Thursday, April 7, 2016

HII 2016 WAWI SHIKAMANENI ILI WAWI IWE KAMA DUBAI MAANA HUKU WAWI MMMM HUKU WAWI MTIHANI

HUU KWETU WAWI BADO MAISHA YETU MITIHANI ASUBUHI MPAKA MCHANA PAKAVU SUALA LA GARI NA NYUMBA BADO JAPO KUWA KUMEJA VIONGOZI WEZI WAKUJITAJIRISHA WAO TU KIMWANA UKIFIKA NYUMBANI WAWI VUMILIA
Jimbo la wawi lina wawakilishi wanne 4 Gerei kutoka CCM,Mohamed Aboud kutoka CCM, Said SOUD kutoka AFP na Hamad Rashid ADC.Wabunge watano 5 wamo ndani ya jimbo la wawi Faida viti maalum CCM, Zainab Bakar viti maalum CCM, Mohamed Juma (Mwachawa) Mbunge wa chonga ambae anaishi Jimbo la Wawi kutoka, Nassor Suleiman Mbunge wa Ziwani kutoka anaishi Jimbo la Wawi na Ahmed Juma yeye ni mbunge wa kuchaguliwa ktk Jimbo hilo kutoka CUF. Mkuu wa Mkoa kusini Pemba anaishi Mgogoni Jimbo hilo, Mkuu wa Wilaya ya Wete Rashid Hadid anaishi Machomane katika Jimbo hilo, Mkuu wa Wilaya ya Mkoani anaishi mkoroshoni katika Jimbo hilo, na Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Hanuna anaishi Machomane ktk jimbo hilo.Afisa Tawala Mkoa Kusini Ahmed Khalid anaishi Machomane katika Jimbo hilo, Afisa Tawala wilaya ya Chake Chake anaishi Wawi katika Jimbo hilo.
 pia maafisa wadhamini nane 8, Maalim S Kitwana Elimu,Maalim Abdallah Juma Biashara, Ali Nassor Habari, Bakar Haji Fedha, Mr Hemed Maji, Bi Mauwa wanawake na watoto, Bi Jokha utawala bora na Salim Massoud umeme.
Wote hao ni wakaazi katika jimbo hilo HONGERENI WAWI, SHIKAMANENI MUWE NA MAENDELEO KAMA DUBAI.

Ahsanteni.

No comments:

Post a Comment