Monday, September 1, 2014

SWALI KWA SHEIN , DPP MASHUZI IBRAHIM NA HUYU ALIYETWIKWA UMUFTI HALI ANJUWA KUWA YEYE SIO MUFTI MAHMOUD

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha na Ibrahim Mzee Ibrahim, Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar,(kulia) na Mahmoud Mussa Wadi, Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar,baada ya kuwaapisha kushika nafazi alizowateuwa
 Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Shein,akiwa katika picha na Ibrahim Mzee Ibrahim, Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar,(kulia DPP MASHUZI) na Mahmoud Mussa Wadi, Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar,MUFTI UMESIKIA KAMA WAISLAMU WENZIO WA ZANZIBAR WAKO KWA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA WANATESWA WEWE UMEBANA KIMYA UNAKULA MPUNGA TU AU SIO MUFTI SUBIRI SIKU YA KIYAMA NA KABURINI MWAKO UTAKULA MABEMBE MPAKA UKOME UMUFTI UTAKUTOKEA MASHKIONI. baada ya kuwaapisha kushika nafazi alizowateuwa

Hivi karibuni,kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu ya Zanzibar, kumeibuka mtindo unaoendeshwa na Jeshi la Polisi la Mkoloni Mweusi Tanganyika liliopo hapa nchini kwetu Zanzibar kwa kuwakamata atii watuhumiwa wa makosa ya jinai ambao ni Wazanzibari na baadae kuwasafirisha na kuwapeleka nchini kwao huko Tanganyika kwa makaburu weusi ambako kwa kupitia Mkurugenzi wa Mashtaka ya Jinai wa Mkoloni Mweusi Tanganyika huwafungulia mashtaka katika Mahakama za Mkoloni Mweusi Tanganyika.
HUU NI UJUMBE NAKUPA WEWE SHEIN,DPP MASHUZI IBRAHIM NA WEWE MNAFIKI MKUBWA ATII MUFTI YAGUJUUUU
Al Muminun aya 4 za mwisho zinasema Je mlidhani ya kwamba tumekuumbeni bure na ya kwamba nyinyi kwetu hamtarudishwa...?

Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa haki, hakuna aabudiwaye kwa haki ila yeye, Mola wa Arshi yenye hishima (kubwa kabisa)

Na anayemuabudu-pamoja na Mwenyezi Mungu-   mungu mwingine, yeye hana dalili ya (jambo) hili ,basi bila shaka hisabu yake iko kwa Mola wake. Kwa hakika makafiri hawafanikiwi.

Nawe sema;   Mola wangu! Samehe na rehemu , Nawe ndiye Mbora wa wanaorehemu. 

Je shein Je DPP IBRAHIM Je Mahmoud Mnathani na nyinyi mume umbwa bure na wala hamtarudishwa kwa Mwenyezi Mungu......?????

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO HAITAKUFA SIKU HIYO.


No comments:

Post a Comment