Thursday, July 10, 2014

WAKE WA WAKUBWA WA SEREKALI YA TANGANYIKA WALIWA URODA NA VIJANA WADOGO ILIWAPATE MIMBA VIJANA WASEMA WANA UWEZO HUWO KWA KUTUMIYA VUVUZELAAAA


AIBU NA FEDHEHA NCHINI TANGANYIKA WAKE WA 

VIONGOZI KATIKA SEREKALI WALIWA VITU NA 

WAGANGA WAJADI ATII KWA KUTAKA KUPATA 

MIMBAA IMEBAINIKA kuwa miongoni mwa wale wanawake 20 waliodai kufanyishwa ngono na waganga wa kienyeji ‘sangoma’ ili kupata ujauzito  baada ya kukaa  muda  mrefu  bila watoto,  wamo wake wa vigogo Bongo.

mganga akifanya vitu vyake ili mwanamke huyo apate mtoto mtadanganywa mpaka lini wanawake..??
Kamanda Kiondo akielezea kuhusu uhalifu wa Sangoma walionaswa kwa kufanya ngono na wake wa vigogo.
Uchunguzi uliofanywa na waandishi wetu kwa baadhi ya wanawake  hao umebaini kuwa,  waume wao wanafanya kazi  katika nyadhifa za  juu serikalini ya Tanganyika, wengine ni wastaafu  na kwamba waume hao  hawajui kinachoendelea kuwa wake zao wanaliwa uroda na mwabwa mdogo ambao ni wa ganga.
Kwa mujibu wa mwanamke mmoja (jina kapuni), katika sakata hilo kuna wake wa maprofesa, kanali mstaafu wa JWTZ na mmoja ambaye mume wake aliwahi kuwa kamanda wa polisi wa mkoa (RPC) ambaye kwa sasa naye ni mstaafu wote washaliwa uroda alisema mwanamke huyo.
Kamanda Kiondo akizidi kuonyesha vifaa vilivyokuwa vikitumiwa na waganga hao wa kienyeji.
Mwanamke huyo alizidi kudai kuwa, ndoa moja katika hizo ilivunjika baada ya mume kubaini kuwa, mkewe alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mmoja wa sangoma hao.
‘KUFULI’ ZILISHATUMIKA
Uchuguzi zaidi ulibaini kuwa zaidi ya nguo za ndani  ‘kufuli’ za  wanawake zaidi ya 20 zilizokutwa  na polisi  kwa sangoma hao maeneo ya Tandika jijini Dar es Salaam nchini Tanganyika zilikuwa zimeshavaliwa hivyo hakukuwa na mpya jambo lilionesha kuwa, zilivuliwa wakati wa tukio linalodaiwa lilikuwa na kutengezea dawa.
Baadhi ya hao vijana walio kuwa wakiwala uroda wake wa wakubwa serekalini nchini Tanganyika ili wapate uja uzito.
KWA NINI WALITOA TAARIFA POLISI......??
“Sisi tuliamua kutoa taarifa polisi kwa sababu tumekuwa tukifanya ngono na wale waganga kwa muda mrefu bila kupata ujauzito na mbaya zaidi tulishatumia mamilioni ya pesa  baada ya kuuza mali zetu, zikiwemo nyumba,” alisema mwanamke huyo nje ya kituo cha polisi.
Wanawake hao ambao hawakupenda majina yao  yatajwe kwa kuhofia waume zao kujua, walisema  ni  kweli baadhi yao wamekaa katika ndoa kati ya miaka nane hadi  10 bila kupata watoto wala mimba zilizoharibika.
Kamanda Kiondo akionesha baadhi ya nguo za ndani, 'kufuli' zilizokutwa kama ushahidi kwa baadhi ya wanawake waliofanyishwa ngono na sangoma hao.
Hata hivyo, baadhi yao walirudishiwa fedha zao baada ya Kamanda Kiondo kuwabana waganga hao.
KAULI YA RPC
Wiki iliyopita Jeshi la Polisi Mkoa wa Temeke chini ya Kamanda, SACP Englibert Kiondo liliwatia nguvuni sangoma wawili wakiwa na matunguli na zana nyingine za kuagulia binadamu.
Kamanda Kiondo akikusanya tunguli zilizotumiwa na waganga hao wahalifu tayari kwa kuzichoma moto mbele ya wahandishi wa habari.
Vitu hivyo viliteketezwa moto kwenye Kituo cha Polisi Temeke mbele ya  waandishi wa habari.
“Ninaamini kuwa kwa vitendo  hivyo  vya kujamiiana ni hatari na huu ni ubakaji, kwani kuna uwezekano wa kuambukizana maradhi  mbalimbali ikiwemo  Ukimwi, kwa hiyo hizi zana nazichoma moto,” alisema  Kamanda Kiondo
Tunguli zikiteketezwa kwa moto.
Waliokamatwa katika zoezi hilo nikijana mwenye umri wa (32) na mwengine mwenye umri wa miaka (25) ambao wote kwa pamoja wanashikiliwa na jeshi hilo la nchi ya Tanganyika.

No comments:

Post a Comment