Tuesday, July 30, 2013

BANDARI YA MALINDI YA BOTI DONGO ZA SAMAKI AINA YA VIBUWA KATIKA MWEZI HUU MTUKUFU WA RAMADHANI


Wafanyabiashara wa Uchuuzi wa samaki aina ya Vibuwa hapa nchini Zanzibar wakiwa katika bandari ya malindi wakipanga samaki hao kwa ajili ya wateja wao, katika kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa ramadhani samaki hutumika sana katika futari na daku, msimu ukiwa umeanza katika bandari hii ndoo moja ya kibua iliuzwa kwa shilingi 75000/= katika bandari hii.VIMETULEA

No comments:

Post a Comment