Sunday, February 17, 2013

PADRI EVARISTUS MUSHI APINGWA RISASI NCHINI ZANZIBAR NAKUFARIKI HAPO HAPO JE WATANGANYIKA NINI MALENGO YENU KUMPIGA RISASI HUYU MTU WENU..?


PADRI WA KANISA KATOLIKI, EVARISTUS MUSHI AMEFARIKI DUNIA BAADA YA KUPIGWA RISASI NA WATU WASIOJULIKANA WAKATI AKIEGESHA GARI KANDO NA KANISA LA MTONI ALIPOKWENDA KUSALISHA KATIKA KANISA HILO LEO ASUBUHI nchini zanzibar.TUKIO hili na mengine mengi yamendelea kutokea hapa nchini zanzibar kama la kupingwa risasi bahamadi mfanya biashara maarufu.suleiman naye alipingwa risasi.pia kuna mgeni kutoka nchi za asia alipingwa risasi baada ya siku tatu tangu kutokea tukio la father ambrose kule mazizini.pia wakati wa mwezi mtukufu wa ramadhani watu wawili walipingwa risasi na na baadae likatokea tukio la father ambrose.haya matukio yanaendelea. katiwa acid au tindi kali sheikh fathil sauraga.haikuchukuwa muda akatekwa sheikh farid hadi.na mpaka sasa masheikh wa uamsho wako lupango kwa kesi isikuwa na kichwa wala miguu maana kila kukicha utambiwa unasubiriwa ushahidi kukamilika wala haukamiliki na tukiangali baina ya wakiristo na waislamu nani anayethalilishwa hapa zanzibar tutaona ni waislamu wengi ndio wanao thalilishwa je ndio tusema wakiristo ndio wanayo yafanya haya yote..? tusijida nini wala nini kwanza hapa atafutwa ni nani anaye miliki silaha na ninani anaye fanya haya atiwe mbaroni la kama watanganyika muna plan b ya kutaka kusingizia wazanzibari wanauwa wakiristo ili muweza kuanzisha vita nakutaka kupoteza malengo ya wazanzibari kudai nchi yao bila ya vita sawa uwasheni moto muone kama hata hiyo tanganyika kama itatuli itakujakuwa kama burundi na somalia tanganyika yenu musijidanganye kuwa zanzibar mutawasha moto na kuwauwa wazanzibari kama 1964 na nyinyi mtakuwa sala yagujuuu.
zanzibar kwanza unafiki wenu baadaye. HAYA yote ni propaganda zenu nyinyi watanganyika na vitimbakwiri vyenu mulivyo wapa vyeo vya dunia wakifa wanaviwacha hapa hapa kutaka kuifisidi zanzibar na wazanzibari ila miaka hii naona munaoja moto kwa ulimi kaeni mkao wakula watanganyika wazanzibar wanataka nchi yao uwaneni wafungeni masheikh jazeni malaya na majambazi lakini wazanzibari wanataka nchi yao.

No comments:

Post a Comment