Friday, March 25, 2016

MKUU WA MAJESHI YA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA JENERAL DAVIS MWAMUNYANGE AMPONGEZA SHEIN ATII KWA USHINDI WA KISHINDO ((BORA NI CHEKE HAHAHAHAHA))











MKUU wa Majeshi ya Ulinzi Nchini Tanganyika, Jenerali Davis Mwamunyange, amemtumia salamu za pongezi Shein nchini Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Shein atii kwa kuchaguliwa tena atii na wananchi wananchi wananchi wananchi ngani hao labda jamaa zenu walio kuweko huku wa mrima lakini kwa wa Zanzibar tulishamkata katika kura 2010 akapata salama yake kwa Mzee Moyo na Maalim Seif Sharrif Hamad na Oct 25 2015 tukampiga tena chini kabisa mpaka akahumiwa ndio akawaomba nyinyi Wakoloni Weusi Tanganyika mtujazie majeshi.

Nanyi mkafanya hivyo kisha mkafanya kichaguzi chenu cha watu wa mrima na majeshi na polisi na mazombi wenu kisha mkasema amekuwa Rais mnaendelea kudanganya nafsi zenu na haya madaraka yenu ya mudaa maana wangapi walikuwepo madarakani na leo hii hawapo itakuwa nyinyi.

Salamu hizo zilizotumwa na Jenerali Mwamunyange kwa niaba ya Maofisa, Askari na Watumishi wa Umma wanaofanya kazi katika Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanganyika (JWT), zilieleza kuwa ushindi wa kishindo Shein alioupata unadhihirisha kuwa wananchi wa Zanzibar wameridhishwa na uongozi wake makini na mahiri aliouonesha katika muhula wake wa kwanza wa uongozi wake.




((Daaah!! pole sana sana yani watu wazima kisha viongozi mnakaa na kusema uwongo wa namna hii jinsi mulivyo lewa madara hata hamjioni kama mnasema uwongo kwa jinsi madaraka yalivyo walevya namnuku.......ushindi wa kishindo Shein alioupata unadhihirisha kuwa wananchi wa Zanzibar wameridhishwa na uongozi wake makini na mahiri aliouonesha katika muhula wake wa kwanza wa uongozi wake.))

Salamu hizo ziliendelea kueleza kuwa historia ya Shein ya uaminifu atii mnasema ana nini uaminifu.....?, maadili mema ooooh maii maii maadili meme yapi hayo....? na uzalendo aliouonesha ((yaaa wakutujazia majeshi ili abaki madarakani na kuwaridhisha nyinyi Wakoloni Weusi Tanganyika mzalendo kweli kweli)) katika utumishi wake wa muda mrefu katika nyadhifa mbalimbali alizowahi kushika kabla hajawa Rais wa Zanzibar imewapa wananchi imani kubwa kuhusu uongozi wake.((imana kuwa Dah!! yakulazimisha abaki madarakani na wewe na wenzio mnamlinda na kusema uwongo katika vyombo vya habari kuwa kachaguliwa na wananchi hali yakuwa watu wote wanajuwa mulivyo idhibiti nchi ya Zanzibar kijeshi Daaaah!!))


“Mheshimiwa Rais, hapana shaka kuwa katika muhula huu wa pili wa uongozi wako, Zanzibar itashuhudia mafanikio makubwa zaidi ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii, sambamba na kuendelea kuwepo kwa hali ya amani na utulivu kwa wananchi wote,” ilieleza sehemu ya salamu hizo.((bora ni cheke hahahahahahaha))

Aidha, salamu hizo za pongezi zilieleza kuwa JWT inamhakikishia Shein kuwa itaendelea na utiifu, uadilifu na uaminifu mkubwa kwake kama ilivyo desturi ya majeshi nchini.





KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU


KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment