Sunday, February 22, 2015

MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA AENDELEA KUIDIDIMIZA NA KUIKATILI NCHI YA ZANZIBAR NA WAZANZIBARI WALIO URAIYANI KWA MAJI NA PETROL NA WAZANZIBARI WENGINE KUWAFUNGA JELA KISA NINI WAZANZIBARI HAWATAKI TENA KUUNGANA NA NCHI YA TANGANYIKA MAKABURU WEUSI TANGANYIKA.


maraisi wa tatu na wengine hawapo pichani wanao unga umoja wa nchi za afrika mashariki Uhuru wa nchi ya Kenya,Kikwete wa nchi ya Tanganyika na Kagame wa nchi ya Rwanda Shein uko wapi....??? aha nimesahau Maji hayatoki utaoga na nini na utapiga wapi Mswaki petrol hamna utasafiri vipi...? CCM Oyeeeeee Maendeleo hayo ya CCM nchi maji haina daaah ama kweli haya Maendeleo.

Kumekuwa na tatizo la uhaba wa maji na Petrol katika nchi ya  Zanzibar. Maeneo kadhaa yamekosa hata tone la maji kwa zaidi ya mwezi sasa narudia tena  Maeneo kadhaa yamekosa hata tone la maji kwa zaidi ya mwezi sasa. Huku wananchi hao wakitwishwa mzigo wa kulipia bill ya maji ambayo hayatoke hata tone katika mabomba siviroja hivi. Maeneo kama ya Mpendae, Miembeni, Mwembenjugu, nakadhalika kila asubuhi utawaona wananchi wamebeba vidumu na ndoo wanasaka maji yalipo kisha utasikia CCM MaGoGo wanasema wanaleta maendeleo huu ni Mwaka wa 2015 Zanzibar kinchi kidogo mumeshidwa kabisa kuwapa watu maji watu wanamka hata maji ya kupiga mswaki na kuoga hawana badala ya kwenda kazini wanakwenda kutafuta maji ndio maendeleo hayo ya CCM ya miaka 50 na ushai CCM Oyeee.
Ingawa kumekuwa na ongezeko kubwa la uchibaji visima, ambavyo kwa kiasi fulani vinasaidia jamii na wananchi wa nchi ya Zanzibar kujikwamua na tatizo hili la maji. Wamiliki wa visima huwa wanawagawia jirani zao pale wanapokuwa na maji ya kutosha. Kwenye tatizo la Petrol, vituo kadhaa tokea juzi vimufungwa havina petrol. Huku watu wakisema kwamba meli ya kuleta mafuta kutoka nchi ya Tanganyika ndio imeondoka sasa kwenda kuyafuata huko yaliko hata ifike hata ipakiye hata irudi ni leo.......?? kama sio kuchezeana akili ni nini....?? Vuai ali Vuai,Nahodha,Asha Bakari,Samia Suluhu n.k. mupo maendeleo munayo tulete sihaba tunaendele na mateso ya maendeleo yenu munayotuletea kutoka kwa Mkoloni Mweusi Tanganyika.
CCM MAGOGO WAKIENDELEA KUMZIKA KIGOGO MWENZAO SALMIN AWADHI SALMIN KATIKA NYUMBA YAKE MPYA NA NYINYI MULIOBAKIA ENDELAENE TU KUTESA WATU KWA KUWA NYINYI MUNALISHWA ULUWA NA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA BASI HATA HAMJALI KUTESA WATU MUJUWE NYUMBA HII INAWASUBIRI NYUMBA YA MILELE HII SIO YA DUNIANI UMEISHI SANA SANA MIAKA 100 KWISHA ZAKO UNAINGIA HUMU NDIO UTAJUWA KAMA MAHARAGE SIO MBOGA.
Turudi katika hali ya nchi yetu Hali imekuwa mbaya zaidi hapo jana ambapo kulikuwa na misururu mirefu ya magari kwa vile vituo vinavyosemekana vina akiba ya petrol. Chanzo kikuu kinachozungumzwa kwamba kimesababisha matatizo hayo atii ni ukosefu wa fedha vipi inakosekana fedha na Shein kila kwenye mkutno wa CCM unasema hii ni nchi kamili na ni nchi ya Kimapinduzi sasa mbona Hupinduwi hezo pesa basi ili tukajitatuwa na bala hili la maji na umeme na petrol kwa nini Hupinduwi basi tukawa na Meli yetu wenyewe ya kwenda kuchukuwa mafuta huko yaliko utafikiri hatuna hayo mafuta lakini hatuyachimbi kwa nini au mpaka hayo mafuta pia inapidi tuyapinduwe huko chini yaliko maana nchi hii ni ya mapinduzi basi tunapinduwa tu mavyakula mabovu pinduwa tu maji hayatoki pinduwa tu viongozi wote wanamajumba utafikiri wataishi milele hapa duniani pinduwa tu au sio Shein. Fedha zilizopo zimetengwa kufanikisha uchaguzi wa kura ya maoni hapo April 2015.
Basi tunawambia hatupigi kura wala maoni sisi maji hata ya kuosha kwapa na uso hatuna nyinyi munazirudika ili muje mufanye ukiritibwa wenu kama mulivyo fanya kule Giningi Dodoma basi ile ni Dodoma Giningi hii ni Zanzibar au wewe Shein na wake zako na Viongozi wa CCM na wake zenu na watoto wenu na mahawara wenu na watoto wenu wa haramu makapige hiyo kura ya maoni ila Mzanzibari halisi mwenye uchungu na nchi hii hapigi kura ndio Mwisho wenu. Mawizara mengi sasa hivi pesa za mipango ya maendeleo ya wananchi na matumizi kwa jili ya kuendeleza nchi zimezuiliwa au kutoingizwa kwenye account kabisa ili wao CCM wazitumiye katika kutimiza ukiritibwa wao wa hilo jini la kura ya kuipigia hilo bilisi katiba la Kitanganyika.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment