Sunday, September 29, 2013

JE SHEIN NA SEREKALI YAKE YA GNU WAMELAANIWA NA M/MUNGU NA WAZANZIBARI PIA...???


Ndugu muandishi nakuomba utafute njia nyengine lakini si hii ya kupelekea salamu kwa Shein ama kwa serikali ya umoja wa kitaifa,,,kwa ufupi huyu Shein ameshapata laana za watu na keshalaaniwa na Mwenyezi Mungu pamoja na hiyo serikali yake ya umoja wa kitaifa, We Sheni huyo na serikali yake amefika kutoa amri ya kushushwa chini majina ya mwenyezi Mungu pale alipoamrisha ati bendera za uamsho zishushwe,, kwenye bendera hizo kuna nini...???

Kama wao walikebehi kushushwa kwa majina yale ya mwenyezi mungu na sifa zake, basi na yeye (wao) wamelaanika,,,Tulikuwa na maraisi wenye viburi na kejeli (salmin Amour) lakini hakufikia hatua za laana kama hizi, vurugu kwenye sikukuu za idd, kushushwa kwa majina ya mwenyezi Mungu, kuwatesa na kuwasweka ndani masheikhe tena zaidi ya wanne.

Salmini Amouri pamoja na kiburi chake alikuwa akitafuta njia nyengine yanapokuja mambo ya dini kwani nakumbuka wakati ule tulikuwa nao kina marehemu shehe Nassour Bachu, kina shehe Kurwa nk,,lakini hii ya huyu Shein na serikali yake ya kitaifa, imezidi mipaka,,sasa taabu yake anatupa mpaka sisi maana Mwenyezi mumgu adhabu yake ni kubwa na hushusha kwa wote…

1 comment:

  1. nenda kajilipue kama al shababu kama umechukia

    ReplyDelete