Thursday, August 1, 2013

CCM NA SMZ KASHINDWA FIRAUNI MUTAWEZA NYINYI NYAUU TU


Viongozi wanafiki nchin Zanzibar wasema Ponda aleta hofu Zanzibar
• Polisi wamsaka, wamtaka ajisalimishe

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Zanzibar kimemtuhumu Mwenyekiti wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, kuwa anaendesha kampeni za uchochezi wa kidini.
Uchochezi huo umedaiwa kuhatarisha amani ya nchi, hivyo kuvitaka vyombo vya ulinzi na usalama kumchukulia hatua za kisheria.

Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu (NEC) nchini  Zanzibar, Itikadi na Uenezi Jinafiki lengene Waride Bakari Jabu, alisema jana kuwa ni wiki moja sasa tangu Ponda afanye mihadhara kwenye misikiti ya Mbuyuni, Kwarara na Nungwi kisiwani Unguja nchini Zanzibar.

Waride alisema kuwa hotuba za Sheikh Ponda alizozitoa kwa nyakati tofauti kwenye misikiti hiyo zinapandikiza mbegu ya chuki, kuondosha upendo na kuhatarisha amani alisema mnafki huyo Waride.

Akiendelea kusema mnafki huyo Waride matamshi yake ni hatarishi kwa amani na utulivu uliopo, kwani anawataka Waislamu kupigana vita ya dini (Jihad) na kushiriki harakati za kuikomboa Zanzibar, kwa madai kuwa serikali iliyoko madarakani inawakandamiza na kuwanyanyasa wananchi.

“Sheikh Ponda ni hatari, anapanda shari na chuki miongoni mwa wananchi, anahamasisha wananchi wafanye uasi, kulipiza visia sii na kutaka waingie barabarani kwa maanadano ya kutetea haki kama inavyotokea Misri,” alisema mnafki huyo Waride. swali tunamuliza kunaubaya gani watu kudai haki yao wakiona serekali yao haiwapi haki yao..??

Aidha, alisema CCM imeshangazwa na ukimya wa vyombo vya ulinzi na usalama wa raia kumtazama kiongozi huyo bila ya kumchukulia hatua za kisheria wakati akiwatukana matusi ya nguoni viongozi wa serikali na chama tawala.

Aliongeza kuwa Sheikh Ponda huenda anatumiwa na mtandao wa vurugu ili kuharibu na kuvuruga amani ambapo hamu yake ni kuona damu ya wananchi ikimwagika na nchi ikiingia kwenye machafuko.

Kwa mujibu wa Waride, kitendo cha Ponda kulitumia jukwaa la dini na kufanya siasa misikitini hakikubaliki na kwamba kikiachiwa kiendelee kinaweza kuleta madhara na mgawanyiko.
Kamishna wa Polisi nchini  Zanzibar, Mussa Ali Mussa jinafki jengene linalo abodu kazi na cheo kuliko dini yake, alisema jeshi hilo limeanza kumtafuta Sheikh Ponda tangu walipopokea taarifa za kuendesha mihadhara ya uchochezi katika baadhi ya misikiti, ikiwa na lengo la kuibua chuki.

Mussa alisema kitendo anachokifanya kinakwenda kinyume cha sheria, hivyo kumtaka popote alipo ajisalimishe kwa hiari yake.
Tangu kuingia nchini Zanzibar, Sheikh Ponda amekuwa akifungamana na viongozi wa Jumuiya ya Uamsho wakipinga kitendo cha viongozi wa jumuiya hiyo kuendelea kubakia mahabusu baada ya kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uharibifu wa mali na kuhatarisha usalama wa taifa.

Viongozi hao wa Uamsho wako mahabusu baada ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini Zanzibar, Ibrahim Mzee Ibrahim mnafki, kuwasilisha ombi la kufunga dhamana yao kwa kutumia sheria ya viongozi wenye tamaa na kutaka kuendeleza,UFUSKA,ULEVI,MAKAHABA,FITNA,UWONGO,WIZI WA MALI ZA UMMA,THULMA, N.K katika nchi ya Zanzibar ya kuwaweka jela masheikha hao bila ya kutoka ila maana wanajuwa wakitoka wao hawatakuwa viongozi tene na machafu yao wanayo yafanya yatakuwa haya mahali tena katika nchi ya Zanzibar. ila tunawambiya tena na tena watatoka tu kwa uwezo wa M/MUNGU

No comments:

Post a Comment