Friday, September 29, 2017

HIVI NDIVYO SEREKALI YA MAADHALI YA DR SHEIN ILIVYO MUUWA SHAHIDI ALI JUMA NA WATAENDELEA KUUWA HAWA MAANA NI KAMA MASHETANI WASHAKUNYWA DAMU


Afbeeldingsresultaat voor DR SHEIN

Jana mchana muandishi wetu wa Free Zanzibar People From Mkoloni Mweusi Tanganyika na watu wengine walipata kumtembelea Shahidi Ali Juma akiwa kitandani Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja na akamsimulia namna alivyovamiwa nyumbani kwake, kuteswa na kipigo ambacho ndicho kimekuwa ndio sababu ya kuondoka na uhai wake. Angalia vidio hii, na kisha mtakie dua shahidi huyu.Pia kaa ukijuwa kuwa Wauwaji wa Serekali Hii Ya Madhalimu bado hawaja maliza kuuwa watu na kufunga watu jela bila kosa wala sheria wamafanya hayo toka mapinduzi ya 1964 mpaka sasa ni muendelezo tu hakuna jipya ndugu yangu Mzanzibari zinduka toka katika usingizi kuwa ati Zanzibar ni nchi Zanzibar sio nchi bali ni Koloni La Mkoloni Mweusi Tanganyika na hakuna Mkoloni anaetaka kuliwachia Koloni Lake Kirahisi kwa hiyo lazima mambo mawili yafanyika tukubali kuliwa na kunyanyaswa na kuka kimya na Mkoloni Mweusi Tanganyika akiendelea kututawala kimabavu na kwa nguvu za jeshi walio wajaza hapa Unguja na Pemba au Mbwa hawa tupingane nao mpaka nchi hii waihame na kuiyona chungu kama shubili sisi ndio wa kuamuwa.

No comments:

Post a Comment