Tuesday, July 26, 2016

VIDEO-WACHE WAISOME NAMBA SASA MAANA CCM MBELE KWA MBELE SOMENI NAMBA SASA

NI NANI SASA ANAE SOMA NAMBA..? HAWA
WANAIMBA KABISA CCM NI ILE ILE WATU BADO TU
HAMJAELEWA KUWA NI ILE ILE HAINA JIPYA
CCM NI ILE ILE CCM ILEE ILEE SISI WAZANZIBARI TUSHAIJUWA
KUWA NI ILE ILE TABARA LILILO CHOKA HALINA FAIDA
ZAIDI YAKUTUTIA UMASIKINI NA NDIO MAANA TUIKATA NA TUNAENDELEA
KUIKATA MAANA NI ILE ILE NA ROHO LA CCM NI LILE LILE YA KUUWA WATU
NA KUFUNGA WATU JELA NA KUTESA WATU CCM NI ILE ILE WATESAJI NI WALE WALE






CCM IKIJA KUOMBA KURA PIC YA JUU CCM IKISHA PATA KURA PIC CHINI


"Mtumishi yeyote Wa Serikali Ninayoiongoza Mimi Akishindwa Kuitambua CCM Ajiandae Kuondoka Kazini" Maneno Ya Baba Jesca....Maana Yake Ni Ipi>Usipokuwa Mwanaccm Huruhusiwi Kuwa Mfanyakazi Wa Serikali>Hili Hajawahi kutokea Dunian Kote Ila LEO Limetokea Tanzania.

No comments:

Post a Comment