Tuesday, May 27, 2014

MAENDELEO YA SMZ MAPINDUZI DAIMA NDIO HAYA MIAKA 50 AMAA KWELI TUME ENDELEA

1898112_805451202803250_564609920_n
maendeleo ya miaka 50 ya mapinduzi daima ndio haya dari la hospitali pia linamatundu kama jumba la kufungia njiwaa astahafiruh allah.
1888498_805451209469916_247403218_n
kama hukuja na shuka lako mwenyewe la kujifunika na kutandika basi ujuwe utalalia uvundo

2011_253_2011-09-10T182103Z_01_AFR13_RTRIDSP_0_TANZANIA-FERRY
ccm oyeeee hospitali tunala chini hata vitanda hatuna lakini ccm ooyeee madaktar hatuwaoni lakini ccm ooyeee madawa hakuna lakini ccm ooyeee hospitali inanuka lakini ccm ooyeeee ndio maendeleo haya ya miaka 50 ya mapinduzi ya zanzibar ndio maana tunasema ccm ooyeeee vijijini njaa kali na hata tukiumwa basi hatuwezi kuja mjini kutibiwa kwa kuwa hakuna hospitali huko mjini lakini ccm ooyeeee.

WANAMACHO ILA HAWAONI WANAMASIKIO ILA HAWASIKII WANAMOYO ILA HAWAHISI
SERA YAO NI MAPINDUZI DAIMA.
AKILI YANGU INAWASHANGAA SANA WATU WASHAMBA UNGUJA. KUIPENDA CCM WAKATI WATU WASHAMBA NDIO WENGI WENYE KUATHIRIKA NA MAGONJWA PAMOJA NA UKOSEFU WA PESA NA UCHUMI WA MTU MMOJA MMOJA LAKINI BADO MACCM.

No comments:

Post a Comment