Tuesday, July 23, 2013

WAMEKWENDA KUULIWA DARFUR SUDAN SI BORA MUNGELIULIWA KWA JILI YA NCHI YENU YA ZANZIBAR IWE HURU ILIYO MEZWA NA JOKA KUBWA TANGANYIKA




Ni moja katika vizuka akitokea jijini Dar es salaam nchini Tanganyika kupokea maiti ya mume wake aliye kuwa ni moja katika wanajeshi saba waliouliwa Darfur nchini Sudan hapa ni kiwanja cha denge nchini Zanzibar huu msiba unatukumbusha dungu zetu walio pelekwa Uganda na kuliwa sisi Wazanzibar hatusomi.

Na huyu ni kizuka wapili na familia ya wanajeshi wa nchi yetu ya Zanzibar waliouliwa Darfur nchini Sudan

DR Shein akisaini katika maziko ya wanjeshi wawili wa Kizanzibari waliouliwa Durfur nchini Sudan

majeneza ya wanajeshi wa Kizanzibari waliouliwa Darfur nchini Sudan wakisomewa hitma na duwa kabla ya kuswaliwa swalati maiti nchini Zanzibar

Makamo wa raisi nchini Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad akisoma hitma ya wanajeshi waliouliwa Darfur nchini Sudan

Hii ni swalati maiti viongozi na rai wa Zanzibar wakiwaswalia wanajeshi wawili waliouliwa Darfur nchini Sudan.

Majeneza yakitoka msikitini na kupakiwa katika malori ya kijeshi tayari kuelekea katika makaburi ya mwanakwerekwe nchini ZanzibarMoja katika majeneza ya wanajeshi wa nchi yetu ya Zanzibar yakiwasili katika makaburi ya Mwanakwerekwe tayari kwa maziko moja katika wanajeshi waliouliwa Darfur nchini Sudan

Wanajeshi wakifyatuwa risasi agani kuashiria maziko ya moja wa wanajeshi wa Zanzibar waliouliwa Darfur nchini Sudan

Viongozi na majeshi na rai wa nchi ya Zanzibar wakiwa katika makaburi ya mwanakwerekwe kusubiri mazisha ya kuwazika wanajeshi wawili wa hapa nchini kwetu Zanzibar waliouliwa Darfur nchini Sudan.

Dr Shein akitia mchanga katika kaburi moja la mwanajeshi wa yetu ya Zanzibar aliyeuliwa Durfur nchini Sudan

Jenerel wa nchi ya Zanzibar akitia mchanga katika kaburi moja la wanajeshi waliouliwa Darfur nchini Sudan

Dr Shein akitowa pole na kuwasalimu rai wa nchi ya Zanzibar kwa msiba wa wanajeshi wao waliouliwa Darfur nchini Sudan.

No comments:

Post a Comment