Friday, May 9, 2014

SWALI KWA LUKUVI VITA VIKALI VYA MAKABILA INAYOENDELEA KITETO NCHINI TANGANYIKA NI KWA SABABU WAZANZIBARI WAMEDAI NCHI YAO....?


Kwa mujibu wa taarifa kupitia mitandao ya kijamii ikiwa ni pamoja na mtandao wa http://www.jamiiforums.com/ ni kwamba makabila ya wafugaji ya kimasai yanapigana vikali hivi sasa kati yao na makabila ya wakulima. Inasemekana kwamba mgawanyo wa rasilimali, upendeleo, ubaguzi na ukandamizaji kwa baadhi ya makibila dhidi ya mengine ndio uliopelekea kuzuka vita hiyo kali ambayo hadi sasa inasemekana si chini ya watu watatu (3) wameuliwa.
Mmoja kati ya waliouliwa alichinjwa kinyama kama kuku kama inavyoonekana hapo kwenye picha. Milio ya risasi na kuchomeana nyumba moto pia imetokea ktk eneo hilo huku viongozi wa kisiasa na kiserkali YA TANGANYIKA wakilaumiana kwa kuchochea mgawanyiko huo kwa njia ya kupendelea wafugaji badala ya kutenda haki. Sasa LUKUVI kazi kwako, usijeukasema wanauana kwa sababu ya serikali 3 bado tuko kwenye 2. Jee ni uamsho waloyafanya haya ya watanganyika kuchinjana kama kuku.....? lukuvi wacha kasumba zako na shughulikia Yatanganyika ya Zanzibar hayakuhusu au utakufa nacho kijiba cha roho.

No comments:

Post a Comment