Friday, June 5, 2015

WAGOMBEA WA CUF UBUNGE NA WAWAKILISHI NCHINI ZANZIBAR


Chama Cha Wananchi (CUF) kimewatangaza wagombea ambao waliingia katika kinyanganyiro cha kuwania ubunge na uwakilishi baada ya kupita katika hatua zote kwa mujibu wa taratibu hizo ambapo uamuzi wa Baraza Kuu la Taifa limepitisha uamuzi wake na kuwateuwa baadhi ya wagombea hao, huku Maalim Seif Sharif Hamad akiwa amepita bila ya kupigwa kwa kura za siri 56 zote zilimpa kura ya NDIO bila ya kigugumizi. Nayanayo fuata ni majina ya wajumbe wote.
WAGOMBEA WALIOTEULIWA NA CHAMA NAFASI ZA UBUNGE NA UWAKILISHI
JIMBO LA MJI MKONGWE
  1. Ismail Jussa Ladhu (Uwakilishi)
  2. Ali Abdalla Ali Saleh (Ubunge)

  1. JIMBO LA JANG’OMBE
  1. Ali Haji Mwadini (Uwakilishi)
  2. Moh’d Yussuf Maalim (Ubunge)
JIMBO LA RAHALEO
(WAGOMBEA HAWAJAPATIKANA)
JIMBO LA KIKWAJUNI
  1. Moh’d Khalfan Sultani (Uwakilishi)
JIMBO LA CHUMBUNI
  1. Maulid Suleiman Juma (Uwakiilishi)
  2. Omar Ali Khamis (Ubunge)
JIMBO LA KWAMTIPURA
  1. Amina Rashid Salum (Uwakilisihi)
  2. Abdi Seif Hamad (Ubunge)
JIMBO LA MAGOMENI
  1. Yussuf Idrisa Mudu (Uwakilishi )
  2. Ahmed Khamis Hamad (Ubunge)
JIMBO LA MPENDAE
  1. Ali Hamad Ali (Uwakilishi)
  2. Omar Moh’d Omar (Ubunge)
JIMBO LA AMANI
  1. Khamis Rashid Abeid (Uwakilishi)
  2. Khamis Silima Ame (Ubunge)
JIMBO LA KWAHANI
  1. Hassan Juma Hassan (Uwakilishi)
  2. Khamis Mussa Haji (Ubunge)
JIMBO LA MAGOGONI
  1. Abdilahi Jihad Hassan (Uwakilishi)
  2. Saleh Moh’d Saleh (Ubunge)
JIMBO LA BUBUBU
  1. Juma Duni Haji (Uwakilishi)
  2. Juma Khamis Juma (Ubunge)
JIMBO LA MFENESINI
  1. Saleh Khamis Omar (Uwakilishi)
  2. Hassan Othman Makame (Ubunge)
JIMBO LA MTONI
  1. Nassor Ahmed Mazrui (Uwakilishi)
  2. Ali Ame Ali (Ubunge)
JIMBO LA DOLE
  1. Yussuf Omar Muhine (Uwakilishi)
  2. Khamis Msabah Mzee (Ubunge)
JIMBO LA DIMANI
  1. Moh’d Hashim Ismail (Uwakilishi)
  2. Khalid Said Suleiman (Ubunge)
JIMBO LA KIEMBE SAMAKI
  1. Mansour Yussuf Himid (Uwakilishi)
  2. Moh’d Nassor Moh’d (Ubunge)
JIMBO LA MWANAKWEREKWE
  1. Ussi Juma Hassan (Uwakilishi)
  2. Ali Salum Khamis (Ubunge)
JIMBO LA FUONI
  1. Sleiman Simai Pandu (Uwakilishi)
  2. Moh’d Juma Aminia (Ubunge)
JIMBO L A NUNGWI
  1. Hassan Jani Masoud (Uwakilishi)
  2. Yussuf Haji Khamis (Ubunge)
JIMBO LA MATEMWE
  1. Nahoda Khamis Haji (Uwakilishi)
  2. Dunia Haji Pandu (Ubunge )
JIMBO LA MKWAJUNI
  1. Haji Kesi Haji (Uwakilishi)
  2. Khamis Masoud Nasor (Ubunge)
JIMBO LA CHAANI
  1. Khamis Amour Vuai (Uwakilishi)
  2. Khatib Ali Juma (Ubunge)
JIMBO LA TUMBATU
  1. Makame Haji Makame (Uwakilishi)
  2. Rashid Khamis Rashid (Ubunge)
JIMBO LA DONGE
  1. Sleiman Ahmed Sleiman (Uwakilishi)
  2. Kombo Moh’d Kombo (Ubunge)
JIMBO LA BUMBWINI
  1. Zahran Juma Mshamba (Uwakilishi)
  2. Moh’d Amour Moh’d (Ubunge)
JIMBO LA KITOPE
  1. Hassan Khatib Kheir (Uwakilishi)
  2. Mwinshaha Shehe Abdalla (Ubunge)
JIMBO LA UZINI
  1. Asha Simai Issa (Uwakilishi)
  2. Adam Ali Wazir (Ubunge)
JIMBO LA KOANI
  1. Khamis Malik Khamis (Uwakilishi)
  2. Shaaban Iddi Ame (Ubunge)
JIMBO LA CHWAKA
  1. Arafa Shauri Mjaka (Uwakilishi )
  2. Ali Khamis Ame (Ubunge)
JIMBO LA MAKUNDUCHI
(HAJAPATIKANA )
JIMBO LA MUYUNI
  1. Asha Abdu Haji (Uwakilishi)
  2. Baswira Hassan Suleiman (Ubunge)
JIMBO LA TUMBE
  1. Mmanga Moh’d Hemed (Uwakilishi)
  2. Rashid Ali Abdalla (Ubunge)
JIMBO LA MICHEWENI
  1. Subeit Khamis Faki (Uwakilishi)
  2. Haji Khatib Kai (Ubunge)
JIMBO LA KONDE
  1. Issa Said Juma (Uwakilishi)
  2. Khatib Said Haji (Ubunge)
JIMBO LA MGOGONI
  1. Abubakar Khamis Bakar (Uwakilishi)
  2. Juma Kombo Hamad (Ubunge)
JIMBO LA WETE
  1. Dr, Suleiman Ali Yussuf (Uwakilishi)
  2. Mbarouk Salum  Ali (Ubunge)
JIMBO LA OLE
  1. Hamad Masoud Hamad (Uwakilishi)
  2. Rajab Mbarouk Moh’d (Ubunge)
JIMBO LA GANDO
  1. Said Ali Mbarouk (Uwakilishi)
  2. Othman Omar Haji (Ubunge)
JIMBO LA MTAMBWE
  1. (UWAKILISHI HAJAPATIKANA)
  2. Khalifa Moh’d Issa (Ubunge)
JIMBO LA KOJANI
  1. Hassan Hamad Omar (Uwakilishi)
  2. Hamad Salum Maalim (Ubunge)
JIMBO LA CHAKE CHAKE
  1. Omar Ali Shehe (Uwakilishi)
  2. Yussuf Kaiza Makame (Ubunge)
JIMBO LA CHONGA
  1. Khamis Faki Marango (Uwakilishi)
  2. Moh’d Juma Khatib (Ubunge)
JIMBO LA ZIWANI
  1. Moh’d Ali Salum (Uwakilishi)
  2. Ahmed Juma Ngwali (Ubunge)
JIMBO LA WAWI
  1. Khalifa Abdalla Ali (Uwakilishi)
  2. Juma Hamad Omar (Ubunge)
JIMBO LA CHAMBANI
  1. Moh’d Mbwana Hamad (Uwakilishi)
  2. Yussuf Salim Husein (Ubunge)
JIMBO LA KIWANI
  1. Hija Hassan Hija (Uwakilishi)
  2. Abdalla Haji Ali (Ubunge)
JIMBO LA MKANYAGENI
  1. Tahir Aweis Moh’d (Uwakilishi)
  2. Moh’d Habibu Juma Mnyaa (Ubunge)
JIMBO LA MKOANI
  1. Seif Khamis Moh’d (Uwakilishi)
  2. Ali Khamis Seif (Ubunge)
JIMBO LA MTAMBILE
  1. Abdalla Bakar Hassan (Uwakilishi)
  2. Masoud Abdalla Salim (Ubunge)
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO

No comments:

Post a Comment