Friday, December 2, 2011

FIKRA ZA WATANGANYIKA NA YALIYO NDANI YA NYOYO ZAO ZAIDI YA ZANZIBAR


Tanzania ni nchi gani.............???

Wana jamvi nimejaribu kujiuliza mara nyingi kuwa Tanzania ni nini???
Kutokana na historia niliyofundishwa ni kuwa Tanzania ni muungano wa nchi mbili ambazo ni Zanzibar na Tanganyika.Lakini swali linakuja, Je baada ya muungano Tanganyika ilikwenda wapi? Bona zanzibar ipo? Na hata wazanzibar wanatambua kuwa Zanzibar ni nchi? (nikumbushe kauli ya mtoto wa mkulima ambaye kiuelewa anapaswa kuuelewa muungano lakini kidogo limtokee puani baada ya kutamka kuwa Zanzibar siyo nchi).Je naweza kuamini kuwa baada ya muungano basi Tanganyika iligeuzwa kuwa koloni la zanzibar??
Je leo muungano ukifa sehemu ya bara tutaiita jina gani? Nasema hivyo kwa sababu wanasiasa wanatuhadaa kuwa huu muungano ni wa nchi mbili – ni zipi hizo kwani mimi naifahamu Zanzibar lakini kwa sasa hakuna taifa linaloitwa Tanganyika. Naomba ieleweke kuwa hakuna document yeyote inayothibitisha kuwepo kwa taifa linaloitwa tanganyika zaidi ya historia ya vitabu.
Kimsingi yapo mambo yanayotambulisha taifa .
Bendera ya nchi
Wimbo wa taifa
Raisi wa nchi
Kutoa uwakilishi wa mabalozi na mengine ambayo pengine wengi tunayaona.
Kupigiwa mizinga
Zaidi zanzibar wako kwenye mchakato wa kupata katiba. Vyote hivi Zanzibar vipo.
Swali: Leo muungano ukifa Kikwete atakuwa raisi wa nchi gani??????? Sehebu ya bara itatumia bendera gani, katiba gani na wimbo wa taifa upi? na taifa litakalobaki litaitwa jina gani au historia itajirudia?
Kuna kila dalili zioneshazo Kuwa Watanzania wa Visiwani Hawawapendi Wenzao Watanzania Bara na hili lipo wazi kabisa.kwani huwa wanakuja juu sana likitokeapo jambo litatizalo na huwa wanaonesha wazi kuwa hawautaki huu Muungano wa Karume na Nyerere.. Choko choko huwa Nyingi sana na mwishowe wabara wakiona maji yamezidi Unga hugawa Nyadhifa zao uongozi kwa Wavisiwani Mifano ni Mingi Sana.
Sasa kwa Mwendo huu hizi Nyadhifa zitatolewa hadi lini siku wakitaka kupewa hadi ardhi yao ya kimagumashi ya pwani maybe Wabara ndipo watapoamka na kuwaona hawapendwi..
Ningeona jambo jema Tuwajue kuwa kama hawa Wavisiwani Wanatupenda au la! siku nyingi wanaomba wapewe nafasi ya kupiga kura ya maoni kama wanauhusudu huu Muungano au La .. It means kwa sasa wamelazimishwa kuwa nao kwani hawajisikiii kabisa haki ya Mama Kuitwa wao ni Watanzania kama huamini muulize Mtu yeyote mwenye asili ya Visiwa vya Pemba na Unguja.
Na sie wabara Tunahitaji kujuwa kama ”Wazanzibar they are with us or Against Us”
Mie kwangu Ningependa Kujua hili. Katiba Mpya Watanganyika kuwa Serikali Yao.
Hakika tufike sehemu tuseme ENOUGH IS ENOUGH,YANI IMETOSHA IMETOSHA,na kusema UKWELI watu wazima kimri walioko kwenye madaraka wajue kizazi cha watuchini ya umri wa miaka 45 kushuka chini Muungano wetu na Zanzibar hauna faida yoyote kwao zaidi ya kwenda Zanzibar kutalii kama Mtanzania wa Bara anavyoenda Bagamoyo ambako ni Tanzania huru kwake.
Hivi lini tulisikia Mtanzania mzaliwa wa Moshi na Mbunge wa Moshi akaenda Zanzibar kuwa Waziri au katibu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.Lakini wao wakizidisha choko choko zao kidogo tu utasikia wamewagawiwa Uwaziri tena zile sekta nyeti kama Waziri wa Mambo ya Ndani,kwa maisha haya mpaka lini.
Hivi tunajambo gani hilo zito la SIRI KUU ambayo haipo kwa faida ya umma.Manake kwa sie tulio chini ya umri wa mika 45,Tanzania ya kesho ni yetu,yani kwa mwenye umri wa miaka 45 Mungu akimpa uzima anamiaka 35 ya kutumikia Taifa kama Mtanzania mwenye ushiriki Mkubwa wa Tanzania ya kizazi kipya kijacho.
CCM watu wazima wajue vijana wao wanaowaaanda kulithi matendo yao ya kushabikia MUUNGANO WA KIMABAVU,USIO NA TIJA KWA UMMA,BALI TIJA ZA KIDOLA NA MATAJILI WA KIDUNIA,HAWAWEZI KUJA KUSHINDANA NA KIZAZI KIPYA AMBACHO KILA SIKU YA MUNGU KINAZIDI KUWA NA UFAHAMU MKUBWA TOKA WAKIWA NA UMRI MDOGO [Kwa wale wenye watoto wadogo nyumbani wa umri wa miaka mitano mpalka nane wanaweza kuona ufahamu wa watoto hao wadogo kupitia jinsi watoto wao hao wanavyocheza na vyombo ya kieletlonia vitu kama simu,televisioni,computer games,na stimulation games zinginezo katika uwezo wa ajabu ambao hata mzazi wake mwenye hana uwezo huo].”
Kwa sasa sio kizazi cha kulazimisha kufuata bila kuhoji,ni kizazi cha majadiliano na majibu yenye ukweli mwingi kuliko uongo usio na msingi.
Tufike wakati kabla wazee hao hawajaondoka watuondolee utata huu,tujue moja JE WAZANZIBAR WAKO NASI AU HAWAKO NASI [ARE THEY WITH US OR NOT-ni msemo wa sauti ya kimarekani kuwambia washirika wake wanapokuwa wanataka kujua ushiriki wao].
Kama wanzanzibar watesema wako nasi basi jibu ni Serikali moja tu,. ((HAHAAHAHAHAAHAHA NACHEKA SANA MTANGANYIKA AKISEMA SEREKALI MOJA MAWE)) hakuna cha Serikali Tatu,wakigoma wapewe Serikali yao ya Wanzanzibar ambayo tayari wanayo wakiwa na kila kitu soon wataomba Bank Of Zanzibar [BOZ] yote hayo kwishney nasi tuchukue Tanzania iwe yetu the game is over.
Kwa Wanzanzibar walioko Tanzania kama Watapenda kuishi Tanzania wakane uraia wa Zanzibar wao na Watoto wao,na kwa wale watakao taka kuludi kwao Zanzibar wapewe mabegi yao kwaheri na wasitoke na chochote,unyambilis unyambilisi, kwa kuwa vyote walichuma Tanzania barana((HAHAHAHAHAHAHHA HAYO NDIO ALIYO YAFANYA IDDI AMINI DADA KUWAFUKUZA WAHINDI NA MABEGI TU HAWAKUCHUKUWA KITU NCHI IKAFILISIKA MPAKA WAKAWAOMBA WAHINDI WARUDI UMESOMA WAPI RAFI YANGU.......??))
 kwa wasukuma,wanyamwezi,wangoni,waha na wanyakyusa walioko Zanzibar nao masharti ni hayo hayo kama wanataka kubali Zanzibar wabaki wakiona wanatka kuludi bara fungasha beki ludi kwenu Tanzania.((WATANGANYIKA KURUDI BARA NI RAHISI SANA MAANA HAWANA KITU CHOCHOTE HUKU ZANZIBAR ZAIDI YA BEGI LA VINYANGO,POMBE,BANGI,UNGA YANI DRUG,MALAYA,WIZI NA UJAMBAZI WAKUINGILIYA WATU MAJUMBANI USIKU AMBAYO MAMBO HAYA HAYAKUWEPO ZANZIBAR TULIKUWA TUKILALA MLANGO WAZI KWA HIYO WAKIRUDI BARA NA KWENDA KUYAFANYA HAYA HUKO ITAKUWA NI MSAADA MKUBWA MAANA SISI HATUYATAKI KABISA KTK NCHI YETU YA ZANZIBAR.))
Kwa wale waliobahatika kuwa viongozi wetu wakajua siri zetu tutaishi nao kimarekani, all Eyes on Them.Tufike sehemu watu wazima wajue kuwa kizazi chetu new generetion dotcom ni aina gani ya watu hao, yani vijana kama Tindu Lissu,Nape, Zitto, Mnyika ,Mdee,na wengineo wenye akili timamu ndani ya Bunge ni wachache mno yani ni cha Mtoto mno [A Tip oga na Iceber] ya vijana wa kitanzania wenye uwezo wa kufanya maajabu kwa Nchi hii.Ukitaka kuwajua walivyo wabaya tembelea mabenki na mashrika ya umma waulize wanavyopata shida na watyu hao.Wengi baada ya kuona Nchi haileweki wameamua kuiga matendo ya wasure/madingi wazee wao nayo ni kuchota na kusepa.Lakini laiti kama wangekuwa na heshima kwenye Serikali yao nao Serikali ikatambua ikawapa nafasi hakika Nchi hii miaka kumi na tano mingi,ingekuwa Nchi ya Pilia Afrika kuendelea baada ya South Africa.
Wapo vijana kibao uku mitaani,ebu muone Sugu,hivi watu wazima ndani ya CCM madaraka, hawajiulizi,kuhusu kijana kama huyo ambae elimu yake ni ya wastani [Kasoma Kayumba Sekondari School-ambayo ndio wengi ya vijana wa Watanzani-Akaenda Chuo Kikuu Mitaani Universty Dot Com-Chuo pekee cha Watanzania walio wengi kati ya Laki tano [500,000] wanaomaliza kidato cha sita na wanapata nafasi ya chuo kikuu ni elfu hamsini [40,000] kati ya hao laki tano].Lakini leo hii SUGU anauwezo wa kuwatuliza Watanzania Millioni na ushee wenye gadhabu na Serikali yao ambayo imewachokoza na kushindwa kuwahudumia.
Hivyo wasitegemee kwa kupindisha ukweli wataendelea kufanikisha mahitaji yao,bali ni kuwa wamechukua bomu wakategua pin wamelishikilia mkononi huku wanakula ole wao wakipitiwa na usingizi,au wakastukizwa ghafla kama tukio la Mbeya, na kisha watu aina ya SUGU wakago,ma kukaa upande wa SERIKALI ILI KUTULIZA WATU,wakasimama upande wa WANANCHI KISHA wakafanya kuwaongoza kumsaka mmoja baada ya mmoja kwenye majumba yao na hakika RISASI ZILIZO KWENYE MAGHALA YA JESHI,MALI YA HAO AMBAO LEO HII WAMEGOMA HAZITATOSHA KUMALIZA HASIRA ZAO.TUSIOMBE KUFIKA HUKO LAKINI WAZIMA HASWA VIONGOZ WA SERIKALI KUPITIA CCM WAJUE MFUMO WA NDIO MZEE UMEKWISHA SASA.

No comments:

Post a Comment