Monday, May 30, 2016

VIDEO-RPC MKADAMU WEWE NI RPC AU WAKILI WA DADI FAKI DADI MSHAURI WA SHEIN ANAYE BAKA WATOTO.....?????

JECHA KAFUTA MATOKEO MSHAURI WA SHEIN DADI FAKI DADI KAMSHAURI SHEIN SASA IBAKE DEMOKRASI YA WATU WA ZANZIBAR. PIA HATUSTAJABU KWA RPC MKANDAMU KUMUACHIA HURU MBAKAJI MAANA NYINYI POLISI PIA MNABAKA WATU SIKU ZA CHAGUZI KWA HIYO NI MILA ZENU KUBAKA BAKA KISHA JECHA ATAFUTA MATOKEO YA UBAKAJI BASI MAISHA YANAENDELEA.

HUU HAPA USHAHIDA KAMA UNATAKA USHAHIDI
Hii ya Dadi ni shahawa au Laana?? 

POLISI MPENI DADI FAKI DADI HAKI YAKE.!
Nimesikitishwa na taarifa ya jeshi la PoliCCM Zbar kuwa wamemuachia huru ndugu Dadi Faki Dadi kwa kuwa eti hawajaona kosa la yeye kulala na binti yake. Kamanda wa poliCCM mkoa wa mjini magharibi ndugu Mkadam Hamis Mkadam Mumesema hakuna kosa kisheria alilolifanya ndugu Dadi Faki kwa kuwa si binti wake wa kumzaa na pia hakumlazimisha. Wakikubaliana kwa kuwa binti huyo ni mtu mzima (miaka 21). Nimesikitishwa sana maneno haya kutamkwa na jeshi la PoliCCM. Watu waliopewa dhamana ya kuinforce sheria kumbe nao hawajui sheria ila hamna jipya si huwa mnapeyana vyeo na madara japo kuwa hamukusomea hii ndio faida yake . Ngoja nikupe sababu;
1. Kwanza, PoliCCM hawakupaswa kusema kama Dadi Faki ana hatia au laah. Hiyo si kazi yao. Wao wangefungua jalada wapeleke mahakamani then mahakama ndio ingetoa uamuzi kama alichokifanya Dadi ni kosa au si kosa.
2. Pili, RPC Mkadamu ameacha majukumu yake ya URPC na kujipa kazi mpya ya kuwa wakili wa Dadi Faki. Kusema kwamba yule si binti yake wa kumzaa na kwamba ni mtu mzima hivyo walikubaliana ni utetezi uliopaswa kutolewa na wakili wa Dadi Faki sio wewe RPC Mkadamu hii sio kazi yako jifunze tena kazi yako ni nini inaonyesha huijuwi upo tu unakula Mshahara wa Bure hapo.
3. Tatu, je ni kweli sheria inaruhusu mtu kulala na binti yake kisa tu hajamzaa....?? amakweli ikiwa hukuona ya Musa utaona ya Firauni, Jibu SI KWELI. Hapa RPC Mkadamu amepotosha au bila shaka na yeye hajui sheria. The Law of Divine &Men inazuia mwanaume kulala na binti yake (wa kumzaa au kumlea), dada yake (waliyezaliwa pamoja au waliyeshare mzazi mmoja), mama yake (aliyemzaa au kumlea). Itz serious offence na mtu akipatikana na hatia aweza kutumikia hadi kifungo cha miaka 20 gerezani.
Pia sheria ya kanuni za adhabu Zanzibar na Tanganyika (Tanzania) (Penal Code) inaeleza wazi kuwa ni kosa mtu kulala na ndugu yake, mathalani mtoto wake hata kama ni wa kumlea. (Rejea kesi ya A.Kapeta vs Republic ya mwaka 2013, iliyosikilizwa mahakama kuu kanda ya Rukwa na jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Nathalia Kimaro). Je RPC Mkadamu hajui sheria hii....??
4. Nne, Je kama binti ameridhia inahalalisha kosa....?? Jibu SI KWELI. Hata kama binti ameridhia mwenyewe kulala na baba yake bado haihalalishi kosa. Akisema aliridhia kulala na baba yake, basi wote wawili waweza kufungwa miaka 20 gerezani kila mmoja. Lakini binti akisema alilazimishwa basi kesi itabadilika kuwa ubakaji (under SOSPA) ambapo mtuhumiwa aweza kufungwa miaka 30 akipatikana na hatia.
Kwahiyo katika shauri hili hakuna namna ambayo Dadi Faki anaweza kupona. Binti akisema kuwa wakikubaliana basi wote wawili wanakwenda miaka 20 jela, lakini binti akisema alilazimishwa basi Dadi Faki atashtakiwa kwa ubakaji na aweza kwenda hadi miaka 30 jela.
Sasa inakuaje RPC Mkadamu aseme haoni kosa....?? Hivi askari PoliCCM hawasomi sheria walau kwa viwango vya basic knowledge ili tuondoe aibu ya kuwa na maRPC wasiojua sheria kama RPC Mkadamu.....?? Tunaliheshimu jeshi la PoliCCM lakini ni vizuri liache kutumika kisiasa. Dadi Faki apewe haki yake, ashtakiwe kwa makosa yake na achukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria. Polisi Zbar mpeni Dadi Faki Dadi haki yake.!

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KATUPINDUWA TENA WAZANZIBARI NA KUWEKA VIONGOZI WAWATAKAO WAO WAKINA BT TUNAENDELEA TENA KUKA CHINI YA SERIKALI YA KIKOLONI YA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA MPAKA MIAKA MITANO IMALIZIKE KISHA TUTIWE TENA KATIKA SHENGESHA LA UCHAGUZI NA KUPIGA KURA KISHA WAZANZIBARI WAPIGE KURA NA KUCHAGUWA VIONGOZI WAWATAKAO MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA ATAKUJA NA STYLE MPYA YA KUZIPIGA KURA ZA WAZANZIBARI CHINI NA KUTUEKEA VIONGOZI WAWATAKAO KISHA TUTAKA TENA CHINI NA KUSUBIRI UCHAGUZI WA 2025 MAMBO YATAKUWA HIVYO HIVYO KISHA TUTAKA CHINA NA KUSUBIRI UCHAGU WA WA 2030 TUKIWA HAI KAMA HATUKO TENA WATAKAO BAKI WATAFANYIWA TENA HIVYO HIVYO NA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KISHA WATAKA CHINI WASUBIRI......>>> MPAKA KIYAMA KISIMAME BASI NI BORA TU TUKUBALI KUWA NDIO TUMEKUBALI KUWA CHINI YA MKONI MWEUSI TANGANYIKA KULIKO UPUMBAVU HUU WA UCHAGUZI AMBAO KILA MOJA WETU HAPA ZANZIBAR KAMA UCHAGUZI WA MARA HII HAUJAWASOMESHA WALA HATUTA SOMA TENA MILELE. 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment