Sunday, March 1, 2015

VIDEO-YA SITTA.MUOMANI MWENYE ASILI YA ZANZIBAR AMJIBU SAMUEL SITTA.

  1. SAMUEL SITTA NA WEWE PIA UNAKARIBISHWA OMAN MAANA INAONYESHA WIVU UMEKUSHIKA BAADA YA KIKWETE, MEMBE,LUKUVI,MAKINDA MR ZANZIBAR SIO NCHI PINDA KWENDA OMAN BASI NA WEWE WAKARIBISHWA USILIE SITTA BASI NYAMAZA NJO UJE UTEMBE NA WEWE.
  2. Muomani mwenye asili ya Zanzibar amjibu Samuel Sitta                                                        
  3.  Huyu ni samuel sitta and he talks shit and nonesense. Muomani aliekuja Oman hana shida ya kuwa mbunge wa zanzibar na hana shida ya kushiriki ya kuchagua rais wazanzibar. Muomani aliepo Oman anafanya kazi ya kulijenga taifa la oman. Uwaziri muomani anaupata hapahapa oman na ubunge hapahapa oman. Mimi namfahamisha kwani naona hajui. Sheria ya Oman haimruhusu muoman kuwa na uraia wa zaidi ya nchi moja. Muomani alietokea zanzibar hatarudi zanzibar kununua ardhi bali ikiwa atarudi basi atarudi kwa kurudishiwa ardhi zao walizoporwa na marehem karume.
  4. Tokea mapinduzi ya 1964 anayoyazungumzia huyu samuell sita hadi leo 2015 hakujakua na chochote cha kumvutia muomani arudi zanzibar kwa njia ya kupindua. Kama ni mapinduzi basi yatafantwa na mzanzibari wa kabila la kitumbatu, kikojani, kinungwi, kimakunduchi, kizimkazi, kibumbwini, kimkwajuni, kipaje, kibwejuu na hata wa kinyamwezi na kimakonde. Hao ndio watakaopindua na ikiwa mapinduzi ni lazima. Tunakuomba uache uongo na siasa za kifitina kwani kufanya hivyo ni kuishiwa na kufilisika kiakili, kimawazo, kielimu na kutokujuua na kuuelewa ukweli hasa ni upi. Tanganyika uliyoachiwa na sir George Mooring imekushinda kuienzi na kuiendeleza, umebakiwa na Danganyika aliyokuachia Julius. Wananchi wa zanzibar the “aborigins” of zanzibar wanataka kukurudishia Tanganyika yako aliyokuachia sir George Mooring ili wewe Samuel uiendeleze na kule mzanzibari aiendeleze zanzibar aliyoachiwa na sir Jamshid Abdallah. Watu laki mbili waliopo Oman wasikutishe na wasikusumbue kua wakipata dual citizenship watakua wabunge na watachagua rais. Samuel napenda kukueleza kua “do not be afraid a group of Lion led by a Sheep. But rather be afraid a group of Sheep led by a Lion”. Oman and her people is a group of Sheep led by a Lion. Danganyika and her people is a group of Lion led by a Sheep.
    Wadanganyika wataamka siku moja na wataamshwa na wazanzibari kusimama bila ya woga wala uyoga kuidai nchi yao ya Tanganyika kama alivyoanza Askofu Kakobe wa Kanisa Katoliki la KKKK na wenzake. Samuel ondoa shaka kua Tanganyika itarudi na watachagua wao wenyewe watu wa Tanganyika nani wampe uraia pacha na nani wasimpe uraia pacha. Halikadhalika wazanzibari nao watachagua wao wenyewe nani wampe haki ya kua mbunge na nani awe muwakilishi. Usiwachagulie wewe. Wazanzibari wanajua wanachokifanya na wewe unatakiwa ukijue unachokifanya. Usiiseme Oman na nafasi walizonazo waomani. Hapa Oman kuna wapemba mawaziri wa petroli na wizara nyengine zimekamatwa na wengine kutoka Tanganyika, Kenya, Uganda, Congo, Ruwanda, Burundi na wote hao wanachapa kazi mtindo mmoja na hakuna huyu wa wapi na huyu wa wapi. No. Huku wote ni “One”as “Power of One” wacha maneno yako yaliokwisha pitwa na wakati. Samuel huwezi kulizuia Wimbi la mabadiliko “The wave of change” is infront of you but you are still blind. Your blindness has made you talk another revolution in zanzibar after 51 years. Waingereza wamesema “Once beatten twice shy” hayo wewe huyajui kwanini huyajui because you are limited, you knowledge of understanding is very limited. The late professor Ali Abdallah Mazrui in his documentry tittled. “The Africans and the Tripple Herritage” said “Little education is dangerous, drink deep or test not”. Kuwanyima wadanganyika elimu ili wasijue nini chao si chumvi ya kukufanya wewe na wenzako mutawale danganyika kwa bunduki maisha bali wimbi linakaribia kufika ufukweni la wadanganyika muliowadhalilisha na muliowadanganya kwa miaka 54 sasa wazijue nambari zenu za gari mulizoziandika PT “Piga Tuu”wao wadaganyika wakafikiria kua ni Police Tanganyika kumbe ni Piga Tuu.
    You can fool the people sometime but you cannot fool the people all the time. Majina yenu na ya wote wanaoshiriki katika uhalifu huu wa kuwakamata, kuwatesa, kuwaweka rumande na kuwabunia mashtaka viongozi wa dini yanayo mwisho wake. Elewa Moh’d Siaad Barree wa Somalia aliyafanya kama hayo na kaishia kusikojulikana. Nothing without end. Samuel ulipoelezewa ukweli Unguja katika kikao kimojawapo ulichohudhuria ulikiri na kusema kua nyinyi munayajua hayo yaliofanyiwa kikao. Basi kama munayajua na sasa wakati wake umefika wa kuiachia zanzibar na kuwaachia wazanzibari. Usikae ukawa unabwabwaja yasiokua na kichwa wala miguu. Time has come and you cannot stop the hand of second neither the hand of minute nor the hand of hour. The Big Band has to strike. What time who knows but Allah. The nearer the dawn the darker the night because it is the wearer who knows where the shoe pinch is.
    Samuel, welcome to visit to Oman and witness the country led by a Lion only the past 44 years now. It has a week ago at WCA elected and awarded the best country in the world and its capital the best city in the world and its people the most humble and friendly in the world and its food the most delicious in the world. Welcome to Oman and be my guest. Shall you accept this invitation then call me on +96899553485. Here we are safe and we are in the hands and palms of the best leader on earth.
    Ciao.
  5. KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment