Friday, January 29, 2016

NCHINI ZANZIBAR HALI NI HII TUNAJUWA NI POLISI LAKINI MNAJIFANYA KAMA NI WAHUNI POMBE MAGUFULI HAYA MAJIPU YAKO YATAKUPELEKA THE HAGUE











waliobeba bunduki na mapanga wakiwa kwenye magari yao na ya vikosi vya SMZ muda huu 

wakiranda na kutisha watu mjini Unguja. Jeshi la Polisi linajibadilisha na kujifanya wahuni 

kisha hujifanya polisi tushawajuwa kuwa muna baraka zote za serikali ya Mkoloni Mweusi 

Tanganyika inayo ongozwa na Pombe Maguvuli na hichi ndicho anacho jivunia Shein na Seif 

iddi,vua ali vuai,nadhoda,kificho, N.K wanaungwa mkono na Sultani,Kaburu Mweusi Pombe 

Magufuli.ila mkae mkijuwa The Hague jela zao hazijaja na wala hazijai.Askari polisi wa 

Zanzibar wanao valia mavazi ya vichekesho na kujifanya kuwa ni Wahuni wa CCM na 

kufanya maovu yao.


KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment