Tuesday, May 10, 2016

NCHINI ZANZIBAR SAID HASSAN SAID NJAA UMEIWEKA KICHWANI BRO NOMAAA!!!


ATII MWANASHERIA YAGUUJUUU PUMBAVU NJAA UNAIWEKA KWENYE KICHWA UTAUMIA HEBU JIULIZE MZEE KARUME ALIKULA KIAPO HICHO NA MZEE KARUME ALIKUWA KAMA NANI KATIKA MUUNGANO MAANA NYINYI WANAFIKI WAKUBWA HUWA MNAJIDAI KUWA ATI MNAFUATA MZEE KARUME WAKATI MNAFUATA MATUMBO YENU.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Said Hassan Said
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Said Hassan Said ametetea hatua ya hivi karibuni ya Rais wa Zanzibar, Ali Mohamed Shein kwa kula kiapo kuwa Mjumbe wa Baraza la Mawaziri la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Akizungumza mjini nchini Zanzibar jana, Mwanasheria huyo alisema wanaokosoa hatua hiyo ya Rais Shein kula kiapo kuwa mjumbe wa baraza hilo wanakosea, kwani yeye sio wa kwanza kula kiapo hicho.
Alisema alichokifanya Rais Shein ni kutimiza masharti ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama walivyofanya marais wa Zanzibar waliomtangulia.
Alifafanua kuwa katika baraza hilo la mawaziri, Rais Shein anaingia kwa nafasi yake ya urais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na wala haingii kwa nafasi ya waziri asiekuwa na wizara maalum kama baadhi ya watu wanavyopotosha.
“Nataka wananchi wafahamu kuwa Rais Shein haingii katika Baraza la Mawaziri kama ni waziri asie na wizara maalum, hilo jambo hamna na wala halijaandikwa katika sheria na Rais amefanya jambo sahihi la kutimiza masharti ya kikatiba ya Serikali ya Jamuhuri ya Muuungano wa Tanzania,” alisema mwanasheria mkuu, Said Hassan.
Alisema kuingia kwa Rais Shein katika baraza hilo kuna faida kubwa kwa Zanzibar, kwani ataweza kujua yanayozungumzwa na kuitetea.
Alisema kwa nafasi yake katika baraza hilo ataweza kuzungumzia masuala yanayohusu Zanzibar na kupatiwa ufumbuzi hususan masuala ya muungano.
“Ni bora kwa Rais Shein kuwapo katika baraza hilo kuliko kuwa nje halafu watu wakaanza kulalamika haswa katika masuala yanayohusu Zanzibar.
Mwanzoni mwa mwezi huu, Rais John Magufuli, alimuapisha Rais Shein kuwa mjumbe wa Baraza la Mawaziri, jambo ambalo lilileta minong’ono kwa baadhi ya wanasiasa na wananchi wakipinga hatua hiyo.
KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KATUPINDUWA TENA WAZANZIBARI NA KUWEKA VIONGOZI WAWATAKAO WAO WAKINA BT TUNAENDELEA TENA KUKA CHINI YA SERIKALI YA KIKOLONI YA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA MPAKA MIAKA MITANO IMALIZIKE KISHA TUTIWE TENA KATIKA SHENGESHA LA UCHAGUZI NA KUPIGA KURA KISHA WAZANZIBARI WAPIGE KURA NA KUCHAGUWA VIONGOZI WAWATAKAO MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA ATAKUJA NA STYLE MPYA YA KUZIPIGA KURA ZA WAZANZIBARI CHINI NA KUTUEKEA VIONGOZI WAWATAKAO KISHA TUTAKA TENA CHINI NA KUSUBIRI UCHAGUZI WA 2025 MAMBO YATAKUWA HIVYO HIVYO KISHA TUTAKA CHINA NA KUSUBIRI UCHAGU WA WA 2030 TUKIWA HAI KAMA HATUKO TENA WATAKAO BAKI WATAFANYIWA TENA HIVYO HIVYO NA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KISHA WATAKA CHINI WASUBIRI......>>> MPAKA KIYAMA KISIMAME BASI NI BORA TU TUKUBALI KUWA NDIO TUMEKUBALI KUWA CHINI YA MKONI MWEUSI TANGANYIKA KULIKO UPUMBAVU HUU WA UCHAGUZI AMBAO KILA MOJA WETU HAPA ZANZIBAR KAMA UCHAGUZI WA MARA HII HAUJAWASOMESHA WALA HATUTA SOMA TENA MILELE. 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment