Friday, May 31, 2013

2PAC WA NCHI YA TANGANYIKA ALBERT MANGWER AMEFARIKI DUNIA


HUYU NDIO ALBERT MANGWER,UA,A.K.A.MIMI,COWBOY,MKALI WA MISTARI NA KUCHANA NCHINI TANGANYIKA AMEFARIKI DUNIA NCHINI SOUTH AFRICA KTK JIJI LA JOHANNES BURG.MWENYEZI MUNGU AMLAZE PEMA




KWANZA ILIKUWA MIAKA,MIEZI,WEKI,SIKU,SASA NI MASAA TU IWE NI SIKU YA MAMLAKA DAY YA NCHI YETU YA ZANZIBAR.

mamlaka day
Je unayo habari..?? Je umesahau..?? ni wazanzibari, wapenda nchi yao, wazalendo, wanaharakati, wana kindakindaki, makureishi wa zenji na wale wanaosema kwa yakini ya mioyo yao na kuthibitisha kwa vitendo vyao mapenzi makubwa ya nchi yao. Wale wanaoamini kwamba “vyovyote na iwe lakini Zanzibari ibaki huru yenye mamlaka yake kamili”. Umma huo utakusanyika kesho Jumamosi tarehe 01/06/2013 katika viwanja vya Demokrasia Kibanda Maiti. Uwanja wa Kibanda Maiti utageuka “Tahrir Square” ya wazanzibari kama ilivyokuwa Misri na kuudhihirishia ulimwengu kwamba wazanzibari kwa amani kabisa wanataka mamlaka kamili ya nchi yao tukufu na kuwaonyesha ulimwengu kuwa Wazanzibari wanataka nchi yao. Unamuogopa nani ewe Mzanzibari? Ogopa nchi yako kuendelea kuwa chini ya ukoloni. Hapa ni Zanzibar kwanza, itikadi ni baadae. Viongozi mbali mbali wa vyama mbali mbali wazalendo wenye uchungu na nchi yao wanatarajiwa kuhudhuria.
Shime Shime wazanzibari tujitokeze kwa wingi. Mambo yataanza saa 2:00 za asubuhi mpaka saa 12:00 jioni. Mgeni Rasmi ni Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.
TUNATAKA NCHI YETU SASA TUMECHOKA TAFRANI HII TAFRANI HII TUNATAKA NCHI YETU SASA TUMECHOKA
ZANZIBAR KWANZA!

TUNAPATIKANA LIVE: http://www.ustream.tv/channel/mazruimedialive

FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI INAFURAHA KUBWA NA PIA KUWAOMBA VIONGOZI NA WATU WOTE WANAO PIGANIA NCHI YETU YA ZANZIBAR KUWA HURU KUWA MAMLAKA DAY KESHO NI UNGUJA ILA TUNAOMBA IANDALIWE SIKU NYENGINE PIA KWA JILI YA PEMBA MAMLAKA DAY IFANYIKE PIA PEMBA ILI KWA WALE AMBAO HAWATAWEZA KUJA KESHO UNGUJA BASI NA WAO WAPATE UTAMU HUKO HUKO PEMBA IN SHAA ALLAH HILI NI OMBI KUTOKA KWA WAFANYAKAZI WOTE NA FUNDI MITAMBO WOTE WA FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI.

Thursday, May 30, 2013

JUMUIYA YA UAMSHO NA MIHADHARA YA KIISLAMU YAMUWA KUNENA TENA

JUMUIYA YA UAMSHO NA MIHADHARA YA KIISLAMU
(JUMIKI)
THE ASSOCIATION FOR ISLAMIC MOBILISATION AND PROPAGATION

Bismillahir Rahmanir Rahiim

TAARIFA JUU YA HALI HALISI NA MATUKIO YA KESI
INAYOWAKABILI VIONGOZI WA UMOJA WA JUMUIYA NA TAASISI ZA KIISLAMU NCHINI ZANZIBAR.25 MEI,2013

Jumuiya ya Uamsho na Mahadhara ya Kiislam-JUMIKI, ni Jumuiya iliyosajiliwa kihalali kufanya shughuli zake  hapa Zanzibar mwaka 2001.Kwa kipindi chote hicho hadi kufikia tarehe 21/10/2012 JUMIKI ilikuwa ikiendelea kufanya shughuli zake kwa utulivu na amani na kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi na taratibu zilizowekwa.

Wakati Jumuiya ikiendelea na kazi zake za kuhubiri, kutetea na kusimamia haki za Waislamu na kuelimisha jamii juu ya maswala mbali mbali ya kidini na kijamii, mnamo mwezi wa Ogasti 2012 ilitokea kadhia ya kukamatwa Sheikh Mussa Juma wa Msikiti wa Biziredi. Baada ya hapo Waislamu walijaribu kufuatilia sababu za kukamatwa kwake na kushindikiza kuachiwa huru kwa kuwa hakukuwa na sababu ya kuwekwa ndani.Lakini kilichofuata ni mfululizo wa mabomu ya machozi na pilipili kuwatawanya hali iliyozidisha mtafaruku katika mji wa Zanzibar.

Tarehe 19 Oktoba Sheikh Farid Hadi Ahmed alitekwa nyara na baadaye kuachiwa tarehe 22/10/2012.Tarehe 23Oktoba 2012 Sheikh Farid alitakiwa afike kituo cha Polisi, Madema kwa mahojiano kuhusu kutekwa nyara kwake.Masheikh wengine-Sheikh Msellem, Sheikh Azzan, Sheikh Mussa Juma na Sheikh Hassan walikwenda kumshindikiza.Bahati mbaya Polisi wakawakamata wote na kuwaweka ndani na kuwafungulia mashtaka mbali mbali ya uchochezi na uvunjifu wa amani na uharibifu wa mali na kupandishwa mahakamani Tarehe 20 Oktoba 2012; siku ambayo Masheikh wote walinyolewa ndevu zao,tukio lililowashangaza wengi kwa ule msingi wa Katiba kwamba hakuna mwenye hatia mpaka apatikane na hatia na mahakama iliyo huru ulishavunjwa tokea siku ya mwanzo kabisa.

 Baada ya hapo mashtaka kadhaa yakafunguliwa katika mahakama mbali mbali ikiwemo Kwerekwe(mahakama mbili za Wilaya) Mfenesini na Vuga (mahakama Kuu) Dhamana ziliwekewa masharti magumu mwanzoni lakini baadae mashrti yakalainishwa na washtakiwa kupewa dhamana, kesi moja ya mahakama ya Wilaya Kwerekwe ikafutwa na ile ya Mfenesini pia ikafutwa na Mkurugenzi wa mashtaka.

Kesi zote zinazowakabili Masheikh wa Uamsho ni kesi ambazo dhamana ni haki  ya washtakiwa kwani makosa wanayoshtakiwa si makosa ambayo hayana dhamana. Aidha kwa mujibu wa Sheria, Kesi hizo zinapaswa kuanza ndani ya miezi minne, vyengenevyo inabidi washtakiwa wapewe dhamana. Kinyume na misingi yote ya sheria na haki, washtakiwa wote kumi wameshakaa ndani kwa zaidi ya miezi saba sasa kinyume na sheria na taratibu zote za kuendesha mashtaka ya jinai. Jambo hili la kuendelea kuwawekwa mahabusu na kunyimwa dhamana kwa Masheikh ni dhulma, ukandamizaji na uvunjwaji wa makusudi wa haki za binadamu.Jee hii ndio demokrasia na utawala bora..???

Lengo la Jumuiya sio kuingilia kazi za mahakama, bali tuna haki ya kikatiba ya kupinga uvunjifu wowote wa Katiba ya Zanzibar ya 1984. Kwa kawaida inapotokea uonevu kama huu tumekuwa tukishuhudia Jumuiya za Kitaifa na za Kimataifa,Taasisis za kutetea Haki za Binadamu, Vyombo vya habari duniani,Asasi za Kijami, Vyama vya wanasheria na wengine wakipaza sauti zao kulaani, kushtumu na hata kukemea wazi wazi dhulma hizo; lakini kwa masikitiko makubwa hali imekuwa ni tofauti kwa Viongozi waliokumbwa na kadhia hii. Jee taasisi hizo ziko wapi..??? Au kwa sababu wahusika ni VIONGOZI WA KIISLAMUU....?????????????

Ikumbukwe kama hawa ni viongozi wa juu wa Jamii kubwa ya Kiislam nchini, hivyo kila mtu linamgusa na kumuuma na jambo ambalo likiendelezwa linaweza kusababisha uvunjifu wa amani usiotarajiwa.Kwa hali hii Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislam (JUMIKI) imewaita Wanahabari,Mbalozi wa nchi za nje, na Wadu mbali mbali kuwaeleza jinsi ya dhulma, ukandamizaji, na uonevu unavyoendelea dhidi ya Viongozi wetu kama ifuatavyo.

1)Kuwatupia shutma kali na malalamiko Serekali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar na Serekali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuvunja sheria za nchi walizozitunga na kuzilia viapo na kuzipitisha wenyewe na kudai kuwa hakuna MTU ALIE JUU YA SHERIA.

2)Jumuiya ya Kimataifa;wakiwemo'.
Mabalozi wa Jumuiya ya nchi za Ulaya,Marekani, na Magharibi kwa ujumla kwa kuka kimya kinyume na kawaida yao ya kutetea haki za binaadamu.

3)Waandishi wa habari wa vyombo mbali mbali ndani na nje ya nchi-kwa kutoripoti au kuripoti kwa kuegemea upande mmoja wa Serekali huku ikiihusisha Jumuiya na ufanyaji wa fujo, na pili kutoa habari kwa mitazamo yao wenyewe mfano;Kulihusisha tukio la Maandamano ya Morogoro na matukio ya Zanzibar.

4)Raisi wa Zanzibar kuendelea kuingilia uhuru wa Mahakama kwa kutoa misimamo yake mikali dhidi ya Masheikh wa Uamsho waliopo MAHABUSU.

5)Kuvunjwa kwa katiba ya nchi mfano ;kuingiliwa na uhuru wa habari na maoni kwa Jeshi la polisi kukama CD za mawaidha ya kiislamu na kuzuia redio kutangaza matangazo ya jumuiya na Kamisheni ya Habari ya Zanzibar na Waziri wa Mambo ya ndani  Mhe; Emanuel Nchimbi kuzuia kutoa taarifa za JUMIKI katika vyombo vya habari.Mfano; Redio Nour na Adhana FM.

Shutma kwa vyombo vya dola hususan Jeshi la polisi, Usalama wa Taifa, na Vikosi vya SMZ, kwa kupachuliwa kwa nguvu bendera za Jumuiya katika sehemu mbali mbali nchini kwa lengo la kuudhalilisha UISLAMU, kupingwa na hata kuuliwa baadhi ya watu kwa kukataa kupachua bendera hizo.

Matumizi ya nguvu kubwa, kuweka hali ya hatari, taharuki na kuzuia hata jamaa za washtakiwa kukaribia mahakamani ambapo hata kesi ya uhaini ndugu na jamaa waliruhusiwa kuhudhuria na kusikiliza kesi za ndugu na jamaa zao.

Unyanyasaji wa watuhumiwa na uingiliaji wa uhuru wa kuabudu kwa majibu wa katiba; Mfano; kuwanyoa ndevu kwa lazima, kuwazuia kusoma quraan,kupata habari,kuswekwa na kutengwa katika chumba cha kila mtu peke yake (katika siku za mwanzo za mahabusu)

Kuwatenga na mahabusu wengine hata katika ibada kinyume na utaratibu wa sheria na haki za binadamu.

Mwisho, Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu inatoa TAMKO RASMI  kuhusiana na kadhia yote tangu ilipoanzia hadi leo hii kama ifuatavyo;                                     

1.Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) inakanusha vikali propaganda zote zinazoenezwa na vyombo vya habari, wanasiasa na watu mbali mbali kuihusisha Jumuiya na vurugu na vitendo vyovyote vile vya uvunjifu wa amani kama vile uchomaji wa makanisa, maskani na upotevu wa maisha ya watu.Fujo sio sera ya Jumuiya wala haihusiki nazo.

2.Kwa vile Msingi mkuu wa katiba zote za nchi zinazoendeshwa kwa misingi ya kidemokrasia ikiwemo Zanzibar na Jamhuri ya Muungano ni kuheshimu na kulinda haki za binaadamu ikiwemo uhuru wa kuabudu na kujikusanya na kujieleza, kwahiyo, JUMIKI inalaani vikali wale wote wanaotoa kauli za vitisho na matamko ya uvunjifu wa katiba na kuipeleka nchi katika utawala wa KIDIKTETA

3.JUMIKI itaendelea na shughuli zake za kuelimisha, kutetea na kusimamia haki na wajibu wa kila raia kama kawaida yake,ilimradi haivunji sheria wala taratibu za nchi. Itaendele kutetea,kudai na kuelimisha umma wa Wazanzibari juu ya haki yao ya kuidai Zanzibar huru yenye mamlaka yake kamili kitaifa na kimataifa.

4.JUMIKI inashangazwa na kauli za  nchi za magharibi kwa kuipongeza serekali ya Umoja wa Kitaifa; serikali ambayo inavunja na inakandamiza wananchi wake wenyewe kwa kudai haki yao ya kujitawala.

5.JUMIKI itaendelea kusimamia agenda yake ya msingi ya kudai Zanzibar huru kinyume na jitihada zinazofanywa na Serekali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) na vyama vya kisiasa za kututoa katika lengo kwa kuanzisha agenda za pembeni ikiwemo kukamata viongozi wetu,kuanzisha mchakato wa katiba na kueneza uvumi na propaganda usio na ukweli wowote.

6.JUMIKI itaendelea kusisitiza kama ni kuendelea na muungano au laa kwa kuheshimiwa matakwa ya wananchi pia kupewa fursa ya kutoa maoni kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar. Jumuiya tayari imekusanya majina ya watu sitini elfu kwa niaba ya Wazanzibari kwa ajili ya kupeleka mbele agenda ya kudai kura ya maoni na kudai mustakbali wa NCHI YETU YA ZANZIBAR.

WABILLAHI TAUFIQ


IMETOLEWA NA;
OFISI YA KATIBU MKUU
JUMUIYA YA UAMSHO NA MIHADHARA YA KIISLAM
ZANZIBAR

Friday, May 24, 2013

POLISI NA JESHI LAWAUWA WATU WA MTWARA NCHINI TANGANYIKA KISA GESI DUUUUUUUUH!!!


Mtwara. Wakati mtu mwingine akiripotiwa kufa, hali bado ni tete katika Mji wa Mtwara kutokana na mabomu ya machozi na risasi za moto kuendelea kurindima kwenye mitaa kadhaa wakati polisi wakipambana na makundi ya vijana wanaopinga mradi wa ujenzi wa bomba la gesi kwenda Dar es Salaam badala ya kujimbwa na kufanya kila kitu mtwara ili vijana wafaidike na kazi.

Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Ligula, Mohamedi Kodi alithibitisha kupokea mwili wa mjamzito ukiwa na tundu tumboni, linaloaminika kuwa linatokana na risasi ambazo mpaka sasa bado zinaendele kupingwa ovyo ovyo na polisi wasiojuwa kazi yao ya kulinda rai wao na badala yake ni kuwatwanga kwa risasi.

“Ni kweli kwa leo tumepokea maiti moja ya mwanamke ambaye ni mjamzito wa miezi saba akiwa amepigwa risasi tumboni,” alisema Dk Kodi. Inadaiwa kwamba mjamzito huyo ambaye jina lake halikufahamika, ameuawa akiwa nyumbani kwake. Kifo hicho ni cha pili baada ya Karim Shaibu miaka (22), mkazi wa Chikongola kuuawa juzi.

Aidha, kuna taarifa ambazo hazijathibitishwa kuwa mtu mwingine ambaye jinsia yake haikujulikana aliuawa kwa bomu la machozi na mwili wake kutawanyika barabarani askari wanaendelea kuuwa tu mtwara.

Kuhusu majeruhi, Dk Kodi alisema wamefikia watu 18... “Majeruhi wa mwisho tuliyempokea ni mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Chuno. Alikuwa amevunjwa miguu yote kwa  kupingwa  risasi.”
Umati waomba hifadhi hospitalini mjini mtwara

Umati wa watu wengi wao wakiwa kinamama na watoto wachanga na waja wazito umemiminika kwenye Hospitali ya Ligula kukimbia msako na kipigo wanacho pewa na askari wa jeshi la POLISI,FFU,na JWT wanao pita nyumba hadi nyumba unaofanywa na polisi na Jeshi la Wananchi wa Tanganyika (JWT).

Wakizungumza na waandishi wa habari kwa nyakati tofauti, wakazi hao wamelalamikia kitendo cha polisi na jeshi la jwt kuingia katika makazi yao na nyumba zao,na kuwapiga na kuwapora mali zao.

“Magomeni A hatuna amani, askari wanaingia nyumbani kwetu, wanatupiga na kutunyang’anya simu, yaani huku Magomeni hatuna amani kabisa, tumepotezana na watoto na hatujui hata waume zetu wako wapi,” alisema mwananmke moja kwa njia ya simu akimueleza muandishi wetu wa siri aliyopo mtwara.

Hata hivyo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mtwara, Linus Sinzumwa alikanusha kabisa hayo waliyokuwa wakisema wanamtwara na kusema hali ni shwari na kuwataka wananchi kuendelea na shughuli zao kama kawaida.

Hadi sasa huduma za kijamii zimesimama, hakuna maduka yaliyofunguliwa, hakuna usafiri wa daladala wala pikipiki, mji upo kimya huku sauti za milio ya mabomu na bunduki ikitawala, wanajeshi waliovalia sare wametapakaa sehemu mbalimbali za mji wakiwa katika magari na pikipiki.
Nchimbi atua Mtwara, jeshi lamwaga vifaa

Dk Nchimbi aliwasili jana jioni kwa helikopta na kukutana na viongozi wa Mkoa wa Mtwara walioongozwa na Mkuu wa Mkoa, Kanali Joseph Simbakalia kujadili suala hilo.

Pia ndege kubwa ya jeshi nayo ilitua huko na wanajeshi walikuwa wakipakua vitu mbalimbali vilivyoaminika kuwa vifaa yani silaha kali.

Jeshi hilo limeombwa kuongeza kukabiliana na vurugu hizo ambazo zimesambaa sehemu mbalimbali za Mtwara.

Thursday, May 23, 2013

SHEHA TOMONDO AMWAGIWA TINDIKALI NCHINI ZANZIBAR

Sheha Tomondo       baada  ya kumwangiwa tindi kali sheha                                                                                                                                                                                  Sheha wa Tomondo Mohamed Omary Said amemwagiwa tindikali na mtu asiyejulikana na hivyo kupata maumivu makali sehemu ya kifua na jicho.

Sheha huyo alikimbizwa katika Hospitali ya Mnazi mmoja mjini Unguja ambapo alipatiwa matibabu ya dharura.
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mukadam Khamis anajifanya kama FBI au CIA alijidai kusema chombo kilichotumika kumwagia tindikali Sheha huyo kilipatikana eneo la tukio na kwamba polisi wamekichukua kwa kukichunguza kitaalam ili kugundua aliyekuwa akikitumia kwa kuangalia alama za vidole. swali je munavidole vyote vya rai wa nchi hii ya Zanzibar...???
Sheha huyo alimwagiwa tindikali jana usiku wakati alipotoka nje ya nyumba yake kuchota maji na ndipo jamaa huyo mwenye asira nae alipomwagia tindikali na kwamba hakuweza kumtambua ni nani.lakujiuliza je huu sio mpango mwengene wakutaka kuzusha fitina zaidi ya Wazanzibari..?? au tayari polisi wana mpango wakusingizia mtu kesi yani wanataka wafanye haya kisha waseme ni fulani ili wasukumizie kesi na kumtupa korokoroni kama walivyo msingizia yule kijana wa watu kuwa ati kamuwa padri..???

Wednesday, May 22, 2013

KESI YA WAKOMBOZI WA NCHI YA ZANZIBAR UAMSHO SASA KUNGURUMA KATIKA MAHAKAMA YA WAKOLONI WEUSI NCHINI TANGANYIKA

                                                                                                                                                                                        
Dar es Salaam. Kesi ya kusingiziwa na kutaka kuwatesa wakombozi wa nchi ya Zanzibar inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu ya nchi ya Zanzibar (Jumiki),Sheikh Faridi Hadi Ahmed (41), na wenzake 9, sasa imepangwa kuunguruma katika Mahakama ya Serekali ya Wakoloni Weusi nchini Tanganyika ya Rufani Dar es Salaam, Juni 10, mwaka huu.
Sheikh Faridi na wenzake wanakabiliwa na kesi hiyo katika Mahakama Kuu ya Zanzibar. Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Mselem Ali Mselem, Mussa Juma, Azzan Khalid Hamdani, Suleiman Juma, Khamis Ali na Hassan Bakari, Ghalib Hamada Juma, Abdallah Saidi na Fikirini Fikirini.
Washtakiwa hao kupitia kwa mawakili wao, wamewasilisha maombi katika Mahakama ya Rufani ya Mkoloni Mweusi  Tanganyika, wakiomba mahakama hiyo itupilie mbali rufaa ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP MASHUZI ASIYEJUWA KAZI YAKE),nchini  Zanzibar, dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, wa Machi 11, mwaka huu.
Mahakama hiyo, katika uamuzi wake uliotolewa na Jaji Abrahamu Mwampashi, ilitengua mwenendo wa maombi ya dhamana ya washtakiwa yaliyotolewa na mawakili wao kwa Msajili wa Mahakama Kuu, Oktoba 25, siku washtakiwa hao waliposomewa mashtaka.
Pia Mahakama hiyo ilitupilia mbali maombi ya marejeo ya washtakiwa hao kuhusu uamuzi wa Msajili wa Mahakama Kuu kuwakatalia dhamana na kuamuru warejeshwe rumande hadi tarehe iliyopangwa kutajwa kwa kesi hiyo, pamoja na pingamizi la awali (PO) la upande wa mashtaka.
Katika maombi yao kwa Mahakama ya Rufani, washtakiwa hao wanaiomba Mahakama ya Rufani kutupilia mbali rufaa hiyo ya (DPP MASHUZI,) kwa madai kuwa hakuna rufaa iliyofunguliwa na mjibu maombi (DPP) dhidi ya uamuzi na amri ya Mahakama Kuu anayoipinga.
Washtakiwa hao wanabainisha kuwa taarifa ya kusudio la kukata rufaa iliyowasilishwa mahakamani hapo na mjibu maombi haihusiani na uamuzi huo wa Mahakama Kuu wa Machi 11, mwaka huu.
Wanafafanua kuwa uamuzi huo wa Mahakama Kuu wa Machi 11, mwaka huu hauwezi kupingwa kwa rufaa wala kwa maombi ya marejeo katika Mahakama ya Rufani.
 
yamepangwa kusikilizwa na jopo la Majaji watatu wa Mahakama ya Rufani ya Wakoloni Weusi Tanganyika, Juni 10, mwaka huu, jijini Dar es Salaam sasa ndio labda Wazanzibari mutazidi kuamka na kujuwa kuwa munatawaliwa na Mkoloni Mweusi maana hii ni kesi ya nchi ya Zanzibar vipi yapelekwa katika nchi ya Tanganyika..??? kama sio Zanzibar ni koloni lao na sasa wanawahukumu masheikh ili wasidai Zanzibar yanye mamlaka kamili na kuka kimya nakuwa mkowa wa pwani Zanzibar ndivyo wanavyotaka Wakoloni Weusi Tanganyika.
Jopo hilo la majaji watakaosikiliza maombi hayo linaongozwa na Jaji January Msiffe, akisaidiana na Jaji Salum Massati na Jaji William Mandia.
Maombi hayo yamewasilishwa chini ya hati ya dharura wakiomba mahakama iyasikilize mapema .

Saturday, May 18, 2013

MAIMAMU NCHINI ZANZIBAR WAHOJI UDHALILISHWAJI WA MASHEIKHE WA UAMSHO NA WENGINEO

Muislamu ni ndugu yake Muislamu ni haramu kumdhulumu na ni haramu kuacha kumnusuru akidhulumiwa.Wamenuku hadithi hiyo maimamu nakisha kumkabili.Mwanasheria Mkuu kwa kusema kuwa wanafikisha malalamiko yao kwa sababu ndiye" msimamizi Mkuu wa Sheria katika Serekali na utendaji wake kisheria"

Wakasema wanashangazwa sana;kuiona serekali ya umoja wa kitaifa (SUT) ikiridhia kwa kuka kimya juu ya thulma na ukiukwaji wa kisheria na udhalilishwaji wanaofanyiwa Viongozi wa Taasisi za Kislamu nchini akiwemo Kiongozi Mkuu wa Jumuiya ya Maimamu Zanzibar.Sheikh Farid Hadi Ahmed pamoja na viongozi wa Jumuiya ya Mihadhara ya Kiislamu na Mashekhe(wengine).

Jumuiya ya Maimamu Zanzibar(JUMAZA) inasema kuwa Viongozi hao kumi wa Kiislamu wamezuiliwa na jeshi la Polisi tokea tarehe 20/10/2012 mwaka jana na kufikishwa Mahakamani kwa kesi za bandia zenye sura ya kutengenezwa ili kuwaweka ndani kwa muda mrefu kadiri itakavyowezekana."

Jumaza wakiendelea kusema kuwa ushahidi wa hayo ni kuwa tokea siku waliofikishwa Mahakamani hadi leo huu  sasa unaanza ni mwenzi wa saba,hakuna haki yoyote waliyotendewa zaidi ya udhalilishwaji na usaani wa kudanganya Umma wa Wazanzibari kuwa Mashekhe na viongozi wao hao wanakabiliwa na kesi kubwa ili wananchi waongope na warudi nyuma waachane na madai yao ya kudai mamlaka kamili ya Nchi yao Zanzibar."

''Mh,Mwanansheria Mkuu,kwa upande wa Mahakama,hadi hii leo imeshindwa hata kuwapangia Jaji kama taratibu zilivyoelekeza na kwa kipindi hicho chote kesi ya msingi imebaki kwa mrajisi wa Mahakama ambaye amekuwa akiitaja kila wanapofikishwa Mahakamani.kutokana na kutokuwa na nia nzuri ya kutoa haki kama ambavyo Mahakama inatakia ifanye,Mrajisi huyu alijipa uwezo wa kuzui dhamana ya mashekhe na Viongizi hao licha ya kuwa hana uwezo kisheria wa kufanya hivyo.

Jambo ambalo limebainishwa wazi na katika hukumu ya Ombi la dhamana lililotolewa tarehe 11/3/2013."imesema sehemu ya barua ya (JUMAZA) iliyosainiwa Katibu Mtendaji wake Sheikh Muhidini Zuberi.Barua hiyo ikaongeza kudai kuwa ''kwa upande wa Ofisi ya Mkurungenzi Mashitaka nao umekiuka utaratibu kwa hati ya kupinga dhamana na huku wakijuwa kuwa hawana sheria wala mamlaka ya kufanya hayo na kwamba kinacho onekena wazi ni kujaribu kuridhisha utashi bi nafsi wa kisiasa ambao unaonekana kuwa umelengwa kufanisha kuwaweka ndani Viongozi hao kwa muda mrefu na kuwanyima haki yao ya dhamana kwa kulifanya kosa ambalo halipo kuwa ni kosa kubwa na lakutisha kinchi.''

Wakimtupia lawama Mwanasheria Mkuu, JUMAZA wamemkabili wakisema Wewe ni mweledi zaidi wa mambo ya sheria na hivyo unafahamu fika kuwa dhamana ni haki ya mtuhumiwa kwa kesi kama hiyo, lakina bado Mashekhe wanaendelea kunyimwa  dhamana hiyo na kupigwa dane dane. Sheria zinachezewa huku Serikali ya Umoja wa Kitaifa ikibariki ukiukwaji huo kwa ukimya wake na kupongeza Jeshi la Polisi. Mbali ya kuwa dhamana ni haki yao, kesi yenyewe unafahamu wewe na Serikali kuwa kisheria kesi hiyo ililazimika isikilizwe ndani ya miezi minne na sheria inaelekeza ikishindikana,basi kesi ifutwe,laa kusikitisha leo ni mwezi wa sita udhalilishwaji unaendelezwa huku wananchi wakifanywa waamini nchi hii in Utawala Bora na Kuheshimu Sheria.''

Wakikamilisha maelezo yao JUMAZA wakasema kuwa ''Waislamu wa Zanzibar hawajawahi kuona viongozi wa dini ya Kikiristo wakidhalilishwa kwa namna yoyote ile kama wanavyofanyiwa viongozi wa Waislamu.Na wakamaliza kwa kuwataka wananchi kuungana na kutowa sauti moja ya kupinga dhulma,uonevu na udhalilishwaji kwa sababu hiyo sio yaliyotarajiwa kuletwa na kufanywa na Serekali ya Umoja wa Kitaifa.Jumuiya ya Maimamu inatowa wito kwa Serekali na Wawakilishi wa wananchi kusimamia Utawala wa Haki na Sheria bila ya ubaguzi na kushirikiana pamoja na wananchi utangulizi utetezi wa maslahi ya nchi kwanza.

Maslahi ya vyama,vikundi vya watu na mtu binafsi yatafuatia baadaye.''Walimaliza JUMAZA katika barua yao walioinakili kwa Waziri wa Sheria,Baraza la Mapinduzi,Jaji Mkuu,Baraza la Wawakilishi na Mkurugenzi wa Mashtaka.Wengine waliopewa nakala ni Sherika la Kimataifa la kutetea wafungwa (Amnesty International),Umoja wa Majaji na Makadhi Zanzibar,East Africa Law Society,Zanzibar law Society na Wandishi wa Habari.

Friday, May 17, 2013

JUA KALI BADO WAYA MKALI ZAIDI YA SEREKALI YA MADHALIM SMZ



Baraza la Mji wa Zanzibar limezidi vituko, dhulma na unyanyasaji wa wafanya biashara ndogo ndogo (ambao kimtazamo, sio “halali’ lakini wanatozwa kodi ya sh 500 kwa kila siku; na kwa kila wanapokaa na kupanga biashara zao.
Juzi ile baada ya kufanya operesheni ya kuchukua vitu vya watu, kuharibu mali za watu; baadae walikwenda pale Vikokotoni, ambako wale jamaa wa “Jua Kali”/Dada Njoo wanaweka vitu vyao katika godown. Askari wa ZMC, Janjaweed, KMKM, KVZ na wote unaowajua wewe — walikwenda na kulivunja na hatimaye kuiba vitu vyote. Watu wote walijiuliza: je, kule kumewakera nini BLM/ZMC??
ZMC na hao askari wao — walikwenda na FUSO na kupakia vitambaa na nguo na vitu vyenginevyo na kuondoka navyo. Hakuna anayejua vitu hivyo vimepelekwa wapi?? na mpaka leo hakuna ‘news’ juu ya tukio hilo; ila ZMC wanadai kuwa eti sio wao waliovunja ila ni ‘majambazi/wezi’. Ahhhhh……….mengine enh…na mengine ni kinehe!
Najua kuwa pengine Mkurugenzi Mpya wa ZMC, Maalim Ebeid Kombo au umaarufu wake ‘Maalim Abeid’ — anataka kuonyesha kuwa ‘anafanya kazi vizuri’ na kuwakomoa jamaa zake wenyewe.
Hayo kama hayatoshi. Wiki iliyopita, kulikuwa na kikao cha madiwani, eti wanataka kupitisha miswada na kubinafsisha ZMC. Kilichojiri ni kuwa mjumbe mmoja alisimama kutoka CCM, na kudai kuwa kabla hatujasonga mbele, tuangalie tulipo na tunakotoka. Akasimama Diwani wa CUF na kudai aonyeshwe risiti za parking zote.

Likatolewa buku kubwa (ledger book) huko yakazuka mambo: receipts zote za Darajani parking na maeneo tunalipa sh.500 kwa saa; lakini katika buku hilo kubwa kinachoandikwa ni malipo ni sh 250/=.
Je, hizo 250/= nyengineo – zinakwenda wapi..??? na kwa nini hakuna mtu anayewajibika au anayewajibishwa kwa dhulma kama hii, wizi wa wazi wazi..??? Baada ya mkasa huu, madiwani wa CCM, walimgeukia diwani wa CUF kuwa ndiye ‘mbaya’. Aliyeiba sio mbaya, ila aliyesema Fulani kaiba ndiye mbaya.
Ama kama parking yako utaifanyia kule forodhani na maeneno kama hayo — huko unalipa 1000/= na karibuni sana itapanda na kuwa 1500/=. Hiyo value ya parking ya 1500/ au 500/= kweli ipo pale Darajani..??
Naomba nifafanue kidogo: ninaposema haya, haina maana ninatetea ufanyaji biashara pale Darajani, la hasha. pale ni illegal kufanya biashara; ila ninakosema mimi kwa nini ZMC inafanya dhulma ya namna hii, at the same time, wanatoza pesa watu na huku wanawageukia na kuwapiga, kuwanyanganya mali zao n.k.                                                                       
Na kama ni illegal, kwa nini uwaruhusu wengine (wamachinga kutoka Mtwara, Wamasai wanaouza dawa, na wale wanaouza njugu kwenye nyungo, korosho n.k); lakini unawasumbua wauza samaki kutoka Nungwi, Fumba, Kidoti, Vitongoji n.k..??

BREAKING NEWS...NCHINI TANGANYIKA SHEIKH MPONDA ACHIWAA. JE SEREKALI YETU YA KIKAFIRI SMZ ITAWACHIA LINI MASHEIKH WETU WA UAMSHO..???


Hakimu wa Mahakama ya kisutu Victoria Nonga ametoa hukumu dhidi ya watuhumiwa Sheikh Ponda na wenzake 49 kwa kuwaachia huru. Katika hukumu hiyo Sheikh Ponda amekutwa na hatia ya kosa moja ambalo hakimu wa mahakama hiyo amemhukumu kifungo cha nje kwa mwaka mmoja. Kwa upande wao Ndugu wa watuhumiwa hao ambao walikuwa wameshitakiwa katika mahakama hio wamefurika Mahakaman hapo na baada ya kutolewa kwa uwamuzi huo wamejawa na furaha kubwa

KONGAMANO KUBWA LITAKALO FANYIKA BWAWANI – TAREHE 25/05/2013

kamati_moyo

TANGAZO!
Haya haya wazanzibari!!! Kumekucha!!! La mgambo likilia kuna jambo!!! Kamati ya Maridhiano inawatangazia wapenzi wazanzibari wote, kike kwa kiume, wapenda nchi yao kwa jumla kuhudhuria kwa wingi katika kongamano kubwa la aina yake litakalofanyika siku ya Jumamosi tarehe 25/05/2013 hapo katika ukumbi wa Salama hall, Bwawani.
Agenda kuu ni Zanzibar kurejesha Mamlaka yake kamili kupitia mchakato wa mabadiliko ya katiba.
Hatumwi mtoto! Shime wazanzibari wote kuhudhuria kwa wingi bila ya kukosa!
TUNATAKA NCHI YETU SASA TUMECHOKA TAFRANI TAFRANI HII TAFRANI HII TUNATAKA NCHI YETU SASA TUMECHUKA!!!
JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR KWANZA!!
WATUACHIYEEEE TUPUMUWEE WATUACHIYEEE TUPUMUWEE WATUACHIYEE TUPUMUWEEE

SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA YA ZANZIBAR GNU,SUK,SMZ YAPIGA MARUFUKU CD ZA SHEIKH ROGO,UAMSHO NA ILUNGA ZA MAWAIDHA YA KISLAMU LAKINI ZA NGONO NA BONGO FLAVA MUSIC NI HALALI KUUZWA NCHINI.



Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar inayoongozwa na Dr Kumbi Shein na Makamo wake Maalim Seif kupitia Jeshi la Polisi wamepiga marufuku rasmi CD na DVD zote za mawaidha ya Kiislam za UAMSHO,MUJAHID ABOUD ROGO na SHEIKH ILUNGA.

Hayo alisema OCD wazamani Murtad MKADAM ambae kwasasa yupo ofisi kuu ya polisi kitengo cha madawa ya kulevya Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif.

Alisema cd hizo za kiislam ni chanzo cha uvunifu wa amani hapa nchini Zanzibar.(FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI TUNA SEMA ASTAHAFIRU ALLAH)akiendelea kusema na ndio zinazosababisha uchochezi baina ya dini ya ukiristo na uislam.

Akifafanua alibainisha kuwa mpaka sasa washawakamata watu kadhaa wanaojihusisha kuuza CD hizo na kuwaonya wale wote ambao huweka na kuzisikiliza watachukuliwa hatu kwani serikali ina mkono mrefu.
Akijibu baadhi ya maswali aliyoulizwa kwamba waliowakamata hawawaoni kuwa wamewadhulumu kwa kufanya biashara halali ya uzaji CD hizo za mawaidha ya kiislamu za UAMSHO,SHEIKH MUJAHID ABOUD ROGO na SHEIKH ILUNGA.
alijibu CD zile za mawaidha ni Haram(ASTAHAFIRU ALLAH FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI TUNASEMA TENA ASTAHAFIRU ALLAH) akiendelea kusema wala sio rizki ya halali kwa upande wa serekali kwani zinapelekea uvunjifu wa Amani katika nchi.

Hii ndio hali tuliyofikishwa waislam na viongozi wanafiq ambao tuliwachagua eti tuliona uislam utakuja juu kumbe ndio wao wanaukandamiza bado waislam tumekuwa maiti hatutafakari ,hatuzinduki kuwabaini hawa wanasiasa niwanafiq.hawa wanailinda nidhamu yao sio uislam tena wote kuanzia KISHEIN,MAALIM SEIF NA TIMU YAO NZIMA YA GNU-SUK-SMZ WOTE WATUMWA TU.

Tusipokuwa makini tutaambiwa athana isiathiniwe kwenye maspeka bali athiniwe kimya kimya kisha tutambiwa tuswali majumbani kwanza kisha labda baadaye pia tutambiwa tusiswali kabisa kisa nini zinawakera makafiri wachache ambao ni wageni nchini Zanzibar.ajabu ya ajabu ati tunambiwa kuwa nchi hii ya Zanzibar kuna waislamu asilimia %99 ni waislamu lakini waone hao wanaojita waislamu wanavyo ukandamiza uislamu.kwa jili ya vyeo ati huyu waziri ati huyu makamo wa raisi ati huyu raisi ati huyu mbunge ati huyu mkuu wa polisi ati huyu mkuu wa majeshi ati huyu mkuu wa mkoa wanakandamiza uislamu na kuthalilisha uislamu kwajili ya vyeo na uluwa sawa yuko wapi Nyerere..? Mzee Karume..? Adolf Hitler..? Firauni..? NAWENGINE WENGI TU ITAKUWA NYINYI VISHAHALA BALA MCHENI MWENYEZI MUNGU NA MUJUWE KUWA KWAKE MUTAREJEA BI KIDUDE YUKO WAPI KAISHA MAISHA YA MIAKA MINGAPI WENGINE WANASEMA 100 WENGINE WANASEMA 103,104,99 LAKINI MWISHO KAONDOKA ITAKUWA NYINYI.
 

Wednesday, May 15, 2013

KUNAMPANGO WA KUMUONGEZEA J.K.KIKWETE MUDA KUWA RAISI WA TANGANYIKA NDIO MAANA KATIBA MPYA INAHARAKISHWA IMALIZIKE HARAKA KABLA YA UCHANGUZI WA 2015


Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba amedai kuwa amenasa taarifa za siri za kuwapo kwa mipango ya kuongeza muda wa Serikali ya sasa kukaa madarakani TENA.
Profesa Lipumba alisema hiyo inatokana na wasiwasi kuwa mchakato wa Katiba Mpya hautaweza kukamilika mwaka 2014 hivyo kutokuwa rahisi kwa uchaguzi kufanyika mwaka 2015.
Akizungumza Dar es Salaam jana, wakati akifungua kikao cha Baraza Kuu la CUF, Profesa Lipumba alisema kuwa Serikali inataka kuongezewa muda wa kukaa madarakani kwa miaka miwili ikimaanisha kuwa Serikali ya Awamu ya Nne chini ya Rais Jakaya Kikwete itakaa madarakani hadi mwaka 2017.
Hata hivyo, madai hayo ya Profesa Lipumba yamepingwa vikali na Serikali na viongozi wake watatu waandamizi ambapo walijibu walipoulizwa kwa maandishi na wandishi tafauti akiwemo muandishi wetu wa siri mjini Dodoma wanakohudhuria kikao cha Bunge.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe alijibu: “Mchakato wa Katiba upo ‘on track’ (unakwenda vizuri) hatuna sababu ya kufanya hivyo.”
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alijibu” “Njooni ofisini kwangu nitasema ni kitu gani.”
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi alijibu kwa utani bila ya kufafanua: “Njooni niwajuze, unajua kamba haitoki Ukambani kama ilivyo kamba.”
Profesa Lipumba amemwomba Rais Kikwete asilikubali wazo hilo akisema wananchi hawatakubali na taifa linaweza kuingia katika mtafaruku.
“Nitapenda kuona Rais Kikwete akikataa jambo hilo kwani litachafua taswira ya nchi. Hatua hii ni kinyume cha utawala bora,” alisema Profesa Lipumba.
Alisema Serikali haipaswi kuhofia uchaguzi kwa sababu ya Katiba kwani bado uwezekano wa kuandaa uchaguzi wa haki na huru unawezekana kwa utaratibu mwingine.
“Mchakato wa Katiba unaendelea, Tume ya Mabadiliko ya Katiba inatuambia kwamba mwaka 2014 tutakuwa na Katiba Mpya, sasa CUF tunasema kwamba hata kama Katiba Mpya haitapatikana kwa kipindi hicho kuwe na Tume huru ya Uchaguzi,” alisema Profesa Lipumba.
Jukwaa la Katiba kutinga mahakamani
Siku nne baada ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kutoa rasimu ya mwongozo kuhusu uundwaji wa Mabaraza ya Katiba, Jukwaa la Katiba nchini Tanganyika (Tanzania) (Jukata), limesema litafungua kesi mahakamani kutaka kusitishwa kwa mchakato mzima wa Katiba Mpya kwa madai kuwa uendeshwaji wake umejaa mizengwe, itikadi za vyama na rushwa. Limetaja sababu tano ambazo zimekiukwa.
Limesema kesi hiyo itasimamiwa na timu ya mawakili 10 watakaoongozwa na Mwanasheria wa masuala ya Haki za Binadamu, Dk Rugemeleza Nshala na itawasilishwa mahakamani siku saba zijazo kuanzia jana.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Jukata, Deus Kibamba alitaja sababu hizo kuwa ni kutokufanyiwa marekebisho katika sehemu tatu za Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kama ilivyoahidiwa na Rais Kikwete, kuvurugwa kwa Uchaguzi wa Mabaraza ya Katiba, mchakato wa Katiba kukosa uongozi, kuminywa kwa demokrasia wakati wa mchakato huo pamoja na Jukwaa hilo kuzuiwa kuonana na Rais ili kueleza upungufu uliopo.

DPP MASHUZI ALIYE WANYIMA MASHEIKH WETU WA UAMSHO THAMANA AROPOKWA KUHUSU BARAZA LA WAWAKILISHI

poa

Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Ibrahim Mzee Ibrahim amesema Serikali inawajibu wa kuyafanyia uchunguzi wa kina mapendekezo ya Kamati za Baraza la Wawakilishi na haipaswi kuwachukulia hatua moja kwa moja watu waliotajwa ndani ya taarifa kwa mujibu wa sheria ya Utumishi wa Umma.
Mkurugenzi huyo ameeleza hayo leo alipokuwa akizungumza katika mkutano wa pamoja kati ya Kamati ya Uchunguzi wa Mahesabu ya Serikali na Mashirika (PAC) na wadau wa Kamati hiyo kwenye Ofisi za Baraza la Wawakilishi Chukwani.
Amesema katika kuyapitia na kuyafanyia uchunguzi mapendekezo ya kamati, wahusika wanaotajwa hupewa nafasi ya kujitetea kabla ya kuyatolea uamuzi na kazi hiyo huchukua muda kukamilika.
“Serikali haiwezi kuyachukulia hatua mapendekezo yote yanayotolewa na Kamati ya Baraza bila ya kuwapa nafasi ya kujitetea watuhumiwa na kubaini wanaostahiki ili kuchukuliwa hatua za kinidhamu na wengine kupelekwa mahakamani kwa mujibu wa sheria za Utumishi wa Umma”, alieleza Ibrahim Mzee.
Ameitaka Kamati ya PAC kuelewa kwamba kuna mchakato mkubwa unaotekelezwa na Serikali kabla ya kuchukua hatua zinazostahiki kwa wahusika na haipaswi kupewa shinikizo na chombo chochote.
Amesema kazi ya Kamati ya PAC ni kuchunguza na kuishauri Serikali bila ya kutumia vitisho wala kutoa hukumu na kuipa muda Serikali kufanya wajibu unaostahiki ikiwa ni pamoja na kuwachukuliwa hatua waliobanika na makosa.
Mkurugenzi wa Mashtka alieleza kwamba kumekuwa na muingiliano wa kazi kati ya kamati moja ya Baraza la Wawakilishi na Kamati nyengine na hivyo kupelekea kamati mbili kuhoji jambo moja.
“Kamati mbili ama zaidi kuhoji kitu kimoja ni kasoro kubwa hivyo inafaa mujipange vizuri ili kila kamati ijuwe wajibu wake”, alisisitiza Mkurugenzi wa Mashtaka.
Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi na Mipango ya Maendeleo Khamis Mussa Omar ameitaka kamati ya PAC wanapowasilisha taarifa katika Baraza kupunguza hamasa kwani mara nyingi hujenga picha kwa jamii kuwa wahusika ni wizi na mafisadi.
Akiwashukuru wadau wa PAC Mwenyekiti wa Kamati hiyo Omar Ali Shehe ameomba kujenga mashirikiano ya karibu kati yao na wadau wengine ili kufanikisha majukumu yao yao ya kazi.
Amewahakikisha wadau hao kwamba Kamati ya PAC haina nia ya kumuonea Mtendaji yeyote wa Serikali lakini kubwa wanalofanya ni kuhakikisha rasilimali chache zilizopo Nchini zinawanufaisha Wananchi wote kwa mujibu wa nafasi zao.
Wadau walioshiriki katika mkutano huo ni pamoja na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa mahesabu ya Serikali, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Muhasibu Mkuu wa Serikali, Mkurugenzi wa Mashtaka na Vyombo vya Habari.

CCM NCHINI ZANZIBAR NA UPUNGUFU WA AKILI WABAKI KUDAGANYA TOTO ILI WAFIYE MADARAKANI


Naibu Katibu mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania UWT Salma Abuod Talib akifafanua jambo katika Mkutano wa Jumuiya za UVCC, UWT na Wazee na Waandishi wa habari. Mkutano huo uliofanyika Makao Makuu ya CCM Zanziba Kisiwandui    Jumuiya za Chama cha Mapinduzi UVCCM, UWT na Wazazi zinakusudia kuwajengea uwezo Vijana ili kujinasua na hali ngumu ya kimaisha kwa kuwasomesha kupitia Skuli za Wazazi na Elimu ya Amali ili waweze kujiajiri wenyewe. Zimesema Vijana watakapopata Elimu hiyo itawasaidia kuweza kujiajiri na kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira linaloendelea hapa nchini. 
Naibu Katibu mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Tanganyika  (Tanzania) UWT Salma Abuod Talib ameyasema hayo huko Makao makuu ya CCM nchini Zanzibar Kisiwandui alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kwa lengo la kupongeza mafanikio ya ziara ya kichama iliyofanywa na Dkt.Kumbi  Shein au Mr Simuogopi mtu.
Amesema Mafunzo ya Amali yatawasaidia Vijana kuondokana na fikra za kutegemea ajira  Serikalini na kuwawezesha kujiajiri wenyewe badala ya kutegemea Serikali.
Akizungumzia ziara hiyo Bi Salma amesema ziara ya Dkt.Kumbi Shein au Mr Simuogopi mtu imekuwa na mafanikio makubwa kwani imeweza kuongeza wanachama wapya  jambo ambalo ni ishara ya wazi ya uhai na matumaini ya ushindi wa Chama hicho katika chaguzi za baadae .
Amesema katika hali hiyo kuna haja kubwa kumpongeza kiongozi hiyo kwani ametoa picha ya kufanikiwa kukiimarisha chama na kukiletea maendeleo hapa visiwani nchi Zanzibar kwa ujumla.
“Jumuiya za Chama cha Mapinduzi (UVCCM , UWT na Wazazi) tunampongeza kwa dhati kabisa kuwa mjasiri wa kutembea bila kuchoka na kuwa tayari kutumika kila ambapo alitakiwa ushiriki wake, inaonesha wazi kuwa Makamu Mwenyekiti wetu ni mtu wa watu na anapenda watu pamoja na maendeleo yao” amesema Bi Salma.
Aidha alisema katika ziara hiyo Dkt.Kumbi Shein au Mr Simuogopi mtu alikagua na kutembelea miradi ya CCM ambapo miradi 35 iliwekewa jiwe la msingi na kuziduliwa zikiwemo SACCOS mbali mbali na Vikundi vya Ushirika.
Akizungumzia sintofahamu iliyopo katika baadhi ya Majimbo Bi Salma alisema CCM imepanga kufanya vikao vitakavyojumuisha viongozi wa Majimbo wakiwemo Wabunge na Wawakilishi pamoja na wananchi wao ili kuimarisha utendaji wao.
Amesema vikao hivyo vitatoa mustakabali mzuri kwa viongozi hao na kuweza kuwatumikia wananchi walio wachagua katika hali inayofaa.
Jumla ya Wanachama wapya 5,448 kutoka vyama mbali mbali vya siasa wamejiunga na Chama cha Mapinduzi kufuatia ziara ya Makamo Mwenyekiti wa chama hicho Dkt.Kumbi Ali Mohammed Shein au Mr Simuogopi mtu aliyoifanya hivi karibuni kutembelea mikoa mitano ya Unguja na Pemba kwa lengo la kuangalia na kukipa uhai Chama cha Mapinduzi na Jumuiya zake.

HII KATIBA MPYA YA TANGANYIKA NI KATIBA AU NDIO ITAKUWA MWANZO WA VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE WATANGANYIKA...???


KATIBA MPYA YA WATANGANYIKA WAZANZIBARI TILIPIGA NA CHINI NA KUIPIGA MOTO SASA WATANGANYIKA WENYEWE WANATAKA KUIPELEKA MAHAKAMANI

Jukwaa la Katiba Tanganyika (Tanzania) limesema linatarajia kwenda Mahakama Kuu ndani ya siku saba kuanzia jana kuweka zuio la kuendelea kwa mchakato wa Katiba mpya.
Zuio hilo linatokana na mchakato huo kuwa na kasoro nyingi zitakazosababisha kukosekana kwa Katiba mpya na ya kidemokrasia.
Mwenyekiti wa Jukwaa hilo, Deus Kibamba, aliyasema hayo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Alisema timu ya mawakili 10 wakiongozwa na mwanasheria wa masuala ya Haki za Binadamu, Dk. Rugemeleza Nshala, wanaandaa hoja muhimu za kuwasilisha mahakamani.
Hata hivyo, alipotakiwa kutaja majina ya mawakili wengine, Kibamba alisema kwa sasa hayako hadharani ila yatatajwa siku chache zijazo na kwamba kwa sasa wamejichimbia wakiandaa hoja za msingi.
“Ingawa mchakato wa Katiba unahitajiwa na kila Tanganyika (Mtanzania) mwenye nia njema na nchi yake, ila unatakiwa uwe bora utakaozaa Katiba bora, kinachoendelea sasa ni bora mchakato ambao unaweza kuzaa bora Katiba,” alisema Kibamba.
Kibamba alisema uamuzi .wakwenda mahakamani unatokana na Jukwaa hilo kupuuzwa na mihimili ya Bunge na Serikali pamoja na wasaidizi wa Rais kuwakataza kuonana na Rais, Jakaya Kikwete, kwa ajili ya kuwasilisha maoni yao na kuona njia pekee ya kutafuta haki ya Tanganyika (Watanzania) ni kwenda mahakamani.
“Tunakwenda mahakamani kuomba isimamishe mchakato wa Katiba mpya hadi watakapoona umuhimu wa kuheshimu na kufuata ratiba waliojiwekea, kuheshimu misingi ya uandikaji na iamuru kusimama kwa mchakato huo,” alisema.
Alisema kwa mujibu wa ratiba ya Tume ya Marekebisho ya Katiba, Aprili 4 hadi Mei 2, mwaka huu ni uandishi wa rasimu ya Katiba, Mei 3 hadi 8 ni uchapishaji wakati Mei 9 hadi Juni 7, mwaka huu ni kutolewa kwa elimu ya rasimu ya Katiba.
Hata hivyo, alisema hadi kufikia jana zilikuwa zimepita siku saba na tume haijazungumza lolote kwa Tanganyika (Watanzania.)
Aliainisha kasoro zilizopo kwenye mchakato huo kuwa ni kupelekwa kwa kasi inayoathiri misingi mikuu ya mchakato wa ujenzi wa Katiba mpya hususani uelewa na hamasa, ushiriki, umiliki wa wananchi na hivyo mchakato huo unaweza kuzaa Katiba isiyo na sauti na maoni ya Tanganyika (Watanzania) wote.
Alisema kuandika Katiba mpya ni mchakato wa kisiasa, kwa maana ya kutafuta mwafaka wa kitaifa ambao unapitia njia na hatua za kisheria.
Alisema baada ya wabunge wa vyama vya Chadema na NCCR-Mageuzi kutoka nje ya ukumbi wa Bunge Novemba mwaka 2011, Rais alikutana na vyama vya siasa na mashirika yasiyo ya kiserikali ili kupata mwafaka na kwamba waliwasilisha mapendekezo yao kwa Rais.
Kwa mujibu wa Kibamba, madai ya vyama vya siasa yaliyokuwapo kwenye ajenda za vyama vya siasa yalipotea baada ya mkutano huo na sasa yameanza kujitokeza baada ya kuona haja ya utekelezaji.
Alisema Jukwaa hilo linaitaka serikali kusikiliza madai hayo yakiwamo ya asasi za kijamii, makundi ya wasomi, wafanyakazi na wananchi kwa upana wake na kuyafanyia kazi.
Alitaja nyingine kuwa ni mabadiliko ya sheria inayoongoza mchakato huo kwa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya kutoelezwa vema kwenye sheria, kuanzia upatikanaji wa wajumbe wake kutojulikana moja kwa moja kama utahusisha uchaguzi ngazi ya vijiji, mitaa na kata au shehia kwa upande wa wa nchi ya  Zanzibar.
Alisema hali hiyo ilisababisha dosari nyingi kwenye uchaguzi wa wajumbe wa wilaya na kuzua malalamiko na Tume ilikiri kupokea malalamiko hayo na kutoa msimamo wake kuwa haihusiki na kutoa mwongozo wowote wa malalamiko hayo. Alisema wajumbe wengi kwenye mabaraza hayo walichaguliwa kwa mizengwe, rushwa na ushabiki wa kiitikadi za vyama, dini na wengi hawana sifa muhimu za kuchambua, kutafsiri na kujadili rasimu ya Katiba mpya.
Jingine ni Bunge Maalum la Katiba na kusema kuwa kinachopaswa kufanyika ni kuwaondoa wabunge wote na kuchagua watu wengine huru, kwa kuwa waliopo Dodoma na Zanzibar hawakuchaguliwa kwenda kutunga Katiba mpya bali sheria za kawaida za nchi ikiwamo marekebisho ya Katiba.
Alisema kati ya wabunge 357 walioko Bungeni sasa, vyama vya upinzani vina wabunge takribani 90 ambao ni asilimia 25 ya Bunge zima, hivyo kuwatumia hao kwenye Bunge la Katiba ni kuendeleza U-CCM.
Alisema jingine ni kura ya maoni kusimamiwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ambayo inalalamikiwa kuwa siyo huru na ndiyo moja ya sababu za kuanza kwa mchakato wa Katiba mpya, hivyo kuitumia hiyo ni wazi kuwa haikidhi vigezo.
Alisema pia uchaguzi wa mabaraza ya Katiba umevurugwa kwa makusudi na tume hiyo kwa kushirikiana na chama tawala na kwamba idadi ya madiwani nchini ni 4,453 na vyama vya upinzani vina madiwani 450, hivyo ni dhahiri kuwa CCM ilijipenyeza kwenye mchakato huo.
LIPUMBA ALALAMIKIA MCHAKATO
Wakati huo huo; Chama cha Wananchi (CUF) kimelalamika kuwapo kwa upendeleo wa kuwapata wajumbe wawakilishi wa mabaraza ya katiba ngazi ya kata, huku ikitoa tahadhari kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kurekebisha mfumo huo kabla haujaleta matatizo katika upatikanaji wa katiba mpya. Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, jana wakati wa utoaji wa taarifa juu ya kikao cha Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la chama hicho jijini Dar es Salaam.
Lipumba alisema mfumo unaoendelea sasa wa kuwapata wajumbe wa mabaraza ya katiba ngazi ya Kata hautendi haki kwa kuwa unapendelea chama kimoja.
Alisema kuna eneo wajumbe saba wa CUF kati ya nane walipita katika uchaguzi wa katiba ngazi ya mtaa, lakini walipofika ngazi ya kata walienguliwa wote na nafasi hiyo kupewa mgombea wa CCM.
Alitoa wito kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kuharakisha mchakato huo kwa kuwa kasi yake hairidhishi ukilinganisha na muda wa kukamilika kwa Katiba hiyo mwaka 2014 kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

Sunday, May 12, 2013

NDUGU MUISLAM CHANGIA UJENZI WA MSIKITI ULIOPO FUONI IJITIMAI-KWA JILI YA AKHERA YAKO

TANGAZO LA MSIKITI
Asalam Alaikum,
Ndugu Waislam, munaombwa kufungua account isiyoliwa na wadudu wala kufilisika kwa kuchangia ujenzi wa msikiti ulioko huko Ijitimai Fuoni.
Eneo hili limekuwa na uhaba wa nafasi yakusalia baada ya kijisikiti chao kidogo kilichojengwa kwa miti na kuezekwa kwa makuti kuwa hakitoshelezi mahitaji na matakwa ya wingi wa watu wanahamia na kuishi kwenye mtaa huo mpya.
kwa jitihada za wakaazi wa eneo hilo wamefanikisha kupata kiwanja kipya cha kujenga msikiti huo ambacho kiko pembeni mwa msikiti mkogwe, wamefanikiwa kuanza na ujenzi kwa kuanza kujenga foundation na kukwama kwenye  kumwaga janvi.
Tunatowa wito kwa Waislamu wote popote walipo Duniani, wanakaribishwa kwa hali na Mali ikiwa watatowa Pesa au watataka kujenga mwenyewe ruhusa hiyo inatolewa na Kamati Msikiti.
WABILLAH TAUFIQ

Tuesday, May 7, 2013

JE SHEIN UTAISHUSHA BENDERA YENYE JINA LA M/MUNGU ILI UFURAHISHE WAHAFIDHINA NA MFALME WAKO TANGANYIKA..???



WASIO AMINI KAMA CCM NI CHAMA CHA WANAFIKI NA MADUWI WA WAISLAMU WALA HAMTAMINI TENA JIANGALIYENI NYOYO ZENU LABDA ISHAPINGWA MIHURI
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kaskazini Unguja, kimesema hakiridhishwi na utendaji wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Unguja (RPC), Ahmada Khamis, kutokana na kushindwa kusimamia usalama wa raia na vitendo hatarishi  vinavyotishia kuvunja umoja wa kitaifa.
Malalamiko hayo yalitolewa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja, Haji Juma Haji, wakati akitoa utangulizi katika mkutano wa majumuisho ya ziara ya  Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, Kinduni Mkoa Kaskazini Unguja juzi.
Haji alisema RPC Ahmada, ameshindwa kuchukua hatua za kiusalama dhidi ya wafuasi wa Uamsho ambao wameendelea na kampeni za kupandikiza chuki miongoni!!! mwa jamii akiachia kupepea kwa bendera za jumuiya hiyo wakati kamati ya ulinzi na usalama mkoa iliamua ziondolewe
“Mheshimiwa Rais, RPC wako Mkoa Kaskazini hatumtaki kwa kujali maslahi ya umma ukiondoka hapa ondoka naye, tumechoka na vitendo vyake visivyoheshimu taratibu za kiusalama,” alisema Haji.
Alisema tangu kuibuka kwa vitendo vinavyoashiria kuvunjika kwa amani katika mkoa huo vinavvyofanywa na wafuasi wa Uamsho, amekuwa mzito kuchukua hatua za kisheria na kusababisha kuzorota kwa amani na umoja wa kitaifa mkoani humu.
Aidha, Mwenyekiti huyo wa CCM alisema hata pale walipojaribu kuchukua hatua za kukosoa udhaifu wake wa kiutendaji kwenye vikao ili ajali maslahi ya umma, alijibu kuwa yeye anawatumikia mabwana wawili ambao ni Kamishna wa Polisi Zanzibar na IGP Said Mwema.
Mwenyekiti huyo wa CCM alisema CCM Mkoa imeamua kuliwasilisha katika taarifa yake maalum ya kimaandishi kwenye ziara ya Rais, lakini jambo la kushangaza tangu kuwasilishwa kwa taarifa hiyo, Kamanda Ahmada amekuwa akiisaka taarifa hiyo bila kueleza madhumuni yake.
Hata hivyo, akijibu suala hilo, Rais Dk. Shein aliwataka viongozi wa chama hicho mkoa kutulia na kuahidi kulifuatialia suala hilo ili kupata ukweli juu ya utendaji wa Kamanda huyo.
Dk. Shein alisema kama Polisi wanasaka na kuitafuta taarifa hiyo wamfuate yeye na yuko tayari kuwapa ili kujua kilichoandikwa na kulalamikiwa dhidi yao.
“Kama kusomewa taarifa nimesomewa mimi, yeye anaitafuta ya nini kwani aliyesomewa ni yeye au mimi, akiwa na shida, anifuate nitampatia,” alisema Dk. Shein.
Alisema Serikali inazo taarifa za kuonekana kwa bendera za Uamsho zikipepea katika mkoa huo kana kwamba bendera yake imesajiliwa kisheria kama vilivyo vyama vya siasa.
“Tulieni kama maji ndani ya mtungi, mmenipa taarifa, bendera nimeziona, nitauliza ili kupewa majibu na Mkuu wa Mkoa pamoja na RPC,” alieleza Dk. Shein.
Alisema katika kuongoza Zanzibar, anamuogopa Mwenyezi Mungu pekee((wewe shein muwongo mkubwa humuogopa m/mungu kama unamuogopa usigekubali kupewa uraisi feki ambao hukushinda wala usingelinyanyasa na kuthulumu masikini wala usingelikuwa na kibri cha kupanda jukwani na kutisha watu na kukebehi na matusi na kusema mapinduzi matukufa hali yakuwa unajuwa kuwa mapinduzi walio uliwa ni waslamu wazanzibari na kunajisiwa wake zao na dada zao na kudhulumiwa mali zao kisha wewe unayaita mapinduzi matukufu huku unajidai unamuogopa m/mungu muwongo mnafiki wewe na sasa unataka kuishusha bendera yenye jina la m/mungu wewe kweli unamuogopa m/mungu wewe mnafiki..???)) na siyo mtu mwingine yeyote kwa vile Zanzibar inaongozwa kwa kufuata Katiba na sheria zake na kumtaka kila mmoja kutii taratibu hizo.
“Serikali ya Zanzibar taratibu zake zilivyo kama Serikali nyingine duniani, inaoongozwa na mihimili mitatu ya dola ambayo ni Serikali, Baraza la Wawakilishi na Mahakama. Vyombo vyote hufanya kazi zake bila kuingiliwa na mhimili mwingine, lazima tufuate na kuheshimu sheria, kimya kikubwa kina mshindo mkubwa,” alisisitiza Dk. Shein.
Alisema kufuatia malalamiko hayo, Kamanda Ahmada, alisema taarifa hizo kwa kweli ni za kushangaza kwa vile yeye ni mtumishi wa Serikali na si  mtendaji wa vyama vya siasa nchini.shabbashi
“Nimeyasikia malalamiko hayo, lakini ninachofahamu ni kwamba, mimi ni mtumishi wa serikali ninayeongoza kwa kufuata  sheria na taratibu za kanuni kipolisi, sifanyi kazi kwa kufuata utashi wa vyama vya siasa. Vyama vya siasa viko vingi nchini,” alisema Kamanda Ahmada.
Alisema utendaji wake wa kazi kama ni mbovu au wenye manufaa, wakuu wake wa kazi ndiyo wenye uwezo wa kumtathmini na kwamba amekuwa makini mkoani humo kusimamia wajibu wake kwa mujibu wa sheria.
Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu  Zanzibar (Jumuki), imekuwa na kampeni za kutaka Zanzibar kujitenga katika Muungano huu feki wa Tanganyika na Zanzibar na kusibabisha kuamka kwa Wazanzibari wengi waliokuwa wamelala na kuwafanya watu wa Zanzibar kujuwa haki zao na haki za nchi yao na pia kufahamu kuwa nchi yao haiko katika muungano kama wasamavyo watumwa wa mkoloni mweusi Tanganyika CCM na wahafidhina wake.

Sunday, May 5, 2013

DR KUMBI SHEIN-UNAFUATA MKUMBO WAKUPENDA MUUNGANO ILI YAKO YAKUENDE UBAKI MADARAKANI SIO..??(MULIZE JUMBE NA KOMANDO WA UDONGOO)


Waziri asiyekuwa na wizara maalum, Dr Kumbi.Ali Mohammed Shein amekuwa anzunguka kila kona kuhubiri Muungano feki usiyotakiwa na jumla ya wazanzibari takriban wote na, kuwagomba wale wote wenye mawazo tofauti na yeye kuhusu Muungano huu feki; maneno ya kejeli, fedheha, stihzai na hata kuonyesha ubabe na ukali. Inanijia huruma kusikia anasema yale anayoyasema, maana muandishi wetu wa siri wa free zanzibar people from mkoloni mweusi anasafiri nakufuatilia na kumsikiliza anavyo bwabwaja tu kama mtu aliye payukwa. Swali la mwisho la mwandishi wetu alinalo na kujiuliza: Je, Dr Kumbi.Shein anaujua hasa Muungano feki au anachupia chupia tu.?? Anafuata mkumbo ili yake yamuendee na abaki madarakani..?? au ndio mbinu yake ya kuwafurahisha wafalme wake Tanganyika..?? Kuujua muungano feki, si kujua tarehe iliyoanzishwa Muungano feki au waliouasisi, la hasha. –”mambo yake, na vikorombwezo vyake”.
Naomba nimfahamishe Dr.Kumbi Shein na viongozi ambao ni watumwa wa mkoloni mweusi Tanganyika walio jazana katika bara la wawakilishi bila ya faida yoyote kwa wananchi na nchi ya Zanzibar hasa walioupenda Muungano feki kwa dhati, na Muungano feki ukawapenda wao na matumbo yao bila ya kujali kuwa nchi kwanza sio muungano feki wala chama kwanza:
1. Aboud Jumbe Mwinyi — alikuwa Rais wa Zanzibar. Kufa kupona, dam dam — aliupenda Muungano sana, na alichukua mpaka rasilmali za Zanzibar kuzipeleka Tanganyika na kukiuwa chama cha ASP na kutuletea mkoloni mweusi CCM anae tula huku tukijiona tunakufa. Kuna kipindi Zanzibar ama tulikopesha au tuliwapa Tanganyika pesa, kulipia mishahara yao huko. Record zipo.
Jumbe alizihaulisha taasisi nyeti za Zanzibar, na kuziingiza katika taasisi za Muungao, bila ya idhni ya mtu yeyote yule. Jumbe alichukua hata vifaa nyeti vya utendaji kama vile vya xxx….ikiwemo meli zetu (MV.Mapinduzi/Maendeleo) kwa harakati za ukombozi wa Kusini mwa Afrika, Mozambique, Namibia, South Afrika n.k
Na mengine mengi mengi mengi tu, mengine haifai kuyasema hapa. Mwisho wake ni nini..?? ni Aibu na fedheha, na idhalali juu yake. Mwisho alipouona ukweli yalimkuta yaliyomkuta. Ameondoka na legacy ya kuandika kitabu ‘Partner-ship hana mpya yuko kigamboni ajikongoja’.
2. Nitamuacha Ali Hassan Mwinyi, na Idrissa Abdulwakil.
3. Salmin Amour Juma — huyu naye alikuwa kufa – kupona, laizma Muungano feki udumishwe tu. Amefanya mengi na ameuwa watu wengi kumfurahisha bwana,duli,mfalme mweusi,mkoloni mweusi anaetaka kuhakikisha kuwa zanzibar ni fuvu tu, amedhalilisha watu, ili yake yamuendee, na abaki madarakani. Alikuja na sera za ‘ethnicity’ au kitaalamu ‘ethno-politics’ — kubagua watu kwa mujibu wanakotoka. Pemba-Unguja…CUF-CCM, na taka taka za kisiasa kama hizo, Uhizbu kidogo, Ukomredi kidogo, U-ASP kidogo n.k ili yake yamuendelee na asimame madarakani na kula uluwa hakujuwa kuwa uluwa unamwisho.
Naam, leo yuko wapi komando wa udongo yuko wapi leo..?? na ameishia vipi...?? Siku moja moja ninakwneda kumzuru, na inasikitisha sana kuona hali alivyo sasa, kama mtu aliyekuwa ‘head of state’ wa Zanzibar. Ukweli hasa anajuta tena anajuta sana sana. Mpaka anthubutu kusema kuwa ………!!!!! watu walimuambia kama tunavyokuambia wewe kibushuti Dk Kumbi Shein lakini hakutusikia leo yule pale nae pia ajikongoja hajuwi mchana wala usiku yupo yupo tu.
4. Amani Karume — naye pia amefanya mengi tena mengi mno. Huyu ndiye wa mwanzo kuichukua account ya SMZ na kuihaulisha ndani ya BoT (bank of Tanganyika), that means, mishahara na mambo mengine yote ukachukue BoT kwanza. BoT sio bure, kuna charges nyingi tu, wanaojua hesabu na mifumo ya kibenki, watasema ni how much per day.per each transaction wanatulipisha BoT na tija yao ni ngapi, wanavuna mara tatu au nne kwa Zanzibar (but no thanks). Mwisho wa utawala wake Karume mdogo ni ‘love-hate’ affair na wajomba zake wa Tanganyika. yeye alikuwa akiwaita ‘ndugu zetu wa damu’. Naam, ni kipindi hichi tumeona Watanganyika wengi wameingia Zanzibar, makanisa na mabar mengi yamejengwa Zanzibar kwa kutumia mtindo wa rushwa katika sekta ya ardhi, ambayo yeye na shemeji yake Mansour waliidhiti Wizara hiyo ya Ardhi. Na leo hii eti mansour anatetete nchi, haya labda kamka na watu wengi mnafuata mdundo tu. Kama imamu-maamuma (waladhalina-amiiin)!!!!!
5. Kuna group jengine, nimeamua kuliweka mwisho: Maalim Seif Shariff Hamad na wenzake — hawa walikuwa wamaweza kuuwa, lakini Muungano feki UDUMU, ilikuwa kwao ni fakhari sana kuwamambia kuwa ‘wanaishi Dodoma’ au wanakwenda Dodoma kuhudhuria vikao vya CCM. Tuliona wamefanywa NINI. Kiukweli hasa, Maalim Seif alikuwa anaujua  Muungano feki na anaupenda kuliko Shein. Na kama leo Maalim Seif atarudi CCM, basi atapewa hata Urais wa Muungano feki bila shaka yeyote ile, hasa ukizingatia ‘uhai wa Chama cha CCM’ kwa wakati huu kina kufa mdomo juu kama kuku anaye kunywa maji.
Mnajua Maalim alifanywa nini na hatimaye ilikuwa nini sina haja ya kuhadithia.
 Katika group la Maalim Seif, mtoe Maalim Juma Duni Haji — huyu tokea hapo awali alikuwa hana ‘taste’ na Muungano feki, alikuwa technorat mzuri tu, but rebel mzuri pia kwa suala hili la Muungano feki. Nashukuru kumuona yuko hivyo mpaka sasa (juzi tu alikuwa anasema amekereka sana kuona gazeti la rai la wiki hii limechapaisha makala ya kumtukana mwanasheria mkuu wa serikali, Othman Massoud).
Sasa, turudi tena kwa Dr.Shein — hivi ni kweli anaupenda sana Muungano feki au anatufanyia dhihaka tu na kulinda maslahi yake ya uongozi ya uwaziri asiyekuwa na wizara maalum..?? Mimi naona ni kweli, maana Dr.Shein, hana ‘vision’ ya nchi yetu ya Zanzibar wala ya jambo lolote kimaisha. Capacity yake ni finyu sana, na waliofanya naye pale Hospital wanamjua kwa hilo, hata alipokuwa Vice President wa Tanganyika na Zanzibar inasemekana alikuwa mzigo kwao kiutendaji. Inasikitisha sana kuwa kila wakati/era, Zanzibar tunapata viongozi wasiokuwa na vision wala mission, wala focus……….. !!! na mbububu tu jitu lipo lipo tu almuradi kambiwa yeye ndio kiongozi wa nchi basi hata kama mambo yanaoza na wananchi wanakufa na njaa halijali maana yeye ni kama zombi tu au robot linalo endeshwa na rimoti kutoka Tanganyika linafuata tu.
Tukumbuke kuwa ni utawala huu wa Shein na Kikwete – ndio tumeona kwa mara ya kwanza, holly Quraan imechomwa moto (Zanzibar) na baadaye Tanganyika, pia niwakati huu holly Quraan imekojolewa na misikiti imechomwa moto na kupingwa mabomu na polisi kuingia na viatu na mbwa ndani ya misikiti ni wakati huu wa watawala hawa wawili Shein na Kikwete.Baadaye wanatoa excuse hizi na zile mutakwenda kumueleza nini nyinyi m/mungu siku ya kiyama..??
Wauza Unga na watumiaji wa Unga wanaachiwa,malaya na makahaba wanazidi kumiminika kutoka Tanganyika na kuja kujiuzaa nchini kwetu  Zanzibar, majambazi na wizi wamekithiri kutoka Tanganyika na kuja Zanzibar kuiba mabaar na madanguro ya malaya yanazidi tu Zanzibar wanaangaliwa tu ndio dimokratik au sio Shein – lakini masheikh (9sio uamsho tu) hata yeyote yule, hakuna subra, wala uvumilivu, ukisema umenaswa unatupwa jela. Hao ndio Shein na Kikwete na Muungano wao feki.