Friday, April 20, 2012

ALIYEKUWA BRIGEDIA JENERELI ADAM CLEMENT MWAKANJUKI AFARIKI DUNIA KIHORO CHA KUSIKIA ZANZIBAR ITAKUWA NCHI HURU TU KAFAA


Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Brigedia Jenerali, Adam clement Mwakanjuki ALIYEKUWA HAPA Z,BAR KABLA YA MAPINDUZI NA BAADA YA MAPINDUZI HAKURUDI BARA AKABAKI HAPA HAPA VISIWA NA KUWASAKAMA WENYE KISIWA AMEFARIKI DUNIA OLE WENU VIONGOZI MULIOBAKI ZANZIBAR NA HATA WANAFIKI WA KIZANZIBAR WANOSHADIDIA ZANZIBAR KUBAKI KATIKA MUUNGANO WA WAKUWASULUBISHA KIMAISHA NA KIDINI MUJUWE MWISHO WENU NI HUU SOTE TUTAKWENDA ILA NYINYI NA OVU WENU MUTAKIONA MUKINGIA MAKABURINI MWENU SHAMHUNA,SAMIA,NAHODA NA MULIOBAKIA.
Ndiye alikuwa mkuu wa makanisa zanzibar na muunganishi mkuu wa kuwaleta wakristo kutoka tanganyika kuja zanzibar.
Huyu ndiye aliyezuia mihadhara ya kiislamu kufanyika wazi hadi pale kipatikane kibali cha mufti, muanzilishi na muasisi wa ofisi tata ya mufti.Mengine mola anayajua zaidi na atamlipa kwa haki inayostahiki juu yake.Hata sijui kama anastahiki kuitwa marehemu.Mola amlaze mahala panapostahiki ****ni

No comments:

Post a Comment