Wednesday, August 28, 2013

WAZANZIBARI NYOTE JUMAMOSI MUSIKOSE MANSOOR YUSSUF HIMID NA ISMAIL JUSSA LADHU KUNGURUMA

mansour
HUYU NDIO KIBOKO YA WACHAWI WOTE WILIO NDANI YA CCM CHAMA CHA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KILICHO PINDUWA CHAMA CHA A.S.P. NA KUWAPINDUWA WAZANZIBARI.
man
Sasa kuna kila dalili CCM chama cha mkoloni mweusi kimejiandalia Kifo nchini Zanzibari,
Yule Shujaa wa mamlaka kamili ya nchi yetu tunayo ipenda ya zanzibar na anayeweza kuthubutu kusema hapana, huyu hapa mchana huu hana wasiwasi kwa sababu kwake yeye nchi yetu ya Zanzibar ni zaidi ya nafasi ya uwakilishi au kuwa mwananchama wa chama cha mkoloni mweusi Tanganyika
Mambo yote bwaaaa Mambo yote bwaaaa
 Jumamosi ukumbi wa Bwawani asie na mwana abebe jiwe ni Monsour Himid na Ismail Jussa Ladhu Kunguruma
Wahenga walisema sikio la kufa halisikii Dawa maamuzi ya Giningi Dodoma ni msiba kwa CCM chama cha mkoloni mweusi Tanganyika na,wahafidhina wao nchini  Zanzibari

Kwa waliopo nje ya Zanzibar usikose kusikiliza live streaming: http://www.ustream.tv/channel/mazruimedialive

No comments:

Post a Comment