Tuesday, May 31, 2016

PARY 1 YANAYO ENDELEA NCHINI ZANZIBAR KATIKA ZIARA ZA RAIS WA WATU,KIPENZI CHA WAZANZIBARI,LULU YA WAZANZIBARI RAIS MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD ZA MAKUNDUCH COMMING SOON.


Simba wa Nyika, Maalim Seif Sharif Hamad amemaliza mahojiano na Polisi na hivi sasa yuko njiani kuendelea na ziara yake, leo ikiwa ni zamu ya Wilaya ya Kusini Unguja.

Furaha iliyoje watu wakimshangilia Maalim Seif

Wakati Maalim Seif akihojiwa na PoliCCM jeshi La Mkoloni Mweusi Tanganyika likiranda ndani ya Nchi ya Zanzibar kama unavyo waona katika picha.

Wakati Maalim Seif akihojiwa na PoliCCM jeshi La Mkoloni Mweusi Tanganyika likiranda ndani ya Nchi ya Zanzibar kama unavyo waona katika picha.

Wakati Maalim Seif akihojiwa na PoliCCM jeshi La Mkoloni Mweusi Tanganyika likiranda ndani ya Nchi ya Zanzibar kama unavyo waona katika picha

Jeshi la Mkoloni Mweusi Lilifunga Takribani Njia zote walipokuwa wakimuhoja Rais wa watu Maalim Seif Shariff Hamad

Jeshi la Mkoloni Mweusi Lilifunga Takribani Njia zote walipokuwa wakimuhoja Rais wa watu Maalim Seif Shariff Hamad.

Watu wakiendelea kusubiri hatma ya Raisi wao Maalim Seif

Watu wakiendelea kusubiri hatma ya Raisi wao Maalim Seif

Muda huu.. Rais wa nyonyo za Wazanzibari alikawa ziwani kwa mahojiano na PoliCCM Jeshi La Mkoloni Mweusi.

Muda huu.. Rais wa nyonyo za Wazanzibari alikawa ziwani kwa mahojiano na PoliCCM Jeshi La Mkoloni Mweusi.

Muda huu.. Rais wa nyonyo za Wazanzibari alikawa ziwani kwa mahojiano na PoliCCM Jeshi La Mkoloni Mweusi.

Muda huu.. Rais wa nyonyo za Wazanzibari alikawa ziwani kwa mahojiano na PoliCCM Jeshi La Mkoloni Mweusi.

Wakati Lulu ya Wazanzibari Anahojiwa na PoliCCM Wafanya Bishara walifunga Maduka yao ili wajuwe Hatma ya Rais wao Maalim Seif Shariff Hamad.

Wakati Lulu ya Wazanzibari Anahojiwa na PoliCCM Wafanya Bishara walifunga Maduka yao ili wajuwe Hatma ya Rais wao Maalim Seif Shariff Hamad.

Wakati Lulu ya Wazanzibari Anahojiwa na PoliCCM Wafanya Bishara walifunga Maduka yao ili wajuwe Hatma ya Rais wao Maalim Seif Shariff Hamad.



wananchi wa kusini Unguja waleonesha ari baada ya Maalim Seif kuhojiwa na PoliCCM.vijana wa kusini wakipokea Maalim Seif kwa Dufu kama Unavyo waona.

ALIPO TUPO ALIPO TUPO

ALIPO TUPO ALIPO TUPO

FURAHA ILIOJE NCHI IMETULIA VIJANA WAKIBURUDISHA KWA DUFU NA KUSUBIRI KUMPOKEA RAIS WAO MAALIM SEIF.

ALIPO MAALIM SEIF TUPO ALIPO TUPO

ALIPO TUPO MTAKE MSITAKE ALIPO MAALIM SEIF NA SISI TUPO

ALIPO TUPO KAZI KWENU SISI ALIPO TUPO

MGUU MBELE MGUU NYUMA ALIPO TUPO WACHAA WEEE TULIA WEEEE ALIPO TUPO MGUU MBELE MGUU NYUMA.

ALIPO TUPO

ALIPO TUPO

ALIPO TUPO NA DUWA TUNAOMBA

AKIWAPA MKONO WAFIWA NA WAGONJWA SIE TUPO NJAA TUNAMSUBIRI ALIPO TUPO BADO TU HUJAMINI

MAJI MATUPE MADIMBWI MVUA JUWA ALIPO TUPO BADO TU HUJAMINI

BASI LABDA HII UTAMINI KAMA ALIPO TUPO

AU HII ALIPO TUPO

BASI HII ALIPO TUPO

ALIPO TUPO RAHA MPAKA NDANI YA ROHO

ALIPO TUPO

ALIPO TUPO ALIPO TUPO

ALIPO TUPO AKAA

HATA KAMA HUMJUWI UKISIKIA JINA LAKE MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD BASI UTAMPENDA ALIPO TUPO

ALIPO TUPO NA WALA HATUBANDUKI HAPO HAPO MPAKA TUPATE NCHI YETU NA MAALIM SEIF NDIO RAIS WETU.

ALIPO TUPO WATAKA FALUDA AU WATAKA PUDING HAAAA HAAAA BABU WEE ALIPO SISI TUPO


No comments:

Post a Comment