Thursday, May 29, 2014

NI LINI MWANANCHI WA KAWAIDA NCHINI ZANZIBAR NA YEYE ATAKULA MANONO MNAYO KULA NYINYI WAKUU.....???

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwaongoza baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na watendaji wengine katika chakula alichokiandaa, baada ya  kupitishwa kwa bajeti ya ofisi yake
Makamu wa Kwanza wa Rais wa nchi ya  Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwaongoza baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na watendaji wengine katika chakula alichokiandaa, baada ya kupitishwa kwa bajeti ya ofisi yake
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akijumuika pamoja na baadhi ya watendaji katika chakula alichokiandaa baada ya kupitishwa kwa bajeti ya ofisi yake
Makamu wa Kwanza wa Rais wa nchi ya Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akijumuika pamoja na baadhi ya watendaji katika chakula alichokiandaa baada ya kupitishwa kwa bajeti ya ofisi yake
Baadhi ya watendaji wa ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, wakijipatia chakula katika dhifa maalum iliyoandaliwa na Makamu wa Kwanza wa Rais, baada ya  kupitishwa kwa bajeti ya ofisi yake
Baadhi ya watendaji wa ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa nchi ya Zanzibar, wakijipatia chakula katika dhifa maalum iliyoandaliwa na Makamu wa Kwanza wa Rais, baada ya kupitishwa kwa bajeti ya ofisi yake
MABEMBE, MIHOGO, MAJIMBI, N.K YAMETUCHOSHA WANANCHI.

No comments:

Post a Comment