chadema, katiba mpya, uchaguzi mkuu wa 2015, ufisadi, na kadhalika. tutaona mabadiliko mengi baada ya uchaguzi 2015.

    ReplyDelete
  168. Zitto Kabwe akifukuwa Chadema, kama kamati kuu ya Chadema ilivyoamua leo, ushindi utakuwa ni wa CCM katika uchaguzi wa raisi 2015. Lakini Chadema bado wanaweza kushinda Professor Abdallah Safari akichaguliwa kuwa mgombea wao wa uraisi - au wamchague kuwa makamu wa raisi.

    ReplyDelete
  169. Nilimaanisha kuandika Zitto Kabwe akifukuZwa....

    ReplyDelete
  170. chadema siyo chama cha ukabila wala udini au ukanda - kina waislamu wengi pamoja na viongozi. kingekuwa ni chama cha ubaguzi kinacho wabagua waislamu, unaamini kweli mtu makini kama professor abdallah safari angejiunga na chama hicho? abdallah safari atakuwa raisi au makamu wa raisi baada ya uchaguzi 2015 kwa sababu ushindi ni wa cahdema. ni propaganda za ccm tu kusema chadema ni chama cha wachaga, wakristo na wa ukanda ya kaskazini. bob makani, ambaye jina lake halisi ni mohammed makani, muasisi wa chadema, alikuwa ni mkristo? alikuwa ni mchaga? alikuwa ni mwislamu. alikuwa ni msukuma. ccm wanaeneza propaganda za udini, ukabila na ukanda, kuwaongopea chadema, kwa sababu wanajua chadema watashinda uchaguzi mkuu 2015 wananchi wajua ukweli kwamba chadema siyo chama cha ukabila, udini au ukanda.

    ReplyDelete
  171. Huu ndo wakati wa Chadema kujirekebisha kuepukana na lawama ya udini, ukabila na ukanda kwa kumchagua ABDALLAH SAFARI kuwa mwenyekiti wa Chadema badala ya Freeman Mbowe ambaye litakuwa ni jambo la busara akijiuzulu, na kwa kumchagua Mwislamu kuwa naibu wa katibu mkuu, Wilbrod Slaa, ambaye ni Mkristo. Abdallah Safari akichaguliwa kuwa mwenyekiti wa Chadema, makamu wake awe ni Mkristo kutoka sehemu nyingine ya Tanzania ambayo sio kaskazini anakotoka Mbowe na Slaa.

    Mkiendelea kuwa na viongozi wa juu ambao wote ni Wakristo, mjilaumu wenyewe mkishindwa katika uchaguzi mkuu 2015. Hata Nyerere, Mkristo, alihakikisha makamu wake alikuwa ni Mwislamu.

    Katika siasa, sio busara kusisitiza kwamba mnawachagua viongozi kwa sababu ya sifa na uwezo wao hata kama viongozi wote hao ni wa dini moja. Wapiga kura watawaonaje ikiwa viongozi wote wa juu katika chama chenu ni Wakristo? Au ikiwa wote ni Waislamu? Hakuna viongozi wenye uwezo kutoka dini zote mbili? Huu sio udini bali busara na umakini wa siasa mkitaka kushinda uchaguzi 2015.

    Ikiwa mgombea wenu wa uraisi atakuwa ni Wilbrod Slaa, makamu wake awe ni Abdallah Safari. Au mchagueni Abdallah Safari kuwa mgombea wenu wa uraisi. Ushauri wangu ni huu: mchagueni Safari kuwa mgombea wenu wa uraisi 2015 mkitaka kushinda kwa kishindo katika mikoa ya pwani na sehemu zingine ambazo zina Waislamu wengi. Tayari mna kura za kutosha kutoka kwa Wakristo.

    ReplyDelete
  172. Gazeti la Guardian, Dar es Salaam, katika editorial yake ya leo Jumapili, 24 Novemba 2013, limesema Freeman Mbowe naye ajiuzulu! Ndivyo hata mimi nilivyosema hapo juu. Watanzania wengi wanasema hivyo. Gazeti hilo limeendelea kusema ikiwa Mbowe hatajiuzulu, ni kama Chadema ni mali yake binafsi.

    Chadema sikilizeni: Hamkutumia busara hata kidogo kumfukuza Zitto Kabwe, Dr. Kitila Mkumbo, na Samson Mwigamba. Ona matokeo yake: Makamu mwenyeti, Said Amour Arfi, amejiuzulu baada ya kuona viongozi hao wamefukuzwa. Katika barua yake ya kujiuzulu, aliwaambia viongozi wa kamati kuu ya Chadema:

    "Mmechukizwa sana kwa nini nilihoji kauli ya Muasisi wa Chama Mhe Mtei kutuchagulia viongozi naomba ifahamike wazi kwamba huu ni mtazamo wangu na utabakia hivyo siku zote kwa chama cha demokrasia kutoruhusu uongozi wa kiimla kwa kukidhi matakwa ya Waasisi ambao huvigeuza vyama kuwa Mali binafsi."

    Hayo hapo juu ni maneno yake mwenyewe, Said Amour Arfi, aliyekuwa kiongozi wa juu Chadema. Alikuwa makamu mwenyekiti chini ya Freeman Mbowe.

    Ebu tuone Chadema mtakavyo epukana na udini, ukabila na ukanda mkiangalia ukweli huo uliosemwa na Said Amour Arfi.

    Miongoni mwa viongozi ambao Mzee Edwin Mtei amewachagua kuwa viongozi wa Chadema ni Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema. Mke wa Freeman Mbowe ni mtoto wa Mtei. Kwahiyo Chadema ni kama kinaongozwa na familia ya Mtei, mmoja wa waasisi wa Chadema pamoja na Mohammed (Bob) Makani na Brown Ngwirurupi. Pia Mtei ni Mchaga. Mbowe naye ni Mchaga. Mtei pia ni Mkristo. Mbowe naye ni Mkristo. Wote, Mtei na Mbowe, wanatoka kaskazini.

    Katibu mkuu wa Chadema, Wilbrod Slaa naye ni Mkristo kama mwenyekiti Freeman Mbowe. Slaa naye pia, kama mwenyekiti Mbowe, anatoka ukanda wa kaskazini.

    Hakuna Mwislamu anayeweza kuwa mwenyekiti au katibu mkuu wa Chadema? Kwa nini nafazi zote hizo mbili, mwenyekiti na katibu mkuu, zimechukuliwa na Wakristo?

    Pia hakuna mtu mwingine katika chama hicho kutoka sehemu nyingine ya Tanzania, ambayo sio kaskazini, na ambaye ni wa kabila lingine, ambaye sio Mchaga, anayeweza kuwa mwenyeti wa Chadema au katibu mkuu wa Chadema?

    Chadema, nilkuwa nawaunga mkono, lakini binafsi naona hamko tayari kuongoza nchi. Ebu tuwaachie wapiga kura uamuzi huo katika uchaguzi mkuu ujao 2015. Nitawaunga mkono tena mkimchagua Professor Abdallah Safari kuwa mwenyekiti wa Chadema. Huu sio udini - mimi sio Mwislamu, ni Mkristo.

    ReplyDelete
  173. hakuna demokrasia chadema, edwin mtei alikuwa mwenyekiti wa chadema kwa miaka michache tu, mohammed bob makani naye alikuwa mwenyekiti wa chadema kwa miaka michache tu, kwa nini freeman mbowe anang'ang'ania kuwa mwenyekiti wa chadema baaada ya kuwa mwenyekiti kwa miaka mingi sana badala ya kuwaruhusu wanachama wengine kugombea nafasi hiyo, hasa zitto kabwe? hata gazeti la guardian linaloheshimika sana limesema mbowe ajiuzulu, ataendelea kuwa mwenyekiti mpaka lini?

    ReplyDelete
  174. CHADEMA mtajifunza lini, mtaamka lini? Kiongozi mwingine, Ali Omari Chitanda, mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Lindi, amejiuzulu leo, 30 Novemba 2013, na siyo mwanachama wa Chadema tena. Ametangaza rasmi leo kupitia vyombo vya habari na kusema:

    "Nafsi yangu inanikataza kabisa kuendelea kufumbia macho maovu yanayoendelezwa na chama changu. Nafsi yangu imechoka kuendelea kushuhudia ubaguzi wa kidini na kikabila unaofanywa wazi wazi na viongozi wa chama changu."

    Ali Omari Chitanda ni Mwislamu. Mimi, niliyewaletea habari hiyo hapo juu kwenye blogu hii, ni Mkristo. Lakini nakubaliana naye kwa sababu amesema ukweli. Hakuna udini wala ukabila wowote katika maelezo yake. Amesema ukweli kuhusu udini na ukabila katika chama hicho.

    ReplyDelete
  175. wewe ulieandika hapo juu kuhusu ali omari chitanda umekosea au umepotosha ukweli makusudi kutaka kushambulia chadema tu!!! chitanda hakusema ameondoka chadema, hakusema amerudisha kadi yake ya chadema, hakusema sio mwanachama tena. alisema amejiuzulu uenyekiti wa chadema mkoa wa lindi lakini bado ni mwana chadema----ndo maana alisema "viongozi wa chama changu," hakusema kilichokuwa chama changu!!!! uchaguzi ujao ushindi ni wa chadema, mpende msipende!!!!

    ReplyDelete
  176. ACHENI UCHOCHEZI - kuna waislamu wanaosema chadema ni chama cha wakristo, kuna wakristo pia wanaosema chadema ni chama cha wakristo. hao wote ni ccm, hizo ni propaganda za chama tawala, ccm, ili kukichafua chama kikubwa cha upinzani. waislamu na wakristo wa ccm ndio hao wanaosema chadema ni chama cha ubaguzi. mmesahau ccm waliposema cuf ni chama cha waislamu? hizo ni siasa za ccm kuvichafua vyama vya upinzani. kuna viongozi wakristo katika cuf, na kuna viongozi waislamu katiak chadema. mmesahau mmoja wa waasisi wa chadema alikuwa ni mwislamu, mohamed makani, ambaye pia aliwahi kuwa mwenyekti wa chadema kwa miaka mitano? mbona said amour arfi, mwislamu, bado ni mwanachama wa chadema hata baada ya kujiuzulu nafasi yake ya uongozi katika chama hicho? mbona zitto kabwe, mwislamu, bado ni mwana chadema hata baada ya kuvuliwa madaraka? mbona professor abdallah safari alijiunga na chadema na bado yuko chadema baada ya kuondoka cuf? mbona halima mdee, mwislamu na mbunge, bado yuko chadema? acheni udini na kuichafua nchi yetu. ni chadema tu ambao wamesema ni jambo la busara kuwauliza wazanzibari na watanganyika, kwa kupiga kura, kama wanautaka muungano au kama hawautaki. mbona ccm hamtaki kujadili suala hilo mkitaka kudumisha muungano wa haki, mbona hamtaki kuwasikiliza wazanzibari badala ya kuendeleza siasa chafu za kuchafua vyama vya upinzani ambavyo vina wanachama na viongozi wa dini zote, za kiisalmu na kikristo? mnataka kuipeleka wapi nchi yetu? hatuji nani atashinda katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015. ccm wanaweza kushinda tena. lakini waachieni wananchi waamue kama wanataka chadema au cuf au ccm waongoze nchi baada ya uchaguzi huo.

    ReplyDelete
  177. Hapo umenena. Huo ndo ukweli mtupu. Chadema ni chama kilichoanzishwa na Waislamu na Wakristo. Na bado ni chama kinachowakaribisha Watanzania wote bila ubaguzi.

    Msioamini, fanyeni utafiti ili mjue ukweli. Mkitaka kuamini vingine, kujidanganya au kueneza chuki, kwa sababu zenu, ni shauri yenu.

    ReplyDelete
  178. mnaozungumzia udini katika cuf na chadema, mnadhani au mnaamini kweli kwamba viongozi wa vyama hivyo ni wapumbavu? hawana ubaguzi!!! watashindaje uchaguzi kwa kuwabagua watu wa dini fulani?

    mnaamini mgombea wa uraisi wa tanzania kutoka cuf anaamini atashinda uchaguzi mkuu kwa kutegemea kura za wislamu tu? kura hizo hazitoshi kumwezesha kushinda uchaguzi kuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania. mnaamini mgombea wa uraisi kutoka chadema anaamini atashinda uchaguzi kutokana na kura za wakristo tu? atashindaje bila kupata kura nyingi za waislamu?

    huwezi kushinda uchaguzi nchini tanzania kwa kutegemea kura za waislamu tu, au kwa kutegemea kura za wakristo tu. unahitaji kura za waislamu na wakristo na watu wa dini zingine kushinda uchaguzi wa raisi na pia kushinda uchaguzi katika mikoa mingi ya tanzania ambayo ina wananchi wa dini mbalimbali.

    hakuna udini cuf, muulizeni katibu wao mkuu, tanzania bara, julius mtatiro, ambaye ni mkristo. hakuna udini chadema, muulizeni abdallah safari aliyehamia chadema kutoka cuf, wachochezi wanachokiita chama cha waislamu. hakuna udini hata ccm!! hakuna udini wowote, kisiasa, katika vyama hivyo. hakuna!!!

    ReplyDelete
  179. Ahmed Rajab, Mzanzibari na mchabuzi wa mambo ya siasa anayehemishiwa sana na watu wengi pamoja na wapinzani wake, amesema hakuna udini Chadema. Aliandika hayo katika gazeti la Rai Mwema 27 Desemba 2013. Lakini amesema pia Chadema waimairishe demokrasia katika chama hicho. Yeye siyo mwana Chadema lakini aliwahi kusema kuna uwezekano mkubwa sana chama tawala, CCM, hakiwezi kushinda katika uchaguzi mkuu ujao 2015. Sikumbuki aliwahi kukosea lini katika uchambuzi wake wa mambo ya siasa kama hayo. Pia hapendelei upande wowote akiona makosa.

    Chadema wakishinda, kuna tumaini serikali ya chama hicho itawasikiliza Wazanzibari na kujaribu kutatua matatizo tuliyo nayo katika muungano. Ahmed Rajab aliwahi kusema anataka muungano wa mkataba. Kuna Wazanzibari wengine wanaoutaka muungano wa aina hiyo. Pia kuna ambao hawautaki kabisa. Tuwasikilize wote hata CCM wakishinda tena katika uchaguzi mkuu mwaka ujao. Chadema wamesema wako tayari kuwasikiliza Wazanzibari na kuwaruhusu kupiga kura ili waamue kama wanataka kubaki katika muungano au kama wanataka kujiondoa. Lakini kuvunja muungano kisheria itakuwa vigumu sana bila kuondoa kifungu katika katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kinachosema muungano ni wa kudumu. Kwahiyo hakuna chama kinachoruhusiwa kuvunja muungano huo.

    ReplyDelete
  180. sidhani muungano utavinjika, tunachohitaji kufanya ni kuwapa wazanzibari uhuru lakini katika muungano wa mkataba. muungano wa mkataba utaheshimu katiba - tunaweza kuwa na serikali tatu - pamoja na serikali ya tanganyika. ni chadema tu wanaoweza kutimiza lengo hilo. baada ya miaka kumi tunaweza kujaribu kurekebisha katiba itakayowaruhusu watanganyika na wazanzibari kupiga kura na kuamua kama tuendelee kuwa na muungano au tuuvunje kabisa. ndivyo wazanzibari watakavyo jikomboa wenyewe badala ya kungojea serikali yao kuwakomboa kutoka utawala wanaosema ni utawala wa watanganyika wanao wakandamiza wazanzibari. mimi ni mtanganyika na ninakubaliana na wazanzibari - wana haki ya kujitawala wenyewe badala ya kutawaliwa na serikali ya muungano. muungano wa mkataba utatatua tatizo hilo.

    ReplyDelete
  181. Kwa upande wa Zanzibar, tatizo kubwa ni viongozi wao. Hawataki serikali tatu ambazo zingesaidia kuwapa Wazanzibari uhuru zaidi, na baada ya miaka michache, kuwawezesha kuwa huru kabisa.

    Hivi karibuni, Raisi wa Zanzibar, Dr. Shein, amesema Wazanzibari wanaotaka mamlaka kamili wahamie nchi nyingine.

    Makamu wa raisi wa Tanzania, Dr. Bilal ambaye pia ni Mzanzibari, amesema mfumo wa serikali tatu utauvunja muungano. Ameipinga tume ya katiba mpya kwa sababu mwenyekiti wa tume hiyo, Warioba, amesema miongoni mwa maoni ya wananchi ni kutaka tuwe na serikali tatu, siyo serikali mbili au serikali moja. Hayo ni maoni ya wananchi wengi, siyo maoni ya tume ya katiba. Kwahiyo sijui kwanini tume hiyo inalaumiwa kwa kusema ukweli ambao umetoka kwa wananchi wenyewe wengi wao wanaotaka tuwe na serikali tatu.

    Nani alaumiwe Wazanzibari wanaposema wamenyimwa uhuru? Viongozi wao wenyewe hawataki Zanzibar iwe nchi huru. Wanataka ibaki katika muungano. Kwahiyo Watangayika wasilaumiwe. Wengi wao pia hawautaki muungano.

    Wananchi pande zote mbili za muungano wangeruhusiwa kupiga kura juu ya muungano, tuongeona ni viongozi tu peke yao, bara na visiwani, ambao wangesema tuendelee kuwa na muungano.

    ReplyDelete
  182. Msome Mzanzibari huyu hapa chini, Falconer, alivyoandika leo maneno ya busara Jamiiforums kwenye uzi huu, "Maalim Seif: Tunataka Zanzibar yetu!":

    "Wengi munazungumza kwa jazba. Ukweli ni kuwa Jaji Warioba ameleta kitu ambacho wahafidhina hawakufikiria kinawezekana. Sasa ni kujipanga kwa maslahi ya kizazi kipya.

    Serikali mbili zimepitwa na wakati na serikali moja haiwezekani. Tungeliweza kuishi kwa usalama kama ingelikuwa kuna haki sawa na heshima kwa pande zote mbili. Manung'uniko ya muungano yameleta kero za muungano ambazo kila leo zinazidi kuongezeka.

    Miaka hamsini serikali imeshindwa kutatua kero. Kwanini tufikiri kero zitatatuka sasa.
    Bila kuijua historia ya muungano ni vigumu kuthamini mchakato huu.

    Wengi wanaopinga serikali tatu au mamlaka kamili hawafahamu kinachowasibu watanzania au wazanzibari walala hoi. Wiki hii viongozi wakuu bara wamekwenda visiwani kununua ardhi. Tuwaulize wanafikiria kuna nini ambacho sisi hatukijui kinacho wafanya kukimbilia huko?.

    Siasa ni mchezo mgumu kwa wenye fikira fupi. Tuna kura "referendum" baada ya kupitishwa hiyo rasimu. wananchi wataamua.

    Na pia lazima ipate 2/3 ya bunge la bara na baraza la wawakilishi vinginevo haipiti. Kwa hivo tusubirini tuone tutafika wapi. Litakalo tokea lolote, muungano kama ulivo haupo tena. Mabadiliko yanakwenda na wakati. Usipokubali kubadilika, wakati utakubadilisha."

    Asante sana Falconer. Nakubaliana nawe kabisa kama wananchi wengi, bara na visiwani, ambao hawautaki muungano au wanaotaka urekebishwe kuridhsha pande zote mbili za muungano huu wanavyokubaliana na wewe. Mimi ni Mtanganyika. Najivunia Utanganyika wangu kama nanyi visiwani mnavyojivunia Uzanzibari wenu. Kuna siku sote tutakuwa huru. Mungu ibariki Zanzibar. Mungu ibariki Tanganyika.

    ReplyDelete
  183. wazanzibari kamwe hawatakubali muungano wa serikali mbili, mkiendelea kuwalazimisha kutakuwa na vurugu nchini. katiba mpya haiwezi kupitishwa bila wazanzibari kuikubali. sahau kabisa!!!!

    ReplyDelete
  184. Katiba ya Zanzibar inasema Zanzibar ni nchi. Hata viongozi wa CCM kutoka Zanzibar wanasema Zanzibar ni nchi. Walikuwa miongoni wa viongozi wa Zanzibar waliotunga katiba hiyo. Katiba ya Zanzibar siyo katiba ya CUF tu. Ni ya wananchi wa Zanzibar, CUF na CCM , na ambao siyo wanachma wa vyama hivyo.

    Sasa sisi wabara huku Tanzania bara, au huku Tanganyika, tujiuluze maswali haya:

    Tuna haki gani kuwaambia Wazanzibari wavuje katiba yao?

    Tuna haki gani kuwaambia Zanzibar siyo nchi wakati wao wenyewe wanasema Zanzibar ni nchi?

    Tanzania inawezaje kupata katiba mpya bila kukubaliwa na Wanzazibari? Ni lazima ipitishwe na theluthi mbili za wananchi wa Zanzibar. Tunaamini kweli theluthi mbili za wapiga kura Zanzibar wataikubali katiba inayosema tuwe na serikali mbili? Inayosema Wazanzibari waondoe kipengele katika katiba yao kinachosema Zanzibar ni nchi?

    Huku bara tumeshindwa. Tumetekwa na CCM inayotaka tuwe na muundo wa serikali mbili. Tumaini la katiba ya wananchi ni Wazanzibari watakao tuokoa watakapo ikataa katiba ya CMM inayosema Zanzibar siyo nchi na inayosema tuwe na serikali mbili. Kwahiyo wakombozi wetu bara ni Wazanzibari, hata kama hatutaki kuamini ukweli huo, watakapo ikataa katiba itakayopendekezwa na wajumbe wa CCM kutoka bara ili chama chao kiendelee kuwa madarakani badala ya kuwasikiliza wananchi wanataka nini.

    ReplyDelete
  185. Katika mahojiano na gazeti la “Raia Mwema,” ambayo yalichapishwa pia Jamii Forums jana, “Warioba: Msimtumie Nyerere kama hirizi,” aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, alisema yafwatayo:

    “Wanaosema tubaki na serikali mbili ni lazima wayapatie ufumbuzi matatizo tuliyonayo. Huwezi kusema Zanzibar iendeshe mambo yake na ukabaki na Muungano wa serikali mbili. Kama Zanzibar ikirudishiwa mambo yake Tanganyika ndiyo itabaki kuwa Muungano....ili Zanzibar isiwe nchi bali iwe sehemu ya nchi, basi ifanye hivyo kwa hiyari. Ikilazimishwa kutakuwa na mgawanyiko mkubwa sana ndani ya Zanzibar. Tayari viongozi wa Zanzibar, Makamu wa Kwanza na Makamu wa Pili wameanza kulumbana.

    Ukililazimisha suala hili utapata matatizo yaleyale tuliyokuwa nayo kabla ya Maridhiano. Na hiyo haitasaidia Muungano. Kwa hiyo bado sisi msimamo ni huo. Wasiseme tu kwamba serikali tatu zinavunja Muungano. Tumeonyesha nchi kwa nchi ambazo ni shirikisho na zimeendelea kuendesha mambo yao vizuri.”

    ReplyDelete
  186. mbona mmoja wa waasisi wa muungano, mwalimu julius yyerere, aliwahi kusema ikiwa wazanzibari hawautaki muungano ---- watakuwa na haki ya kujitenga na kwa sababu hiyo serikali ya muungano haitakuwa na haki yoyote kuwalazimisha kubaki katika muungano huo??? maneno hayo yamerudiwa tena na mwanasheria mkuu wa chadema, tundu lissu, katika bunge la katiba mpya, alipomnukuu mwalimu nyerere aliposema hivyo mwaka 1968.

    ReplyDelete

  187. kwahiyo kwanini ccm na serikali ya muungano wanataka kuwalazimisha wazanzibari kubaki katika muungano ambao hawautaki? hata wajumbe wa ccm kutoka zanzibar pamoja na wajumbe wa cuf kutoka visiwani katika bunge la katiba wanasema hawataki serikali mbili, wanataka serikali tatu, na pia kwamba zanzibar ni nchi kamili ambayo ina haki kuwa huru kama nchi zingine.

    bila hivyo hakuna haja ya kuendelea na majadiliano kuhusu katiba mpya ikiwa zanzibar haitakuwa huru na ikiwa haitaruhisiwa kujiamulia mambo yake---katiba ya aina hiyo haitakubaliwa na wazanzibari watakapopiga kura, pia haitakubaliwa na watanganyika kwa sababu wao pia wanataka kuwa na serikali yao na kuna wengi ambao hawautaki muungano kabisa kama wazanzibari.

    ReplyDelete
  188. kuna mijadala mingi jamiiforums inayoendelea wakati huu kuhusu suala hilo. wazanzibari na watanganyika wengi katika mijadala hiyo wanataka serikali tatu, siyo serikali mbili, au hawautaki muungano kabisa. hao ni miongoni mwa wapigakura watakaoamua kuhusu katiba mpya, ikubaliwe au isikubaliwe.

    kwahiyo nyinyi wabunge wa katiba mpya kule dodoma inawabidi muwasikilize wananchi wanasema nini --- karibu nyote mnatembelea jamiiforums na kusoma yanayojadiliwa, wengi wenu pia mnakuja kwenye blogu hii kutokana na taarifa niliyonayo. mkitunga katiba itakayopuuza maoni ya wananchi, zanzibar na tanganyika, katiba hiyo haitakubaliwa pande zote mbili, bara na visiwani, na kutakuwa machafuko nchini mkilazimisha nchi kuwa na katiba yenu ambayo haijakubaliwa na wananchi wa tanganyika na zanzibar.

    ReplyDelete
  189. CCM endeleeni kuwapuuza wananchi. Hata kama mnaamini katiba yenu itakubaliwa na Watanganyika, haitakubaliwa na Wazanzibari. CUF ni chama kinachowawakilisha Wazanzibari wengi kuliko CCM. Kwahiyo ikiwa hamtaki kuwasikiliza viongozi wa CUF, sahau kabisa katiba mpya kukubaliwa na Wazanzibari. Wazanzibari wakiikataa, Tanzania haitakuwa na katiba mpya. Kosa la nani? CCM.

    Msiwalaumu UKAWA wanaotaka katiba itakayokubaliwa pande zote mbili za muungano kufuatana na maoni yaliyokusanywa na tume ya Warioba pamoja na kupendekeza kuwa na serikali tatu kama wananchi wengi wanayotaka. Wazanzibari hawatakubali kamwe kuendelea kuwa na serikali mbili badala ya serikali tatu.

    ReplyDelete
  190. Mwanasheria mkuu wa serikali ya muungao, Fredrick Werema, alisema jana kupitia vyombo vya habari:

    “Bila ya kuwepo UKAWA, itakuwa ni shida kupata Thelusi 2 ya 3 kutoka kwa wajumbe wa Zanzibar.”

    Huyo ndiyo mwanasheria mkuu wa serikali. Pia nimwana CCM. Sasa nyie CCM tuambieni tutapataje katiba mpya bila Wazanzibari kuikubali katiba hiyo, katiba ambayo ni yenu tu, bila viongozi wa vyama upinzani kuwaunga mkono. Hata mwanasheria mkuu wenu hakubaliani nanyi huko Dodoma mnakojaribu kutafuta njia ya kuipitisha katiba yenu ambayo haikubaliwi na Wazanzibari na pia Watanganyika.

    ReplyDelete
  191. tulijua ccm watakuja na katiba yao. tayari wametangaza wana katiba mpya ya tanzania kama andrew chenge alivyosema kule dodoma. hiyo siyo katiba ya wananchi, haina maoni ya wananchi yaliyo kusanywa na tume ya katiba ya jaji joseph warioba, na inapingwa na wananchi wengi pamoja na jaji warioba ambaye ametangaza rasmi kwamba ataendelea kuipinga katiba hiyo ambayo ni ya ccm. bunge la katiba ni bunge la ccm bila vyama vya upinzani. wazanzibari hawataikubali katiba hiyo, watanganyika pia hawataikubali katiba hiyo. jaji warioba ni kiongozi pekee katika ccm anayesema ukweli na ambaye yuko tayari kukipinga chama chake hadharani. hata kama watanganyika wataikubali katiba hiyo, matokeo yatakuwa ni yale yale – katiba hiyo haitakuwa katiba ya tanzania kwa sababu wazanzibari hawataikubali na kuendelea kuwa na serikali mbili wakati wanataka serikali tatu. viongozi wa cuf tayari wamesema kuna mpango wa siri kuipitisha katiba hiyo na kusema wananchi wa zanzibar na tanganyika wamepiga kura na kusema wanaipenda katiba hiyo. siri zote hizo zitafichuliwa na hakuna wananchi watakao kubali kuendelea kudanganywa na viongozi wa ccm.

    ReplyDelete
  192. Bunge la katiba LIMESHINDWA kupata theluthi mbili za wabunge kutoka Zanzibar kuipitisha katiba ya CMM ambayo wana-CCM wanadai ni katiba mpya ya Tanzania.

    Nyie CCM mgemsikiliza mwanasheria wenu mkuu. Aliwaonya hamtapata 2/3 za kura kutoka Zanzibar katika bunge hilo.

    Watanganyika TUWASHUKURU SANA Wazanzibari. Watatusaidia kupata katiba ya wananchi ambayo pia itasaidia kuwakomboa Wazanzibari. Asante sana.

    Hakuna katiba itakayokubaliwa bila SERIKALI TATU!!! Hakuna katiba mpya bila kukubaliwa na wananchi wa Tanganyika na Zanzibar. Sahau kabisaa!!!

    ReplyDelete
  193. bunge la katiba limepata zaidi ya theluthi mbili za wabunge kutoka zanzibar lakini bado kuna referendum ya kura za wananchi ---- ikiwa wazanzibari wataikubali katiba hii mpya ni shauri yao na ni uamuzi wao --- wasilalamike tena kwamba bado hawajajikomboa kutoka kwa watanganyika --- viongozi wao wamepiga kura katika bunge la katiba kuikubali katiba hiyo --- je wananchi pia, wa zanzibar, wataikubali katiba hiyo au kura zao zitachakachuliwa na ccm na kusema wao pia wameikubali katiba hiyo???

    ReplyDelete
  194. BADO KUNA TUMAINI. KURA YA WAZANZIBARI. HAWATAIKUBALI KATIBA HIYO.

    ReplyDelete
  195. Makamu mwenyekiti wa Chadema taifa, Professor Abdallah Safari ambaye ni Mzanzibari, alisema kupitia vyombo vya habari alipokuwa Zanzibar kwamba CCM wanataka kuipitisha katiba hiyo Zanzibar kwa njia ambayo siyo halali lakini Chadema na wananchi wengine watahakikisha katiba hiyo ya CCM haitakubaliwa na Wazanzibari.

    Fatma Karume pia ameandika katika gazeti la Guardian na kueleza kwamba katiba hiyo ni ya CCM, siyo ya wananchi wa Tanzania, na kwamba Wazanzibari wasinyimwe na CCM haki yao ya kupiga kura na kuikataa katiba hiyo. Kuna mpango wa siri wa CCM kuchakachua kura Zanzibar ili katiba hiyo ipitishwe kuwa katiba mpya ya Tanzania.

    Hata mgombea wa uraisi kutoka CCM ikiwa hatakubaliwa na viongozi wa CCM kutoka Zanzibar hawezi kupewa nafasi kugombea uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

    Ni kweli, tumaini letu ni Zanzibar. Wazanzibari watatuwezesha kupata katiba ya wananchi kama ilivyopendekezwa katika maoni ya wananchi yaliyokusanywa na kamati ya Joseph Warioba. Bila serikali tatu, hakuna katiba mpya. Pia, bila Wazanzibari kuikubali, hakuna katiba mpya.

    ReplyDelete
  196. Sio kweli kwamba bunge la katiba lilipata theluthi mbili za wabunge kutoka Zanzibar. Ukweli ni kwamba CCM walichakachua kura. Zakia Meghji, aliyewahi kuwa waziri wa fedha na waziri wa utalii katika serikali ya muungano, alipiga kura kama Mzanzibari ingawa alikuwa sio mmoja wa wabunge wa katiba kutoka Zanzibar. Alihamia bara miaka mingi iliyopita na ameishi bara hata kabla ya kuanza kusoma shule Jangwani Secondary School, Dar es Salaam, ingawa ni kweli alizaliwa Zanzibar.

    Haji Ambar Hamis, makamu mwenyekiti wa chama cha upinzani NNCR-Mageuzi Zanzibar, amesema hakupiga kura kuiunga mkono katiba ya CCM ambayo CCM wanasema ni katiba mpya ya Tanzania. Lakini jina lake liko kwenye orodha ya majina ya wabunge waliopiga kura kuikubali katiba hiyo kwa sababu CCM waliongeza jina lake kwenye orodha hiyo kwa kuchakachua kura ili wapate theluthi mbili za wabunge wa katiba kutoka Zanzibar walioikubali katiba mpya.

    Kuna hata article katika gazeti la Guardian, Dar es salaam, 13 October 2014, kuhusu uchakachuaji huo wa kura za Wazanzibari: “Former Minister (Zakia Meghji Linked with CA (Constitutional Assemby) Forgery.”

    Zakia Meghiji amedanganya. Pia viongozi wenzake wa CCM wamewadanganya wananchi.

    Gazeti hilo la Guardian limesema wazi kwamba huo ni wizi wa kura ili kutimiza lengo la CCM kupitisha katiba yao hata kama wananchi hawaitaki katiba hiyo. Bila kuchakachua kura, bunge la katiba lingeshindwa kupata theluthi mbili za kura kutoka kwa wabunge wa katiba kutoka Zanzibar.

    Ndio maana Professor Abdallah Safari, makamu mwenyekiti wa Chadema, amesema CCM wana mpango wa kuipitisha katiba yao hata kama wananchi wa Zanzibar na Tanganyika hawaitaki katiba hiyo.

    Mwenyekiti wa Tanzania Constitution Forum, Deus Kimbamba, amesema wana ushahidi kuonyesha kwamba CCM walichakachua kura za wabunge wa Zanzibar na kwamba hakukuwa na kura za kutosha kufikia theluthi mbili za wabunge wa Zanzibar waliounga mkono katiba mpya iliyopitishwa na CCM.

    CCM wanasahau kwamba ingawa walichakachua kura za wabunge wa Zanzibar kupata theluthi mbili za wabunge hao ili kuhalalisha wizi na uongo wao kwamba katiba hiyo imekubaliwa na wabunge wa Zanzibar na Tanganyika, wanachosahau ni kwamba wapiga kura wa Zanzibar hawataikubali katiba hiyo watakapopiga kura katika referendum kuhusu katiba mpya ya Tanzania. Huo ndio ukweli ambao pia Professor Abdallah Safari amesisitiza, na ambao pia viongozi wote wa CUF na NCCR-Mageuzi wanasisitiza. Labda itakuwa rahisi kuchakachua kura Tanzania bara kuwandanganya wananchi kwamba katiba hiyo imekubaliwa na wapiga kura upande wa bara. Zanzibar ni tofauti kabisa!!! Hawataikubali kamwe katiba hiyo. Wakiikataa, itamaanisha hata kama wananchi wa Tanganyika wataikubali, haiwezi kuwa katiba mpya ya Tanzania kwa sababu ni lazima pande zote mbili, Tanganyika na Zanzibar, ziikubali katiba hiyo.

    Lakini kuna swali hili: Wazanzibari wafanye nini kuhakikisha kura zao hazitachakachuliwa na CCM wakati wa referendum kupitisha katiba ya CCM na kusema katiba hiyo imekubaliwa pande zote mbili za muungano kuwa ndio katiba mpya ya Tanzania?

    Ni swali ambalo Wazanzibari wenyewe wanaweza kujibu.

    ReplyDelete