Sunday, January 26, 2014

MAKUBALIANO YA (MoU) YATIWA SAINI KATI YA NCHI YA ZANZIBAR NA SHELL JE PESA ZITAKAZO PATIKANA ZITAJENGEWA NCHI YA ZANZIBAR AU ZITAKWENDA KWA MASULTANI WEUSI TANGANYIKA KAMA ZA TRA ZINAVYOKWENDA HUKO NA NYENGINEZO..???

mafuta_shell_nl
Wawakilishi kutoka Kampuni ya Shell International Exploration na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa katika mkutano Hague Uholanzi

Kufuatia kusainiwa kwa Mkataba wa Makubaliano (MoU) kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na kampuni ya kimataifa ya utafiti na Uzalishaji wa gesi (Shell) tarehe 28 Agosti 2013, wawakilishi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Shell walikutana huko The Hague, Uholanzi kwa ajili ya uzinduzi wa kamati ya utekelezaji (JIC) tarehe 19 na 20 Januari 2014.Wakati wa mkutano huo, majadiliano muhimu yalifanyika katika maeneo ya kujenga uwezo, uwekezaji wa jamii na maendeleo katika mafuta na sekta ya gesi.
JIC ilianzishwa kwa lengo la utekelezaji wa makubaliano. Makubaliano yameainisha ushirikiano kati ya Shell na Zanzibar katika mafuta na sekta ya gesi na inaelezea shughuli za awali.
“Tunategemea ushirikiano wa muda mrefu na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar juu ya maendeleo ya sekta za mafuta na gesi Zanzibar,” alisema Axel Knospe, mwakilishi Shell visiwani Zanzibar. “

No comments:

Post a Comment