Friday, March 20, 2015

VIDEO-MZANZIBARI-OMANI ENDELEA KUMFUNDISHA NA KUMPA UKWELI SITTA, MWINYIHAJI MAKAME FUMBUWA UBONGO WAKO UJUWE WAKO NI NANI

BABA ZIMA MWINYIHAJI MAKAME LALALAMIKA AIBU TUPU
SITTA NA FITNA ZAKE
MSIKILIZE HUYO BABA WA TAIFA LA TANGANYIKA
ANAVYO ELEZA NI NINI WANANCHI WANATA KW RAIS
MWISHO ANASEMA MGOMBEA SAFI ATATOKA CCM
JE SASA MGOMBEA SAFI KATIKA CCM NI YUPE...????
ESCROW,EPA, N.K.
To all it may concern.

Please you are requested to urgently send these clips with this msg to all your brothers,sister,friends,lovers,acquaintances,parent and to all people whom you know.We want to see and make sure this these clips and this msg reaches John Samuel (Toby) Sitta and his entire people whom have same dirty and uncivilized thoughts about 200,000 Omani Zanzibarib people to topple or overthrow the Zanzibar government.What type of government is topple or overthrown by 200,000 people all living abroad....????


John Samuel (Toby) Sitta recently again said that a progressive person like him; perhaps a proscrap-ressive person like him;

These clips is sent to Samueli and his supportive and supporters showing them the type of revolution Oman has achieved in less than 45 years of true and admired leadership of his Majesty Sultan Qaboos of Oman. This is the type of revolution we were waiting for.Not the type of revolution of the so called Mapinduzi Daima but nothing is seen that suites the words. if at all mapinduzi is necessary in Zanzibar and Tanganyika ((Danganyika)) then yes! Revolution is there and is on its way, And this time you do not need someone called John Okello, Said Washoto and Sefu Bakari. 


This time the Zanzibar revolution will produce revolution from within Zanzibar called: Makame Kombo Mtwana, Mwinyihaji Makame, Pandu Ameir Kificho, Omar Makame Shauri, Haji wa Haji, Mtwana Heri, Machano Kheri and Chimbeni Kheri. Hao ndio watakao ipindua serikali haramu na isiyotakiwa na wananchi takriban wote wa visiwa vya Unguja na Pemba. Haihitaji hata diaspora mmoja wa ki Omani Zanzibari anaeishi Oman au kwengineko kote ulimwenguni. Mapinduzi ya kuipinduwa Zanzibar na Tanganyika yatafanywa na wenyewe wananchi wa nchi hizo. Na John Samuel (Toby) Sitta kaa chonjo na subiri baragumu nasema Bara-Gumu la Mapinduzi mapya ya kiuchumi nchini humo. Mapinduzi hayo Mr. Proscrap-tive yatakua hayana tafauti na Mapinduzi yalioipindua Old China of Mao Tse Tung to the new China we now see all over the world. 


Mapinduzi yanayotakiwa Zanzibar na hapo pako ni Mapinduzi kama yaliopo Oman ya sasa hivi chini ya Kiongozi asiefungamana na siasa ya upande wowote kivitendo na si kubwabwaja tu. Mapinduzi yaliopo Oman yameifikisha Oman kuchaguliwa na WCA (World Countries Association) kua the best Country in the World na Muscat mji wake mkuu kua the best City in the World na watu wake wamechanguliwa kua the most Humble and Friendly people on Earth na chakula cha Oman kimuchanguliwa kua the most Delicious food in the World. Haya yote yalitokana na uwezo wa uongozi bora wa His Majesty Sultan Qaboos na Viongozi walio chini yake na juhudu kubwa zinazo fanywa na wananchi wa Oman.


 John Samuel kabla ya hujazalisha fikra za Kupinduliwa serikali ya Zanzibar ni bora kwanza ukanzaa fikra za kufanikisha haya Mapinduzi ya Maendeleo yaliyoifikisha Oman nawatu wake hapa ilipo leo.Nzaa fikra hizo kwanza zilizo bora kwa watu wako ili ziwalete maslahi na maisha bora kwao.Ziwaletee fikra kuwa na uhakika wa kuweza kula milo mitatu kila siku milo mitatu yenye uhakika.Waweze kua na fikra ya kuweza kupata matibabu bora na ya uhakika endapo mmoja wa raia wako Sitta atahitaji tiba,Waweze kua na fikra ya kuweza kupata elimu bora kwa vizazi vyao walivyonavyo na vya baadae vitakavyo kuja. Waweze kua na fikra ya kuvaa nguo bora na yenye siha ya kuistiri miili yao na ya wazee wao. Sitta Wajengee fikra wananchi wako ya kufikiria uwezo wa kupata malazi bora na yenye usalama kwao na wanaowategemea baada ya kazi ngumu ya kuburuza rikwama mchana kutwa kuisaka tonge ya ugali na kauzu. Wajengee fikra watu wako kuweza kufikiria kua watapata uwezo siku moja ya kuweza kukodi  Taxi kumpeleka hospitali mkewe au mwanawe  badala ya kumpakia kwenye bodabodaa au piki piki ya kukondisha. Zijengee fikra vyombo vyako vinavyotembea barabarani kua ipo siku moja vita furahia kuendeshwa na wamiliki wao.


 Samueli Sitta fanya hayo waliyotegemea wananchi wako wakati wa wazee wao walipokua kwenye harakati za kudai UHURU wa kujitawala ili na wao wawe huru na wayafurahiye maisha yao kama lengo na madhumuni ya kuudai UHURU huo. Lengo la kuudai UHURU uliodaiwaa na wazee wao kutoka kwa malkia wa Uingereza sio UHURU huu wanauona na wanaoukabili leo. Inashangaza sana Samueli Sitta kuona kua mtu kama wewe unajita unapenda Progress na unajipachika sifa wewe mwenyewe bila ya kusubiri watu wanaokuona wakwite Progressive Person. What a naked shame on you. You are without doubt seen as shameless person; Unajiita A Progressive Person Shame on you.Umekuwa speaker wa bunge for how many years and what have you done....???? Nothing, Nothing at all.


Mwinyihaji Makame , Tume yaona malalamiko yako kwenye vikao vyenu ya dharau na kejeli na kutolewa thamani yako na mbara aitwaye Bernard Mende. Pole sana kaka yangu. Unanyanyasika kaka Mwinyihaji na hali yakua Allah nawe kakuletea na kukueka hapa duniani na chako!! na kakwambia Mwinyihaji hichi hapa chako na ni chako wewe na mkeo na wanao na mama yako na baba yako na wajomba zako na shangazi zako na  wakwe zako na wote waliokwako na kwa wenzako. Mwinyihaji Makame, hakika ulipolalamikia bunge lako na jinsi ulivyodhalilishwa na Bernard Mende mbele ya raisi uliekwenda nae huo msafara na mbele ya wenyeji wenu basi huku mimi machozi yalinitoka tena mbele ya mke na watoto wangu, Kwa taarifa yako Mwinyihaji Makame mke wangu aliniuliza mbona unalia basi nae nikamuonesha ile clip yako nae akaanza kulia na kusema kua baba lote hili linalalamika kua kadhalilishwa na Bernard Mende...???? Mke wangu akaniuliza kwani huyo Mende ni nani na hili jii baba kama hili ni nani...????? Nikamjibu kua huyo Mende ni Mwenye nchi na hili jii baba ni mtumwa yani (slave) kwenye nchi ya Bernard Mende. Inna Lilah Wainna Ilayhi rajiuun. 


Waswahili wamesema ulivyoivaa ndivyo utakavaivua ; Marehemu Karume na hayati John Okello hawawezi kufufuka tena na wakaja wakatupindulia kwa mara ya pili Zanzibar yetu na tukawa huru kama tulivyokua hapo kabla ya huo Muungano. Mwinyihaji Makame kaa kitako ,fikiri haya madogo yaliyokukuta kisha wafikirie wenzako kama wewe yanayowakuta kwa kuidai nchi na ardhi yao, kwa kuidai minazi na mikarafuu yao walioachiwa na wazee wao na wakaambiwa kua huu ndio urithi wenu na vizazi vyenu, Juzi Mwinyihaji Makame umeambiwa na Bernard Mende kua huna ulichonacho na subiri na kesho na keshokutwa mwanao na mkeo wataambiwa nini na Nape Nape Nnayule.....?? Mwinyihaji Makame , waswahili wamesema kua Zimwi likujualo halikuli likakwishaaaaa; Mwinyihaji Makame wewe kaka yangu ni mtu mzima na mtu mzima hafundishwi akashindwa kufahamu kaka yangu. John Samuel (Toby) Sitta na Bernard Mende na wengine kama hao si wenzio na wala usifurahike nao. Mwinyihaji Makame , changua  alie wako na alie bora kwako na kwa mwenzako kaka yanguuuuuu.

Adios Amingos. 
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.  


No comments:

Post a Comment