Monday, March 14, 2016

HAKUNA CHA KAZI TU MBALI KUNA CHA UKOLONI WA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA TU


VIBARAKA WA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA WENYE MARADHI YA BT


VIBARAKA WA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA WENYE MARADHI YA BT


Kwa mujibu wa agizo la Serikali ni marufuku kutembea nje zaidi ya saa 2 usiku na atakayekaidi agizo hilo atashitakiwa chini ya kesi ya uzembe na uzururaji. Agizo hilo limetolewa Pemba na wakuu wa mikoa na limeanza kutekelezwa leo nje kweupeee
Mkoloni Mweusi Tanganyika Ataka kuwageuza Wazanzibari kuwa kuku sasa ndio likingia 
geza huenda vibandani mwao Mkoloni Mweusi Tanganyika Pemba hakuna CCM vifaru vya nini.....??

No comments:

Post a Comment