Friday, July 20, 2012

YANAYO ENDELEA MAISARA BAADA YA KUZAMA MELI NCHINI ZANZIBAR


maiti za watoto zilizopatikana

wakina mama na baba wakisubiri kuona maiti

watu maisara wakisubiri kuona maiti zao


wanawake wakilia baada ya kupata habari ya jamaa zao walio kufa kwa kuzama kwa meli

wazungu pia wanakuja kuangalia jamaa zao walio zama


dungu na jamaa wakiendele kusubiri maiti zao

moja moja akikaguwa maiti

wandishi wa habari wakimuhoji waziri ashaa bakari


sheikh azzan akihojiwa na wandishi wa habari kuhusu ajali hii ya meli

wakina mama wakipeyana pole na huku wakisubiri maiti zao

manasi wa nchi yetu ya zanzibar wakijitahidi kuokowa maisha ya watu na kupanga maiti za jamaa zetu waliotutoka m/mungu awalaze mahali pema

wakina mama wakiwa kwenye mstari wa kwenda kuona maiti zao maisara

wazungu wakiwa kwenye mstari kuangalia maiti zao maisara

No comments:

Post a Comment